Wabongo Muache Unafiki Huyu Jamaa Apo Vizuri,Lalama Sio Nzuri,Chenye Sifa Kipewe Sifa,Musiwe Watu Wa Kuegemea Upande Mmoja! Hats Off Bro! Unaweza. Comment From 254
Napenda sana Story book inanielimisha sana na kunielimisha Nimefahamu mengi sana Shukran sana Jamal mola Azidi kukupa Nguvu uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huku Zambia watu wananyonya damu za watu na sijui wanapeleka wapi Nasikia wanaingia Usiku na Kuna vitu wanapulizia ndani wote wanalala Kisha wanafanya Tukio Hilo la kikatili. Mm nipo mpakani na Zambia na juzi kumetokea taflani Kubwa Kati ya serikali na wananchi, wanachi wanaamini Tukio Hilo linafanywa na serikali Yao pia Kuna Baadhi ya watu wamekamatwa na wengine kuuwawa na wananchi wenye hasira kali. Pia watoto ndiyo wanauwawa Sana watu Zambia hawalali! Yani hofu imetanda Sana matukio hayo yameanza kutokea mpakani na Zambia lakini mwanzo yalianza kutokea Zambia ndani huko Sasa yanazidi kusogea Jirani na mpaka wa Tanzani. Mungu atuokoe kwa matukio haya hili linadhiilisha kwamba mwisho wa dunia umekaribia 🙏🙏🙏🙏🙏
Subcribe my TH-cam channel kufahamu mtu aliyetunga wimbo wa UEFA na pia mwanamke aliyewahi kufanya mapenzi na wanaume wengi zaidi duniani , fahamu pia mtu aliyegundua na kutengneza remote na mwanzilish wa kwanza wa kituo cha redio subcribe ufahamu mengi ndani ya Scope online tv naombeni support yenu Sana nyie km Wana the story book naamini bila nyiny siwezi kitu asanteni
Mtiga abdallah walai huyu alikuwa vizuri Sana kusimulia hii the story book ndio tunasikiliza Ila Kuna kitu tunamiss chenye kilikuwa kinafanya tuhamasike zaidi kusubiri the story book...
According to movie ya dracula part one, vempires original yao ni yuda eskaliyoti aliyo msaliti yesu na akaalaniwa akanyimwaa hakii ya kufa wala kuishiii katika mwanga 🤓🤓🤓🤓
😏😏kuna mijitu inakera mtiga mtiga km mnaweza nenden wcb mukaajiriwe muximulie na nyinyi km mnaweza kila mtu na nafax yke na kipaj chake mtiga ametolewa kwaxababu maalum jamal atabak kuwa Jamal na mtiga atabaki kuwa mtiga ww mwenyewe huwez kupendwa Na wa2 wote pesa inaongea ht kama ataongea km chura ila ana lipwa mtiga Na jamal wote wanaximulia vzr japo kuwa kila m2 ana ladha yke maxikion
Wabongo Muache Unafiki Huyu Jamaa Apo Vizuri,Lalama Sio Nzuri,Chenye Sifa Kipewe Sifa,Musiwe Watu Wa Kuegemea Upande Mmoja! Hats Off Bro! Unaweza. Comment From 254
Kwanza wcb amnaga vilaza ati, MTU akiwa wcb ujue ni fire
Dj Govi One Official matako yako huyu unaweza mfananisha na jamaa
Hamna lolote hatusem kwamba ety tunamdharau ila huo ndo ukwel
Yan hamfikii mtiga kwa chochote bora wamrejeshe tu
@@francisruambothetechnician kabisa
Story telling is an art, Jamal wewe ni noma sana, pamoja na kuandika simuliz kali lkn UNAZISIMULIA AS IF ulikuwepo kwenye hayo matukio. KEEP IT UP BRO
Nimeipenda the story book, nakupongeza sababu simulizi inakwenda sawa na picha inanifanya hisia zangu ziende mbali...Big up saaaana.
