Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI
Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍
@@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah
Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi
Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_- (FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.
As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).
Pamoja na kulanda landa kote TH-cam leo kuangalia kama chakula kimeshapakuliwa bado nimechelewa nimekuwa wa 25 kunawa mikono DUUH the story Book Muwe mnatoa mapema kutoka j tano mpaka ijumaa mbali AISEE
Bwanaeeee wasafi waachiwe tu nyie ahhh mn mziki wao media wao mana saiv wanawaka katika media mana wanajua hatari dahhhh ebana EE asaiv bor uombe nafasi zakaz wasaf kuliko serekalini wallahi dahhh NASSIB ABDULI KALETA MAAJABU MAKUBWA TANZANIYA NA DUNIYANI KIUJUMLA ANAEWAFIKIYANA NAMIMI AGONGE LIKE ILI TUJUANE NATUPATE KUELEWA KUWA NLIOSEMA NIYAKWELI
KAMA UNAMU AMINI MWENYEZI MUNGU GONGA LIKE HAPO 💓💓👇👇
Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI
Husseiny hassany
Duuuhh kwel mtiga uko frshhh
If u are watch this story up to now just put u are comment here
@@amanismithk Aa
Tunaemuelewa mtiga bdalah gonga like kwa upendo nice voice brother
isack peter namuelewa sana
Nakupenda sana
Nimeipenda iiii stoli
Huyu mtu ana talanter ya usimuliaji
Good
Ana sauti nzur sana anajua kazi anatulia ,he is just awesome..sijui jina lake but i adore him..
Mtiga abdallah
Huyu msimulizi anafanya kazi nzuri sana. Inabidi mtu atazame video mpaka mwisho
Ambaye Wana mkubali mtiga Abdallah gonga like tujuwane
na muamini mungu tuh
Hii ni hatari ivi hii dunia ni hatari tunastaili kumuabudu mungu kila wakati
Amen amen amen
Pumpabufu
@@hamidasultan3877 Sasa mpumbavu ni nani ni wew au🙄🙄
Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍
Weee gonga like apaa kama umepatamani huko kuishi kwá kudra za mwenyenz mungu😂😂❤
Haya twende mtu wangu 😂😂😂😂
I like much the story book ✌️✌️
Ukisikia mapinduzi ya habar ndo haya hongereni wasafi kwa kutupa burudani
Wangapi tunaiangalia hii story 2020 gonga like mtigaa
hi story ya kangbashi ni kweli nime angalia kwa Google keep up bro 😱😱😱
daaah wewe una juwa kazi bro the stor book suka na tembe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩blook the stor book i love you bro
Pamoja mon frère congolais na mimi napenda sana the story book.
duuh. hataree. Nzuri. Sana'a. kutufahamisha. hongera. uko. vizuri🔥🔥
bongeeeee la Story...MTOGA umetishaaa (WCB)
Sio mtoga mtiga
Hawa Ally nashukr jmn kwa kunirekebisha
Angumbwisye. Asanteee kushukuru
@@frankangumbwisye6624 you're well come
Hawa Ally wow😄thankx
Simuizi nzuri sana,ndugu msimulizi wa hadithi unasimulia vizuri sana napenda kwa jinsi unavyoelezea,tunakuelewa vizuri sana.
Kaka unajitaid kutujuza n habar zako respect very looking nc
Yaan kila mtu anaye comment apa ni likes anaomba khaa..c mbadilike
Nakubali saana simulizi zako kaka🙏
Piteni na like zenu ndugu leo wa 3
*hayah tunaomkubLi mtiga abdallah na kuwachomolea batr wasimuliz wengne tujuwane*
😂😂😂
@@mndigaboy2955 hivi sky na mtga n watu wawili tofauti?
@@hawaally5869 hahaha
Lkn @@hawaally5869swali lako sjalielewa hebu rudia tena swali lako🙏
@@hawaally5869 Sky ni wa sns na mtiga ni wa wasafi. Ni wawili tofauti. Au sijafaham suali?
