DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2020
  • DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
    Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
    JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
    WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
    EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

ความคิดเห็น • 231

  • @mrbweichum
    @mrbweichum 3 ปีที่แล้ว +76

    KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI

    • @daytonlennon9487
      @daytonlennon9487 3 ปีที่แล้ว

      not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD

    • @arijohan3511
      @arijohan3511 3 ปีที่แล้ว

      @Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)

  • @tygertz181
    @tygertz181 3 ปีที่แล้ว +38

    Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like

  • @vincentmaloba2290
    @vincentmaloba2290 3 ปีที่แล้ว +47

    Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli.
    Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪

    • @morangaqatar8963
      @morangaqatar8963 3 ปีที่แล้ว +2

      Africa murdered Africa, that is how cheap we are

    • @annamacky5848
      @annamacky5848 3 ปีที่แล้ว +1

      We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!

    • @edwinkimani4557
      @edwinkimani4557 3 ปีที่แล้ว +3

      It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.

  • @elizabethalphonce1081
    @elizabethalphonce1081 3 ปีที่แล้ว +12

    Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo

  • @stevek8318
    @stevek8318 3 ปีที่แล้ว +6

    Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 ปีที่แล้ว +3

    Ananias Edgar pongezi👍
    Kazi safi
    Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 2 ปีที่แล้ว +12

    Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!

  • @babugsafari281
    @babugsafari281 3 ปีที่แล้ว +30

    Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC

    • @mariekapongo2041
      @mariekapongo2041 3 ปีที่แล้ว +1

      Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕

    • @alfayeedbuya603
      @alfayeedbuya603 3 ปีที่แล้ว

      Nchi ya vita

    • @geofreysenka7091
      @geofreysenka7091 2 ปีที่แล้ว

      Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa

    • @geofreysenka7091
      @geofreysenka7091 2 ปีที่แล้ว

      Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 ปีที่แล้ว

      @@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 ปีที่แล้ว +2

    I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍
    "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏

  •  3 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 7 หลายเดือนก่อน +1

    Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.

  • @zigashaneadvice3977
    @zigashaneadvice3977 2 ปีที่แล้ว +3

    Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 3 ปีที่แล้ว +27

    Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace

    • @manirihotheigenedelphine6027
      @manirihotheigenedelphine6027 ปีที่แล้ว

      Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.

  • @enockcheruiyot5919
    @enockcheruiyot5919 3 ปีที่แล้ว +9

    Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 3 ปีที่แล้ว +17

    Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 ปีที่แล้ว +2

    Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍

  • @nathanaelshombana645
    @nathanaelshombana645 3 ปีที่แล้ว +9

    The Hero never die✊✊

  • @bernardmukinji3065
    @bernardmukinji3065 3 ปีที่แล้ว +6

    Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba

  • @byishimoobednday779
    @byishimoobednday779 3 ปีที่แล้ว +37

    As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba

  • @abdallahmgotto7865
    @abdallahmgotto7865 3 ปีที่แล้ว +17

    Ulipo tupo 😍

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 ปีที่แล้ว +4

    Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse

  • @situsengadiego3662
    @situsengadiego3662 3 ปีที่แล้ว +11

    Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌

  • @wataifab.7790
    @wataifab.7790 3 ปีที่แล้ว +9

    Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele

  • @farukiabass5020
    @farukiabass5020 2 ปีที่แล้ว +5

    Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12

  • @joaoonesmocumaio2362
    @joaoonesmocumaio2362 ปีที่แล้ว +1

    The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.

  • @tanzanianchiyangu8984
    @tanzanianchiyangu8984 3 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana mpagaze

  • @Unkown30476
    @Unkown30476 8 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 3 ปีที่แล้ว +7

    Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 3 ปีที่แล้ว +11

    Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +5

    Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏

    • @OmanOman-nz2bg
      @OmanOman-nz2bg 2 ปีที่แล้ว

      👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Nuyama1
    @Nuyama1 3 ปีที่แล้ว +8

    ananias edgar & denis mpagaze.

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 3 ปีที่แล้ว +16

    Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 3 ปีที่แล้ว +3

    Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar

    • @OmanOman-nz2bg
      @OmanOman-nz2bg 2 ปีที่แล้ว

      Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏

  • @tresorsamson9200
    @tresorsamson9200 3 ปีที่แล้ว +9

    Notre lidere reste en paix

    • @flova7022
      @flova7022 2 ปีที่แล้ว

      Merci beaucoup

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭

  • @emmanuelbawili2104
    @emmanuelbawili2104 3 ปีที่แล้ว +4

    Lumumba R I P Brother

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 ปีที่แล้ว +15

    Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 ปีที่แล้ว +1

      Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 3 ปีที่แล้ว +1

      @@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 ปีที่แล้ว +1

      @@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 ปีที่แล้ว +11

    I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR

  • @kakozialbert2482
    @kakozialbert2482 3 ปีที่แล้ว +2

    Thank you for this history

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.

