Jinsi unavyosimulia hilo jangwa mpaka umenifanya nitamani kwenda kushudia hayo maajabu kiukweli unasimulia vizuri kiasi cha kumshawishi mtu basi naomba uandae story inayohusu mbuga na majangwa yetu ili tukuze utalii wetu watanzania ahsante
NILIWAHI KUSEMAAA WEWE HUSTAILI KUTANGAZA STORY BOOOK LEVEL YAKO YA UTANGAZAJI NI KUTANGAZA BBC MAAANA UNA KIPAJI ASILIA SAUTI ASILIA WEW NI MTANGAZAJI
E bwana eee! Very very big up brother! Haujawahi kufeli brother. Endelea kutuelimisha with reliable research. Baraka za Mungu ziwe nawe. Comments from Zanzibar, Tanzania.
Sema ume kuwa ume tukawiza sn wengine uku tume kuwa amani kisa the stoy book ila ivi furah zetu zime tudi sn sn 100% kama ume penda ujuwembe huju gonga like yako apa tushikamane sote kwapamoja?
Bro big up,wakati mwingine hawa wabongo wenzetu ndo wanajifanya wajuaji na ndo wakandamizaji kwa wabongo wenzao na ndio wanaowapa viburi hawa wawekezaji wa kigeni.
huyu kaka he is saying the truth i did my research about zone of silence and that is actually the truth about the zone of silence. i have respect because you always give true story bro.
Hapo watakua wanakaa mashetani ya kijini, kwa sababu ya ivo vimondo Allah amesema ktk Quran mashetani wanapopanda juu kuskiliza siri za mbinguni huwatumia moto wa vimondo subhanallah
Sijawahi Kupata Likes Jaman aaah Hata tano tu zanitosha. Wcb for life.. The story BookHaikamatikiiiiiiii
Dunia ina mambo
@@nicholasmuthiani3851 😂🤣🤣
Tamu i seee
hi
V
Kama unapenda the storybook gonga 👍 tuende nalo
shakira khamis kweli eee
Yan the story book ndo mpango mzima
K
shakira khamis
So nice
Real talent. Nairobi, Kenya 🇰🇪 well represented. Kudos wasafi media
Jinsi unavyosimulia hilo jangwa mpaka umenifanya nitamani kwenda kushudia hayo maajabu kiukweli unasimulia vizuri kiasi cha kumshawishi mtu basi naomba uandae story inayohusu mbuga na majangwa yetu ili tukuze utalii wetu watanzania ahsante
Napendaga sana hizi story.shukran sana yaani humu duniani kuna vitu vya ajabu sana na vinaishi nasi.
Nimeipenda kipindi cha the storybook toka 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bas vizuri
Waaaay
Real talent
Wangapi wanaangalia the story book mwaka 2020 gonga like hapa
Mtiga Abdallah wewe ni extra talented kwa kusimulia, Mungu akubaliki sana uendelee kutujuza habari muhimu kama hizi👏
Wa kwanza Leo nipeni like
NILIWAHI KUSEMAAA WEWE HUSTAILI KUTANGAZA STORY BOOOK LEVEL YAKO YA UTANGAZAJI NI KUTANGAZA BBC MAAANA UNA KIPAJI ASILIA SAUTI ASILIA WEW NI MTANGAZAJI
Nikwel jamaa analipaj Na Saut ya ukwel
PETER WOLF niliwahi kusemaaa wewe hustaili
O
Daaaa nakubali sana
The story book mko vizuri, kama na wewe unaikubali gonga like
Hiyooooooooooopoooopooo
amazon
Wasafi mmefeli sana kumtowa mtiga abdallah uyu ndiyo really voice
Wasafi media miaka mitatu ijayo mtatishaaa sanaaaa zaidi ya hapa MMEJIPANGA sana aiseeee 💪💪💪💪💪
Hongeren Sana wasafi Media group nasi tupo nyuma yenu
npo pamoja na ww
Sanaa
Mnafanya nn nyuma ya wasafi,sema mko bega kwa bega
Nakuparisana stor book
Yep
The story book
Always amazing 👏 ❤
Sauti ya mtangazaji pia swadakta
Ameshaacha kazi hapo wasafi
No 1 fan..na wa kwanza kufika hapa leo
Stori zavutia sana...gonga like kama tuko pamoja from TANGA tanzania
E bwana eee! Very very big up brother! Haujawahi kufeli brother. Endelea kutuelimisha with reliable research. Baraka za Mungu ziwe nawe. Comments from Zanzibar, Tanzania.
xkuping ww hapo wa faida...uko vizuri xana!!!💪💪💪💪
Uko perfect bro...kabisa na izo video fupi fupi ulizoweka umecheza Kama ww.....simply the best!!!.....love from kenya
Asante kwa simulizi,endelea kutuletea simulizi kama hizi zaidi.mhh diniani kuna vitu vya ajabu sana.ukanda wa kimya.
