MCH NDACHA AMJIBU USTADHI SHAFII KUHUSU VITABU VYA KUOKOTEZA KWENYE MIDAHALO, AMUOMBA UWANJANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 มิ.ย. 2024
  • TULIPATA WASAHA WA KUONGEA NA MCHUNGAJI NDACHA NA HAYA YALIKUWA MAJIBU YAKE KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA VITABU VYA KUOKOTEZA KWENYE MIDAHALO

ความคิดเห็น • 209

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 5 วันที่ผ่านมา +10

    Ndacha Mbane Kabisa Mfinye Kisawasawa Paka Atoke Zee Hadarani❤Shafi Awache Kuji Ficha. Mimi Napenda Sana Dunia Ijue Ukweli Uko Wapi❤❤❤

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา +5

    Ndacha mungu akubariki sana umefanya tunawashinda waislamu wameanza kuingiza baridi,wakristo tumeanza kua mbele,mungu akulinde na akupe maisha marefu na guvu ya elimu na afia tumalize uwislamu huu,

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 4 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu kashasema atakilinda kitabu chake na atailinda dini yake

  • @solihanegier890
    @solihanegier890 3 วันที่ผ่านมา +2

    Weee ndacha acha kufuru mwenyezi mungu siku atayokuhitaji utajuwa kua shekh shafii mkweli au ww tatizo ww ni Kuni ya mtoni

  • @marrygicho4050
    @marrygicho4050 5 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu kijana mwandishi namkubari pia kwa mpangilio wa maswari yake 'utaeda mbali MUNGU akutangulie. Ubarikiwe pia mtumishi Ndacha kwa mikakati hii ya kutufudisha maadiko ubarìkiwe sana MUNGU akutangulie.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 5 วันที่ผ่านมา +1

    pongezi kubwa sana ni Kwa Ndugu mtangazaji upo vizuri sana.

  • @danielkamau2987
    @danielkamau2987 5 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha wasomeshe.. na uwafungue macho

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 5 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha mualimo wa Kweli

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 4 วันที่ผ่านมา +1

    Nimependa aana Ndacha shaffi anongea sana

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ufanyikie mwanza itakua vizuri

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 5 วันที่ผ่านมา +4

    Ndacha injili ya mungu iendelee mbele ktk jna la Yesu shafii ni Mwoga hkuna kitu anajua Quran Muhammad aliyesomea Mjini na kusilimisha Shetani hkuna kurudi nyuma mpaka Kieleweka maneno yao hasikutishe ss ni Yesu Kristo basi

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akuongoe kabla ya umaut ,,,, uislam Ni Dini ya khaki ,,,, Mungu hajaandika kitabu kinaitwa bibiliya

    • @moshantoj
      @moshantoj 2 วันที่ผ่านมา

      Mungu hajaandika kitabu kinaitwa biblia biblia ni nini na wapi andiko mungu hajakiandika wewe mtoto wa muta?
      Kama siyo adui wa jibril aliyeshusha quran toa andiko mungu aliandika.

    • @sospetermatonya5133
      @sospetermatonya5133 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sasa Mungu kaandika kitabu gani

  • @emmanuelomary1725
    @emmanuelomary1725 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hahaaa ndacha unanipa amani ya moyo sana

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 4 วันที่ผ่านมา

    Ndacha akosawa hakika roho ya Mungu ikubariki

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Waambie kweli wape kweli ya mungu ya juu hakun mtu anae yajua maandiko dunian wazungu wanashindwa kujibu wewe unaweza sule kakushindw kuusu uungu mazinge kakushindw hao walimu wa kiisilamu wakikufata fata watasilimu bola wake kimya tu

  • @joezeno8
    @joezeno8 5 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji uko vizuri 💯🔥👍🏿

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande 2 วันที่ผ่านมา

    2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 4 วันที่ผ่านมา

    Kwani huu wa juzi na sulle si walitumia Quran na Biblia asa kaangalie nani alishinda Ndacha anajua sana hammuwezi

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n 5 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna muislamu anaepinga au kuona tusi kwa kurogwa mtume

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 4 วันที่ผ่านมา +2

    Shafii awezi kushindana na wewe lazima atalala mitini huyo

  • @kimanimuikamba4714
    @kimanimuikamba4714 4 วันที่ผ่านมา +2

    Hivii akina juma kinyogoli waliingia baridi kabisa

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r 4 วันที่ผ่านมา +1

    Shafi aende asome mwanzo...Kisha awache kueka masharti.

