WANATAKA WANINYANG’ANYE MTOTO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Mpaka sasa hakuna dalili ya Chendwa kuonana na mzazi mwenzie wala mtoto kuonana na Baba yake.
Chendwa amekua ndio mama na pia ndio baba kwa mtoto wake.
Anahitaji kuonana na mzazi mwenzie kwa hali na mali ili aweze kumuuguza.
Thank you Chendwa for allowing this to be online
www.Oda.international
Part 2 😭😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭 uyu msichana mdogo Ila familia wamemzeesha 😭😭😭😭uchawiiiii mbaya mno ..Mungu Amsaidie uyu mtoto dunianiii buana Yaani ata dah
Familia ya huyu dada imemdhulumu maisha yake ila Mungu atamfungulia mambo yake huyu dada ila hope amejifunza asije akawashirikisha ndugu zake tena
Huyo dada azidi kuomba Sana na pia asiwe akuwahusiwa watu vile mume wake anavyo endelea watu wengi niwanafki na Wana wivu Sana na pia hata huyu mzungu ametumiwa majini wamtenganishe na huyo binti sio ugonjwa wakawaida ni majini Mungu ampigania kabisa Amen
Amen 🙏
Hii stori inasikitisha. Tumsaidie huyu Dada aende akamtembelee tu. Ijapo ni mengi anaweza pitia akiwa huko (ubaguzi na kumnyanyapaa) anaweza kwenda akasalimia na kurudi. Tumchangieni hata Nauli tu na sehemu ya kufikia. 🙏🏾
Kwel kbsa🙏
Wazo zuri
ni kweli kbs wazo zuri lkn watamnyang'anya mtoto atatetewa na nani huko...??
Ubalozi wa Austria wanasemaje ,ubalozi uko Kenya ajaribu kwenda kujielezea May b watamsaidia
I appreciate the concern of this lady. Let us support.
Chendwa wewe ni mwanamke Shujaa. Utavuka salama unayopitia...kwangu mimi usiende Austria kwa mwaliko wa familia ya baba moto..maana watakufanyia vurugu ili wamchukue mtoto
Dada mwisho wako utakuwa mzuri sana, hayo ni majaribu tu ya dunia bila majaribu huwezi kutoka, ndiyo maombo ya dunia,
Ndugu za huyu dada walipoacha kumroga huyu walianza kumroga mwanaume ile mission yao ya uchawi iliendelea chamsingi huyu alitakiwa arudi kwa
Mama
Maombi aliemponya ili aendelee kumwombea na huyo mzungu /Namaanisha uchawi wa ndugu za huyu dada ulihamia kwa mzungu hivo yaani
Kama Kuna mtu anaelewa jinsi ya kumsaidia huyu dada aende msaidieni,lakini usikubali mtoto aende mpaka ajitambue vinginevyo hutompata mtoto
Yaani mtoto akienda kwa baba ndio mtondogoo Yaani ulaya kuna sheria
Huyo dada atakuja kunyookewa sana na maisha, naamin hivo
Huyo dada apambambe na MAOMBI TU. PAMBANA SANA DEAR USIMWACHE YESU
pole sana dada, Mungu atakuvusha hapo unapopitia. Kuna vingi vya kujifunza kwa huyu dada. Kwa wale tulioolewa na wazungu ukipata familia inayokupenda usiichukulie poa.
Pole dada, ila kwa mtazamo wangu, huyu dada asiende huko na mtoto, watampokonya mtoto na atapata ubaguzi wa hali ya juu, watamtengenezea mazingira ili aonekane ni mgonjwa wa akili ili wampokonye mtoto wake.
Pia asichoke kusali sababu ana ndugu wabaya sana, na hao watoto wa mumewe sio wazuri pia.
