MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Zab 31:15
Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu
nakushukuru Mungu wangu asante
MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU
Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo
Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe
Ameen nafuta maneno yote mabaya yaliotamkwa kwangu na watoto wangu iwe kwa siri au kwa wazi Nakataa kila laana iliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu nafuta kila maneno mabaya niliotamka kwa watoto wangu iwe kwa kujua au kutokujua ameen
nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu
Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌
Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu
Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen
Amen,Asante YESU🙏
Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!
Amen mtumishi barikiwa sana mtumishi wa Yesu
Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤
Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu
Amen amen amen🙏🙏🙏🙏
Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen
Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina
Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu
Amen 🙏
Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu
BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤
Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu
Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name
Amen in jesus
Amen
Ameen mtumishi
Amina mtumishi wa mungu
Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.
Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏
Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana
AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏
🎉 Amina
Narudi nyumbani kwa jina la Yesu
Aaaaaamiiina
Amen Amen and Amen
Asante Mungu wangu
God 👏
Ps 31:15
Âmen Amen bwana yesu asifiwe
Baba yangu na ndugu zangu wanatamka maneno mabaya kuhusu kipato changu na ndoa yangu oi pasta niombee
Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏
A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢
Amen and Amen
Ee mungu wangu nahomba unihondolee maneno yote waliyo nitamukiya
Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU
Ameen
Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako
Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana
Asante roho mtakatifu
Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.
Ameni naomba .tumishi uniombee kuusu mausiano yangu yamekuwq ni yenye mateso san kila mwanaume akitaka kunowa anapotea mazim nisaidiye mtumishi nimechoka zambi ya uzinzi naitaji niishi kwaamani na familiya
Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni
Nazuia bahati mbaya zisitokee
Amina Mungu akubari Mtumishi
Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏
Ameni
Ubarukiwe sana mtumishi,
Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏
Thank you Lord
🤲🤲 amen and ameeen
Amen 😊
Aman amen
Ameen hakika nimepona
Amina kubwa
Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏
Àmen
Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti
Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏
Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥
Ameen barikiwa sana
Amina nabarikiwa sana
Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.
Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏
Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen
Asante bwana hata kwa kunikumbusha
Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe
Emeeen
Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu
Vunja taking njila yesu
Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.
Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.
🙏🙏🙏🙏
Shalom and Amen 🙏 🙌 👏
Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊
Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani
Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏
Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen
🤲🤲🙏🙏
AMEN 🙏 AMEN be blessed
Power in prayers those know God 🙏
Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏
It's my pleasure @LINET
@@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name
Ameeeen and Ameeeen
Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni
Tuma meseji au piga simu, namba ipo hapo
Amen 🙇🙇🙇🙌