  • @abduljaffer
    @abduljaffer วันที่ผ่านมา

    Ndacha akili finyu shida iko wapi kama jini wako na ni waisilamu

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndacha wakubuke wahisiram wamefanya zabisana kuwafanya wezao kama ngombe kwasababu yakuabudu majini baharini

  • @samxx411
    @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

    Ndacha kuwabadili waislamu utachelewa sana labda awe hajatokea katika mifupa ya muislam. Tatizo lako ww huna hoja ila unapindisha maandiko..muislam hawezi kumtukana yesu wala manabii wengine wa Mungu ila nyie ndio mnamtukana yesu.

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 5 วันที่ผ่านมา +2

    Shafii akuna Mwalimu pale anatafuta umaarufu

    • @DesderiusHaule
      @DesderiusHaule 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ustadh shaffi usikubali kuwa na mhadhara na pastor Ndacha kwasababu utaudhalilisha uislamu kwa maswali utakayo shindwa kuyajibu.

  • @solihanegier890
    @solihanegier890 3 วันที่ผ่านมา

    Muhammad hakutumwa na mwenyezi mungu tena katuma ww kafiri mkubwa

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ndaji hana mpinzani

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 4 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa hafii hana elimu hata kidogo. Me namfatilia ila hatumii maandiko hata kidogo anatumia maneno yake kichwani. Yani ye analeta umbea badala alete maandiko yao yanasemaje kwa kupiga hoja anazopewa. Ye anatoa maneno kichwani.😂😂😂 Ndacha elimu imelala na anajiamini sana. Shafii mbwembwe kibao😂

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 วันที่ผ่านมา

    Ndacha ww wacha mchezo,ww na msomaji wako,mm ni Muislam lakini nawakubali sana akina Yohana omari,lakini sio ww,hufanyi mjadala kufundisha watu bali kuharibu maandiko kabsaa,unasoma andiko alafu mnaanza kujibizana na msomaji wako,andiko linasema vingine ww na msomaji wako malnaingiza mambo mengine...alafu unapenda sana maneno ya mtaani ya uzushi..huko si kufunza watu...unaboesha sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 วันที่ผ่านมา

    👍✌️🙏.

  • @Valiantboe-dx4ch
    @Valiantboe-dx4ch 4 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu nini wee mtu akili huna sio wa kubishana 😂😂😂

  • @favoritebrayo
    @favoritebrayo 5 วันที่ผ่านมา +3

    shafii yani ni mtoto sana ata mimi haniwezi

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 วันที่ผ่านมา

      Kabsaaa

    • @user-do7ui5wi3n
      @user-do7ui5wi3n 5 วันที่ผ่านมา +1

      @favorite Shafii kweli hakuwezi kwa upotovu na ujinga

    • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
      @JUMAKANYEBWE-hy7ge 5 วันที่ผ่านมา

      Kwa ubishi uko swa

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 5 วันที่ผ่านมา

      @@JUMAKANYEBWE-hy7ge hakuna muislam anajua MUNGU allah si mungu ndugu zangu endeni mtubu kwanza kwa kumwabudu shetani ibilisi na malaika zake majini

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-do7ui5wi3n babako ndio mjinga

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 4 วันที่ผ่านมา

    Yani uwatowe waislam ktka giza uwapeleke ktk ukristo kwenye mwanga...mchuzi mwekundu bana😅

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Walitudanganya sana wakristo wa tanzania wakina sule na mazinge wakampinga kristo wakina mwaipopo wakasilimu kwakua hawakujua maandiko sasa kumbe uislam ni uwongo hoja zako hawagusi wape habari njema 😢😢😢😢😢😢😂

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 วันที่ผ่านมา

    Ndacha haijui Quran wala Biblia

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 2 วันที่ผ่านมา

    Shaffi hawez lolote hana elimu

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 3 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa kueka viraka😅😅

    • @moshantoj
      @moshantoj 3 วันที่ผ่านมา

      Ni vile unataka ujibiwe na elimu ya msikiti. Mr stone kisser wewe

  • @ShomiLongwa
    @ShomiLongwa 4 วันที่ผ่านมา

    Poster ndacha mungu akusamehe na akuongoze uione njia,uuji uislamu na huna hata robo ya elimu ya dinin uislamu mungu ni mmja na hakuna mungu isipokuwa yeye msimamo ni huo,