Mtiga And Jamal you guys are the best
Ukweli zulfa
@@husseinyhassany5696 umeona eeeh these guys i can say ni one of the best presenter na kati ya program zinazoongoza kwa kupendwa wasafi na hii pia ipo
@@creeper6057 hawa wanaabudu shetani
@@husseinyhassany5696 sio kweli bwana wewe umejuaje kama wanaabudi mashetani come on hebu tufurahie wenzetu wanapofanya kitu kizuri basi mshkaji wangu
Mmh
Unasimulia vizuri hongera sana🔥🔥🔥🔥
0688917393
Ngoja nikaamie mimi huko nile bata pekee yangu ila kabla sijaenda kwanza napitia kwa bibi sumbawanga kujiboost
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Wangapi Tunapenda The Story book iwe kila Siku
haaas
Hatari sana
Hatari sana
WCB 💥 wabunifu sana.
Daah!! Tatizooo Mtiga tunakusublii sanaaa adii jmoc aiseee 😬😬 Kama ulikua unawait jmoc ifikee ili umchekii the real deal gonga like apaah 🙌😆😝😝
Konki
jumamosi saa ngap
Wasaf.
Diamond
Diamond
Nipeni Mimi mjengo mmoja waone nitakavyoishi kwa furaha kubwa,Yesu ameshinda nasi tutashinda,iko nguvu ndani ya jina la Yesu kristo
Nenda tu watakuruhusu kuingia huko na waumini kadhaaa ujaribu
@@swaumdodoma7591 aaaaaaah
Wasafi 👍👍👍
Upo juu mzee baba mtiga nakukubari sanaaa blooo😀😀👍
king of voice 😍😍😍
Duh inatisha sana
Hatari sana aisee mpk naogopa jmn
Hiii Dunia Anaijua ALLAH pekee
Majaab ya Allah
Kwaivo Jehovah, Krishna, Buddha na Mungu Mingine hawajui chochote kuhusu dunia hii?
@@BigZhumbe Yap hawajuwi chochote ktk ufalme wake Allah ila alitakalo Allah ndo watakalolihuwa
@@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah
@@BigZhumbe msubirie uyo yehova wako siku ukifika ndo utajua mbivu na mbichi
Aisee km unamkubali huyu jamaa kwa simulizi zake hizi gonga like yako hap
Hua Unanifanya nijisikie mwenye faraja Sana mtiga asante sauti nzuri Sana
The Story Book is the most Episode which preferred with many people at Wasafi TV since created Big Up Mtinga Abdallah #
Bauujajzjkz
Nice
mtigwa jmni haludishwe😢😢 huyu kaka anafaa sana kwenye the story book walllah kwanza anakuweka attention na anajua ❤❤ mtwiga mashaaallah mashaaallah❤
Nakubari bro mtiga Asante kwa kuwa chomolea be trip! !☺☺
Duuuu majengomazur inaishimizim namashetani daaaaaaa
Story book mnatufundisha mengi sana big up sana
nimejifinza yakujifunza kweli dunian kuna mengi! I like it
Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wanaomba like kwenye kaz za watu wengne sijui mnazipeleka wap
😂😂😂🤣
Haaahaa
Washambaa
kama tunaaangalia wote now gongaaa like twende sawaaaaaa
safi sana tunajua vitu vingi kupitia the story book
Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi
Hatar!!!! Mungu ni Mungu tu,atabaki kuwa Mungu tu
Uko vzr brother ASante kwa story
kama ndiyo kwanza unawatch honga like tuende pamoja
@Kelvin Novath peeeee
Big up mtigaa 💪💪💪
Kam@ unamkubali Jamal gonga like hpa chini
Dah noma sana sipati picha ndo ingekuwa Dar!..😅🤣🤣
Kama unakubali story books na simulizi tamu gonga like
Kama umeichek 2020 gonga like twende sawa
Story nzuri pia mcmuliz anajua kutulis
Jaman kama binge kuwa huk binge karibu kuish manaaaa🥰🥰🥰🥰👍
Kaka nakuelewa sana
Sioni hasara mb's zangu ziishe kwa ajili yako
BIG UP BROTHER
Mtiga Abdala Asante sana kaka,ume fanya tukajua mengi, mwenyezi Mungu akumbariki
Duuuuuu...gonga like
Dah mzee uko vzur kwa hii kitu nakubali na naipenda kizazi Sana ☙💕👏👏👏
Tigaaaa boy wasafiii bless up
Anae mkubali mtiga kama mm basi like hapa
Mapeeana nimewah leo ata like moja jamn
Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_-
(FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.