Mungu amponye baba mtoto wake na aiunganishe familya yake tena
Ameen 🙏
Chendwa nenda na picha ya mume wako na mtoto arise and shine kwa mwamposa hizo ni nguvu za Giza zitakoma utafurahia maisha ya family yako
🙏🙏
AMEN 🙏🏿.Mimi pia Mzungu wangu nilimupatia hapa 😊Kwa yesu Raha
@@lilywei2967wapi dada
Shenn weka km mchango km watu wanaweza kumsaidia chendwa na mtoto wake wapate safari aendere kumuuguza mume wake lakini sasa shida inakuja kwa family ya kut km watampokea vizuri au afike huku ateseke tena jaaamen huu ni mtihani masiki😭😭 chendwa ila usikate tamaa Allah yupo pamoja na wanao subr😭
Pole sana mpendwa,yote yanawezekana kwa mungu
Kwa mtazamo wangu iko hivi huyu Dada ni mzazi hawezi kukubali kuwapa mtoto akiwa na umri huo coz yeye anajuwa uchungu wa mtoto ndivyo ilivyo kwa Mama wa mzungu na yeye hawezi kukubali kijana wake aje Tz ili wewe umuuguze na yeye yupo hai hata jamii haitomuelewa na tayari anaumwa kama vile yeye pia tumbo la uzazi linauma mtoto kwa Mama hakui na wakiangalia wewe si mke wake wa ndoa,sasa hapo ni hekima na maalifa yatumike kungekuwa na njia ya wewe kwenda na mwanao ingependeza sana huwezi juwa anaweza akawaona ikawa tiba kwake kikubwa hapo ni wewe kupambana kufika alipo baba mtoto wako lakini usiwape mtoto mpaka atakapo jitambua
P
Is there anyway she can contact the doctor or hospital that treat the father in Austria. If she can not get the invitation letter from the the grandmum or other family members, the doctor should write a letter noting the health situation of the guy and why it is important for shenda and boy to come and see him. Apart from that, since the child has the right of a German citizenship ( dad is German, need to prove this either through Birth certificate or DNA, the mother can at long last be allowed to travel with the kid to German or in this case to Austria. This might take long before all documents are certified, but its worth a trial. She should seek help at the Embassy or even write them an email.
Shenda, be strong mum❤. God is going to work things out for you.
Pole sana dadangu mungu yuko naana weza yote
Pole sana dear tafathali sana zidi kumwombea sana hiyo baba
Tunjifunza hii hadithi inasikitisha sana.dont expose you are self again 😢😢😢dunia mbaya
Umaskini wa familia zetu nyingi za kiafrika kuamini kila mzungu ana pesa ndo sababu ya yote hayo, familia yake imempa stress sana mzungu, vikwazo kibao.
Mungu amponye baba wa mtoto wako na mrudi kuwa kama mwazo
Yaani Chendwa ukienda huko atapona kwa kweli!!Mungu amfanyie wepesi!
Mungu akusimamie Chendwa siku moja uje ufurahie maisha na mumeo
Nazan aongee na rafiki wa baba mtoto wake ampatie invitation iandikwe kuhsu hali ya baba mtoto wake Austria watatoa passport kwa haraka sana naimani hawezi nyanganywa mtoto Austria na Germany wako na sheria na atapatiwa mwanasheria bure na atapata haki zake hata akikosa haki kutoka kwa baba mtoto serkal inauwezo wakumpatia karatasi anaishi huko
Mungu ni mwaminifu mwamini na usikate tamaa
Hao kaka zako sio watu wazuri ni Majambazi kweli kunakaka anaweza kukataa Dada kuolewa? Sijuwi wanaushamba gani? Washamba kupituliza
Ni mtihani mkubwa kweli
Sijui ni Mimi tyu ambaye simwamini ndugu wala rafiki 😭
Yn na mm nawaogopa hatari
Tupo wengi
@@ablashaffy2860 vichefuchef kwa kwl yn wamewek uchawi mbel kuliko vitu vy msingi
@@Witness-z8p me ndo kabixa ctk shobo nao... Bora wanione Nina roho mbaya Yani ndugu hawabebeki kama zigo la mavi
Tupo wengi
Uchawi ni hatari pole sana, muombe Mungu. Tafuta hela somesha mtoto wako, kuna biracial wengi Tanzania wamefanikiwa maisha. Ushauri mwingine anaweza jiunga dating site apate mzungu ambaye atamkubali huyo mtoto na mama yake. Asiache kumsalimia na kumuombea Kurt
Mungu atapitisha uponyaji kwa huy baba tumwamini yeye
🙏🙏
Pole Sana mdada.
Jamani yupo karibu na kwangu sema mimi niko itali jamani pole sana mungu halali amesikia kiliochako
Jamani Leo ndo nimesikiliza interview yote 😭 nimelia kwakweli nimemuona huruma sana jamani
OMBI LANGI SHENDW AENDE MSHIRIKISHE YULE MAMA WA MAOMBI HUYO MDOGO WAKE NDIO NI KUKAZANA NA AMEMLOGA NI KUKAZANA NA MAOMBI TU
Inawezaka Huyu mzuri familia ya huyu ndo walimfanyizia masikini kama walivyo mfanya dada mwenyewe watu wakatili sana,Mwenyezi Mungu akupe wepesi 🙏❤️🇺🇸
🙏🙏
Nimefurahi leo kuona tabasamu la chendwa jana hadi Nuru usoni ilipotea kabisa ila tunamuombea naamini mume wake atakaa sawa na atakuja kuwachukua familia yake mungu yupo na hashindwi na jambo lolote kikubwa tu subra namaombi yakutosha🙏
Izo ndo familia zetu ndugu zangu.Adi nejikuta nalia Kwa sauti.Mwenezi Mungu atampatia itaji la moyo wake.
