Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi. Hakika utaokoa wengi wanao ONEWA. ❤
Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
wewe ni nooma Sana hakuna tena kama wewe unachambua Mambo ya MTU vilivyo
Ni kweli nabii ni kiboko ya wachawi
wewe koma mchawi
Tuwe tunachunguza na familia pia.@@eliasgama-mo2ss
Mungu akubariki sana mtumishi kwa hayo unayoyafanya hakika kwa Hali hiiwachawi waliobakia wajiandae kufa
Ubarikiwe Nabii kiboko ya wachawi kazi yako ni njema Mungu Azidi kukuinua
Baba kiboko ya uchawi ubarikiwe sana
Jamani mm na toka kenya naomba number ya uyo paster jamani mwenye anaweza ako karibu na uyo anisaidie kumpata
Ubarikiwe sana mtumishi
Tuna Kila sababu kumshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi. Mungu azidi kukubariki.
BWANA YESU atutuzwe. Nimetiwa umasikini kila ninachofanya sifanikiwi. Naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU pastor Dominic.
Daah😢😢😢 nilikuwa siamini nimeanza kuamini
Asante yesu kwa roho yako kuwa ndani ya watumishi waminifu amen
Ahsante mungu kwa ajili ya mtumishe wako
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
Mungu akubariki sana mchungaji kututeteya sisi wanyonge
Mwenyez mungu akulinde mtumish unatuokoa sana
Uyo mdada mjinga kweli unamwibia mamako hela unamuonga mwanaume,uyo mama amlipe uyo mfanyakazi wake fidia na pesa alizotowa kwa dhamana
Hii ni kiboko aiseee safi Sanaa nabiii! Endelea kuweka mambo hadharani hvyo hvyoooo
Mwenyenzi mungu akupe maisha marefu mtume wa mungu tuombee na sisii
Bariwa mtumishi, Huyo kijana aache kazi kwa huyo mama.
Mungu ni mwema. Ahsante kwa Utumishi wako Mwema.
Nabii unapomba niombee na mimi pia mambo yangu yako magumu asante amina
Mungu akubaliki sana..
Castro novatus ndege
yaan mungu anakuona wee dada !!
Ma pastors wengi sana ila kiboko ya wachawi mmoja tu hapa tumepata nabii wakwel nakukubar sana pastor
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
Mungu akubariki sana mtumishi miaka mingi kwako
Mutetezi wawanyonge God bless you 🥰🥰🥰💯 Amen amen amen 🙏
Mwenyezi mungu akulinde baba
Am speechless Ur amazing ❤❤
Inauma ubalikiwe pastor baba angu anakifafa naomba umuombee
Akika mungu wamazabau hii ni yesu mwenyewe anaetenda mtumishi ubarikiwe sana tumeona wengi
Mungu akulinde nabii
AMEN AMEN BABA
Ubarikiwe na Mungu 🙏
Eti mtumishi wa mungu jamani mungu simama piga mpinga kristo huyu katika jina la yesu kristo wa nazarethi
Mungu ameona nchi ya Tanzania Ina uonevu sana ndio maana ameachilia manabii wakuona
Mungu ni mwema
Naitwa baligila Silas, baba naomba unitabilie hatima ya maisha yangu
nabii mungu akulinde unawawokowa wengi nawomba unitabiriye na Mimi nani ananiaribiya maisha yangu
NABII TAJIRI ANAITWA KISYER CHAMBILI AMENIDHURUMU MILLIONI 5 ya mishahara yangu naomba YESU ANISAIDIE
Bwana yesu asiviwe pasta me peter nakuomba uniombeye kwamaana Kila nikifanya kazi sioni ela inapita wapi please and please 🙏
David Apudo watching from Kenya
Yaani, so ndivyo ilivyo kwa Yehova. Inatisha.
Yaan nimemwaga machozi kwa uchungu mungu akupe maisha marefu nabii
Kazi tatizo kwangu,marafiki wamenikimbia niliowasaidia wote wameenda naomba unisaidie kiukweli
Nasema ttena Msiwaguse Manabii wa Bwana. Angalia hapo sasa. Wewe unaebisha unasemaje Tuwaombee Manabii!!
