USTADHI SHAFII AAHIDI KUMNYAMZISHA MCH. NDACHA KWENYE MDAHALO KISA MADA YA UISLAMU NA MAJINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • BAADA YA MCHUNGAJI NDACHA KUSHIKILIA MADA YA WAISLAMU KUWA NA MAJINI USTADHI SHAFII AMETOA AHADI YA KWENDA KUMFUNDISHA NENO LA MUNGU

ความคิดเห็น • 136

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 หลายเดือนก่อน

    Shafdi Allah akuhifadhi upo vizuri Sana na tunakukubali Sana. Allah akuongezee hekima na Busara. Allahumma Aamiin! 🙏✍️✍️

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah sheikh shafi wapereke shure awo wachungaji amuna kitu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe Shafii 😂😂😂😂😂 Mwalimu wako Sule Majini kamshindwa wewe utamuweza Shafii

  • @DesderiusHaule
    @DesderiusHaule หลายเดือนก่อน +4

    Shaffi hebu kubali mdahalo na Ndacha acha masharti yasiyokuwa na sababu tuwasikie hoja zenu.

    • @MiziziMti
      @MiziziMti หลายเดือนก่อน

      Uislamu bila uongo hakuna hakuna uislam

    • @salimchimwaga8384
      @salimchimwaga8384 หลายเดือนก่อน

      Nyie hamujaona hadithi aliyotoa shafii hapo???
      kuna neno majini au akili zenu hazifany kazi

    • @saidishekalaghe3496
      @saidishekalaghe3496 หลายเดือนก่อน

      @@DesderiusHaule masharti anayotoa Shafii huyataki, na wakati anasema shart lake kubwa ni kutokubali matusi, wewe unamuambia aache masharti kwa hiyo unataka kutengeneza chuki, Fitna na Matusi?

  • @hamisisaid-zz2ye
    @hamisisaid-zz2ye หลายเดือนก่อน

    Mashallah JazzakAllah kheir sheikh Shafii uko sawa kabisa❤❤

  • @NoshadTindwa
    @NoshadTindwa หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ustadh 🙏

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน +1

    Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 หลายเดือนก่อน +1

    Shafii mchamungu sanaa nakukubali huna sifa za dunia we ni mlinganiaji wa haki

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 หลายเดือนก่อน +6

    Stevinmpozi,kaka dunia tunapita,na utakwenda kuulizwa nani ulikuwa unamuabudu,kuwa muislam ndacha anadanganya watu tu.

    • @samxx411
      @samxx411 หลายเดือนก่อน

      Hata ukiwaambia hivyo kaka hawakuelewi hao wanataka dawa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa หลายเดือนก่อน

      ​​@@samxx411dini yenu imekuja jana tena na lijamaa lichafu ktk kila eneo.Hivi kweli maisha ya Muhammad ndivyo wanatakiwa kuishi wacha Mungu Kweli,mbingu gani inayokusanya matakataka bila kuangalia utakatif 0:00 u

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa หลายเดือนก่อน

      Ataulizwa na nani? Yesu ndiye muhukumu wa haki

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa หลายเดือนก่อน

      Soma yote siyo nusu

    • @samxx411
      @samxx411 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa hata akisoma biblia nzima hutoamini

  • @user-nk3xk4gg7y
    @user-nk3xk4gg7y หลายเดือนก่อน

    perfect sana shekh shaff mungu akuongoze

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk หลายเดือนก่อน +4

    Shekhe unaenda kujizalilisha ukifanya mdahalo na Ndacha coz huna elimu ya Dini

    • @rashidibrahim8316
      @rashidibrahim8316 หลายเดือนก่อน

      Ndacha ndiyo Hana elimu Kwa tarifa yako

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      ​​@@rashidibrahim8316ndacha ni mwalimu wa walimu alimfundisha mzee wa comedy mazinge kamfindisha sule na sasa anataka amfundishe shafii kuwa uislamu ni ukafiri

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 หลายเดือนก่อน

    Shafii uko vizur sana Allah akuzidishie.