Kama unapenda the story book gonga like hapo chini toka south sudan
East Africa raly
Professor Jamal unajua kutupa madini tofauti hngr
Asante Sana Niko pamoja nawe kwenye story book inamafunzo Sana hongera
The story book inatusaidia sana kujua mambo mengi tusiyoyafahamu...endelea kutupa mambo
Sema ume kuwa ume tukawiza sn wengine uku tume kuwa amani kisa the stoy book ila ivi furah zetu zime tudi sn sn 100% kama ume penda ujuwembe huju gonga like yako apa tushikamane sote kwapamoja?
Napenda sana the story book
Toa kuhusu simbawanga the zone of uchawi jamani na ss africa tunamaajabu yetu ila nakubar sana story zako bro kazi nzuri
Kweli Jack, iyo story iko poa ila atuletee za simba wanga hahaha😂 😂😂😂simba wanga inaleta rahaa zaidi.
Hahahahahaaaaaaaah
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Duh..! Mecheka mie
Wa kwanza leo ata sijawah pata likes
Gonga like kwa mtiga kama sauti yake unaikubali tuwe pamoja
Ivvvvivv vîvvvvvvvvv ïvvivvvvvvì
Napenda sana taarifa hizi kwangu Mimi huniwezesha kujua nisiyoyajua
Uzuri wa mtiga bwana anafanya research kabla ya kutoa story zake, nakupenda bure mkuu, hakuna wa kukugusa kwa kusimulia story
Jeee Ananias Edga 🙄
Wow haki natamani kama ningeweza kuwa hapo tu nione homie jangwa la ajab. Mungu kweli ni Mkuu
Bora umerudi tena wasafi kaka wewe ndo unasauti yakusimulia🔥🔥
Hajarudi
Mashaallah story mzuri
Hii inazidisha Imani endelea bro na ww inatakikana umuamini mungu zaidi shukran bro
Hatari baba nakuelewa sana ndg
I come from Congo and I love this story book
Dahaaa THE STORY BOOK Naikubali sana Zaidi ya Sana Tupe Vitu Mkuu
Upo vizuri sana kwenye story book zako
i appreciate u bRo kwa hadithi kali kama hizi ila tuendelezee part 2 stor ya 2pac amaru shakur
Kazi nzuri kaka nakupenda sana
The story book hapana machizoo! 😎%100🔥🔥🇹🇿
Fact
Anaelezea vizur sana inamfanya mtu avutiwe sanaa yuko poa sana very interesting good keep it up
Bro big up,wakati mwingine hawa wabongo wenzetu ndo wanajifanya wajuaji na ndo wakandamizaji kwa wabongo wenzao na ndio wanaowapa viburi hawa wawekezaji wa kigeni.
Daah nakubali sana story book inatujuza vitu vingi big up bro
Leo nimewah naitaj like zangu
Mussa Yohana hatuqki
@@kessygifty6509 sawa tu
Nataman story ziwe kil siku aseee 👏🏽👏🏽👏🏽
Kila mtu wakwanza naomba like zangu, hii tabia za watu hawa inaboa sana, kulilia like kana kwamba watoto daahh!! Basi mimi wa 10 naombeni like zangu.
Hahahahaha
Hahaha
😂😂😂
Asa na ww sindowale jmn
@@emeraldoclarit7878 kuma2
Thanks to the story book teller nimechifunza mengi
huyu kaka he is saying the truth i did my research about zone of silence and that is actually the truth about the zone of silence. i have respect because you always give true story bro.
dhuuuuuuu
wasafi made me to do research for all time
It is so wonderful place and so good 💫💥🕐🔥💡💫💦💨💥🕛💨💥
Story book noma sanaaaaaaa
Kaz nzur mzeee baba ila mm nataka. Story ya rais wa irac. SADAAM HUSSEIN
Anae kubali the story Book agonge like huku akiamin km mm kwamba kuna 40% tu za ukweli Vinginevyo kufurahisha channel 😋😋
Zona del silence htariiii sanaa kazi mzri mtigaaa
Baba wew unasauti ya pekee huwezi kuchoka kusikiliz stor zako
Tunakuomba uenderee kutoa story Nzuri
Gonna like tu songe mbelee
What a fascinating story ooh I've got goosebumps all over a sudden ,I like it!