Daaah inaumiza sana ila nakuombea kwa Mungu akufanyie wepesi my dear,Mungu anafanya njia pasipo na njia
🙏
pole sana dada mungu ni mwema yatapita
Ooh Shendwa! Pole kwa mtihani huu unao pitia, Mungu wetu ni mwingi wa rehema. Ni maombi yangu aka vunje* protocal zote na hitaji / ombi la uvungu wa moyo wako likatimie🙏🏾.
Mungu ni mwema dear! litapita na hili
God never sleep....he is not from anybody's village ipo siku isiyo na jina Kurt ataamka na atakua sawa na mtapata furaha daima keep praying....be strong siku yako inakuja chendrwa....I myself nakuombea sana
🙏
Pole sana dada kwa wakati mgumu, mungu atafungua njia zake Amen
Natamani huyu dada akutane na mzazi mwenzie waishi pamoja ,tamthilia nzuri sana hii yani kama move
Mpendwa dada yetu.Ninakuomba uende ubalozi WA Australia haraka iwezekanavyo wakusaidie kupata viza ya kwenda Australia.Unamtoto wao .Una haki ya kupata viza kwenda huko . Mtoto no underage Hawezi kwenda peke yake.Huyo bibi Hawezi kukuwekea kizuizi.
Zaidi ya hapo Inabidi huyo mtoto apate maintenance allowance hadi kufikia miaka 18.
Ubalozi utakusaidia . Lazima upambane sana
Ni Austria 🇦🇹 sio Australia 🇦🇺
Grace . Uliniuliza kwanini nimekublock siku ile kwenye live yangu youtube?
Wewe ni Kabwela nimekugundua . You have been insulting us so many times here on youtube. Kama unaona watu wanafaidi fungua yako na wewe uje utwambie uliyonayo. That is why you hide on fake name. You need help
Tena ibada ni jumapili asb saa 3
Juma3 jioni saa 10
Ijumaa jioni saa 10
Mungu hachelewi uponyaji wako ni huo iko cku utashuhudia matendo makuu ya Yesu kuwa na Imani🙏🏼🙏🏼
Mi naona hapo Kuna some sort of racism kwa huyo bi mkubwa wa kizungu. Ni kwa vile mwanaume wako anakupenda ndio anazidiwa nguvu na kujitoa saingine kukutunia pesa. Ukienda uwe na akiba ya pesa na pa kufikia.
Duh 😢😢 hatari ila me ningeomba ungeenda ubalozini ingekuwa helpful zaid 😢
MImi ningemshauri hasiende Austria, ikiwezekana huyo baba aje Tanzania. Naona kua huyu dada atajuta kwenda huko kwasababu huyo mtoto atachukuliwa, baba mtu hatokua na power kumsaidia wakati na yeye ni mgonjwa hivyo afikirie kwa umakini na kupanga mipango na huyo rafiki yake Ken angemleta Tanzania. Mimi ndio naona itakua vyema kwa huyu dada yetu ama atachanganyikiwa wakija kumnyan`ganya mtoto mbeleni
Mungu akusaidie mdogo wangu na mungu amponye baba mtoto wako🙏
Dada nenda kawe kwa mwamposa mumeo atapona na mtaungana kama familia tena kirahisi tu.huo ni ushirikina umefanyiwa.
Yaanii wamemtenda vibayaaa lakini Mungu hashindwii na kitu chochote
Amka usiku wa manane omba mungu. Muda wa mwezi mmoja. Utapata majibu na mme wako atapona
Baadhi ya hawa wazungu ni washenzi sana, usi mwamini huyo bibi aki kuchekea, hataki uende ku muudumia baba mtoto wako kwasababu anaogopa mwanae ata kwandikia urudhi kwasababu ana mtoto nae. Chendwa, mungu ata kusaidia tuu endelea kumwomba haya majaribu yatapita.