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 หลายเดือนก่อน +4

    Shafii achaa nao wehu tu hawajui kitu chochote 😂😂😂 wasikupotezeee muda

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 Shafii mwoga kukutana na Ndacha bila ushirikiano na Mwalimu wake Sule hawezi kufanya midaharo na wahadhiri wa Kikristo 😂😂😂

  • @YvetteIrakoze-eu6ww
    @YvetteIrakoze-eu6ww หลายเดือนก่อน

    Yan nampend mungu kam Dr sulle asingekubali majin shafii asingeingiy kwenye 18 za ndacha shehe tunakusubiri kazim umekubali

  • @gervasbeno5589
    @gervasbeno5589 หลายเดือนก่อน +1

    Utajuwa hujui ndugu , jichanganye kwa ndancha na muwe wawili tu.

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

      @@gervasbeno5589 hsmuwezi ndacha huyu nikaa maji kwenye koo

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 หลายเดือนก่อน +7

    Ndacha anauwezo mkubwa zaidi utaanza kujigamba na takibili nyiingi

    • @berry4726
      @berry4726 หลายเดือนก่อน +1

      Ndacha hajui kitu

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa wewe unatetea dini ya mashoga LGBTQ walahujui nanikaiyanzisha maana hatayesu mwenyewe hajawahi kuwaita watu au wanafunzi wake wakristo

    • @shabamuhidin634
      @shabamuhidin634 หลายเดือนก่อน +1

      Sjui ww ni mkristo wa wapi? uku Kenya uyo ndacha mweywe wakristo wanamkataa😂😂😂,ndacha hana elimu ata mm namshinda,hatoi maandiko anasoma haraka haraka yeye na msomaji wake

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

      sasa wegine wanashabikia dini ya majini

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

      @@shabamuhidin634 wanasoma haraka ju Wana elimu lakini wewe mwenye akili finyu huwezi pata lolote , wewe ni last class unaelewa polepole

  • @didawaso4165
    @didawaso4165 หลายเดือนก่อน +1

    Nashagaha sana watu wenye helimu lakini awamjuwi mungu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 หลายเดือนก่อน +2

    Ndacha na Danieli wamelumbana

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye หลายเดือนก่อน +1

    Mathayo 28:16 haisemi hivyo acha uongo Mzee ww endelea kuyafuat hayo majini ila kumbuka ole Ole inakuja kilio cha kusaga Meno ndipo utamkubuka Mungu

  • @didawaso4165
    @didawaso4165 หลายเดือนก่อน +1

    Wanamaneno megi lakini awana neno

  • @peterenos2627
    @peterenos2627 หลายเดือนก่อน +1

    Shafii acha woga. Inaonyesha unamuogopa Ndacha. Masharti hayawekwi na upande mmoja tu. Mnakaa pande zote mbili mnakubaliana ndipo mnakuja na masharti ya pamoja.
    Mtu kasoma vitabu vya dini kama vilivyoandikwa, wewe unasema umetukanwa. Huko ni kuzidiwa hoja na kutafuta chaka la kujificha!

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 หลายเดือนก่อน +2

    Saivi waislamu ndo wanafunguka akili kuwa kuna ushirikiano baina ya dini yao, ushirikina na majini....mi nakushangaa unavyokataa wakati tangu utotoni tumeshuhudia miongoni mwa vitu wanavyotumia waganga wa jadi ni hayo maandishi ya kiarabu. Ndo maana ata mapepo wakitolewa kanisani wanajiita majina ya kiarabu. Hii dini chimbuko lake ni miungu ya kiarabu, ipo siku mtafunguka macho tu

    • @tbm7tv257
      @tbm7tv257 หลายเดือนก่อน

      Qur,an 8:2

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 หลายเดือนก่อน

    Mdàharo lini

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio maana mm nilisilim aisee,Shekh unaongea vitu km mtu akiacha ushabik hawez kuwa mkristo

  • @mzaliwaseif7079
    @mzaliwaseif7079 หลายเดือนก่อน

    Ndacha Hana ilmu ila ni msemaji mzuri kwamana aingiyi akili Yesu mungu ndio, Yesu mwana ndio, Yesu mtume ndio. Yani hamna hata kufikiria. Yani ni yes yes yes

