MIJI NA VISIWA VYA MIZIMU AMBAVYO WATU WAMESHINDWA KUISHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2019
  • #TheStoryBook #WASAFI FM SIMULIZI KUHUSU MIJI, VISIWA NA MAJUMBA YA KIFAHARI AMBAYO WATU WAMEYAKIMBIA NA SASA WAMEBAKI KUISHI MIZIMU
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1K

  • @husseinyhassany5696
    @husseinyhassany5696 4 ปีที่แล้ว +930

    KAMA UNAMU AMINI MWENYEZI MUNGU GONGA LIKE HAPO 💓💓👇👇

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 ปีที่แล้ว +2

      Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI

    • @mkumbojaphe616
      @mkumbojaphe616 4 ปีที่แล้ว

      Husseiny hassany

    • @abdulkhareemhussein2984
      @abdulkhareemhussein2984 4 ปีที่แล้ว +2

      Duuuhh kwel mtiga uko frshhh

    • @mosesmchicha8557
      @mosesmchicha8557 4 ปีที่แล้ว +1

      If u are watch this story up to now just put u are comment here

    • @chrispmagesa9004
      @chrispmagesa9004 3 ปีที่แล้ว

      @@amanismithk Aa

  • @isackpeter6729
    @isackpeter6729 4 ปีที่แล้ว +311

    Tunaemuelewa mtiga bdalah gonga like kwa upendo nice voice brother

  • @idaaman7489
    @idaaman7489 4 ปีที่แล้ว +15

    Ana sauti nzur sana anajua kazi anatulia ,he is just awesome..sijui jina lake but i adore him..

  • @MUTUMAMNAIROBI
    @MUTUMAMNAIROBI 4 ปีที่แล้ว +21

    Huyu msimulizi anafanya kazi nzuri sana. Inabidi mtu atazame video mpaka mwisho

  • @silaprospell9360
    @silaprospell9360 4 ปีที่แล้ว +40

    Ambaye Wana mkubali mtiga Abdallah gonga like tujuwane

  • @kinglunda_best7616
    @kinglunda_best7616 4 ปีที่แล้ว +113

    Hii ni hatari ivi hii dunia ni hatari tunastaili kumuabudu mungu kila wakati

  • @nahyaseif6226
    @nahyaseif6226 4 ปีที่แล้ว +7

    Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍

  • @humblegirltz116
    @humblegirltz116 3 ปีที่แล้ว +12

    Weee gonga like apaa kama umepatamani huko kuishi kwá kudra za mwenyenz mungu😂😂❤

    • @azizakassim7480
      @azizakassim7480 ปีที่แล้ว +1

      Haya twende mtu wangu 😂😂😂😂

  • @josephatmbena8886
    @josephatmbena8886 ปีที่แล้ว +6

    I like much the story book ✌️✌️

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 ปีที่แล้ว +133

    Ukisikia mapinduzi ya habar ndo haya hongereni wasafi kwa kutupa burudani

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 4 ปีที่แล้ว +20

    Wangapi tunaiangalia hii story 2020 gonga like mtigaa

  • @goldenboy8954
    @goldenboy8954 4 ปีที่แล้ว +16

    hi story ya kangbashi ni kweli nime angalia kwa Google keep up bro 😱😱😱

  • @salehkamwanga2930
    @salehkamwanga2930 4 ปีที่แล้ว +35

    daaah wewe una juwa kazi bro the stor book suka na tembe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩blook the stor book i love you bro

    • @lupandesimukindje8170
      @lupandesimukindje8170 4 ปีที่แล้ว

      Pamoja mon frère congolais na mimi napenda sana the story book.

  • @patnerztz8938
    @patnerztz8938 4 ปีที่แล้ว +23

    duuh. hataree. Nzuri. Sana'a. kutufahamisha. hongera. uko. vizuri🔥🔥

  • @frankangumbwisye6624
    @frankangumbwisye6624 4 ปีที่แล้ว +64

    bongeeeee la Story...MTOGA umetishaaa (WCB)

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 ปีที่แล้ว +12

    Simuizi nzuri sana,ndugu msimulizi wa hadithi unasimulia vizuri sana napenda kwa jinsi unavyoelezea,tunakuelewa vizuri sana.

