MAFIRAUNI: WALIOGA MIKOJO / WAKAJIITA MUNGU / WALIKATA PUA NA KUPAKA WANJA !

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • MAFIRAUNI WA MISRI ; NI WAFALME WALIOKUWA NA VITUKO VINGI SANA, WAKAFANYA DHAMBI ZA KILA AINA BILA KUMUOGOPA MUNGU.

ความคิดเห็น • 662

  • @njilaboy4839
    @njilaboy4839 5 ปีที่แล้ว +45

    Mtiga abdallah na jamali mustapha nyie watu hatari sana voice konk kaama unawakubali hawa watu wa the story book gonga like

  • @sharifasharifacharles6034
    @sharifasharifacharles6034 4 ปีที่แล้ว +5

    Allahumma ansurnah ewe mwenyez mung tunaomb utuepushe na balaa la dunia hii ewe ya rabbii

  • @k.c.s.kelvinclassicswagg2098
    @k.c.s.kelvinclassicswagg2098 5 ปีที่แล้ว +50

    duuh.... mb zangu zimepata pakuishiaaa.... thanks bro

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 ปีที่แล้ว +87

    Napenda sanaa story na una voice nzur ya kuhadisia story hongera broo

  • @zainabmussa1800
    @zainabmussa1800 5 ปีที่แล้ว +156

    Una voice nzr Kaka angu,ALLAH akubariki😘

  • @meckykyerux968
    @meckykyerux968 5 ปีที่แล้ว +595

    Wanao penda the story book Kama mm like apa💪💪💪

  • @sanjaog8944
    @sanjaog8944 5 ปีที่แล้ว +459

    Kama na ww unamkubali jamaa huyu mtoa story gonga like 🔙

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 5 ปีที่แล้ว +6

    Sauti daaaaaah mutangazaji nakupenda burrrrre 💕 🇫🇮 🇫🇮 🇫🇮

  • @irenechristian3281
    @irenechristian3281 5 ปีที่แล้ว +36

    Mtiga voice 💜😍😍😍🙌

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 5 ปีที่แล้ว +9

    Story amazing... Kuna mengi nilikuwa sifahamu.. Sasa nimefaham... Hongereni WASAFI MEDIA MUENDELEZE HUU UTAMU KUNOGA....

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

    Noma sana eti baraka wanakojolea mto aisee walikua washenz sana hawa mafiraun

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 5 ปีที่แล้ว +21

    Kama wewe piya unamini mungu atabaki kuwa mungu Basi gonga like hapa twende sawa mungu Ni mungu jamani hathihakiwi

  • @dreambeesafricalimited4831
    @dreambeesafricalimited4831 5 ปีที่แล้ว +22

    Kama unaikubali the story book ..gonga like hapaa

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 5 ปีที่แล้ว +18

    Sauti ya mtangazaji kidogo ifanane na Millard ayo! Ni fire 🔥!

  • @TahuwidiNuha-lx9ho
    @TahuwidiNuha-lx9ho 9 หลายเดือนก่อน

    Una sauti nzuri allah akujalie

  • @paulkarani559
    @paulkarani559 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana story book,mumetufunza mengi

  • @allyoska5025
    @allyoska5025 5 ปีที่แล้ว +9

    Daah uko safi saana mwanangu umetulia kinomanoma yani big up

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 5 ปีที่แล้ว +7

    Waaah story nzuri sana 🤔

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 3 ปีที่แล้ว

    I love story book nzur sana 🙌

  • @officialsalmazayn2938
    @officialsalmazayn2938 5 ปีที่แล้ว +16

    Nakupenda bure we kaka maan unaongea mamb yenye unafaham na Ikifik mahal kitu hich hukifaham unasema ukwel sio kama yul fala 😂😂#HMG kazi kusema Uwongo tu !