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery5564 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ulifanya utafiti mkubwa kwa swali gumu kumbe ndacha ni mwalimi wako lakini anaweza pia kuwa mwanafunzi wako ila si kielimu ila kiimami na ujuzi wa kutambua maandiko

  • @idarousidarous
    @idarousidarous หลายเดือนก่อน

    Malaika wameumbwa Kwa nuru na majini wameumbwa Kwa moto kwaiyo majini na Malaika ni viumbe tofauti

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 หลายเดือนก่อน

    1) wafalme 22-21
    2) mambo yanyakati 18-20 mungu anafanya kazi na pepo msafi Aumimi sijaelewa apo?
    Mnisaidie

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂 kama hawajui Biblia si ndiyo ndiyo ukafanye midaharo jamani😂😂😂😂 yani unatoa majibu tu kwa mtangazaji

  • @MiziziMti
    @MiziziMti หลายเดือนก่อน +1

    Shafii hana anacho kijua kwenye Scripture science

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน +3

    Ndacha hana mpinzani huku mnapiga kelele tu yaani wapumbavu wote

    • @tbm7tv257
      @tbm7tv257 หลายเดือนก่อน

      Wakristo hamna hoja

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

      @@JamesMoses-jd1yq sasa unaona huyu shafii analakusema huyu ni kabubu tu eti majini wazuri na chakula Chao ni damu yabinadamu Hawa ndio wanasababisha maajali barabarani kwa kuwatoa kafara binadamu washindwe katika jina la bwana wetu yesu kristo aliyehai

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu shafiii kwa elimu yake hatoshi kabisaa kwa ndacha

  • @user-fw2el2ws7z
    @user-fw2el2ws7z หลายเดือนก่อน

    Kulingana nampangilio ya uislamu ..uislamu ni dini ya Mungu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 หลายเดือนก่อน +3

    Mpaka hapo Ndacha sitisha mjadala zidi ya huyu elimu yake ndogo

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน +1

    Kama wew dume mwite ndacha

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Hana ufahamu na qurani muisilamu kamili lazima awe na jini ndacha anaufahamu mkubwa

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa หลายเดือนก่อน

    Acha uongo majini hawazai maana hawana jinsia,waislam mmekuja kupotosha vitabu vilivyo tangulia, shetani hana nafasi ya kutubu.

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 หลายเดือนก่อน +4

    Shekhe una shule ndogo sana 😂😂😂😂

  • @loysamwel6308
    @loysamwel6308 หลายเดือนก่อน

    Shafi wacha uwongo njoo kwaye mjadala

  • @stevenmponzi8168
    @stevenmponzi8168 หลายเดือนก่อน +2

    majini hawana vizazi bhna sasa kwan kama ni malaika walioasi kwani malaika wanazaaa we endelea na majini yako

    • @hamisilusambi
      @hamisilusambi หลายเดือนก่อน

      Katika imani ya kiislam majini sio malaika nawala hawana asili ya malaika..ndio mana majini huzaliana tofaut na malaika

  • @beyondsavanna6028
    @beyondsavanna6028 หลายเดือนก่อน

    Usiruke kabla ya ngoma

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 หลายเดือนก่อน

    Uyo Ndacha ako na utoto sana,si walishafanya mdahalo na akina Yusuf Wambugu kuhusu Jumamosi? si alishindwa kutoa andiko mpaka leo Jumamosi imeandikwa wapi katika Bibilia...leo anakuja kumsumbua Sheikh Shafi kuhusu Jumamosi tena

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani wew una ushahidi wa kusema majin hawana kizazi?maana majin ni viumbe ambao wameletwa dunian kwa lengo la ibada,sasa ingekuwa hawazalian si wangekuwa wameisha duniani?kwa sababu wanakufa hao pia,musilete uwana cha kwenye suala la iman

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe hayo mazishi ya majini hulishauzuri na uliwaona wapi majini yanazaliana ? Ndomaana wakristo tunasema nyie waislamu mnamausiano na majini mapepo wachafu mashetani yaliletwa Kwa Muhammad awasilimishe

