MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Zab 31:15
    Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

ความคิดเห็น • 123

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +12

    Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu

    • @pendomarco8928
      @pendomarco8928 ปีที่แล้ว

      nakushukuru Mungu wangu asante

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard8106 ปีที่แล้ว +6

    MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU

  • @pascalinakiimay462
    @pascalinakiimay462 ปีที่แล้ว +1

    Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo

  • @anthonyjonny8427
    @anthonyjonny8427 ปีที่แล้ว +1

    Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe

  • @UpendoMtunguja
    @UpendoMtunguja หลายเดือนก่อน

    Ameen nafuta maneno yote mabaya yaliotamkwa kwangu na watoto wangu iwe kwa siri au kwa wazi Nakataa kila laana iliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu nafuta kila maneno mabaya niliotamka kwa watoto wangu iwe kwa kujua au kutokujua ameen

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w ปีที่แล้ว +1

    nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 ปีที่แล้ว +1

    Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 ปีที่แล้ว +1

    Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu

  • @dollamtui5849
    @dollamtui5849 ปีที่แล้ว

    Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen

  • @magdalenacharles8833
    @magdalenacharles8833 ปีที่แล้ว +1

    Amen,Asante YESU🙏

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 ปีที่แล้ว +1

    Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!

  • @HAPPYNESMSONDE
    @HAPPYNESMSONDE 17 วันที่ผ่านมา

    Amen mtumishi barikiwa sana mtumishi wa Yesu

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 ปีที่แล้ว +4

    Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤

  • @BernadethaChigenda-pz5vn
    @BernadethaChigenda-pz5vn ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu

  • @Sabinajosephndunguru-xq9lc
    @Sabinajosephndunguru-xq9lc ปีที่แล้ว +1

    Amen amen amen🙏🙏🙏🙏

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 ปีที่แล้ว +2

    Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen

  • @irinenjombo3368
    @irinenjombo3368 6 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @ElizabethAkinyi-ox7rf
    @ElizabethAkinyi-ox7rf ปีที่แล้ว +4

    Amen and Amen 🙏🙏🙏

  • @upendovicent5376
    @upendovicent5376 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina

  • @naryzmalilo571
    @naryzmalilo571 ปีที่แล้ว +6

    Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu

  • @jemimahkarauki-ho8db
    @jemimahkarauki-ho8db ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @DativaAssey-lo3hn
    @DativaAssey-lo3hn 3 หลายเดือนก่อน

    Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba3963 ปีที่แล้ว +3

    BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 3 หลายเดือนก่อน

    Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu

  • @annnziu6809
    @annnziu6809 11 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name

  • @lydiab495
    @lydiab495 ปีที่แล้ว +1

    Amen in jesus

  • @maurindeus
    @maurindeus ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 ปีที่แล้ว +1

    Ameen mtumishi

  • @emmahmaclean1175
    @emmahmaclean1175 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi wa mungu

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat4043 ปีที่แล้ว

    Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.

  • @joycepatofondo
    @joycepatofondo ปีที่แล้ว +2

    Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana

  • @user-hl2kn6si2i
    @user-hl2kn6si2i ปีที่แล้ว +4

    AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w ปีที่แล้ว +1

    🎉 Amina

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 8 หลายเดือนก่อน

    Narudi nyumbani kwa jina la Yesu

  • @furahahonorine8055
    @furahahonorine8055 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaaamiiina

  • @dianacute2836
    @dianacute2836 ปีที่แล้ว

    Amen Amen and Amen

  • @user-iv5ec5gj1v
    @user-iv5ec5gj1v 4 หลายเดือนก่อน

    Asante Mungu wangu

  • @veronicajohn2705
    @veronicajohn2705 ปีที่แล้ว +1

    God 👏

  • @blessedmajojojo387
    @blessedmajojojo387 ปีที่แล้ว

    Ps 31:15

  • @user-cg3uj2vn2h
    @user-cg3uj2vn2h 7 หลายเดือนก่อน

    Âmen Amen bwana yesu asifiwe

  • @user-ck1qx2td1z
    @user-ck1qx2td1z 2 หลายเดือนก่อน

    Baba yangu na ndugu zangu wanatamka maneno mabaya kuhusu kipato changu na ndoa yangu oi pasta niombee

  • @judithmkodo6892
    @judithmkodo6892 ปีที่แล้ว +1

    Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby2411 6 หลายเดือนก่อน

    A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 2 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu wangu nahomba unihondolee maneno yote waliyo nitamukiya

  • @OrestaLuambano-bh8gp
    @OrestaLuambano-bh8gp ปีที่แล้ว

    Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @user-uz5yv6zy8u
    @user-uz5yv6zy8u 5 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako

  • @user-rh9ei6gv1v
    @user-rh9ei6gv1v 11 หลายเดือนก่อน

    Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon6835 ปีที่แล้ว +1

    Asante roho mtakatifu

  • @LekisosionNangenoi-dz3kq
    @LekisosionNangenoi-dz3kq ปีที่แล้ว +1

    Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa

  • @edithaabel7858
    @edithaabel7858 ปีที่แล้ว +1

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.