    • @poulsenmc4970
      @poulsenmc4970 5 ปีที่แล้ว

      Salma Zayn please support US our song... Cvsavaiva ft baraka da prince ..bwax if you like u can subscribe and like and share please we need ur support

    • @harunkassm1689
      @harunkassm1689 5 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa

  • @amrysalum1440
    @amrysalum1440 4 ปีที่แล้ว

    Ndo king wa mastory

  • @samsonnkini4779
    @samsonnkini4779 5 ปีที่แล้ว +2

    🙌🙌MAMBO MAZURI KABISA HAYA

  • @amanidjuma2580
    @amanidjuma2580 5 ปีที่แล้ว

    Muelezaji bora saana ubarikiwe Mungu akuzidishie kila la kheri

  • @peacockboka4742
    @peacockboka4742 5 ปีที่แล้ว +6

    Napendaga sn The story book hasa nikiwa cna kazi nasikiliza mpk na enjoy

  • @sirj1597
    @sirj1597 5 ปีที่แล้ว +206

    Wafuasi wa The Story Book Like Hapa Tjuane

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama4917 5 ปีที่แล้ว +82

    Muweke English subtitles coz wasafi TV ni brand kubwa , watu tofauti wanaangalia.

  • @shadyjuma7688
    @shadyjuma7688 5 ปีที่แล้ว +3

    Kaka una sauti tamuuu yaaan😋😘😘na hadithi tamu endlea kutultea tusiyoyajua...

  • @hasionshekiondo6680
    @hasionshekiondo6680 4 ปีที่แล้ว +1

    kaka abdala cjawah kukupinga kwanza unasauti ya ajabu sana zidi kutuletea story nzuri

  • @mireilletshilombs9503
    @mireilletshilombs9503 4 ปีที่แล้ว +2

    I like the story book thank you for this

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 5 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana story book

  • @ibrahimtz8008
    @ibrahimtz8008 5 ปีที่แล้ว +2

    Noma Sana aisee

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 5 ปีที่แล้ว +5

    Una kipaji bro..keep it up

  • @debbycharles2862
    @debbycharles2862 5 ปีที่แล้ว

    Kwakweli nina furaha sana kwani napenda sana kujua mambo yakale na yenye mafunzo napenda sana hadith thank you for making my TH-cam useful to me

  • @herikaniugu
    @herikaniugu 5 ปีที่แล้ว +8

    Horus , my favorite God

  • @sooltan5022
    @sooltan5022 5 ปีที่แล้ว +63

    First person to View!!! I'm Sultan from Cape Town! !!

  • @williamlyimo404
    @williamlyimo404 4 ปีที่แล้ว

    Dah the story book ni nomaaa

  • @razackkambi2839
    @razackkambi2839 5 ปีที่แล้ว +5

    Daaah mie mtangazaji tuuu nipo hoiii nakupenda

  • @annehanneh4942
    @annehanneh4942 4 ปีที่แล้ว +5

    The story book is amazing

  • @maselelimbu8402
    @maselelimbu8402 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwandaaji na msimuliaji jaribuni kusoma vitabu vingi na kwa ufasaha zaidi ili msitupotoshe na mjaribu kupata evidence kabla hujatoa makala na ndio maana umeanza na maneno "HADITHI NJOO UONGO NJOO UTAMU KOLEA" haaahaaa jipange but big Up kwa kijitahidi.

    • @artatheart5700
      @artatheart5700 5 ปีที่แล้ว +3

      Ahsante. kweli nimetazama picha anazotumia nizawazungu dhihirisho kuwa muandishi wa simulizi hana ufasaha wa mambo anayo dokeza. huu niwakati wetu kusimulia historia yetu kutokana na ukweli wa kiafrika wala sio kulingana maoni ya mzungu muongo.