Yani umepatia vilivyo kabisa
Nimependa story book
hii ni story na sio story tuu sabab mafundsho yake huez yapata ata university,, big up sana Jamal ,stori zako ni za kiufundi wa hali ya juu.
jinsi ninavyozidi kumsikiliza Jamal April .ndivyo ninavyozidi kumkubali .keep it up bro
The first viewer..drop your likes here if you are watching from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😢😢🚴
You get it from 255
Smba
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamal 🔥 🔥
Mtiga ✅✅
Imeixha hiyoooo 🏃🏃
Jamal your so mult talented.bro unaweza sana achana na izo kelele za watu saiv nshakuelewa upo vzr
Back to me ni the same yuko vdhr
Professional yake nzuri maana watu walimkejeli taratbu watamuelewaa
Mm binafsi naipenda sana the story book 🤞🔥👽
Jeshi nawew upo the story book
Konde gang konde international konde artist number 1 in the world konde for everybody everybody..... Jeshiiiiiiiiiiiiii.......
Unapoteya Kimia Kimia ,kijana ipo siku utachekwa ,mda si mrefu tu
Harmonize VEVO
Konde upo the story book
Mapema sana tumekiwashaaaa🔥🔥🔥🔥
🙈
jamaal anakuja alafu anakataa like 2shine wadau
Kama unaangalia uku ukiogopa , Gonga like apa tujuane ☠️
Inatisha
Sana
Inaogopesha sana
Hi
You are really cute
Kwa mtindo huu sishangai kuona subscribers 1+ millions on wasafi media
Kabisaaa🙌
Tuko 1,6 million.. Twaenda 2m
Tunaitafuta 2M
Jamal april master story... 🔥🔥
Kuna mashabiki wa mtiga mashabiki wa the story book
. Mi shabiki wa the story book so ata aje mama dangote asimulie bora awe vzur tu 🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🙈
Story book nafatilia kwa ukaribu...
Endeleaa kutupa story book jamal usikatishwe tamaa na wapumbavu wanaolalamika wanamtaka mtiga...maisha lazima yaendelee!!!!
Nakubal sana Jamal the King
Jamani Kidogo kidogo mbona tutaelewana kwa they story book mpaka tuwe sawaa😂😂😂😂😂
😁😀
@@denismvula6713 ,😂😂😂😂
Ali kiba ft mwana fa
Frank Dee Ligt mtiga ndio mpango mzima
@@kunguruflix_ og
Kama ushamwelew jamal April gonga like ,anajua
Anajua sana
Simuelewi kabisa huyu jamaa
@@brothermo9343 hata Mimi sikuelewagi kabisa yani fra tuuh yani
@@maleogame8745 huwezi kunifikia mm navyo mchukia
@@maleogame8745 humuelew anavyosimulia au lugha sio yako
Jamal- April... Kwakwel kaka unaweza sana.. yaan unaweza unakipaji sana Cha kuandaa story mawazo yapo logically
Nimejikubali kuwa mmi sio muoga nimeangalia Niko peke angu saa Saba usku na nimemaliza kwel Mimi ni noma
😂😂usitudanganye
😈asa hpo cha ajbu nn
@@neemapemmanuel2681 kweli tena amini 😂😂
@@josephinepeter7393 😂😂😂labda kama wewe ushazoea movie za kutisha Ila Mimi still sijazoea naona natishwa
Napenda sana Story book inanielimisha sana na kunielimisha
Nimefahamu mengi sana Shukran sana Jamal mola Azidi kukupa Nguvu uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
JAMAL_APRIL ANATISHAAAAAAAA SANA UYU MWAMBA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
sanaaàaaaaaaaa
Nyie ndo mnaxabixh mm nakoxa ninach kipend
kitisha kvp mbn miyayusho
Jamal uko viko vizuri pia , piga kaz story kaliiiii.....
Noma sana gonga like kama unamkubal jamal
Sio jamal huyo wewe,
Nampenda Sana huyu kaka
Kwakweli watanzania tujifunze kuamini
Makini sana wataelewa tu me ndio ushanishika kabisa
Narudia tena hyu jamaa ni moto wa kuchomea tofali yani unazima lakini unanguzaa the story book ndo kwanzaaa inanzaa noga
Mike tyosn
yalitutesa mazoea2 kwa mtilga ila mwamba nshamuelewa alkuw mgen2 ila kazi nzur kka
Tumeanza kumwelewa huyu jamaa
Kama umemwona stefano savaton wa kwenye vampire diaries na mako gonga like...