  • @GressGress-fd9xl
    @GressGress-fd9xl หลายเดือนก่อน

    Ameni naomba .tumishi uniombee kuusu mausiano yangu yamekuwq ni yenye mateso san kila mwanaume akitaka kunowa anapotea mazim nisaidiye mtumishi nimechoka zambi ya uzinzi naitaji niishi kwaamani na familiya

  • @sharifamakasy6087
    @sharifamakasy6087 ปีที่แล้ว

    Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni

  • @DoraTemba
    @DoraTemba 26 วันที่ผ่านมา

    Nazuia bahati mbaya zisitokee

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 ปีที่แล้ว

    Amina Mungu akubari Mtumishi

  • @kitambalazadock7078
    @kitambalazadock7078 ปีที่แล้ว +1

    Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @domingosj
    @domingosj 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarukiwe sana mtumishi,

  • @dorisbernard4836
    @dorisbernard4836 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby2411 ปีที่แล้ว +3

    Thank you Lord

  • @tatusaid3934
    @tatusaid3934 ปีที่แล้ว

    🤲🤲 amen and ameeen

  • @francoise17
    @francoise17 ปีที่แล้ว

    Amen 😊

  • @eliapendakiondo9229
    @eliapendakiondo9229 10 หลายเดือนก่อน

    Aman amen

  • @mariamakunga8808
    @mariamakunga8808 9 หลายเดือนก่อน

    Ameen hakika nimepona

  • @nurundumo7587
    @nurundumo7587 8 หลายเดือนก่อน

    Amina kubwa

  • @rosemaryowory5710
    @rosemaryowory5710 ปีที่แล้ว +1

    Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏

  • @esthercharo695
    @esthercharo695 10 หลายเดือนก่อน

    Àmen

  • @cobtechgiants
    @cobtechgiants ปีที่แล้ว +1

    Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti

  • @rithamalisa4636
    @rithamalisa4636 ปีที่แล้ว +1

    Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts ปีที่แล้ว

    Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi

  • @annagodwin412
    @annagodwin412 ปีที่แล้ว +1

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 ปีที่แล้ว

    Ameen barikiwa sana

  • @nurundumo7587
    @nurundumo7587 8 หลายเดือนก่อน

    Amina nabarikiwa sana

  • @emilywamalwa5938
    @emilywamalwa5938 ปีที่แล้ว +1

    Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah ปีที่แล้ว +1

    Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 ปีที่แล้ว

    Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen

  • @CalistaShayo-sy7pg
    @CalistaShayo-sy7pg ปีที่แล้ว

    Asante bwana hata kwa kunikumbusha

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki4564 ปีที่แล้ว +1

    Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 ปีที่แล้ว

    Emeeen

  • @dariageorge1448
    @dariageorge1448 ปีที่แล้ว

    Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu

  • @MedrineAnyango
    @MedrineAnyango หลายเดือนก่อน

    Vunja taking njila yesu

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 ปีที่แล้ว

    Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat4043 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.

  • @LazaroMollel-zw2of
    @LazaroMollel-zw2of ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏🙏

  • @liddydeSalt4773
    @liddydeSalt4773 ปีที่แล้ว +1

    Shalom and Amen 🙏 🙌 👏

  • @beatricetumaini6364
    @beatricetumaini6364 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +1

    Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani

  • @mosesmaganga1548
    @mosesmaganga1548 ปีที่แล้ว

    Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏

  • @edinahmasea1603
    @edinahmasea1603 ปีที่แล้ว +2

    Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen

  • @pendomosha1469
    @pendomosha1469 ปีที่แล้ว

    🤲🤲🙏🙏

  • @florencekwekwe1993
    @florencekwekwe1993 ปีที่แล้ว +1

    AMEN 🙏 AMEN be blessed

  • @gukawafly
    @gukawafly ปีที่แล้ว +1

    Power in prayers those know God 🙏

  • @linet6663
    @linet6663 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏

    • @sirizabiblia5276
      @sirizabiblia5276  ปีที่แล้ว

      It's my pleasure @LINET

    • @linet6663
      @linet6663 ปีที่แล้ว

      @@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @user-gn3ln6ce4z
    @user-gn3ln6ce4z ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sharonatienoolweny
    @sharonatienoolweny ปีที่แล้ว

    Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name

  • @perisriziki1592
    @perisriziki1592 ปีที่แล้ว

    Ameeeen and Ameeeen

  • @JoannaWilliam-gw8fy
    @JoannaWilliam-gw8fy ปีที่แล้ว

    Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah ปีที่แล้ว

    Amen 🙇🙇🙇🙌