    • @abdalahabdalah7853
      @abdalahabdalah7853 4 ปีที่แล้ว

      amesimulia uwongo wa kiwango kikubwa sana, ameandika story kwa kusoma vitabu vya uwongo vya waarabu na wazungu

    • @nahirkassim5574
      @nahirkassim5574 3 ปีที่แล้ว

      Someni gur an jmn vizuri Na hadithi za mitume huo ni ungo mtupu

    • @nahirkassim5574
      @nahirkassim5574 3 ปีที่แล้ว

      Musipoteze ukweli jamani ni dhambi kubwa hii TV ya wasafi ikoje jmn

  • @gracemkandawile6182
    @gracemkandawile6182 4 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana mtiga were n number one tanzania

  • @ngunitv
    @ngunitv 2 ปีที่แล้ว

    Firauni mikaure alinitanganya kusimamisha jua ajiita mungu mafirauni walioga mukojo wajiita mungu walikata pua na kupata wanja/ngunitv

    • @ngunitv
      @ngunitv 2 ปีที่แล้ว

      Watching /ngunitv

  • @juliusngalimoto2457
    @juliusngalimoto2457 4 ปีที่แล้ว

    Noma sana menkaur

  • @caashaqaali2226
    @caashaqaali2226 5 ปีที่แล้ว +5

    Sauti ya huyu kaka ni nzuri sana 😊

    • @husein.ibrahim2825
      @husein.ibrahim2825 5 ปีที่แล้ว

      usitaman sauti zawenzio sawa usirudie tens kwan yakwako mbaya et

  • @aclamsaide7074
    @aclamsaide7074 4 ปีที่แล้ว +1

    wanaopenda wassaf like apa

  • @danielyjackobo4125
    @danielyjackobo4125 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwakwel mtiga abdallah una good voice kaka the story book iko good

  • @ewaldmichael1640
    @ewaldmichael1640 5 ปีที่แล้ว +2

    ukopoa kwa kutupa stori nzuri broo

  • @skywalkercool6788
    @skywalkercool6788 5 ปีที่แล้ว +4

    Hongera bro unasimulia vizuri. Lakini jaribu kuwa professional Zaid kuliko entertainer, Kama ulivosema firauni Remesis wa pili inakadiriwa ameishi miaka mingi Sana, na ametawala kwa muda miaka 96, wakat historia iko wazi kwenye vitabu vya egyptionist (Wana historia wa historia ya Egypt), amezaliwa 1303 BC na amefariki 1213 BC (kabla ya ukirsto) akiwa na umri wa miaka 90. Hakuna Mambo yakukadiriwa hapa toa tarehe Zaid umetoa tarehe za firauni wawili tu. Nakukubali kazi yako ya usimulizi, ila ukitoa habari sio sahihi unadanganya watu wengi.

    • @uthaymgalax181
      @uthaymgalax181 5 ปีที่แล้ว

      huyo firaun walosumbuana na mussa mke wake alikua asia....... Anyway em dadis tena

    • @rahimabdul8548
      @rahimabdul8548 5 ปีที่แล้ว

      Skywalker Cool noma xana

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 5 ปีที่แล้ว +17

    napenda sana the story book inamafunzo mazuri

  • @totmohammed6430
    @totmohammed6430 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamn nakupenda ww msimuliz hasa saut yako na kiswahili chako fasaha natamn nione sura yako

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 3 ปีที่แล้ว

    Mwili wa firaun ulipelekwa ufaransa sio kwa kuharibika ila kwa kutaka kuchunguza tu! na waligundua alikufa maji. M'mungu hawesi kumkausha firaun kwa Ahadi halafu aharibike sio sawa rekebisha hapo.

  • @shakira1301
    @shakira1301 5 ปีที่แล้ว +11

    😂 😂 😂 Hapo kwa kukatwa pua

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen3535 5 ปีที่แล้ว +2

    nakubali story zako zina refresh ubongo

  • @joycemanyuka7306
    @joycemanyuka7306 4 ปีที่แล้ว

    Mhhh.....kama unasikiliza 2020.........GONGA like

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 5 ปีที่แล้ว +5

    Amazing story

  • @seifixnetwork4663
    @seifixnetwork4663 5 ปีที่แล้ว +11

    14:31 hahahha paka akizaliwa bongo ataishi kweli kwa stress mara atasingiziwa mchawi au kuzibuliwa vibuti.
    Lkn paka wingine vijiz tu.