And Damon Salvatore
Ama klaus mikleson
Give time I have nothing to say
The story book naipenda sana
Wangapi tumeanza ku comment comment nzuri baada ya kusikia yule jamaa alikua anajiona
Dah... Yan nmeshtuka ila big up sanaa jml
Inatisha jamani
Wasafi kwa the story book mpo vzr aisee
Allah akupe maisha marefu.
Like zenu wadau
*mtiga abdallah* popote ulipo nenda kaombe msamaha wasaf maan Jamal ni atar sasa hiv kaziba pengo lako
Yule kasha kula dili azam TV hawezi enda omba msamah sema Alisha zoeleka maskion mwetu
rashid buffonTv hawezi ziba pengo la jamaa
Uyu me simuelewi kbs
Jamal ni KING
Awap ww hamfikii n kam mtiga atapat seem ya kujiweka at a ww utasepa uku
Huku Zambia watu wananyonya damu za watu na sijui wanapeleka wapi Nasikia wanaingia Usiku na Kuna vitu wanapulizia ndani wote wanalala Kisha wanafanya Tukio Hilo la kikatili. Mm nipo mpakani na Zambia na juzi kumetokea taflani Kubwa Kati ya serikali na wananchi, wanachi wanaamini Tukio Hilo linafanywa na serikali Yao pia Kuna Baadhi ya watu wamekamatwa na wengine kuuwawa na wananchi wenye hasira kali. Pia watoto ndiyo wanauwawa Sana watu Zambia hawalali! Yani hofu imetanda Sana matukio hayo yameanza kutokea mpakani na Zambia lakini mwanzo yalianza kutokea Zambia ndani huko Sasa yanazidi kusogea Jirani na mpaka wa Tanzani. Mungu atuokoe kwa matukio haya hili linadhiilisha kwamba mwisho wa dunia umekaribia 🙏🙏🙏🙏🙏
Duuuh kweeeel
@@mabebatv3998 kweli mkuu
kama umeshaanza kumuelewa huyu jamaa gonga like
This is amazing story in which when you hear on it you feel very exited
GONGA LIKE KWA JAMALI MUSTAPHA
Kwa wale wnaosema hajui km unaona Ni rahic nenda ww kasimulie,plz hexhimu kazi&kipaji cha m2 kazi nzur J@mal.
Noma saaaaaaaaaaan
Debe tupu haliachi kuvuma, waache tu hao ndio kazi yao nao,
Ramon
.
Rambo
Dooo
Iko sawa lakini tumezoea Jamal April. Mregeshe tafathali.
This story is amazing
The story book is amazing💪✊✊
Naipenda sana The story book
I love the story book love the talent
Duuuh mtangazaji mpya story tam 🙆🙆
Napenda sana story book
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯
Umetisha kaka na hii story
Mwazo mgumu ila wataelewa2 bro keep it up
Asante Sana Kaka unatujuza megi sana
Wasafi u can!! Your promicing coz your have employed and lifted many people from hard life!!
Anakunywa damu za watu mpaka anavimbiwa 😃😂😅
.
NAOMBENI M SUBSCRIBE CHANNEL YANGU 🙏 🙏
😂😂😂Mimi ni mmoja wapo ambae ile hadithi ya mwisho wa dunia nilisikiliza dakika 3 tu nikaachana nayo 😂
Subcribe my TH-cam channel kufahamu mtu aliyetunga wimbo wa UEFA na pia mwanamke aliyewahi kufanya mapenzi na wanaume wengi zaidi duniani , fahamu pia mtu aliyegundua na kutengneza remote na mwanzilish wa kwanza wa kituo cha redio subcribe ufahamu mengi ndani ya Scope online tv naombeni support yenu Sana nyie km Wana the story book naamini bila nyiny siwezi kitu asanteni
tulio jiandikisha kwenye daftr la mpiga kura alafu tukaja kuskiliza storybook like apa
Mzee baba Kuna viumbe kama binadamu wanaitwa pembero wapo kama watu hivi itafute chanzo had kuwa vile ni nn asante
Mtiga abdallah walai huyu alikuwa vizuri Sana kusimulia hii the story book ndio tunasikiliza Ila Kuna kitu tunamiss chenye kilikuwa kinafanya tuhamasike zaidi kusubiri the story book...