Nabii eeee Ni kidume Cha Mungu wanaokusema vibaya hawajielewi
Mungu akubariki cna naomba uniomber nkipata pesa matayizo uwa mengi cna
Huyo mama amlipa siku zenye amekaa jela kwa uongo
Bwana yesu asifiwe baba yangu mimi niko arusha
Lucas Anthony Mveyange naomba unifungue pastor
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
Nabii wa mungu mm natoka kenya natamani kuonana n ww lakini sijui chia nn atanelekeza
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague babaa
Ee mungu umlinde uyu baba ili azidi kutusaidie.
Daa kwaili mungu akuweke zaidi
Nabii mmewangu kipato kina yumba Sana na tulitamani tununuwe kiwanja tujenge mwakaa uu mambo mengi Sana kwenye family yangu baba nisaidie
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague baba
Bwana Yesu asifiwe baba,Mimi ni Joselyte nakuomba mambo Yako baba nateseka saana.chochote ninacho fanya hakifanikiwi.nisaidie baba
Naomba maombi yako
Mungu akubariki tu saaana
Hil kanisa lipo wapi Jamani mm niende
Baba barikiwa sana.Amina
Naomba yangalia na mm mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki baba
Hili kanisa liko wapi Jamani mm niende
Mungu ni mwaminifu sana
Amen nakataa umasikini
Naitwa Vivian baba ubarikiwe sana Naomba unabii wako
Aisee Mungu kweli ni muaminifu
Nimeumia sana kwajili ya huyu kijana nabii
amina baba nimebarikiwa sana
Barikiwa sana nabii
Mungu akusaidie uishi miaka mingi sana
Amina baba naomba utabiri wako
yesu akupe umri mrefu ili uendelee kutusaidia
nabinisaidi ye ❤
Amina, mashine ya kwa lulenge
Mungu mlinde nabii ili siku moja nimuone uso kwa uso
Niokoe baba pastor Dominick kiboko ya wachawi
Mungu akubariki kwa kipaji chako
baba nisaidiye napugu kiwadam marakeamara tatizo awaniambiitatizo
Hakika ninaguzwa na maubiri haya mungu akulinde uzidi kusaidia watu
Mtumishi iyonikweli kabisa ata na Mimi napitiya mahisha hayo yakuzingiziwa sana tu lakini kwahimani nahamini siku moja atanitendeya na mimi
Naitwa Veronica naomba uniombee mume wangu apate kazi na akae kazini kwani Huwa adumu kazini atujui tatizo nin baba
Mung akulinde bb
Shalom baba pindu pindu kata kata funua hivyo watu tupone
Barikiwa San baba
Naitwa silivanuc msaki naomba uniombee mguu wangu upone kiboko wawa chawi wapige wachawi wote wafe wote wanatutesa bila sababu
Machozi yananitoka jamani huyu mungu niwamajaabu
Naitwa neema athumani Ninaimani kubwa sana ninaamina tatizo langu linakwishaa
Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie
Mimi naitwa silinuc msaki naomba uniombee
Mpaka machozi yamenitoka😢
niombeyebaba Mimi naitwa Manka nisaidiye baba
Naitwa Peter pasian malamsha nashida napamban nakaz sana Ila naon bado na changamoto nitabirie pasta
Nenda ibadan unataka uwombew youtube
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa huyo mtoto ndoanaangaliaje nalinavyo tafuna tuu eti anampndisha mamayke nakumshusha na mchungaji wawatu😢
Mmmm?? Mungu tusaidie.
Kweri baba wasaidie wanyonge na mimi nitakuja kanisani siku moja kabla ya mwezi wa nane
Mwan asifiwe bab naitwa loveness naomb unisaide
😢😢 natamani kurudi Tanzania nikuone hakika nafaidika na haya mahubiri
Mtumishi baba
Baba naomba unisaidie mim khadija
Baba naomba unisaidie niolewe kila mtu ninaye kuwa naye kweny mahusiano n ahadi tu mim khadija
Nabii bwana yesu asifiwe