    • @user-wb4xv7lf1h
      @user-wb4xv7lf1h 3 วันที่ผ่านมา

      Imani inaongozwa na roho ya Mungu tatizo nyie mnajikuta wasomi Sanaa lakn hamna mwongozo wa kiMungu mnatumia akili zenu wenyewe ndo maana mnafel

  • @user-bh5cu2jy6c
    @user-bh5cu2jy6c 4 วันที่ผ่านมา

    Toa aya au hadith inayosema tunasalimia majin na malaika kwenye swalaa

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 5 วันที่ผ่านมา

    ndo maana unaambiwa acha vitu vya Kuokoteza okoteza, sasa unanukuu maneno ya mtu kisha unasema hiyo ni dalili ilihali huyo mtu hakunukuu hayo maneno kutoka kwenye reference yoyote, hili nalo ropokaji

  • @111dudi
    @111dudi 4 วันที่ผ่านมา

    Ndacha kasema hautambui uislam, na hapo hapo anatumia quraan ktk hoja zake. Mbona hajielewi?

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 yaan ndio nazid kuamin maamuz ya kuhama Ukristo nilikuwa sahihi, yaan nimesikiliza maneno Shekh Shafii nime msikia na Ndacha😂😂😂halafu kwenye comment wakristo wanajifarij

  • @KHADIJANDABABISA
    @KHADIJANDABABISA 3 วันที่ผ่านมา

    Ndacha elimu ya quran hana ndio maana ALLAH kashasema elimu ni nuru yake huwa hapewi mtu asi

    • @moshantoj
      @moshantoj 3 วันที่ผ่านมา

      Mr stone kisser 😂😂😂

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 2 วันที่ผ่านมา

    Shaffi wewe aujaandika kitabu naunajifanya msomi

  • @samxx411
    @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

    Ikisha ndacha unajichanganya, unasema tafsiri ya ahmadiyya haikubaliki kwa sunni ikisha hiyohiyo unakuja kuitumia kwa defend sasa hao wafuasi wako wafahamishe wafahamu huo uongo wako

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hoja zandacha nindogo Sana, Ila kwakuwa Wahadhiri wetu niwavivu wakusoma vitabu vyakiislaam, wao wamediri Sana kusoma Qur-an na Bible tu, nakwahali hiyo hawatomiweza ndacha kwasababu ndacha anapitia sana vitabu vyawaislaam, maana hizo hoja anazozijenga nindogo sana vitabu vyakiislaam vikowazi navimekunjuliwa maana zake, maana hizo hoja anazozipinga Shafy nikweli zipo ila uwelewa wandacha2 mdogo, Sasa alitakiwa apatikane muhadhiri mwenye elimu mzuri wahadithi amnyoonye vizuuri

    • @moshantoj
      @moshantoj 2 วันที่ผ่านมา

      Mr stone kisser unataka aelewe aje na iko wazi? Mkunduthe hii😂😂

    • @benjaminheadman8337
      @benjaminheadman8337 วันที่ผ่านมา

      Yaani wewe umenikosha,,nikweli ulivyosema!!!!ila kunakitu hujamalizia kusema kuwa wahathir wenu niwazeee wa mshahara....ndio kama akina Sule"wanatembelea mashangingi,mwenzio anasoma...

  • @Valiantboe-dx4ch
    @Valiantboe-dx4ch 4 วันที่ผ่านมา

    Kwani huyu ndacha chizi ee 😅😅😅

    • @samxx411
      @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

      Si chizi ila hana hoja za ukweli

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande 2 วันที่ผ่านมา

    Je, adui wa Jibril ni nani??

    • @samxx411
      @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

      Ni wakristo na makafiri wengine ambao walimchukia jibril ambae ndie alieshusha quran kwa nabii Muhammad

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ndacha haumueez shafii hata kidogo,maana yeye hanaga kuungaunga kama wewe,tunachojivunia sisi waisalaam ni vitu viwili tu ambavyo tumepewa ambavyo ndio muongozo kwa kila muislaam,navyo ni QURAN na Sunnah, ukija kichwa kichwa tu na kuparamia viwili hivyo bila kusomeshwa ukajisomesha mwenyewe basi lazima upotee kama huyu ndacha na group lake.

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 3 วันที่ผ่านมา

      Waislam ndio mnafanywa punda kwa kuaminishwa kwamba huwezi soma hicho kijitabu mpaka usomeshwe,jisomeeni muijue quran sio kuishi kwa mazoea.