Mungu akusimamiye zaidi iri uweze kuwa sawa na kira waliyo fanya ubaya juu yako ubaya ukawarudiye wenyewe
Pole Sana Mwenyezi Mungu Akusaidie
Shendwa pole sana mwanamke mwenzetu,Mungu akupiganie na mtoto. Please hemu mwambie baba mtoto akusaidie kupitia mama yake upate document zote muhimu haraka mtoto apate passport ya AUSTRIA au ya GERMANY. Mwambie hiyo ndio zawadi kubwa atampa mwanae kwa maisha yake ya baadae.Mungu akusimamie InshaAllah
Hawezi pata passport ya Austria, Germany akiwa tz.
Chamsingi apate njia ya yeye kwenda uko
@@nicedavid8536anaweza akapata sababu ni mtoto Austria wanatoa pale ubalozi wa Germany kama baba atasaini documents zote na kuzituma tanzania zikiwa na muhuri wa uhakiki kutoka kwa ofisi za foreigner nchini kwake
Mungu atakutetea mamy
Daah inasikitisha sana dah ila dada usichoke kumuomba Mungu atakufanyia wepesi inshallah 🙏Na mumewako atapona inshallah kila kitu kitakaa Sawa Mungu ashindwi na jambo
🙏🙏
NI huzuni kwa kweli nina imani mwenyezi Mungu atakusimamia na hatakurinda utakuwa salama tuu kila kitu kitakuja kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu
Kuna Sheridan inaitwa zambrano ni law kama una relate na Europe member kama huyu anatakiwa kutafutia passport ya Austria
Shukran kwa wazo zuri
Ipo siku utafurai mungu wetu nimwema na na takufungulia milango❤❤❤
Pole Sana itakuwa wamewachezea wewe na mumeo Yan kuna roho za Giza za magonjwa chasingi piga magoti omba mungu Sana mambo yatakuwa sawa tu omba Sana
Asante, na pole.
pole sana dada mueke mungu mbele inahuzunisha sana
🙏🙏
Da shen m part one sjaion plz nioneshe😮 maan sielew k2
So sad storry god bless you chendwa
Mwenyezi mungu atakusaidia tuu endelea kuomba mungu.
Usichoke kuomba Chendwa na Mungu atakufungulia milango,
🙏🙏
Kurt aende ubalozi wa tanzania huko Austria to claim he has child in tanzania and he wants his child and the mother of his child, instead ya kutaka kuja bora to go to the embassy
He is sick
Tumuombee apone
We are together mpe pole dada chendwa
Uzito ule uchawi jamani uyu msichana kuna viza zinatolewa dola 2500 tunaweza kumsaidia akaondoka jaman
Natamani Chendwa aende kuuguza mume wake,lakini vipi kuhusu familia ya Kut jamani.?cjui ni hisia zangu ila naona kama inaweza ikamletea ugumu kidogo labda kamaataenda awe na nauli ya kurudia kama kutakua na shida.
Mmmmhh mimi naona hapo ni maombi tuu itasaidia waluposhindwa yeye na mtoto ndio wakaamua watume jini kwa mzungu, jambo linguine awe careful kwa kwenda huko labda aende kwa mtu mwingine sii kwa hiyo familia cz nahisi ataenda kunyanyaswa eachukue mtoto, wazingu hata kuua kwao sii kitu nor wafanikiwe wanalotaka
🙏🙏
INATAKIWA APEWE MWALIKO NA MTANZANIA YOYOTE ALIYEOKO HUKO. APATE VIZA YA KWENDA KUTEMBEA TU ILA AFIKIE KWA ATAKAYEMWALIKA KISHA AKAMTEMBELEE TU BABA MTOTO WAKE
Pole.sana..ila.kama.ukifanikiwa kuenda usikae kwa huyo.Bibi. Austria ni wabaguzi sio wote ila wabaguzii mnoo
.
Wewe unaishi Austria ?
Yaaan inasikitisha jmn
Mungu atamsaidia tuu
🙏
Uyu rafiki yake atafuye lawyer anaesimamia droit familial ampe ushauri ajuwi jinsi gani wanaweza kumsaidia. Mtoto ni australien
Jamn Mungu amewatebdea wengi kupitia jina la YESU KRISTO,nakuomba binti njooni madhabahuni mpate uzima Kwa jina la YESU,naomba SMS zangu zipate kibali machoni Pako
Mungu akafanye njia pale pasipo na njia milango yake ikafungunke amkute baba wa mtoto wake amuuguze abone pia atapata faraja na kupona endapo watafika kule jamani
Zungumza na rafiki yako aku invite ili atlist uwe kule umuone kwamda kisha uwe na uu siyano na watoto wa kambo
Alla akufanyie wepesi utaipata furaha na mumeo atarudi kawaida mtakuna furah tena
Mungu akutie nguvu kipenzi uckate tamaa nakuombea Mungu akufungulie milango uweze kuvuka hili.