  • @mudhirikibiwi5131
    @mudhirikibiwi5131 4 ปีที่แล้ว +8

    Kaka unajitaid kutujuza n habar zako respect very looking nc

  • @helenrichard933
    @helenrichard933 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaan kila mtu anaye comment apa ni likes anaomba khaa..c mbadilike

  • @manenonjamasi35
    @manenonjamasi35 4 ปีที่แล้ว +69

    Nakubali saana simulizi zako kaka🙏
    Piteni na like zenu ndugu leo wa 3

  • @favourboy5779
    @favourboy5779 4 ปีที่แล้ว +513

    *hayah tunaomkubLi mtiga abdallah na kuwachomolea batr wasimuliz wengne tujuwane*

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 4 ปีที่แล้ว +3

      😂😂😂

    • @hawaally5869
      @hawaally5869 4 ปีที่แล้ว +7

      @@mndigaboy2955 hivi sky na mtga n watu wawili tofauti?

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 4 ปีที่แล้ว +2

      @@hawaally5869 hahaha

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 4 ปีที่แล้ว +2

      Lkn @@hawaally5869swali lako sjalielewa hebu rudia tena swali lako🙏

    • @mozakassim9737
      @mozakassim9737 4 ปีที่แล้ว +2

      @@hawaally5869 Sky ni wa sns na mtiga ni wa wasafi. Ni wawili tofauti. Au sijafaham suali?

  • @creeper6057
    @creeper6057 4 ปีที่แล้ว +8

    Mtiga And Jamal you guys are the best

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 ปีที่แล้ว

      Ukweli zulfa

    • @creeper6057
      @creeper6057 4 ปีที่แล้ว

      @@husseinyhassany5696 umeona eeeh these guys i can say ni one of the best presenter na kati ya program zinazoongoza kwa kupendwa wasafi na hii pia ipo

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 ปีที่แล้ว

      @@creeper6057 hawa wanaabudu shetani

    • @creeper6057
      @creeper6057 4 ปีที่แล้ว +1

      @@husseinyhassany5696 sio kweli bwana wewe umejuaje kama wanaabudi mashetani come on hebu tufurahie wenzetu wanapofanya kitu kizuri basi mshkaji wangu

    • @salumujongo8575
      @salumujongo8575 3 ปีที่แล้ว

      Mmh

  • @sophienico4736
    @sophienico4736 3 ปีที่แล้ว +5

    Unasimulia vizuri hongera sana🔥🔥🔥🔥

  • @roi2554
    @roi2554 4 ปีที่แล้ว +30

    Ngoja nikaamie mimi huko nile bata pekee yangu ila kabla sijaenda kwanza napitia kwa bibi sumbawanga kujiboost

  • @sumillohabdallah3259
    @sumillohabdallah3259 4 ปีที่แล้ว +49

    Wangapi Tunapenda The Story book iwe kila Siku

  • @ackyoodavid8930
    @ackyoodavid8930 4 ปีที่แล้ว +15

    WCB 💥 wabunifu sana.

  • @maesryclassic456
    @maesryclassic456 4 ปีที่แล้ว +70

    Daah!! Tatizooo Mtiga tunakusublii sanaaa adii jmoc aiseee 😬😬 Kama ulikua unawait jmoc ifikee ili umchekii the real deal gonga like apaah 🙌😆😝😝

  • @apostleadamgige4662
    @apostleadamgige4662 4 ปีที่แล้ว +21

    Nipeni Mimi mjengo mmoja waone nitakavyoishi kwa furaha kubwa,Yesu ameshinda nasi tutashinda,iko nguvu ndani ya jina la Yesu kristo

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 ปีที่แล้ว

      Nenda tu watakuruhusu kuingia huko na waumini kadhaaa ujaribu

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 aaaaaaah

  • @pauldaudjohn7937
    @pauldaudjohn7937 4 ปีที่แล้ว +8

    Wasafi 👍👍👍

  • @sharifubaalia3088
    @sharifubaalia3088 4 ปีที่แล้ว +12

    Upo juu mzee baba mtiga nakukubari sanaaa blooo😀😀👍

  • @beatricelauden8317
    @beatricelauden8317 4 ปีที่แล้ว +51

    king of voice 😍😍😍

  • @estherjustine8808
    @estherjustine8808 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana aisee mpk naogopa jmn

  • @immah__deo7014
    @immah__deo7014 4 ปีที่แล้ว +96

    Hiii Dunia Anaijua ALLAH pekee

    • @zaitunisaid3647
      @zaitunisaid3647 4 ปีที่แล้ว +1

      Majaab ya Allah

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 ปีที่แล้ว

      Kwaivo Jehovah, Krishna, Buddha na Mungu Mingine hawajui chochote kuhusu dunia hii?