@@allyderossi9742 that is true bro
your the best mtiga abdallah
❤️❤️❤️❤️I love his voice ... amazing story 💯💯
Duuuu
Mondi mwenyewe anafuatilia Storybook kwa TH-cam haamini anachokiona Kwa huyu jamaa MTIGA
Hahaha
Sir-idd Ke hahhh
😀😀😀
Sir-idd Ke 😂😂😂😅😅😅
hahahaha
Sauti yako nzuri unashawishi mtu asikize story ata kama hakutaka kusikiza hongera
Kama ni sauti2 mzee baba ipo yaaan 🔥🔥🔥🔥
👍👍👍
Story kali na nzuri piaa salout kwako mtiga abdalah
Its dengarous. Zone
Mnajua kuzipamba stori kila kitu mnakisema kwa reference
Waa!! Sisemi kitu 🤗🤗👌
Kama unaikubal wasaf gonga like twende sawa
simulizi nzuri sana na nimejifunza mengi
hao ndugu zetu wa china watujuze zaidi kuhusu kangbash
The story book ninoma xana bro unajua 🙌
As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).
Aa
Love u mtiga abdala
I love the story book 😍
Nakukubali mtiga
Hii nimeipenda sana asante MONDI ahsante WASAFIII...
Mtiga abdallah unajua kuadithia baba...🙌
Mtiga Abdallah nakukubali sanaaaaa 💪👌
I just love it
Umetisha sana mtigah rep +254
Nimependa wasafi TV, story ni nzur sana
Nakupenda sana Mtiga Abdalaah kwa kaz yako nzuri
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nilikua naitafutaa sana hii story BT now nimeipataa shukrani kaka
Kama umekubali bas gonga like
The story book wakupe tunzo ya uhandishi bro
Unafanya vizuri kutuelimisha
Nakuelewa sanaa Mtiga unajuwa unacho fanya
Pamoja na kulanda landa kote TH-cam leo kuangalia kama chakula kimeshapakuliwa bado nimechelewa nimekuwa wa 25 kunawa mikono DUUH the story Book Muwe mnatoa mapema kutoka j tano mpaka ijumaa mbali AISEE
Hungera
ni hatari kwa hao watu waliokua wakiwahua wenzao
Thanks for Highlighting Historical teachings.
Bwanaeeee wasafi waachiwe tu nyie ahhh mn mziki wao media wao mana saiv wanawaka katika media mana wanajua hatari dahhhh ebana EE asaiv bor uombe nafasi zakaz wasaf kuliko serekalini wallahi dahhh NASSIB ABDULI KALETA MAAJABU MAKUBWA TANZANIYA NA DUNIYANI KIUJUMLA ANAEWAFIKIYANA NAMIMI AGONGE LIKE ILI TUJUANE NATUPATE KUELEWA KUWA NLIOSEMA NIYAKWELI
poa
Sijutii kununua smart phone inanipa burudani
Hiyo miji wawape wabongo halafu uone kama hao vibwengo hawajaama lazima watafute pakwenda.
😂😂😂😂kwakwel
Wapi likes za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wanao tazama the story book
Wakenya sisi hatuna ujinga huo wakuombana like na kupeana
Thx kwa ujumbe
Nimegundua jambo ambalo imenipa kuamini kwamba ni kweli dunia hii yetu tunaharibu wenyewe
Voice of wonder....mtiga u have got good voice keep it up!
Yani acha tuu
@@rehemambonea4972 mmmmmm
Yaan ktk wote wanatoa the story book bs uyu jamaa ni noma wala hana mwenza anajuwa sana kusimulia kuliko wenzake wote
Mashaallah raha sana bro 👍
Wa 15 kucoment ....big up wasafi kwa story nzr
Naipnda the story book wallh daa