KAULI ZA KUTAMKA KWENYE MAOMBI YAKO ILI UJIBIWE HARAKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2023
- Zaburi 107:28
Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen, Kuna kipind mtu unatingwa unashndwa hata kuwa busy na KAZI kwa stress Kila inachokifanya hakitiki yaan ni stresss Kila siku, tuombeane wapendwa
Amen
Najiunganisha na muujiza wangu wa kupokea kazi yangu ya uhasibu
Aimee
Amina 🙏🤚 so
Mungu nisaidi kila ninaposhika ujauzito unapotea mungu naomba msaada wako
Ameen
Niombee mtumishi was mungu Kwa ajili yakijana wangu ache bangi
Mungu nipigie katk maisha yangu nami nifike kwenye nchi ya ahadi uliyoniandalia km wengine
amen mungu nisaidie baba nijaze nguvu yamaombi
Yesu Mwokozi naomba usinipite unapozuru wengine. Hakika nahitaji msaada wako Bwana. Amina
Mungu naomba unisaidiye nipate mme nipate kazi
Mungu naomba unibariki niwe na hekima nikiwa na hekima Nadhani yote nitayapata mbele za Mungu Amen Mtumishi wa Mungu Mungu Kubariki kwa Huduma hii nimebarikiwa 🙏🙏
Amen!Eeeh Mungu naomba unipe kibali mbele zako uniepushe na maadui na mitego yao kwa jina kuu la Yesu Kristo aliye hair.
Taarifa za daktari hainizuii kupokea baraka zangu toka kwa MUNGU
Asante Sana mtumishi ubarikiwe
Mungu naomba nisaidie usiniache babaangu katika wakati mgumu ninaopitia nakuhitaji wewe tu muumba wangu
Mungu nisaidie nivushe nchi ya irak
Ameeen
Mungu Wangu,, naomba msaada wako,,, nibadilishe maisha yangu,,,, yakuelekee wewe tu Bwana wangu❤
Asnte mungu asante sana❤
Naomba unibebe katika kuwaombea watoto wangu wenye kuhangaika kutafuta lakini hawana mafanikio.umaskini umetutawala
Asante sana kwa mafunzo yako mungu akupe afya njem
Amen 🙏🏻🤲🏻
Barikiwa zaid mtumishi wa MUNGU zaidi kutufunulia Siri za ufalme wa mungu
Amina mtumishi wa mungu unazidi kunitia moyo ktka maombi yangu ubarikiwe
Naomba tuwasiliane
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu! Binafsi namuomba sana Mungu lakini hakuwahi kunijibu kama ni kufunga ninafunga adi najiuliza sijui nakosea wapi kila mahali ninapojaribu kuomba kazi inashindikana sijui ata nitaomba ombi gani ili Mungu aweze kunijibu
Mungu afanye kwako njia usikate tamaa wakati upo utafutwa machozi
Endelea kufunga kwa maombi,,,Mungu atakujibu kwa wakati wake dada
Shalom,Jitahidi kuitolea Maombi yako Sadaka MUNGU atakujibu
Pole tuombeane tutiane moyo mm nimeomba sana nimeombewa san nimezfunga japo sio sana najiuriza wap nimefer Yan ndo ugonjwa unaongezeka mmi nimuimbaji nitaimba rin sasa
Asante kwa msfunfisho
Amen 🙏🙏🙌
Amen
Amen 🙏🙏,May God be with us always 🙏🙏
Hakuna kukata tamaa naamini muujiza wangu upo karibu
Asante pastor Amen Amen
Amen 🙏🙏❤️
Ameen mtumishi nimebarikiwa Kwa mahubri haya,,naamini juhudi yangu ya maombi iko jibu
YESU KRISTO mwokozi unapopita Kwa wengine kwenye biashara yangu usinipite
Asante bwana yesu ww unajua yaliyomoyoni mwangu
Amen amen
Usinipite mwokozi Unisikie kilio changu, uniguse Yesu wangu.
Amen 🙏,,,Mungu usinipite , Asante kwa neno mtumishi
Amen🙏🙏
Amina
Asante 😢😢😢😢
Mwenyezi Mungu nakuomba uendelee kutubaliki na utujibi maombi yetu naamini kwamba unatenda natena utatenda nikwajina la Yesu muokozi wetu Amen🙏🙏🙏
Mungu wangu naomba niondolee Hali ya uzito nijalie wepes katika maisha yangu yote magonjwa yote yanayonishikilia yakapate kuniachilia pia naomba nisaidie nifanikiwe nimepitia magumu kwa kipindi kirefu, niokoe yehova
Mungu unaweza unaweza, unatupeleka US mimi na familia yangu. Ameeen
Pana shukuru Mungu salama maombi yako ya siri ya biblia.niko Congo.