  • @babamarc4325
    @babamarc4325 3 ปีที่แล้ว +4

    R.I.P. lumumba,from USA

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwastory zamaana

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 ปีที่แล้ว +2

    Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba

  • @osm721
    @osm721 3 ปีที่แล้ว +6

    Sauti yako bro☆MOTO☆

  • @malakoasaniasani2249
    @malakoasaniasani2249 3 ปีที่แล้ว +2

    Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏

  • @lulu8206
    @lulu8206 2 ปีที่แล้ว +6

    Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 ปีที่แล้ว +12

    I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA

  • @anthonywilliamjohn6696
    @anthonywilliamjohn6696 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 ปีที่แล้ว +1

    Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu

  • @Topnews6148
    @Topnews6148 3 ปีที่แล้ว +6

    RIP my leader Patrice

    • @samsonhumbe8220
      @samsonhumbe8220 ปีที่แล้ว

      Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.

  • @monikasteven3064
    @monikasteven3064 3 ปีที่แล้ว +3

    Be blessed bro

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 3 ปีที่แล้ว +13

    Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪

    • @stevek8318
      @stevek8318 3 ปีที่แล้ว +2

      I'm your new manager na nimesoma hii!!

    • @rhodarichard4366
      @rhodarichard4366 3 ปีที่แล้ว +2

      Big dod nakushtak kwa bos wako😣

  • @estherawa1885
    @estherawa1885 3 ปีที่แล้ว +3

    Rip lumumba

  • @user-qg2sw9bj2i
    @user-qg2sw9bj2i 2 ปีที่แล้ว +4

    Maskini lumumba,Allah akurehemu

  • @hassanmsuya6692
    @hassanmsuya6692 3 ปีที่แล้ว +5

    Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿

  • @josephatraymond4902
    @josephatraymond4902 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa

  • @alainonge7752
    @alainonge7752 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up saana mpagaze na Ananias

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 ปีที่แล้ว +1

    "Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍

  • @themagnet4236
    @themagnet4236 2 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 3 ปีที่แล้ว +1

    He was the hero

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 3 ปีที่แล้ว +3

    Atr sana

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 ปีที่แล้ว +3

    Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakweli malkom
    X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"

  • @dicksonmwangi5499
    @dicksonmwangi5499 3 ปีที่แล้ว +2

    Big up sana

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana best.

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd 3 ปีที่แล้ว +2

    A hero

  • @manirihotheigenedelphine6027
    @manirihotheigenedelphine6027 ปีที่แล้ว +1

    Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y 4 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana iyi

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 3 ปีที่แล้ว +7

    Voice of Ananias 🔥🔥

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 2 ปีที่แล้ว +1

    R.i.p Magufuli

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 ปีที่แล้ว +13

    Hawa wazungu! Tuwaangalie tu hawatupendi

  • @juliuskulokhoma8020
    @juliuskulokhoma8020 3 ปีที่แล้ว +2

    Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli

  • @mkobelwaprosper5832
    @mkobelwaprosper5832 3 ปีที่แล้ว +5

    Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana278 3 ปีที่แล้ว +4

    Tunakulewa sn
    Kaka much lov

  • @nyotadjuma5172
    @nyotadjuma5172 หลายเดือนก่อน

    god bless you

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y 4 หลายเดือนก่อน

    Naipenda

  • @mikomomalombi2987
    @mikomomalombi2987 3 ปีที่แล้ว +4

    asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui.
    Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.

  • @erickrichard4292
    @erickrichard4292 3 ปีที่แล้ว

    Nzuri sanaaa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 3 ปีที่แล้ว +1

    Mobutu msenge Sana 😥

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 3 ปีที่แล้ว +2

    Dah. Binadamu sio watu believe me.

  • @toweman6484
    @toweman6484 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakubal mkuu

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 3 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 3 ปีที่แล้ว +4

    Limumba forever

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu2053 3 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe hizi kesi za uchochezi waanzilishi ni mabeberu?

  • @mkuuhapingwi
    @mkuuhapingwi 3 ปีที่แล้ว

    Dah!hii sauti hii

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 3 ปีที่แล้ว +4

    Dah watu hawana utu mpumzka kwa Amani Lumumba.

  • @ChristophMcThe
    @ChristophMcThe 3 ปีที่แล้ว +1

    11:19 Kanyama

  • @aloycekimario6177
    @aloycekimario6177 3 ปีที่แล้ว +1

    afrika nikwetu naipenda afrika naipenda nchi yangu Tanzania tuwewazalendo jamani

  • @jenny20254
    @jenny20254 3 ปีที่แล้ว +1

    Lumumba nilimpenda sana lakini wendawazimu wakamuuwa ndomana cogo inarudinyuma

    • @dausonevarister7909
      @dausonevarister7909 3 ปีที่แล้ว

      Whta they did to lumumba, is what they did to JPM

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 ปีที่แล้ว +3

    Nasema kila siku mimi amna kama wewe jamani amnaaa

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 2 ปีที่แล้ว +1

    Mabutu ndie alieizamisha Kongo Kwa story hii anapaswa alainiwe

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 2 ปีที่แล้ว

    Good

  • @ZadokAsaph
    @ZadokAsaph หลายเดือนก่อน +1

    Bigup

  • @samgwazay1208
    @samgwazay1208 3 ปีที่แล้ว +3

    Tatizo ni serikali za kupewa na wazungu na kuwaamini wao ndio wakombozi kumbe wanatung'ong'a

  • @emanuelstanley1710
    @emanuelstanley1710 3 ปีที่แล้ว +1

    Salut xana ndugu pamoja xana

  • @denicemwitakabwere6770
    @denicemwitakabwere6770 3 ปีที่แล้ว +2

    Halafu.....bado....tunaendelea kuwaabudu wazungu