SIMON BANYASE weh hukuitaji story inaonexha ulikua unapenda comedy tu. Huna lolote
Achen hzo bwana nyie 255 dj king p
Amazing 💥💥💥
Nakubali sana unajua brother keep it Up
Uko vizuri bro safi sana
Niatal kwel
Kam ahuj hogop pg la like twend saw
Mtiga ndo baba la
o jamal badocdo sanaaaa
Voice 🔥🔥😍🇧🇮
Nakubali kazi Yako Jamal😊
According to movie ya dracula part one, vempires original yao ni yuda eskaliyoti aliyo msaliti yesu na akaalaniwa akanyimwaa hakii ya kufa wala kuishiii katika mwanga 🤓🤓🤓🤓
brooo mbona bible inasema yuda alijinyonga na akafa
@@obarcriss8725 Licha ya kujinyonga lakin Yesu alienda kuzimu kuwafungulia, watu waliokua wakifa na roho zao zikashikiliwa kuzimu
Imalizie hapahapa jaml Lyke ur voice
Nakubali sana
Tutaelewana tu Taratibuuu....JAMAAL🔥🔥🔥
Jamal Jamal Jamal.... The story book imekua tamu sana saiv zaid.... 🙌
mmh mzee bab unazid kunikosh asee wape za uso team Mtigaaa
Mimi naqubali kazi yako atacho fanya mondi cpigi kabxha yan unajitaidi vzuri tyuu saudt wa2 wakezowe bx watakupenda tyuuu love wcb love wasafitv
noma xn
Nimebarikiwa Sana, Mungu Akubariki kabisa
Vampires ikikuuma pia we unakua vampires??
Kama umemuona Cassidy wa Supernatural na pia unasapoti Mtiga Abdalah arudi gonga like.😂
Jamal kiusema ukweli nakukubali cana nakuombea kwa mungu akujalie maisha marefu uzidi kutujuza zaidi
Wasafi chama laooo
Kama ushagundua kuwa uzuri wa hizi kaz hutegemea content na sio mtoa story..
Nipe SUB kweny channel yangu... Ipo kitaaluma zaid
💃
Jamal up vizuri sana
Pita na like hawa jamaa ni noma😄
Maybe I'm the first
Ndio
I really love it wow endelea hivyo
Amazing voice keep it up
Naipenda sana story book ningependa kama ingekuwepo Mara kwa Mara coz tunajifunza meng kupitia story book
da kweli Dunia Ina vitu vya ajabu
Safi sana mkuu uko una improve day to day..
Upo vzur mzee
Akh mm nilisoma ile story ya dracula nikauangalia na ule mchezo wa dracula mwaka 1990 nikaona hamna kitu ni story tuu
Unaweza sana jamal congore kwako proffessol
Kumbe vampire ni kweli sio movie tu.....
Nawakubari xana waxafi na xtory book mtupe vitu
@@mbarakajumbemnatufuraixhax3537 htr kk
Stori tu hizi mm siamini
@@winnieissa8538 kweli my
aiseeeh
Umekuwa babu wangu sasa,I like the story book
😏😏kuna mijitu inakera mtiga mtiga km mnaweza nenden wcb mukaajiriwe muximulie na nyinyi km mnaweza kila mtu na nafax yke na kipaj chake mtiga ametolewa kwaxababu maalum jamal atabak kuwa Jamal na mtiga atabaki kuwa mtiga ww mwenyewe huwez kupendwa Na wa2 wote pesa inaongea ht kama ataongea km chura ila ana lipwa mtiga Na jamal wote wanaximulia vzr japo kuwa kila m2 ana ladha yke maxikion
Nakubaliii 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Dah Jamal mwanzo ulikua kama hatukuelew vzur ila sasa wewe ni fire moto balaaaaaaaaa umetisha mwamba
Uko vizuri ila hauna vituo yani haupumziki! fix hapo mzee baba na iyo background sound haisikiki vzuri, inasikika kwa mbali sana
Haya ndio mawazo yanayohitajika na sio kuponda... Nimependa hii comment kk
@@elshaarawymuhabesh316 shukran bro, karibu
🔥🔥🔥🔥🔥 koki sana @TRUST TV
Uko vzur Kaka keep it up👍👍🙏