    • @ruthnamisi2239
      @ruthnamisi2239 4 ปีที่แล้ว

      Du? Ziko poa Sana tuna enjoy

  • @frankkikanda1813
    @frankkikanda1813 4 ปีที่แล้ว +4

    Upo vizuri lakini fuatili historia ya watu weusi ambao ndio walikuwa viongozi wa afrika ya kaskan na tuache historia za waarabu waliowafukuza weusi na wao kushika maeneo yote, tunaomba fuatilia utupe ukweli,

  • @ashuraashura882
    @ashuraashura882 5 ปีที่แล้ว +8

    İna lillah wainailah rajiuni

  • @josephatmitimingi3016
    @josephatmitimingi3016 3 ปีที่แล้ว +1

    Unatisha sana kaka kwa sauti

  • @ilapfashajackson741
    @ilapfashajackson741 4 ปีที่แล้ว +1

    that so educating

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup1353 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuchepuka kitambo sanaa, mm ni nani jamn😁😁😁

  • @husseinmdoe8832
    @husseinmdoe8832 4 ปีที่แล้ว

    Nakubari kazi zako sana unajua kutangaza story

  • @aminaseif8977
    @aminaseif8977 5 ปีที่แล้ว +12

    aixeee km unamuelew huy jamaa gong like hp

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 5 ปีที่แล้ว +9

    Nani kasikia michepuko
    Like twende sawa

  • @hamishassan6355
    @hamishassan6355 5 ปีที่แล้ว

    Wsf asante sana kwa history unatujenga kiakili big up sana

  • @jonathanilomo2177
    @jonathanilomo2177 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajua kubrodcast bigup sanaa

  • @edwinonlinetv7173
    @edwinonlinetv7173 5 ปีที่แล้ว +4

    Gonga like twende sawa

  • @MariamMohamed-kz5cf
    @MariamMohamed-kz5cf 4 ปีที่แล้ว

    Jamaa ana jua🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rosehopekenya699
    @rosehopekenya699 5 ปีที่แล้ว +2

    A good story teller

  • @andrewindasi2977
    @andrewindasi2977 3 ปีที่แล้ว

    Usimulizi mzuri kabisa kaka

  • @roddybob6871
    @roddybob6871 3 ปีที่แล้ว

    Nimeushuhudia mwili wake nilipo tembelea Egypt.....kweli mungu yupo........

  • @aaronjustin7235
    @aaronjustin7235 5 ปีที่แล้ว +1

    kama una amini na mimi ni filauni gonga like twende pamoja.

  • @wemakashushura9161
    @wemakashushura9161 5 ปีที่แล้ว +6

    Angalau nikasikia hadithi njoo uongo njoo utam koleaa 😃

  • @iddigoda1884
    @iddigoda1884 5 ปีที่แล้ว

    Naipenda sana the story book

  • @mariammariam4408
    @mariammariam4408 5 ปีที่แล้ว +1

    The story book👌👌👌👌👌

  • @mohammadahmad6556
    @mohammadahmad6556 3 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah

  • @imbugwameltietaz8369
    @imbugwameltietaz8369 5 ปีที่แล้ว +10

    Leo ndio nimeuelewa huo msemo wa "'ukistajaabu ya musa, utayaona ya firauni '"

  • @herrypalanjo6793
    @herrypalanjo6793 5 ปีที่แล้ว +9

    Sasa huo mto c unaconnection na ziwa Victoria? So tunakula sato walking kila naniii🤣🤣🤣

    • @adolphmwangoje2887
      @adolphmwangoje2887 5 ปีที่แล้ว

      Mto unanzia victoria kwenda kwenda bahar ya sham

  • @petrofrankdstvtv1069
    @petrofrankdstvtv1069 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana story izi