🙏
Nampenda YESU cm inasumbua,hayo ni majiniyametumwa kuwafarakanisha naomba niwaombee
Mungu anafanya njia mahali pasipokuwa na njia
Dada shida sio huyo bibi, Bali shida ni uchawi wa kwenu so please Endelea kupiga goti funga omba na pia huyo mama wa maombi aliyekuombea mshirikishe uendelee kuomba ukiombea mama mkwe uchawi waliomtumia utoke na baba watoto wako amelogwa so Endelea kumuombea ongea na Mungu maana huu ni ushuhida wa nguvu za Mungu kupitia wewe. Mungu anakutumia kuwa mtu mkuu kupitia jina lake. Endelea kuomba kwa ajili ya Kuti mama mkwe na familia yake yote na wewe jiombee kibali kwa watu wa upande wa Kuti. Yani kwa Sasa unatakiwa kufanya zaidi maombi kisha kazi uweze kwenda mwenyewe
😅😅😅😅 Yani ww bwana eti kuti kama sio Kurt mweee waswahili tunajua kuharibu majina ya watu
Huo ndio ukweli huyo mdogo wake mchawi ndo kafanya hilo tukio
@@brendajulius2995nimechekaa eti kuti 😂😂😂
Maskin huyu mdada namuonea huruma sana napia anaonekana anamoyo mzur sana Mungu amsaidie anatia huruma wallah🙏🙏🙏😪😪
Pole dada mungu yupo nawe
Reconnaissance familiale inaweza kumsaidia uyu mama. Wapime damu ya baba na mtoto
Mungu akujalie mkutane Tena jamani daa
🙏
Sasa kama huyo mzee yuko desperate kuwa na family yake siwamruhusu huyu dada na mwanawe waende huko Austria 🇦🇹 kwa kumtumia nauli aende akamfariji mumewe .
Naomba no ya chendwa
Sasa mimi wazo langu Lilikuwa ivi Dada yangu kama wewe uko Austria ama mwengine ambaye anaweza kumsaidia uyu dd aende Austria Mwenyewe Vila mtoto ili kama Ana adress ya mume wake afike amuone najuwa akiona mume wake at arudi naye ama atamukuza iyo ndio mchango wangu
Mungu atakusaidiya wewe na mtoto wako❤
Kuna Wazungu matapeli wamejaa mitandaoni muwe makini wadada mnapigwa matukio ya uongo muambiwe anaumwa kichaa anaumwa stroke kumbe utapeli mtupu
Chedwa mwanangu kama uko Mbezi beach kuna Nabii SS Rolinga yuko Omega Church ni Mbezi Beach njia ya panda ya kwenda Africana unateremka hapo na ukichukua boda boda ni elf 1 mpaka kanisani hao vijana wa boda boda wanajua kanisa lilipo
Au fungua Azam
Haleluya TV
Hata You Tube utapata direction wapi kanisa lilipo
Kuwa na imani Yesu anatenda nenda please
Kabra hajaenda aende kwanza kwa kuhani Musa kimara temboni akaombewe na pia anunue vifaa vya kiroho aende navyo vitamsaidia, au anunue vitamsaidia yeye
Nampenda kumpa ushauri shendwa kwanza kabisa anatakiwa kuwa strong cha pili akipata chance ya kuongea na baba wa mtoto wake ajitahidi sana kumpa ushauri kama mchumba anampenda yeye pamoja mtoto inabidi amwambie mtu kama kweli unatupenda itabidii ufate utaratibu aliopewa na doctor atumie dawa ili apone haraka aungane na familia yake lakin hiyo ya kusema mtu anataka kuondoka bila matatibu anawatesa mama na mtoto kama anampenda amsisite sana mtu atumie dawa ili apone kwa wakati then aje kuungana nao mungu amsaidie apone kwa haraka aungane na familia yake tena mana mwanaume anaonekana anawapenda sana
🙏🙏
🙏
Mimi kwa mtazamo wangu ugonjwa wa huyo baba wanahusika ndugu zako wewe na mama wa huyo mtoto wa cameroun maana anaonekana sio watu wazuri na huo wivu mpaka kumnunua baba yake anafundishwa na mama yake mimi nakushauri ukienda uwe makini wasikutilie sumu
Pole sana jitaidi tu uende atapona mume qako
Naomba voda pesa yake au tigo pesa...
+4367764790884
Naomba uniandikie WhatsApp kama hutojali ili niweze kushare mawasiliano ya binti