    • @moshantoj
      @moshantoj 3 วันที่ผ่านมา

      Hata Allah hawezi Ndacha 😂😂😂

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 5 วันที่ผ่านมา

    Ukristo umetokana na ukatoliki ,ukatoliki umetokana na roman empire tangu kwenye vitabu vyenu ,na ukatoliki ndio unatangaza ushoga duniani ,jitambueni ,ukija kwa lutheran nitakupa hoja ukija kwa matayo nitakupa hoja ukija paulo nitakupa hoja.....

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 5 วันที่ผ่านมา

      Ujui kama mhamad na quran imeletwa na shetani quran2:97

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 วันที่ผ่านมา

      Wakristo wanaongozwa na Biblia, kwa hiyo hayo maelezo yako yote hayapo kwenye Biblia unajifurahisha tu 😂😂

  • @DavidSungu-my3dh
    @DavidSungu-my3dh 5 วันที่ผ่านมา

    Je paulo amesilim

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา

      Paulo hajasilimu na hata hana idear na kusilimu juu akokwa njia sahihi ya christo,ata jana alikua akisoma bibilia kwa mhadhara mungu awalinde wote

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 4 วันที่ผ่านมา

      Yule muratad paulo ipo clip yake TH-cam anaelezea kilichompeleka ukristo anaongea mwenyewe na jinsi wanavyopindisha hakuna mkristo anaweza kumuingiza muislam aliesoma kwa hoja ndacha kilaza na muongo maandiko mengi anaongopa

  • @salisali3738
    @salisali3738 5 วันที่ผ่านมา

    Ndacha hana ila maneno ya kukejeli tu

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา

      Ww huwelewi ila sister tunaelewa vizuri

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 วันที่ผ่านมา

      Wewe humsikilizi ndacha ili uelewe, au huenda jini karini anakutoa akili ukianza kumsikiliza, yani hata kiziwi akimsikiliza ndacha bila ushabiki anamuelewa 😂😂

  • @silveriusfungilwa5995
    @silveriusfungilwa5995 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu Ndacha shafii mwoga hata kuweza

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 5 วันที่ผ่านมา

      ndo nyie MAKAFIRI mnaoburuzwa kw uongo anaosambaza ndacha, utapoingia kaburin ndo utakapojua

    • @gotfriedmwesiga4234
      @gotfriedmwesiga4234 4 วันที่ผ่านมา

      @@halidimgonza5945 msikilize vizuri Ndacha uelewe hoja zake zinahitaji kujibiwa kwa hoja za maana siyo kwa ushabiki

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n 5 วันที่ผ่านมา

    Hebu wakiristo tofautisheni baina ya Injili na Biblia

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 วันที่ผ่านมา

      Biblia ni mkusanyiko wa vitabu kuanzia uumbaji hadi mwisho wa hii Dunia

    • @benjaminheadman8337
      @benjaminheadman8337 วันที่ผ่านมา

      Nawewe tenganisha uislam na puruan

  • @solihanegier890
    @solihanegier890 3 วันที่ผ่านมา

    Kwani huujuwi km uo uisilam Ndio dini ya khaki ila ww unawapotosha watu kwa MAFANIKIO yako lakini iko siku yako utajuwa au hujuwi kafiri mkubwa wee

    • @user-wb4xv7lf1h
      @user-wb4xv7lf1h 3 วันที่ผ่านมา

      Mjifunze kuwa na hekima ukiwa na Mungu hayo matusi yenu yataisha ila kwa sababu mnatumia akili hamtaelewa

    • @moshantoj
      @moshantoj 3 วันที่ผ่านมา

      Peleka ujinga kama ya mtume wako na Allah mbali

  • @ShomiLongwa
    @ShomiLongwa 4 วันที่ผ่านมา

    Makafiri kama wewe walikuepu na wataendelea kuepo una elomu unaongea upuuzi tu

    • @moshantoj
      @moshantoj 3 วันที่ผ่านมา

      Kafiri ni Allah

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 4 วันที่ผ่านมา

    Safi jembe la yesu

    • @samxx411
      @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

      Yesu hana jembe, yesu ni muislam hata kanisani hajawahi kuingia wala kufundisha, wala biblia haijuwi wala hajawai kuiona..

    • @FrankAloyce-ic6rq
      @FrankAloyce-ic6rq 2 วันที่ผ่านมา

      Yan ww umechanganyikiwa kwel wap yesu anasema najuwa Quran ?wap yes kasoma sura za Quran?wap yesu kaenda maka kuiji kama waislamu wanavofanya ili awe kwel muislamu kama ulivosema?acha kukariri najua ulichokalilishwa nakungoja

    • @samxx411
      @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

      @@FrankAloyce-ic6rq ndo mana mnaambiwa msome, sasa yesu ameteremshiwa injili kwa wakati sio quran, ni sawa nakusema wapi Mussa alisoma injil au daudi alisoma injil hivyo huwezi kupata ila yesu ni yake lkn biblia haijuwi...soma uelewe kama hujui tafuta mwalimu usibishe ulichokuwa hujui ikisha unajiona unajuwa

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 5 วันที่ผ่านมา

    Kuna watu wanaitwa Ahlu hadith waliobobea kwenye elimu ya Hadith ya kuweza kuchambua Hadith kujua Hadith na daraja lake, wewe mropokaji wa Kuokoteza okoteza vitu hauyajuwi hayo

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 2 วันที่ผ่านมา

      Omba mjadala naye basi

    • @zaburionlinetv6245
      @zaburionlinetv6245 2 วันที่ผ่านมา

      @@richardchimba3800 Nitaomba na wangapi Dunia nzima hii ??

  • @salisali3738
    @salisali3738 5 วันที่ผ่านมา

    Huto weza kuwa toa Wa Islamu abadani mpaka ije kiyama labda awe Muislamu feki

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m 5 วันที่ผ่านมา

      Ww ndo mbishi ila wengi wanasilimu

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 5 วันที่ผ่านมา

      Kiama kinapofika utakuwa ushachelewa

    • @salisali3738
      @salisali3738 5 วันที่ผ่านมา

      @@msemakweli243 ww ulieye wahi hongera zako

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 วันที่ผ่านมา

      Na hicho kiama atakayekuja kuhukumu ndio huyo wanaemfata wakristo, sasa sijui utaponea wapi labda utengeneze kiama chako 😂😂

    • @salisali3738
      @salisali3738 4 วันที่ผ่านมา

      @@mobutu3884 nita tengeneza kama nyie mlivo tengeneza msalaba na sanamu la yesu mna vaa shingoni si ndio kuabudu sanamu huko

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 5 วันที่ผ่านมา +4

    ustadh shafii yuko sahh, ww ndacha unapenda kutumia vitabu vya vichochoron kusambaza uongo kw lengo la kupotosha watu, tembeen kwnye biblia, Quran na vitabu sahh vya hadith uone km utachukua round, acha uongo utaenda chomwa

    • @MollelSirikwa
      @MollelSirikwa 5 วันที่ผ่านมา

      Unajua ukweli ni moja na inaumaga

    • @user-ym5dc1iz9e
      @user-ym5dc1iz9e 5 วันที่ผ่านมา +1

      Nfacha yeye ni mtu wa viraka 😂😂😂😂nimeangalia midahalo yake ya kenya anatukana tuu hana hoja ndio maana shafii hataki kuwa naye jukwaani

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-ym5dc1iz9e swadakta 👍

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe na shafii ndo amjui

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ym5dc1iz9ekwa vilaka msikilize mazinge,shaffi,kinyogoli,sulle,na wengine wafatilie bila ushabiki

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 5 วันที่ผ่านมา

    Niwaulize wakristo hio biblia mnayotumia aliteremshiwa mtume gani ? Naomba andiko kutoka katika hio biblia yenu sio maneno ya kuungaunga

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe ukijibu hili nitakujibu quran imetelemshwa na nani?

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา

      Bibili nimkusanyiko wa vitabu,imebeba injili,zaburi,Torati hio ni bibilia full

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา

      Then mungu aliteremsha torati kwa musa,akatemsha zaburi kwa dauudi na yesu(isa)akateremshia injili,ikikusanywa pamoja inaitwa bibilia Nathani umeelewa sasa

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 5 วันที่ผ่านมา

      Kuelewa ndio shida ama mnapuuza na macho makafu,maana quraan imewafafanulia vizuuri na hamwelewi mtafunzwa mpaka lini duuuuuuu:

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 4 วันที่ผ่านมา

      @@user-dt5wp5qo4n wanaelewa hila majini yanawafunga ufahamu maana yanajua wakifata yaliyomo kwenye bibilia watawakosa

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kitabu cha wenye akili ndio Ilo bíblia la upotofu? Wacha upagani wewe ndacha. Tena ukime. Biblia ni kitabu cha wajinga na maneno yote Kwa kireno tunaita poesia. Tânia ni kama nyimbo za wasanii.

  • @BaruMasimango-zo2se
    @BaruMasimango-zo2se 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ndacha acha uwongo'' ata mimi takufundisha'' njo congo kalemie'' takulipiya nauli

    • @GodyMussa-sc9fj
      @GodyMussa-sc9fj 5 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa amedanganya nini mbon haujafafanua??

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 5 วันที่ผ่านมา +2

      Nazani uislamu mwingi ndio unakusumbua

    • @faithfultoyeshua4576
      @faithfultoyeshua4576 5 วันที่ผ่านมา +1

      Alikuwa congo. Hukumuita

  • @user-ym5dc1iz9e
    @user-ym5dc1iz9e 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ndacha wewe unachojua ni kuweka viraka huna hoja shafii fundi ikitaka dizaini yoyote anakushonea lakini ndacha fundi viraka hana ilm ata anza kutukana mitume

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna uisilamu bila viraka

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 5 วันที่ผ่านมา +1

      Waislam wote hawana chochote katika vichwa vyao Kisa Muhammad

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 วันที่ผ่านมา

      Wewe uanamuona shafii anajua sababu hujui chochote zaidi ya usihabiki, ila mwenye uelewa akiwasikiliza anagundua shafii ni janjajanja tu na mashabiki zake ndio nyie😂

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 5 วันที่ผ่านมา

    Sasa mugahalo ufanye wewe ikiwa Huna kitabu wewe ,,sema kitabu gani unacho unacho kifwata wewe ,,wacha nikuuleze basi ikiwa no biblia basi hiyo biblia mwanzo hata hakitambuliki kwanini nasema hivyo mwanzo hio ni translation of translation of translation of translation of translation of translation,,sasa unakuja na kitu translation hata hujui mwanzo wake iko wapi kabisa hujui wala hujaiona wala hutaiona sasa kuna faida gani hapo ati kujadiliana hio ni waist of time unafwata kitu hata hukijui ,,lakini tuje kwa quran iko original na tafsiri yake kitu kiko sawa

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 วันที่ผ่านมา

      Na wewe tafakari hii, hiyo Biblia ambayo unasema ina translation nyingi iliandikwa kabla ya quran, sasa swali la kujiuliza kwa nini hiyo hiyo Biblia maandiko yaliyoandikwa humo na quran imekuja kuyaandika hayo hayo? Kwa hiyo hii inamaanisha walioandika Biblia waliongozwa na Mungu na walikuwa sahihi mpaka quran ikakopi yaleyale 😂😂
      Ila mnadanganywa eti Mungu alimtuma malaika kuishusha quran,kwa hiyo malaika alikuwa anashusha maandiko ambayo yapo kwenye Biblia ambayo ilikuwepo hata kabla ya Mohamad , halafu mnasema wahyi 😂, someni vitabu vyenu vizuri mtajua mlipopotezwa 😂

    • @sosdododo5653
      @sosdododo5653 4 วันที่ผ่านมา

      @@mobutu3884 ati quran imekopi kitu cha translation of translation of translation of translation,,,quran iko madhubuti haina upungufu hata kidgo inekamilika mkamiliko wakisawa mwenye ezi ashasema yeye ndio atahifadhi quran na paka sasa million of million wamehifadhi quran hata ikapotezwa hio quran,,sasa hivi iteregeshwa manake watu wanaisoma bila kuiona hio quran,,tuje biblia maskini ikipotea ndio imepotea ,,hivi tiari imepotea imebaki hio translation of translation of translation hata hamujui mumeandikiwa nini nani ameandika hajulikani nini author hakuna hakuna amjuae author hata ni aibu kitabu hakina author pengine hata hujui hivo nanajua hujui hio wewe poleni sana

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndacha aisee ni mtihani anaonekana hana akili timamu
    Sasa kama hicho kitabu kimeandikwa wananukuu katika hadithi sahihi vitabu vya hadithi sahihi vipo kwa nini usilete hicho kitabu cha hadithi unaleta kitabu cha babu sijui ulimwengu wa majini halafu anaonekana ana hoja

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 4 วันที่ผ่านมา

    Kwani huu wa juzi na sulle si walitumia Quran na Biblia asa kaangalie nani alishinda Ndacha anajua sana hammuwezi

    • @samxx411
      @samxx411 2 วันที่ผ่านมา

      Kwa wewe unaona sawa ila maandiko hayajuwi anabadili maandiko