Daaah nilikumis sana dulllah!
Mwandishi na mtangazaji nawapenda xana, mtiga $ Jamal 💕💞
Lovenes Reuben gj
Sawaaa Kaka
Tatizo lenu ckuizi amtoi story book kila cku mnachelewa Sana kuziachia mpk mb zetu zinakwisha bila kutumika, Embu nipen like zangu
Zone of silence. Nimekuelewa👌
Thanks so much watching from Ugandan 🇺🇬🇺🇬
Napenda Hiyo Background Music 😂😂😂ina nata na simulizi
Napenda hizi stori zenu kwakweli.
Wasafi pamoja tunawakilisha 😉😉😉💯💯😘😘
Mapimi!! Zone of silence!! Mtiga Abdallah! Yaani hiyo sauti yako mmh! Hachoshi kusikiliza! 🥰🥰
Jama waajabu sana
@@remeshatv3625 wa ajabu ki vip tena??
Naam Nakubal sn Mr Mtiga ABDALLAH
Da unatufunza meng can yaliopo hapa duniani
Uko vizuri kwa simulizi upo vizuri kwa stor yaani uko juu
Salute to all the comrades of the story book in particular Wasafi media Big up always 📖📖📖📖📖
hahaha
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love keep educating us💯💯💯
The story book... Lots of love from Mombasa.
Dah amaizing hayo maeneo yalokaa latitude moja ni hatareee
Nimeipenda sauti ya mtangazaji yuko makini
Napenda sauti yako mnoo manake uko vzr broo
Yaan mie pia napenda sana,nataman angekuwa anapost kila siku
African Mom nadhan ni kazi ngumu kidogo
Najuwa ila siunajuwa kuwish sio mbaya raha ikizid
Haya nimambo yaduniatu
Hongera
Mashallah mashallah your video is very very beautiful thanks so much
Nakkubali xna we jmaa WCB 4 LIFE......
Iko kidudu chekundu nlikuw navionaga zaman kipind mvua ikikalibia tulikuwa tunaviita vidudu vya mungu! Akn saiz sjawah kuviona
Ubinufu mkubwa sana kwa hichi kipindi👏👏👏👏
Nakubali mtinga story book kiboko
tumeipata uku 257 nipeni like zangu kama mnanifata me kutoka Burundi Bujumbura
Jamanii the storybook hatari gonga liker twende sawa😅😅
Story zako zinamvuto wa kipekee i like it😘
Mungu akubariki
Mtigah Abdallah saluti kutoka kwako from Johnation 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiswahili kinachovutia kweli kweli congrats bro
Nimeipenda Hii 🇰🇪 🇰🇪
Aaaaaah nahic sijachelewaaa saaaaanaa # the story book
😂😂😂😂 *huaga sinaga tabia yakuchelewa kwenye the story book*
Jaman uwiii so mm ndo nimechelewa
@@keyakeya8911 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah ulikuwa wap watu sahv tunairudia mara ya 3😋😋😋😋😋😋😋
😁😈😁😂😂😂😂eti huwaga sinaga
@@sakinamubaraka1246 😁😁😁😁😁😁😁 hatar na nusu
@@rojallyrmr1402 hhahhaahhhaha aise ww noma
Hapo watakua wanakaa mashetani ya kijini, kwa sababu ya ivo vimondo Allah amesema ktk Quran mashetani wanapopanda juu kuskiliza siri za mbinguni huwatumia moto wa vimondo subhanallah
Strory book ni bomba sanaa
Big up brother kwa stor kali like zenu jaman
Best presenter ever
LA ZONA DEL SILENCIO.....Haya mambo yapo jamani Dunia hii ina mambo mengi mnoooo....
watu mko faster naomben like na mm
Good sanaaa nawakubali mno aisee
Gostei do vídeo.
Falo directamente d Moçambique
Hongera msimuliaj hauchoshii jmn haina part 2😍
Asante saana kwa habari,,,if you appriciate this message naomba like hapo tukisonga mbele,,,#
Stori bomba
Naogopa sana
OK
@@leonardissaniyonkuru7616 qu
Matamani kufika uko mikashuudoe