  • @barakabakari8334
    @barakabakari8334 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah is greater

  • @francisweru6614
    @francisweru6614 4 ปีที่แล้ว

    I like the story book

  • @rosebiashara7474
    @rosebiashara7474 5 ปีที่แล้ว +10

    Who watch it December

  • @simonpadon6458
    @simonpadon6458 5 ปีที่แล้ว +16

    From vyetnam i like ther story book from wasafi tv

  • @mwantumhemed8625
    @mwantumhemed8625 4 ปีที่แล้ว

    nice story 😘😘😘😘

  • @ibrahimfrancis8454
    @ibrahimfrancis8454 4 ปีที่แล้ว

    mm nawakubali kwa voice hahaha🙌

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 5 ปีที่แล้ว +268

    Kuna katoto kodogo nipo nako apa naangalia nae video ii kana niambia nikiwa mkubwa nataka kuwa kama filauni nikamzabua konzi la uzito.

    • @fasconeroh8740
      @fasconeroh8740 5 ปีที่แล้ว +3

      Emmanuel Inyasi 😂😂😂fala kwel ww umemuonea tu

    • @ishany6005
      @ishany6005 5 ปีที่แล้ว +3

      Emmanuel Inyasi hhhhhhh duh

    • @goodlucktemu3149
      @goodlucktemu3149 5 ปีที่แล้ว +2

      @@fasconeroh8740 weh! Tengua kauli

    • @goodlucktemu3149
      @goodlucktemu3149 5 ปีที่แล้ว +2

      @@ishany6005 🏃

    • @angelherman5464
      @angelherman5464 5 ปีที่แล้ว +8

      muombeee usimpige maana roho inafwata anayeyanena

  • @advocatekarama4917
    @advocatekarama4917 5 ปีที่แล้ว +4

    Muweke English subtitles coz wasafi TV ni brand kubwa

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 5 ปีที่แล้ว +22

    hahahahahahaha walewanao penda kusoma coment tujuane

  • @starlight8794
    @starlight8794 5 ปีที่แล้ว +24

    Ndio maana hata wasanii waume sikuizi nao wajipaka makeup Hao ndio wameiga Hao mafirauni

  • @marthajohn5526
    @marthajohn5526 5 ปีที่แล้ว

    Very nice mpaka nimeinjoy yan kucikiliza

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 5 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana aiseee🔥🔥

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 ปีที่แล้ว +8

    Aisee bro nakupigia saruty

  • @mujuncharles5508
    @mujuncharles5508 5 ปีที่แล้ว

    Big up kwa story nzuri na ya kuvutia

  • @kevinyoungdoss780
    @kevinyoungdoss780 5 ปีที่แล้ว +2

    From Kenya napenda sana Wasafi TV and the story

  • @beninternationaltv3136
    @beninternationaltv3136 5 ปีที่แล้ว +4

    Naku fuatiliya sana bro 💪🏻💪🏻

  • @BoiBrian1219
    @BoiBrian1219 5 ปีที่แล้ว

    Asante wasafi

  • @davidchacheezy8920
    @davidchacheezy8920 5 ปีที่แล้ว

    from Kenya nakukubali sana naomba utoe the story book ya kanumba

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 4 ปีที่แล้ว

    Huyu kaka anaye towa story anaweza sana

  • @MM-dj7tn
    @MM-dj7tn 5 ปีที่แล้ว +18

    "paka ajichanganye azaliwe kule tandalae ataelewa stress zake" 😂😂😂

  • @RasKevo-d8z
    @RasKevo-d8z 2 หลายเดือนก่อน

    I miss Jamal ❤️❤️

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 5 ปีที่แล้ว +4

    Yule firauni aliyeoa hadi dada zake kweli naamini michepuko waliianzisha hao huko! Sisi tunaendeleza Jadi tu jamani kwa kuwaenzi wahenga 😂😂 ila kuna mipaka ya kutotembea na ndugu.