  • @user-tv9iv8ij1n
    @user-tv9iv8ij1n หลายเดือนก่อน

    kama hawaajui mbona utaki kukutana na ndacha

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 หลายเดือนก่อน

    Jamanieeee tuache ushabiki wadau . Tuwapelekeni uwanjani tujue Nani mkweli. Ila huyu hachukui raundi mbili. Huyu ni mpole ni aheri sule

  • @stephanojoseph4357
    @stephanojoseph4357 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo kwenye uislamu shetani Anaweza kumrejea mwenyezi Mungu kwa kutibu au ameshahukumiwa??

    • @hamisisaid-zz2ye
      @hamisisaid-zz2ye หลายเดือนก่อน

      Kuna tofauti kati ya shetani na majini kaka shetani ni mmoja tu aliyefukuzwa kwa ufalme wa mbinguni ila majini ni wengi tu kma wanadamu walivyo tafuta elimu ufahamu kaka Wacha ushindani

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 หลายเดือนก่อน

    Ata ukiangalia ile surat jini mtume muhammad anafunuliwa habari za majini ambazo alikuwa hazijui sio Kuabudu majini

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 หลายเดือนก่อน

    Nasoma comments tu

  • @sosom14
    @sosom14 หลายเดือนก่อน +2

    Kichwa unga wewe

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB หลายเดือนก่อน

    Hhhhh we mujadala hawuwezi kabisa

  • @leonardadd
    @leonardadd หลายเดือนก่อน +1

    Majini ilislimu, ila sio kubatiza

  • @stevenmponzi8168
    @stevenmponzi8168 หลายเดือนก่อน +1

    Nan kakwambia majini wana kizazi

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

    Kumbe shafii unajua ukweli kwamba yesu ndio njia ya kweli na uzima adi unaamini maneno yake "na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kiristo ulie mtuma"sasa huko kwa mhammad unachelewea nini?

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 หลายเดือนก่อน

      Ww ndio uelewa huna,hakuna Muislam asie mkubal Yesu na ukiwa Muislam halafu umuamin Yesu ww ni moton, Uisilam unatufunza kuamin Manabii wote wa Mwenyez Mungu sisi hatubagui Nabii hta mmoja

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      @@huseinshedrack6180 mbona mnamswalia mtume mhammad why ana makosa gani mbona Yesu kristo hamumswalii?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      @@huseinshedrack6180 uzuri wauslamu mnajua ukweli uko wapi ila hamtaki kukubali na kuritad muwe wakiristo tu mnajua kabisa mtume wenu hana uwezo wa kuwaombea dua badala yake nyie ndio mnafanya kazi ya kumswalia yeye kila siku sasa iweje mitume wengine km Yesu kristo mshindwe kumswalia lkn mhammad mnamswalia jibu ni kwamba mmeshajua yesu kristo ni mwana wa Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo hana madhambi ila mhammad ana madhambi ndmn mnamswalia

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 หลายเดือนก่อน

      @@ramadhanmahongole9293 ndio maana nikakwambia huna elim ya din,hii sio zama za Yesu ni zama za Mtume Muhammad ndio maana tuna mtaja yy,Kwan zama za Nabii Mussa Yesu alikuwepo...?na km hakuwepo na nyie mnasema Ukristo ulikuwepo wakristo wa zama hzo walikuwa wanamtaja Yesu...?leo Tz Rais wetu ni mama Samia hv watumish wanaweza kuapishwa kwa jina la Kikwete...?soma kwanza din ndio uje huku

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 หลายเดือนก่อน

      @@ramadhanmahongole9293 unajua mm ndio maana nilihama ktk Ukristo huku kwenye Uisilam huwez Kuta Muislam ana mkashifu Mtume yeyote wa Mungu lkn nyie wakristo cjui mna shida gan aisee, Uisilam ume mpamba sn Yesu na mama yake,hvyo hta ukitaka haki Uisilam una haki kuliko Ukristo sababu una mzungumzia vzr huyo mnae muamin na Manabii wote

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน +1

    Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

    Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u หลายเดือนก่อน

    Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule