MCH.NDACHA AMLIPUA SHEHE SHAFII KUMPINGA DR SULLE KUWATUMIA MAJIN VITABU VINASEMA UKWELI UNAPINGA JE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 273

  • @petermochengo8647
    @petermochengo8647 3 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mutumishi ni hatari sana vitabu hivi ningependa kuvipata God bless you brother

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      Hana uhatari wowote

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      @@thekingdragon8358 yaani anapatiza mashehe ama anabatiza yesu ni bwana

    • @Mutua-h9r
      @Mutua-h9r 3 วันที่ผ่านมา

      Hatari zaidiiiiii🎉

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 3 หลายเดือนก่อน +8

    Hiyo salamu nikweli kabisa kidogo sikumoja niitikie hiyo salamu 😂😂 najivunia huyu YESU 🙏❤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe sana dada Farida

  • @countercheck887
    @countercheck887 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mlw Ndacha barikiwa sana kwa kuelimisha makafiri wanaoishi kwa uongo

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mtumish Mshike Sule Akupe Siri Ilio Jificha Usilam Kuhusu Majini Na Dini Yao Yote. Ukijua Utangazie Ulimwengu Bila Uoga Watu Wakombolewe Ju Watu Wana Potezwa Bila Ya Kujua Siri Hii Ya Majini. MUNGU Ako Pomoja Nawe Hakuna Silaha Itakayo Kuduru Wala Majini Hawata Pata Nafasi Ya Kukukaribia Kwa Dam Ya YESU❤Amen❤❤❤

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      ❤️🤣🤣🤣💪💪💪💪💪àfijue siri

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      nilitaka pastor aseme kitabu kinaeleza waislamu waabudu majini sioni akisema kitabu kinaeleza majini mtume wao ni muhamad kitabu chao ni quran kitabu kinaeleza wapo majini waislamu na wapo makafiri hyo nio sawa coz ni viumbe wa mungu wako waadilifu wako wazinzi kama tulivyo si binadamu kitabu kiigeeleza muislamu anaabudu majini hata sahii ningetoka uislamu

    • @juliusdominic-uk4bu
      @juliusdominic-uk4bu 3 หลายเดือนก่อน +2

      majini ni mashetani ww achu kulala amka hakuna jini mzuri majini ndio yanao tusababishia matatizo wachawi,waganga wanayatumia kutuzuru

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@juliusdominic-uk4bu tunasumbuliwa sana na hayo majini wanayosema ni mazuri

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 หลายเดือนก่อน

      Waislamu wanaoenda kuhiji wanasema wenyewe majini yapo msikitini

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน +8

    Majini na Waislam ni mandugu katika Imani, Sule ako sawa, amesema ukweli. Wanaompinga wana agenda ya siri ya kuficha ukweli

  • @GwamakaMwampulule
    @GwamakaMwampulule 3 หลายเดือนก่อน +18

    Waislam mwachen kumshambulia Dr Sulley yupo sahihi Kwa mujibu WA uislam

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +4

      sule nimkweli muisilam pure lazima uwe na jini

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      @@BonfaceWawire-k6p tatizo muko kiushabiki hata jini akiwa ndugu yetu haina shida ila hatumuabudu jini tunamuabudu mungu alie mmoja na wa kweli nyie mna miungu watatu hamlioni hilo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 3 หลายเดือนก่อน

      @@BonfaceWawire-k6pKama hivi , WALAWI 17:7 Majini Mnadanga nayo 😂😂😂🤣🤣🤣 Mbona Ndacha Hasemi ???

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi ni muislamu lkn Sina huyo jini ndugu inasema uongo unasemaje kwa vile una mdomo

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

      Kw Hy ndacha pia Muislam au

  • @PasserbyMan-ju8ky
    @PasserbyMan-ju8ky 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hakuna kwenye uislamu kushirikiana na majini, madhehebu sahihi ni moja tu, madhehebu ya ibadhi ilio epukana na makorokoro yote yalio chomekwa katika dini kama hayo majini,mambo ya mahdi na mengine mengi.
    Karibu katika uislamu sahihi madhehebu iliyo salimika,❤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      @@PasserbyMan-ju8ky wewe siyo mwislam, waislam wa kweli wanashirikiana majini

    • @PasserbyMan-ju8ky
      @PasserbyMan-ju8ky 2 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa Yani unazungumza bila ya aibu,mwanadamu huwalipa wanadamu wengine wamlinde nakisheria inaruhusiwa au akiamua mwenyewe kukulinda yote inaruhusiwa,lakini walipo tafuta ulinzi wanadamu kwa majini Allah amesema hawakuwazidishia ila mauvu,surat jinni Aya ya 6,
      Uislamu ni dini ya mungu Allah nasio ya watu kwa matamanio yao.kama wewe unao taka majini,

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@PasserbyMan-ju8kyMbona vita vya dini vinasema majini hawana kitabu isipokuwa koran na pia hawana mtume isipokuwa Muhammad iweje wewe unakataa haya

    • @PasserbyMan-ju8ky
      @PasserbyMan-ju8ky 2 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa majini ni jamii nyingine ya viumbe hivyo hivyo hawaruhusiwi kushirikiana na wanadamu kama vile kuoana,kusaidiana mali chakula ,lakini wameruhusiwa kufuata muongozo wa mitume na vitabu vyao.hata mitume hupata muongozo kutoka kwa malaika wa mungu waliotumwa kwao,lakini mwanadamu haruhusiwi kumuomba malaika amsaidie au ampe chakula au amlinde.labda mungu atake mwenyewe kumpa mtu malaika wa mlinde lakini kuwaomba haruhusiwi,Wala kuwekanae makubaliano kwasababu wao ni jamii nyengine ya viumbe.

  • @josephmbirize3134
    @josephmbirize3134 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mze ndacha MUNGU akubariki saaaanaaa
    Akujaliye piya ujuzi zaidi
    Ata nasisi ututembeleye uku American ulete dawa kwa wa CHRISTO wezetu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน +12

    Nimeamini dini ya uislamu ni dini ya shetwani

    • @DafudaDotto
      @DafudaDotto 3 หลายเดือนก่อน

      Hata ww ni mwislamu kimbia mzee😅😅😅

    • @castorchipalo84
      @castorchipalo84 3 หลายเดือนก่อน +1

      kawIda tu

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo huna elimu ndugu

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana Ndugu Ramadhan,Ilaa Kw Hakika ukmmuamn Allah Na Ukmfata Mtumeee Muhammad na Maamrsho ya Allah ,bc hutajuta Kua Ww N Muislam na Hutasema kua Din ya kslam n Shetwan,Na kuhucia Soma Quran nzma Halfu Ukkuta Allah Anasema Nmekuteremshien Din hii ya Kislam n dni ya Shetwan bc Amin hlo,ila Ucfate Maneno wanotasema Watu Mitandaon ,fta Ktabu chako Kna taka nn

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@Nily-kz3db nimeona sababu nyingi ndmn mesema hivyo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 หลายเดือนก่อน +5

    'Kile ambacho nasema ni kwamba Uislam na Majini ni kama vile Ukristo na roho mtakatifu.

    • @jaggerjack30
      @jaggerjack30 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      umenifunza kitu eti roho mtakatifu huongoza wakristo na majini huongozq waisilamu habari tumeipata

    • @Rooney1184
      @Rooney1184 2 หลายเดือนก่อน

      Duh kosa la mtu mmoja linaharibu imani za watu wote

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 หลายเดือนก่อน +5

    Waambie ukwer waslam wengi vichwani mwao akuna kitu wao kazi yao kukalikisha tu ni mamuma

  • @giftially5874
    @giftially5874 3 หลายเดือนก่อน +3

    We mwalimu unajua sana kama mwakasege vire

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ndiyo maana hata majina mengi ya kiislamu yanafanana na majina ya majini kama makata,sudian, nk

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha ,acha tukwambie,hta Bnadam wapo wabaya na wazur ,tunawajuajee,?,jbu kwmba unaweza ukawa una rafk lkn ukamn mzur kumbe nafsin mwke n Adui kwko,ilaa Ww Huwez mjua Mpka Adhhrshe ubaya wke ,lkn nafsin mwet2 M/mungu ndie Mwenye kujua Nafsi za Waja

  • @godfrey-lo8kc
    @godfrey-lo8kc 3 หลายเดือนก่อน +1

    nimepata kitu hapo , God bless you many years!!

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha nakubali sana

  • @thekingdragon8358
    @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน +2

    yuasoma kitabu anakitafsiri kivyake anavyopataka yeye sijaona mahali kitabu kinaeleza muislamu haabudu majini isipokuwa kitabu kinasema wap[o majini waislamu na wanaofata quran hyo ipo clear kitabu akijasema muislamu aabudu majini ila kimeeleza majini wanamuabudu mungu wapo wabaya wapo walioslim hao nikama sisi tu ila hatuwaoni.. jini yoyote anaeingia ndani ya mwili wa binadamu huyo sie jini mwema ..

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna Ayaa , in nasema Ndchaa hii Aya ishkulie uifaham,Waamaa ghalakatu jinni wal insii illah liaabud,,,Hakumbwa Majjn na Binaadam icpokua kuja kumuabud Allah 🙏

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      @@Nily-kz3db Tangu lini shetani akajipinga

  • @apollorutamucero6971
    @apollorutamucero6971 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hi tuna wa itaji na Bujumbura karibuni

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน +6

    Uislamu na uchawi ni kitu 1

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      ajanaa na hiyo na ushetani nayo je niwamoja hawaaiani

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +4

    oooh ndugu zetu Hawa wamepotea njooni kwa yesu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Ww mkubavu kwa yesu yesu muisilamu na ni mtume wa mungu

    • @JRN2612
      @JRN2612 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ivi wewe unadhani ukristo ungekuwa dini ya haki nani angekuwabali kuwa muislamu? Ukristo ni kula bata tu hapa duniani, hakuna kusacrifice kitu chochote. Wakati sisi waislamu tunaacha vitu telee kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah, nyinyi kila kitu mumeruhusiwa kufanya. Yaani dini haina changamoto hata moja hiyo😅

    • @JRN2612
      @JRN2612 3 หลายเดือนก่อน

      Ivi wewe unadhani ukristo ungekuwa dini ya haki nani angekuwabali kuwa muislamu? Ukristo ni kula bata tu hapa duniani, hakuna kusacrifice kitu chochote. Wakati sisi waislamu tunaacha vitu telee kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah, nyinyi kila kitu mumeruhusiwa kufanya. Yaani dini haina changamoto hata moja hiyo😅

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@saba-gv3mjHapana Isa ndiyo mwislam siyo yesu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@JRN2612mmeacha kipi maana tunawaona nyie ndiyo wafadhili wa mipira na miziki

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 3 หลายเดือนก่อน

    Shida wanakaririshwa tangia wakiwa wadogo
    wengi hawana elimu ya dini yao Mungu awasaidie kwa kweli

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ndacha umejitahidi, ila bado kidogo, ungetupa kwanza historia ya majini.

  • @Mohammed-mn2xg
    @Mohammed-mn2xg 3 หลายเดือนก่อน

    Dr.Sulle ni mwanadamu ana mapungufu Yake lkn maneno ya Mungu hayana upungufu huezi miliki ktu ambacho huezi kukidhibiti na huezi dhibiti usichokiona wala kushika wala kupimia kwa njia yoyote basi anaohuo uwezo ni Mungu na kwa wanadamu wanamilikiwa na majini isipokua wanaojikinga kwa Mungu na kama nkujifananisha na Nabii Suleiman alikuwa Nabii alipewa uwezo na Mungu xx Ndacha usitumie hyo kuw daraja yakupeana poropoganda zako

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Kama hayaonekani Muhammad aliwasiliana nao kivipi

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Endelea kusema ukweli,nakuunga mkono vitabu ni vyao wenyewe vinatupa kujua Siri Yao thanks

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hakuna uisilamu bila majini bila ubishi

    • @nassoroyahaya821
      @nassoroyahaya821 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni usiyetambua toa aya juu yavkauli yako hiyo,hakuna uhusiano wa moja kwa moja juu ya mahusiano ya majini na uislamu

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yes mtume aliwasilimishaa majini na kuwa waislamu yaan viumbe vilivyolaaniwa na MUNGU yeye anawekaa urafiki nao tena sio majini tuu hata shetani alimsilimishaa na kuwa muislam 😂😂

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      @@nassoroyahaya821 wewe ndugu yako katika imani ni nani?

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      nyinyi ndio mnajua sasa huko tulitoka juu ya ushirikina kitambooo sana

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      @@BonfaceWawire-k6p tunajua sisi au mungu wenu ndo kasema hivo na vitabu vyenu vinasadikisha

  • @Mohammed-mn2xg
    @Mohammed-mn2xg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Majini yalisilimu(yalimukubali Mungu Mmoja ktoka ibaada asiyekuwa na mshirika) baada yakuisikia Qur'an ikisomwa na si mtume aliyasilimisha wala mtume hakua amejua kua kuna majini waliosikia Qur'an ikisomwa Bali anaambiwa na Mungu. wee Ndacha uislamu unajengeka kupitia Qur'an na Hadith I za Mtume na hadith ni lazima iwe na sanadi Yake yaani imehakikishwa mapokezi yake ni SAHIHI wala c uchafu unaookota sokoni eti ulimwengu WA majini hicho ni ktabu chako Bali c cha uislam

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 หลายเดือนก่อน

      hee huku yanasubiri moto!kumbe majini yataunguzwa

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o 3 หลายเดือนก่อน

    Waislam mko na kazi...huyu Ndacha ako na ukweli na maandiko.

    • @PasserbyMan-ju8ky
      @PasserbyMan-ju8ky 2 หลายเดือนก่อน

      @@NathanielNathan-m4o jirani mbaya ni yule anae subiri ugombane na mwanao Kisha ajifanye anamtetea mwanao na kumtia maneno akuchukie,ila kasahau hakunaga wazazi watatu duniani.mtoto akigundua kosalake atarudi kwao
      Na akiwa mjinga atabaki kwajirani.😊

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

    yaani shetani nimbaya sanà ameamua kujitokeza mzimamzima na kufumbua uji wawaisilamu kupitia kwa mkuu wawaisilamu Dr sule eti majini na waisilamu nikaa roho mtakatifu na wakristo

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

    Ndachaa achaa kujcfuu ,ulpewa swal moja Na Said juma knyogol ,neno moja hukujbu mok dakka zkamalzka ,wee zke nmbr2 huzwez ,ultolewa Kenya kuja kuitetea din ya ukristo chaa ajabu ,ulwatia hasara na Aibuu mt2 cfaa km ww ,tunakujua Mpotoshaj ,km ucpo Slim ukakubal Allah na Mtume Muhammad wallah utakufa kafr na utakufa ukiwa dhall

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha umeonyesha uwezo mkubwa sana wa kuielezea kati ya wachristo na uislamu na tabia zao za majigambo na kjisifu kumbe wanachukuwa tabia za majini endelea kusali maana kumbe unapambana na majini

  • @AibumuadhikaasimKidocho
    @AibumuadhikaasimKidocho 3 หลายเดือนก่อน +2

    Elimu yenyewe huna ufanye mdahalo nanani kama una elim tupe historia ya majini yameanzia wapi na kwanini yapoo?

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu pastor ni kiboko😂,, Yesu ni NGUVU ya wakristo.hakuna jini anaingia

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      in Jesus name majini yashindwe

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

    Ndachaa Achna na Uislam wet2 , Hujui din ya Kislam,Allah Ndio Alosema km Kuna Majin wabaya na Wazur wee ndacha huna Hta Aibu,cc tumejua km kuna Wabaya na wazur kuptia Kusoma quran ,Lkn Anae jua Zaid ubaya wao na Uzur wao n Allah tu

  • @Mohammed-mn2xg
    @Mohammed-mn2xg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wee Ndacha kunaviumbe ambavyo vnamwamini Mungu na hufanya ibaada kwa Mungu kando na majini na wala cc hatuvijui lkn kiimani kwa sababu tunaimani moja kwa Mungu cc n mandugu kiimani licha yakua hatuishi mazingira moja,hatuonani,hatufanani

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน +1

    Akunaa uwisla bila majin majin hi dini? Atarii sanaa aifai kabisaa

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiwa msabato raha sana
    Hongera mchungaji wetu

    • @tlotwe.01.
      @tlotwe.01. 3 หลายเดือนก่อน +3

      Nasahihisha kidogo ......ukiwa na Yesu Kristo Aliye Hai......Hapo ndio kuna Raha ya Milele!

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +1

      huna ufahamu ukiwa wa yesu sisi hakuna Cha usabato au thehebu like au uili ila tuko wa yesu sawa

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน

      @@BonfaceWawire-k6p Hata wanaosali kwa walimu wa uwongo na manabii wa uwongo wanaamini wanae Yesu ndio maana Kila CK wanapiga makelele kufukuza mapepo Ali hali wanae Yesu jitafakali vzr

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sule ako sahihi Kwa maana Mohammed alisomea Majini Quran jamani,,,nawashangaa Bado mko Uislam kimbia kw Yesu mwokolewe.

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      Yesu anapisha nyooni mfungulie awaongoze

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      kati ya mungu na yesu nani mwenye kuokoa

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

      Tutakujaje huko ,ikiwa Yesu Mwenyewe Alkua Mwanafunz wake Akmfunzaa ,Ahhh, Somen kwnza Ndpo mtoe hojaa

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🌷🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @JoshuaBikori
    @JoshuaBikori 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha nimukali sana sure

  • @LawrenceIkiaara
    @LawrenceIkiaara 3 หลายเดือนก่อน

    God bless you

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna badhii ya mafundisho ya Muhammad hata waislam wenyewe wana mashaka nayo sana

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน

    Hawawezi kuja Katika huo mjadala. Mazinge amewakataza. Wataangamiza uisilamu watu wakigundua hio siri. Tayari Dr. Sule amewasaliti.

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

    Ndachaa Ucsahau kuwambia Wat2 humu kua YESU MWENYEWE ALKUA ANA MWANAFUNZ WAKE NAE N SHWTWAN AKMFUNZA,kwhy. Kua mkin sna na Hoja zko zcje zkakuaidbsha buree ,huna lolote ht cc tuwadogo wadgo tunafaham huna kt2 kchwan,Umejsahau ulkua ukjtangaz ktk clips za TH-cam ukiwa peke ako ,lkn pakfamywa mdahalo huna ktwa kchwan ,kchwa mchungwa ww

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wee Ndachaa ,cc hatumfat mt2 aloandka ktab ,cc tuna Mfuata Allah Alchoagza kuptia Kfua cha Mtume wet2 Muhammad SAW,na wala cio mt2 Mwengne

  • @ameali1251
    @ameali1251 3 หลายเดือนก่อน

    Wakristo wapi andiko mlitakiwa kuwafukuza majini.

  • @AbdusatarAhmed
    @AbdusatarAhmed 3 หลายเดือนก่อน

    SHAFII ANATAKIWA ASOME SIYO KUINGIA KWENYESWALA LAKIELIM WAKATI SHAFII HANA ELIM YOYOTE KUHUSU MAJINI MIMI NI MWISILAM JINALANGU ABDUSATTAR AHMED RAFAI NIMESOMA ELIM HIYO KWA MIAKA 36 NAUSHAHIDI ZAIDI YA SULE ILANIMEKAA NAFANYA KAZI ZANGU

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

      Km Kwel Una elemu ww, Unakpnga Aya ilio Sema Laa Taabud Shetwan Hakika Shetwan Adui Muibin

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawezi kusema yeye ni papa Wala mchungaji au mwangilikana hii ni kwasababu ukristo ni dini ya kutunga sio ya Mungu.

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 หลายเดือนก่อน

      Majini yanataka kwenda motoni na waslam ndomana wamewaingiza chaka nanyie mmeingia mazma

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 หลายเดือนก่อน

      Km mtume wenu wa kutungwa asiye na muhujiza hat mmoja aliye oa mtt wa miaka 6

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo unakubali majini ni waislam.Uislam umekuja dunia ukacopy biblia

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      Tupe tafsiri ya biblia

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      Pia tusaidie tujue biblia zipo nyingi ambazo hata wewe huziamini jee kati ya hizo ipi ilikopiwa na Quran?

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kiboko ya wasilamu

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe hata aliekuumba unamkana utayajuwa mengine?
    Ichokitabu unachosoma unatakiwa ufundishwe si kila kitabu unasoma mwenyewe pasina kufundishwa basi watu wote wangekuwa mapadiri au masheikh wacha uchochezi unaongea pumba

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 3 หลายเดือนก่อน

    Uislam na Majini no problem ---- sasa kipi cha ajabu anacho kifanya Sule mpaka akina Shafii wamkosoe --- aidha hawaujui vizuri uislam wao au anajishaua tu " lakini anajua ukweli ulivyo kuhusu majini na Uislam kuwa ni no problems "

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      ukirsto na uganga no problem

  • @AibumuadhikaasimKidocho
    @AibumuadhikaasimKidocho 3 หลายเดือนก่อน

    Uislam ukiupiiga vita ndio unazidi kuenea mana ni dini ya kwelii.huyu anaongea kitu asichokijua

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio unahitaji kujua ukweli huu wa Dr Sulley

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Uislam bila uongo na kulazimisha watu kwa vitisho hakuna uislam,

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@FridayMwassavipo vitu vinaweza kuongelewa katika maisha lkn dini ni Hadi uwwe na elimu nayo ndio uanze kuongea na sio kushabikia
      Fahamu kusoma ipo kwa njia nyingi hata kusililiza ni jamii ya kusoma pia huna budi unaposikiliza ni lazima uwe umefahamu Hadi maana kusudiwa ndipo hata shuleni huwezi kupewa cheti tu Hadi wajiridhishe kuwa ni kweli ulihitimu?

  • @RamaJuma-i8j
    @RamaJuma-i8j 3 หลายเดือนก่อน

    Nikweli uo ni ushilikina.kwa mtu atakae tumia majini kwa kuvuta wateja au kwabiashala yoyote.uislamu unasema mtegemea mungu tu mengine nishiliki au ushilikina

  • @MuemedeRachide
    @MuemedeRachide 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wakristo hacheni ujinga tafuteni kuijua Dini yahaki acheni kushabikia kama mpila, hivi kwa nin haujilizi kawmba Wakristo wanasilimu sana nasio waisilam kwenda kwenye ukristo? Fanta utafiti ndugu yangu.

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 3 หลายเดือนก่อน

      Pole sana wewe ndio husomi maandiko unaendeshwa tu

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 3 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo, waislamu wanajua kweli ss, mjadala wa wazi mbagara ulikuwa hatari kwa waislamu mwaka Jana, waislamu walikwenda police kuomba kufunga mkutano siku ya pili ktk kutoa Ukweli wa Quran
      th-cam.com/video/gjguiz5V394/w-d-xo.htmlsi=ojrLHX5i6_cD6HV8
      th-cam.com/video/Z93AUREcGG0/w-d-xo.htmlsi=C5PdftujwdEmhDPN

    • @elgringo8592
      @elgringo8592 3 หลายเดือนก่อน +1

      Njia iendayo jehenamu ni pana na wengi hukumbilia huko

    • @henrychiriba9354
      @henrychiriba9354 3 หลายเดือนก่อน

      Kama kuna dini ya hali basi ukristo na uislamu zote ni as haki maana zote niza Mungu naye ni mwenye haki

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@henrychiriba9354 😂😂😂😂
      Uislamu ni wa Allah
      Ukristo ni wa YEHOVA
      Pambanua vzr

  • @ShimaKilairo
    @ShimaKilairo 2 หลายเดือนก่อน

    Dini ya majini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 หลายเดือนก่อน

    👍👊✌️.

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha. hakuna mtu wala jumuia inayo ruhusu au kupitisha kitabu cha mtu yoyote. kila mtu aandika,achapisha atakavyo.

  • @SaadEbrahim
    @SaadEbrahim 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mchungaji hana Elimu kuhusu Majini Kwani Majini ni Viumbe walikuwepo miak mingi kabla ya kuumbwa binadamu. Majini wapo wazuri na majini wapo wabaya kama walivyo bianadamu.Wakristo someni sana mupate kuwafahamu kuwa kuna Viumbe wasionekana kw amacho ya biandamu nao ni Majini malaika na kuna viumbe wengine hatuwajuwi kwa akilizetu sisi binadamu Mungu ndio mjuzi wa yote .

    • @jjtheactorir.4447
      @jjtheactorir.4447 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ww hujutambui na hauna tija au mantiki yoyote kuhusu majini. Hakuna shetani mzuri.

    • @RehemaMkandawile-i3l
      @RehemaMkandawile-i3l 3 หลายเดือนก่อน

      wawe wabaya wawe wazuri wote amewaumba mungu

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน +1

      Akunaaa jini mzurii pumbavu wewee una akili ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa

  • @SaidKaros
    @SaidKaros 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uislamu ni quran na hadith mwqmbieni atoeni haya au hadith si maneno ya watu dini aiendi kwa maneno ya watu

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaiyo apo ujasikia izo Adithi 😂😂😂

    • @FredrickNyangweso
      @FredrickNyangweso 3 หลายเดือนก่อน

      Hayo anayosoma si vitabu zenu uislamu ni majini Kama ukristo ni Roho mawakala washetwan ni waislamu na wengine wametoka uislamu wanatoa ushuhuda zao kwamba walikuwa wanatumikia shetani wakiwa waislamu

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      @@FredrickNyangweso UKIRSTO UNAFUNDISHA UGANMGA UNAJUA HILO UISLAMU HAUNA MAKOSA UMESEMA WAPO MAJINI WALIOSLIMISHWA WAMEKUA WAISLAMU BUT HAIJA SEMA WAISLAMU WAABUDU MAJINI SULE ANAPINGWA NA SHAFI COZ YEYE ANAFUNDISHA WATU IMANI POTOFU WATEGEMEE MAJINI NA SIO MUNGU JINI MMBAYA NI YULE ANAE KUINGIA KWA MWILI NAKUUTUIMIA MWILI WAKO

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 3 หลายเดือนก่อน

    Shikamoo Dr sule

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 หลายเดือนก่อน

    Dk Sulle kwa udaktari upi au ule wa kupewa na kununua?

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz 3 หลายเดือนก่อน

    Majini niviumbe wa mungu kwani mungu anasema nimeumba majini na watu ili waniabudu. Sasa majini awawezi kua na dini ambayo sio ya mungu nao wameahidiwa moto

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 หลายเดือนก่อน

      Ata wayaudi niviumbe wa mungu nyinyi waslam ntawaweza amta waweza kamwe yesu myaudi musa myaudi yakobo myaudi

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน +1

      Waslam wotee mnaongozwa na majiniii ivi mnatuweza sisi tunae ongozwa na MUNGU 😅

  • @amosmutuma
    @amosmutuma 3 หลายเดือนก่อน

    Eti kama nan!!.mwalimu?🤣🤣🤣🤣

  • @yoliswabontsa8469
    @yoliswabontsa8469 3 หลายเดือนก่อน

    Pumba tu unayoongea uwisilamu hawuruhusu kumiliku majiini nayeyote anaye anaemiki hayo hali yakuwa anadiyi yeye ni muisilamu basi si muisilamu ni kafiri

    • @joshuanyamaiswe4327
      @joshuanyamaiswe4327 3 หลายเดือนก่อน

      Sura ya majini imetoka wapi kwenye quran

  • @salimiddy1704
    @salimiddy1704 3 หลายเดือนก่อน

    Vitabu alivyovisoma vipo sawa kabisa, isipokuwa anasoma nusu nusu, ukiwa mjinga unaweza amini ndio hivyo kumbe ni kinyume

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ebu soma wewe bila kugeuza tuone😂😂

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 หลายเดือนก่อน

      So huyo ni muongo? Na huyu sule wenu vp sio muislam

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 3 หลายเดือนก่อน

      @@FranceYohana-eg5zd wasipojiongeza wakabatizwa moto unawasibiri

    • @FredrickNyangweso
      @FredrickNyangweso 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa sahihi bali mwishowe ni njia ya mauti , ndiyo hiyo ni uislamu mithali 12:16

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha anatetea ukafiri na kitabu tafsrii ya babu 😂😂😂 nyie blunder zipo ndani ya biblia nyie mnaleta tasfiri ya babu 😅😅 dah ukafiri kweli mtihani

  • @hamisikeneth2332
    @hamisikeneth2332 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwandishi aliyakopii wapi hayo maandishi katika hicho kitabu?

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 3 หลายเดือนก่อน

    tuseme ukweli elimu yatiba wengi wanaishukulia kuwa ni shikri au majini ni wabaya wote tusomeni majini wapo tena ni wengi kila makabila wapo waislam wapo wakiristo wapo wanawake wanaume wapo wema wapo wabaya

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna jini mkristo wewe ni muongo,huwezi kukuta jini anaitwa Paul, peter, Isaya, Jeremiah, Samuel au Samson, majini yote majina yao ni Zulfa,zuhura,yunus,makata nk na wanaishi kwenye miji kama Madina, Mecca, Judah

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 3 หลายเดือนก่อน

    Si amesha wambia vinapo patikana mnabisha ovyo

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 หลายเดือนก่อน

    Allah Ameshushaa Sura mbal mbal na matumio il dhamahz za Muhammad tujue ,na Akateremsha Sura Za Majjn,Sura Za wadudu,Na Faida Na Hasara,iv nkukzen km quran icngezungumzia Myuk Anatoa Asal na Faida Zke na Jnc inavyotengezwa iv kuna mt2 Angejua ,lkn tazama ufund wa Quran ktabj kso na shaka ndan yke,inatufunza ,kuna Ubaya wa Nafs Kuna mimea kuna Majin ambao cfaa yao mashetwan ,ukiwa mzur jin ukiwambya shetwan,ht Binaa adam akiwa na Matendo mema bnaadam safi,akiwa mbya mshrkiana ndio shetwan ,Ndacha hana Elmu,kuepo Habar zaa majin Ndan ya Quran tunafundhswa cc kuwajua na kaz zao na uwepo wao ,Allah Aljua waja cc bnaadam hatutowafaham kw mana hawaonekan kw Macho ,kwhy jhadharn ,ndio mana tuktaka kuingia choon kuna Dua tusomen kw mana kuna Majin shetwan wabaya,,na Tuktaka kulala,kuingia ndan ya nyumba ,kula yan Allah N Mola Wa viumbe wte na n muumba Ardh na mbngu,allah Ameshatunusuru shari za Majin shetwan ,

  • @mshamhemedy8567
    @mshamhemedy8567 3 หลายเดือนก่อน

    Cute

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 3 หลายเดือนก่อน

    Imebidi nicheke kwangufu mpaka

  • @chikuiddy9946
    @chikuiddy9946 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha unajitahid kupotosha watu lakin kw dini ya uislam hutoweza

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Kapotosha wapi

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Wakristo vichwa maji hawana elimu majini ni viumbe kama binadamu kuna waovu na wabaya ndio msichojiwa elimu ndogo

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo elimu ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

      @@FrankMushi-cs5js elimu hamna mnalishwa matango pori na ndacha hivi mtume saw ameacha kitabu kinaitwa tafisri ya babu kuna jitihada za wanazuoni wanaweza kupatia au kukosea ni binadamu huwezi ukatumia udhaifu wa mwanachuoni katika kubomoa uislam quran na hadithi sahihi za mtume ndio uislam

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@MohamedMohamed-u3t1nSasa kama amekosea mbona hamsemi kwamba huyu mwanazuoni alikosea

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 3 หลายเดือนก่อน

    someni surat jini mutajuwa kila kitu

  • @AbdullahiHassan-st6co
    @AbdullahiHassan-st6co 3 หลายเดือนก่อน

    Yesu aliita petro sheitani wakiristo na jini kafiri wako kundi moja wote jahanamu wakiristo hawajui elimu kuhusu majini ila bibilia inafundisha ushawi katika ezekieli

  • @AibumuadhikaasimKidocho
    @AibumuadhikaasimKidocho 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni muongo hata alie muumba piya anajua huyu jamaa ni muongoo

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi wakristo majini yaliwakuseaga nini???
    Nauliza tu,lengo la mwenyezimungu kuwaumba majini ni lipi hadi wakristo iwe sabb ya kuwachukia hawa viumbe???

    • @JudithTwibonisye
      @JudithTwibonisye 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu amekataza kuwa na ushirika na Majini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Majini na shetani ni viumbe wachafu hatutakiwa kuwa na ushirika nao

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Majini na shetani ni viumbe wachafu hatutakiwa kuwa na ushirika nao

  • @SamwelKipingu
    @SamwelKipingu 3 หลายเดือนก่อน

    Ssf sana

  • @MwasabuniSuleiman
    @MwasabuniSuleiman 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona umesita ukusoma mtume alirogwa na ukoo gani

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 3 หลายเดือนก่อน

    ukijua neno maamuma ndio uislam

  • @yusufwanderawesonga440
    @yusufwanderawesonga440 3 หลายเดือนก่อน

    Huna elimu ndugu .

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน

      Wewee ndo una elimu ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa

  • @Shaha-d1i
    @Shaha-d1i 3 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuh

  • @JRN2612
    @JRN2612 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiona kafiri anakutetea basi jiulize umekosea wapi?

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 หลายเดือนก่อน

    Mnamtandao wenu wa kuamdika vitabu feki vya kiislam na kuvipenyeza ktk Jamii ya kiislam ili mpate point ya kuongea. Vitabu vyenu vimekamatwa kibao.

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo Sule anataka kuipotesha uislamu?

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe auna hojaa ya msingii kaa kimy unakoment ujinga tu hi ni dini ya majinii ukweli ndo uo

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 3 หลายเดือนก่อน

    Ukoo wa mayaudi malizia aya

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 3 หลายเดือนก่อน

      Jisomee ametoa Yale alitaka wewe soma hapo chini kivyako

  • @ZukhelRwegoshora
    @ZukhelRwegoshora 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha si kila kitabu kilichoandikwa na muislamu kuwa kinakubalika ki Sheria so unakiri na kitabu Cha pasta mkorofi kinakubalika kwenye ukristo?

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kama hakikubaliki kwa nini mnaviuza misikitini? Katafute kitabu cha pastor mkorofi kwenye library za makanisan uone kama utavipata yani wanavyo walimu wa kiislamu tu sijui wanavipata wapi 😂

    • @khambhai360
      @khambhai360 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@mobutu3884Walimu wakiislamu wanavipata kama Ndacha anavyovipata vya majini.

    • @benjaminheadman8337
      @benjaminheadman8337 3 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo umekubali sule na mazinge hawawezi tena mechi ya ndacha

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 หลายเดือนก่อน

      Usijitoe ufahamu

    • @khambhai360
      @khambhai360 3 หลายเดือนก่อน

      @@benjaminheadman8337 Ndacha hamna chochote tunataka Aya za Quruani Sio vitabu vilivyoandikwa tu Na mtu yeyote.

  • @SaidKaros
    @SaidKaros 3 หลายเดือนก่อน

    Unasoma mambo nusu nusu mwambie amalize hoja

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaiyo hayo ambayo hajasoma yanasemajee ?? Yanasema majini sio waislamu?? Yanajipinga yenyeweee , maana yaliyo somwa yanaeleweka kabisa bila nyongezaaa😅

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe na sule ni 2ashirikina tuu

    • @mwakilamwaki1718
      @mwakilamwaki1718 3 หลายเดือนก่อน

      Ndugu nenda kanunue icho kitabu usome mwenyewe acha ubishi

  • @FredrickNyangweso
    @FredrickNyangweso 3 หลายเดือนก่อน

    Ndoto yako mbona mumeshindwa kujibu hoja

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 3 หลายเดือนก่อน

    wakiristo pia wanawo majini

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน

      Sisi c km nyie mnakula nao mnalala nao mnafanya nao paka mapenzi msikitinii

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna jini anayeitwa John, David, Emmanuel, peter, Jacob au Elizabeth

  • @conshazSaid
    @conshazSaid 3 หลายเดือนก่อน +1

    ndacha nakuombea kwa allah usilim wwe utakua akhy... silimu ndacha

  • @MariettaNyoni
    @MariettaNyoni 3 หลายเดือนก่อน

    Et km sule 😅😅😅😅

  • @abdullahyislam5382
    @abdullahyislam5382 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha usiote eti kuna muislamu atafuata Dini inayo abudu mtu.

    • @FredrickNyangweso
      @FredrickNyangweso 3 หลายเดือนก่อน

      Kuani wamebatizwa wangapi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna ambaye anaweza kuishi kwenye hii dunia asitende dhambi? zaidi ya YESU ambaye hata kuzaliwa kwake siyo kama Muhammad ambaye amekufa

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@FridayMwassani hapo basi tunapotaka kujiunga ukristo ni kwa sababu ni mzuri hupatwi na umauti kwa hio hata wewe hutakifa

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa jamaa zako wambie wasiende tena makaburini ni kwa sababu wakristo watakuwa hai watamfata yesu alie hai waislamu watakufa watamfata Muhammad,kwa maana nyingine kila atakaekufa n muislamu anamfata Muhammad,jichunguze vip uko sawa,si kila neno useme,

  • @ZukhelRwegoshora
    @ZukhelRwegoshora 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha huna elimu ya dini unaleta siasa tuu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน

      Hee jaribu kuweka debate nae Ndacha uone utakavyo pelekewa moto wenzio kina mazinge, sule, mwaipopo, shafii, mbogo wamemshindwa kwa hoja za maandiko jaribu na wewe kumuomba mwalimu Ndacha kuweka nae mdahalo uone utakavyo galagazwa

    • @FredrickNyangweso
      @FredrickNyangweso 3 หลายเดือนก่อน

      Ujinga kweli nigharama sana hivi wewe unasoma vitabu zenu kweli

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      @@ramadhanmahongole9293 nilitaka pastor aseme kitabu kinaeleza waislamu waabudu majini sioni akisema kitabu kinaeleza majini mtume wao ni muhamad kitabu chao ni quran kitabu kinaeleza wapo majini waislamu na wapo makafiri hyo nio sawa coz ni viumbe wa mungu wako waadilifu wako wazinzi kama tulivyo si binadamu kitabu kiigeeleza muislamu anaabudu majini hata sahii ningetoka uislamu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน

      @@FredrickNyangwesokitabu chetu cha biblia kimenyooka ila nyie ndio wajinga mnasoma bila roho mtakatifu ndomana hamuelewi

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂 am proud to be Muslim mbona siwaoniiii

    • @arafatbarissa8392
      @arafatbarissa8392 3 หลายเดือนก่อน +1

      I am proud to be a Muslim, Alhamdulillah. May Allah (S.W) guide you to Islam. Aamin

    • @abdulkarimjuma78
      @abdulkarimjuma78 3 หลายเดือนก่อน

      I'm proud to be Muslim , sahih imaan , Alxamdulillaah, Huenda Allah akawaongoza na nyinyi

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 หลายเดือนก่อน

      nilitaka pastor aseme kitabu kinaeleza waislamu waabudu majini sioni akisema kitabu kinaeleza majini mtume wao ni muhamad kitabu chao ni quran kitabu kinaeleza wapo majini waislamu na wapo makafiri hyo nio sawa coz ni viumbe wa mungu wako waadilifu wako wazinzi kama tulivyo si binadamu kitabu kiigeeleza muislamu anaabudu majini hata sahii ningetoka uislamu

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน

      @@abdulkarimjuma78 kwan Allah kwa kiswahili tunamwitajee??😅 . Sema jehanamu inawangojea ndugu zetu, Yesu awangazie Nuru yake na kuwatoa kwenye njia ya upotevu

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน

      @@thekingdragon8358 basi haujafuatiliaa , vitabu vyenu vinasema , majini ni ndugu zenu, na hawana mtume mwingine ila Muhammad , na hawana kitabu kingine ila Quran . So mtume wa majini ni Muhammad na kitabu Cha majini ni Quran 😅 we unakataa nn

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Kitabu eti tafsiri ya babu 😂 hao ni binadamu sio maneno ya mwenyezi mungu wala mtume wa mwenyezi mungu

    • @jaggerjack30
      @jaggerjack30 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe umepinga akina bukhari

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

      @@jaggerjack30 buhkari ndio ana kitabu kinaitwa tafsiri ya babu?

    • @jaggerjack30
      @jaggerjack30 3 หลายเดือนก่อน

      @@MohamedMohamed-u3t1n Sahih Muslim 450a Imepokewa na Dawud kutoka kwa Amir ambaye alisema: Nilimuuliza Alqama kama Ibn Mas'ud alikuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) katika usiku wa Majini (usiku alipokutana nao Mtume). Akasema (Ibn Mas’uad): Hapana, bali tulikuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) usiku mmoja tukamkosa. Tulimtafuta kwenye mabonde na vilima tukasema. Ama amechukuliwa (na majini) au ameuawa kwa siri. Akasema (msimuliaji). Tulitumia usiku mbaya zaidi ambao watu wangeweza kuutumia. Kulipopambazuka tukamwona akitokea upande wa Hiri'. Aliripoti (msimuliaji). Tukasema: Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, tulikukosa na tukakutafuta, lakini hatukuweza kukupata na tukapitisha usiku mbaya kabisa ambao watu wanaweza kuutumia. Akasema (Mtukufu Mtume): Alinijia mualikwa kwa niaba ya Majini na nikaenda pamoja naye na kuwasomea Qur'ani. Akasema (msimuliaji): Kisha akafuatana nasi na akatuonyesha athari zao na athari za makaa yao. (Majini) walimuuliza (Mtukufu Mtume) kuhusu riziki yao na akasema: Kila mfupa unaosomewa jina la Mwenyezi Mungu ni riziki yako. Wakati itakapoanguka mkononi mwako ingefunikwa na nyama, na mavi ya (ngamia) ni lishe ya wanyama wako. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akasema: Msifanye istinja kwa (vitu) hivi kwani hivi ni chakula cha ndugu zenu (majini).

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

      @@jaggerjack30 hivo vitabu anavosoma ndacha ulimwengu wa majini sijui majini majumbani tafsiri ya babu hata kama anadai vimeandikwa na waislam haviwezi kuwa hoja katika uislam muongozo wetu ni quran na sunna hata mimi muislam naweza kuandika kitabu hakiwezi kuwa hoja kwa sababu muandishi ni muislam huyo anawafurahisha nyie mumpe pesa za kula na watoto wake hakuna muislam wa kweli atakae acha hakki afuate batwil iliyowaz dini ina madhehebu elf 55 na alivyo muongo ndacha kapunguza huoni kama ni tolii hata mimi nikiwaambia nimemuona yesu wakati niko choosing nikifungua dhehebu napata wafuasi sasa kuna dini hapo acheni tolii

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 3 หลายเดือนก่อน

    Majini ni viumbe kama ulivyoumbwa wewe ndacha ...huwezi kupinga hilo ...mungu hakosei na kitabu kipo sahihi ila hicho ni matn .....yaan ufupisho tu ..Uislam ni dini ya haqi na itakubaliwa siku ya mwisho ambapo hakuna dini nyengine ambayo itakubaliwa ispokuwa uislam

  • @OsmanXossen
    @OsmanXossen 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna ushirikisno baina ya uislamu na majini Bali yeyote atakae fanya ivo yeye ni mshirikina na hakika hayuko pamoja na uislamu

  • @rashidngumbao3362
    @rashidngumbao3362 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika uelewaji wako pastor ww n mbovu sana, huna elmu ya kisilamu hata kidogo

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe mwenye elimu mbona hujitokezi kifundisha