AMEEN mtumishi,,,naomba umuombee mama yangu amekuwa mtu wa magonjwa tu Leo mzima hamalizi wiki mgonjwa Tena eeh MUNGU anisaidie
Ee mungu nimeomba Kwa miaka mingi sana juu ya upenyo na uhamsho Bwana usinipite
MUNGU nisaidie mm pamoja na familia yangu
Ameen 🙏🙏🙏
Nakuhitaji tu Mungu kw mazuri na mabaya eeenh Mungu wangu
amen
Ameni sitakata Tamaa Mungu atatuponya nakutubariki Amen
Ameen🙏niombee nimeanzia biashara ya online marketing nlikua nime give upp but umenizaidia 🙏🙏🙏🙏
Asante YESU KRISTO, Nipe nguvu nisikate tamaa kwamwe
Nakuelewa mtumishi wa MUNGU
Mungu akubaliki na akutunze sana
Amina. Endelea kutufundisha na kututia moyo mungu aku JJ alie afya njema ubarikiwe.
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa somo zuri sana, binafsi nimebarikiwa
Amen mtumishi Nakufuatilia,Tuko pamoja
Amen 🙏🙏🙏 Asante Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu dhiki yangu ni kupata ajira ni haki yangu kupata . Aimee
Ameen mtumishi umenigusa sana 🙏 😢 😞 😔
🙏🙏 Mungu wetu awe na sisi Katikati shida zetu
Hakika nahitaji msaada wako bwana asante sana mungu wangu amina
Ameni🙏
Naihitaji maombi yako mtumishi,napitia magumu sana katika ndoa na uchumi kiujumla.
Amen amen amen🙏 Mungu azidi kuku bariki
Amen mtumishi unarikiwe sana na mungu
Ameeen!Sitakuacha Mungu wangu!
Ameen hakika Mungu nmwema nhujibu kwa wakati wake barikiwa sana❤🎉
Yesu naja
Amen 🙏🏽 🧎🏽♀️🧎🏽♀️🧎🏽♀️🧎🏽♀️usinipite Mwokozi 😂😂😂😂 unisikie katika shida zangu Ee Yesu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🩸🩸🩸🩸🩸
Ubarikiwe mtumishi kwa somo zuri
Amen Mungu mwenye nguvu nisaidie kukujua zaidi na kulitii Neno lako Mungu nisaidie
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Amen Mungu nipiganie
Ameen bariki wa Mtumishi
Amen PST for the wonderful teachings
Amen mtumishi
Amen Amen ndugu wapendwa tufunge Mungu ni hajabu ni mara yangu ya kwanza kufunga masaa 24 ijumaa iliyopita ila Mungu wetu alinipa nguvu kinyume kabisa na nilivyotarajia hivi nafurahia kuunga masaa 24 na nina Amani
Amen mu ngu anikumbe na maombi yangu yapate kibali cha kazi
Bado nakungoja yesu. Naomba univushe kwenyee hii changamoto nipate ada ya watoto
Amen mtumishi mm nipo Kenya nitatuma sadaka yangu aje
.
Ameeen Mtumishi barikiwa
Ameeeen Ameeeen barikiwa mtumishi
Mtumishi dhiki yangu ni ajira
Amen mungu ni mwaminifu,na atabaki kua mungu...namshukuru sana huyu Yesu kwa neema zake
Ubarikiwe San mtuwamungu
❤❤❤❤
Amina Mungu akubariki mtumishi
Amen Amen Amen 🙌 be blessed
Amen Kama Mimi Niko kwa mapito mangumu sana lakini namwamini mungu two
Amen ubarikiwe mchungaji
Amen 🙏🙏🙏 mungu azidi kusimama na Hali zetu
Ameeen ameeeeen ameeeeen❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
Bint yangu amelala kitandani zaidi ya miaka kumi mtumishi wa mungu naomba msaada wako ktkt maombi
atasimama tena kwa jina la Yesu
Nateseka San mwaka watano mtumishi niripo mariza tu uzinduz ugonjwa ndo ukazd nikienda studio kuimba unaugua nikiimba nakabwa mwili unaishiwa nguvu vidonda vyatumbo miaka mitano ukienda kupima vpimo vkubwa hauonekan rakin naumwa niwe sjara tumbo rimejaa mgongo kifuani Pana waka moto sisikii njaa hata wik sirag chakula kingine zaid yaugal mlenda mchan najion miaka mitano naumia Kwa nn siimbi tena@@sirizabiblia5276
Amina atukuzwe Mungu atuwazihaye mema kilasiku 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen. Asante mungu.
Ee Mungu nisaidie nikujue ww zaidi
Ameeeen ameeeen ameen 🙏🙏 God bless you mtumishi wamngu Ameen
Am3en❤
Emeeeen tuko pamoja
Amen and Amen