    • @saidyssaley1509
      @saidyssaley1509 4 ปีที่แล้ว

      @@BigZhumbe Yap hawajuwi chochote ktk ufalme wake Allah ila alitakalo Allah ndo watakalolihuwa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 ปีที่แล้ว

      @@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 4 ปีที่แล้ว

      @@BigZhumbe msubirie uyo yehova wako siku ukifika ndo utajua mbivu na mbichi

  • @danieljames3878
    @danieljames3878 4 ปีที่แล้ว +4

    Aisee km unamkubali huyu jamaa kwa simulizi zake hizi gonga like yako hap

  • @rehemamohamed5844
    @rehemamohamed5844 4 ปีที่แล้ว +7

    Hua Unanifanya nijisikie mwenye faraja Sana mtiga asante sauti nzuri Sana

  • @charlesambrose1708
    @charlesambrose1708 4 ปีที่แล้ว +46

    The Story Book is the most Episode which preferred with many people at Wasafi TV since created Big Up Mtinga Abdallah #

  • @hansfrancis4613
    @hansfrancis4613 6 หลายเดือนก่อน

    mtigwa jmni haludishwe😢😢 huyu kaka anafaa sana kwenye the story book walllah kwanza anakuweka attention na anajua ❤❤ mtwiga mashaaallah mashaaallah❤

  • @pascalkapama2185
    @pascalkapama2185 4 ปีที่แล้ว +31

    Nakubari bro mtiga Asante kwa kuwa chomolea be trip! !☺☺

    • @alphredmlelwa8270
      @alphredmlelwa8270 4 ปีที่แล้ว

      Duuuu majengomazur inaishimizim namashetani daaaaaaa

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 4 ปีที่แล้ว +4

    Story book mnatufundisha mengi sana big up sana

  • @sellenmacho2183
    @sellenmacho2183 4 ปีที่แล้ว +2

    nimejifinza yakujifunza kweli dunian kuna mengi! I like it

  • @nasiburashid4616
    @nasiburashid4616 4 ปีที่แล้ว +18

    Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wanaomba like kwenye kaz za watu wengne sijui mnazipeleka wap

  • @rashidicharles110
    @rashidicharles110 4 ปีที่แล้ว +11

    kama tunaaangalia wote now gongaaa like twende sawaaaaaa

  • @jenniferfidelisshetui6778
    @jenniferfidelisshetui6778 4 ปีที่แล้ว +14

    safi sana tunajua vitu vingi kupitia the story book

    • @cheniboy6274
      @cheniboy6274 4 ปีที่แล้ว

      Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi

  • @melianaleba5387
    @melianaleba5387 4 ปีที่แล้ว +2

    Hatar!!!! Mungu ni Mungu tu,atabaki kuwa Mungu tu

  • @tlesphorysistyally422
    @tlesphorysistyally422 4 ปีที่แล้ว +5

    Uko vzr brother ASante kwa story

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 4 ปีที่แล้ว +31

    kama ndiyo kwanza unawatch honga like tuende pamoja

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 4 ปีที่แล้ว +8

    Big up mtigaa 💪💪💪

  • @chagaboy6837
    @chagaboy6837 3 ปีที่แล้ว +2

    Kam@ unamkubali Jamal gonga like hpa chini

  • @sheddmusic47
    @sheddmusic47 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah noma sana sipati picha ndo ingekuwa Dar!..😅🤣🤣

  • @catherinedavid5902
    @catherinedavid5902 4 ปีที่แล้ว +6

    Kama unakubali story books na simulizi tamu gonga like

  • @jozzsimbatv1199
    @jozzsimbatv1199 4 ปีที่แล้ว +3

    Kama umeichek 2020 gonga like twende sawa

  • @momyyangaa7110
    @momyyangaa7110 2 ปีที่แล้ว +1

    Story nzuri pia mcmuliz anajua kutulis

  • @tumainkomba3968
    @tumainkomba3968 3 ปีที่แล้ว

    Jaman kama binge kuwa huk binge karibu kuish manaaaa🥰🥰🥰🥰👍

  • @sheebyramaal2342
    @sheebyramaal2342 4 ปีที่แล้ว +15

    Kaka nakuelewa sana
    Sioni hasara mb's zangu ziishe kwa ajili yako

  • @Prem_Rich
    @Prem_Rich 4 ปีที่แล้ว +15

    BIG UP BROTHER

  • @angellamwanzia4641
    @angellamwanzia4641 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtiga Abdala Asante sana kaka,ume fanya tukajua mengi, mwenyezi Mungu akumbariki

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 4 ปีที่แล้ว +2

    Duuuuuu...gonga like

  • @majidhamed359
    @majidhamed359 4 ปีที่แล้ว +5

    Dah mzee uko vzur kwa hii kitu nakubali na naipenda kizazi Sana ☙💕👏👏👏

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 4 ปีที่แล้ว +4

    Tigaaaa boy wasafiii bless up

  • @phestorycharles7644
    @phestorycharles7644 4 ปีที่แล้ว +2

    Anae mkubali mtiga kama mm basi like hapa

  • @jumamuharami7644
    @jumamuharami7644 4 ปีที่แล้ว +82

    Mapeeana nimewah leo ata like moja jamn

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 4 ปีที่แล้ว +2

      Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_-
      (FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 4 ปีที่แล้ว

      @@allyderossi9742 that is true bro

  • @aronnasibu8768
    @aronnasibu8768 4 ปีที่แล้ว +4

    your the best mtiga abdallah

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 ปีที่แล้ว +4

    ❤️❤️❤️❤️I love his voice ... amazing story 💯💯

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 4 ปีที่แล้ว +133

    Mondi mwenyewe anafuatilia Storybook kwa TH-cam haamini anachokiona Kwa huyu jamaa MTIGA

  • @sarafinaseverine4080
    @sarafinaseverine4080 4 ปีที่แล้ว

    Sauti yako nzuri unashawishi mtu asikize story ata kama hakutaka kusikiza hongera

  • @davidkapetagomis5705
    @davidkapetagomis5705 4 ปีที่แล้ว +5

    Kama ni sauti2 mzee baba ipo yaaan 🔥🔥🔥🔥

  • @rashlight2597
    @rashlight2597 4 ปีที่แล้ว +9

    Story kali na nzuri piaa salout kwako mtiga abdalah

  • @godnasgabriel3347
    @godnasgabriel3347 3 ปีที่แล้ว +1

    Its dengarous. Zone

  • @adilaamani8217
    @adilaamani8217 4 ปีที่แล้ว +17

    Mnajua kuzipamba stori kila kitu mnakisema kwa reference

  • @riziki2542
    @riziki2542 4 ปีที่แล้ว +3

    Waa!! Sisemi kitu 🤗🤗👌

  • @neemamoves8529
    @neemamoves8529 4 ปีที่แล้ว +5

    Kama unaikubal wasaf gonga like twende sawa

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 4 ปีที่แล้ว +2

    simulizi nzuri sana na nimejifunza mengi
    hao ndugu zetu wa china watujuze zaidi kuhusu kangbash

  • @clintonmanyerere4104
    @clintonmanyerere4104 4 ปีที่แล้ว +1

    The story book ninoma xana bro unajua 🙌

  • @hoseap.gambojnr5268
    @hoseap.gambojnr5268 4 ปีที่แล้ว +16

    As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).

  • @Baddeset87
    @Baddeset87 4 ปีที่แล้ว +8

    Love u mtiga abdala

  • @sadaalharthi7317
    @sadaalharthi7317 4 ปีที่แล้ว +10

    I love the story book 😍

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii nimeipenda sana asante MONDI ahsante WASAFIII...

  • @tumainiyuba9887
    @tumainiyuba9887 4 ปีที่แล้ว +6

    Mtiga abdallah unajua kuadithia baba...🙌

  • @bosslady8806
    @bosslady8806 4 ปีที่แล้ว +3

    Mtiga Abdallah nakukubali sanaaaaa 💪👌

  • @moficiall8947
    @moficiall8947 3 ปีที่แล้ว +5

    I just love it

  • @mutuachris
    @mutuachris 4 ปีที่แล้ว +20

    Umetisha sana mtigah rep +254

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimependa wasafi TV, story ni nzur sana

  • @elizabethraymond8535
    @elizabethraymond8535 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana Mtiga Abdalaah kwa kaz yako nzuri
    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @amiryharuna7312
    @amiryharuna7312 4 ปีที่แล้ว

    Nilikua naitafutaa sana hii story BT now nimeipataa shukrani kaka

  • @ezramatogo4743
    @ezramatogo4743 4 ปีที่แล้ว +3

    Kama umekubali bas gonga like

  • @jumakunemka9858
    @jumakunemka9858 4 ปีที่แล้ว +8

    The story book wakupe tunzo ya uhandishi bro

  • @emmanuelmengich4106
    @emmanuelmengich4106 4 ปีที่แล้ว +1

    Unafanya vizuri kutuelimisha

  • @saidyussuf1039
    @saidyussuf1039 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sanaa Mtiga unajuwa unacho fanya

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 4 ปีที่แล้ว +42

    Pamoja na kulanda landa kote TH-cam leo kuangalia kama chakula kimeshapakuliwa bado nimechelewa nimekuwa wa 25 kunawa mikono DUUH the story Book Muwe mnatoa mapema kutoka j tano mpaka ijumaa mbali AISEE

  • @seithmbaya6764
    @seithmbaya6764 3 ปีที่แล้ว +11

    Thanks for Highlighting Historical teachings.

  • @hamidhamadhamad5653
    @hamidhamadhamad5653 4 ปีที่แล้ว +4

    Bwanaeeee wasafi waachiwe tu nyie ahhh mn mziki wao media wao mana saiv wanawaka katika media mana wanajua hatari dahhhh ebana EE asaiv bor uombe nafasi zakaz wasaf kuliko serekalini wallahi dahhh NASSIB ABDULI KALETA MAAJABU MAKUBWA TANZANIYA NA DUNIYANI KIUJUMLA ANAEWAFIKIYANA NAMIMI AGONGE LIKE ILI TUJUANE NATUPATE KUELEWA KUWA NLIOSEMA NIYAKWELI

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi5308 4 ปีที่แล้ว +15

    Sijutii kununua smart phone inanipa burudani

  • @yussuphabdubashiri5921
    @yussuphabdubashiri5921 4 ปีที่แล้ว +8

    Hiyo miji wawape wabongo halafu uone kama hao vibwengo hawajaama lazima watafute pakwenda.

  • @josiahgatune4568
    @josiahgatune4568 4 ปีที่แล้ว +16

    Wapi likes za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wanao tazama the story book

    • @BrEgEdiA_254
      @BrEgEdiA_254 4 ปีที่แล้ว

      Wakenya sisi hatuna ujinga huo wakuombana like na kupeana

  • @classicissa2241
    @classicissa2241 4 ปีที่แล้ว

    Thx kwa ujumbe

  • @mbbajuta3196
    @mbbajuta3196 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimegundua jambo ambalo imenipa kuamini kwamba ni kweli dunia hii yetu tunaharibu wenyewe

  • @sophiemassare6356
    @sophiemassare6356 4 ปีที่แล้ว +6

    Voice of wonder....mtiga u have got good voice keep it up!

  • @iddiyakout3653
    @iddiyakout3653 ปีที่แล้ว +1

    Yaan ktk wote wanatoa the story book bs uyu jamaa ni noma wala hana mwenza anajuwa sana kusimulia kuliko wenzake wote

  • @abdulkadiryusuf7213
    @abdulkadiryusuf7213 ปีที่แล้ว

    Mashaallah raha sana bro 👍

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 4 ปีที่แล้ว +6

    Wa 15 kucoment ....big up wasafi kwa story nzr

  • @rukaiyaali7676
    @rukaiyaali7676 4 ปีที่แล้ว +6

    Naipnda the story book wallh daa