@@DesderiusHaule masharti anayotoa Shafii huyataki, na wakati anasema shart lake kubwa ni kutokubali matusi, wewe unamuambia aache masharti kwa hiyo unataka kutengeneza chuki, Fitna na Matusi?
@@samxx411dini yenu imekuja jana tena na lijamaa lichafu ktk kila eneo.Hivi kweli maisha ya Muhammad ndivyo wanatakiwa kuishi wacha Mungu Kweli,mbingu gani inayokusanya matakataka bila kuangalia utakatif 0:00 u
@@rashidibrahim8316ndacha ni mwalimu wa walimu alimfundisha mzee wa comedy mazinge kamfindisha sule na sasa anataka amfundishe shafii kuwa uislamu ni ukafiri
Sjui ww ni mkristo wa wapi? uku Kenya uyo ndacha mweywe wakristo wanamkataa😂😂😂,ndacha hana elimu ata mm namshinda,hatoi maandiko anasoma haraka haraka yeye na msomaji wake
Shafii acha woga. Inaonyesha unamuogopa Ndacha. Masharti hayawekwi na upande mmoja tu. Mnakaa pande zote mbili mnakubaliana ndipo mnakuja na masharti ya pamoja. Mtu kasoma vitabu vya dini kama vilivyoandikwa, wewe unasema umetukanwa. Huko ni kuzidiwa hoja na kutafuta chaka la kujificha!
Saivi waislamu ndo wanafunguka akili kuwa kuna ushirikiano baina ya dini yao, ushirikina na majini....mi nakushangaa unavyokataa wakati tangu utotoni tumeshuhudia miongoni mwa vitu wanavyotumia waganga wa jadi ni hayo maandishi ya kiarabu. Ndo maana ata mapepo wakitolewa kanisani wanajiita majina ya kiarabu. Hii dini chimbuko lake ni miungu ya kiarabu, ipo siku mtafunguka macho tu
Ndacha Hana ilmu ila ni msemaji mzuri kwamana aingiyi akili Yesu mungu ndio, Yesu mwana ndio, Yesu mtume ndio. Yani hamna hata kufikiria. Yani ni yes yes yes
Kumbe ulifanya utafiti mkubwa kwa swali gumu kumbe ndacha ni mwalimi wako lakini anaweza pia kuwa mwanafunzi wako ila si kielimu ila kiimami na ujuzi wa kutambua maandiko
@@JamesMoses-jd1yq sasa unaona huyu shafii analakusema huyu ni kabubu tu eti majini wazuri na chakula Chao ni damu yabinadamu Hawa ndio wanasababisha maajali barabarani kwa kuwatoa kafara binadamu washindwe katika jina la bwana wetu yesu kristo aliyehai
Uyo Ndacha ako na utoto sana,si walishafanya mdahalo na akina Yusuf Wambugu kuhusu Jumamosi? si alishindwa kutoa andiko mpaka leo Jumamosi imeandikwa wapi katika Bibilia...leo anakuja kumsumbua Sheikh Shafi kuhusu Jumamosi tena
Kwani wew una ushahidi wa kusema majin hawana kizazi?maana majin ni viumbe ambao wameletwa dunian kwa lengo la ibada,sasa ingekuwa hawazalian si wangekuwa wameisha duniani?kwa sababu wanakufa hao pia,musilete uwana cha kwenye suala la iman
Wewe hayo mazishi ya majini hulishauzuri na uliwaona wapi majini yanazaliana ? Ndomaana wakristo tunasema nyie waislamu mnamausiano na majini mapepo wachafu mashetani yaliletwa Kwa Muhammad awasilimishe
Kuna tofauti kati ya shetani na majini kaka shetani ni mmoja tu aliyefukuzwa kwa ufalme wa mbinguni ila majini ni wengi tu kma wanadamu walivyo tafuta elimu ufahamu kaka Wacha ushindani
Kumbe shafii unajua ukweli kwamba yesu ndio njia ya kweli na uzima adi unaamini maneno yake "na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kiristo ulie mtuma"sasa huko kwa mhammad unachelewea nini?
Ww ndio uelewa huna,hakuna Muislam asie mkubal Yesu na ukiwa Muislam halafu umuamin Yesu ww ni moton, Uisilam unatufunza kuamin Manabii wote wa Mwenyez Mungu sisi hatubagui Nabii hta mmoja
@@huseinshedrack6180 uzuri wauslamu mnajua ukweli uko wapi ila hamtaki kukubali na kuritad muwe wakiristo tu mnajua kabisa mtume wenu hana uwezo wa kuwaombea dua badala yake nyie ndio mnafanya kazi ya kumswalia yeye kila siku sasa iweje mitume wengine km Yesu kristo mshindwe kumswalia lkn mhammad mnamswalia jibu ni kwamba mmeshajua yesu kristo ni mwana wa Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo hana madhambi ila mhammad ana madhambi ndmn mnamswalia
@@ramadhanmahongole9293 ndio maana nikakwambia huna elim ya din,hii sio zama za Yesu ni zama za Mtume Muhammad ndio maana tuna mtaja yy,Kwan zama za Nabii Mussa Yesu alikuwepo...?na km hakuwepo na nyie mnasema Ukristo ulikuwepo wakristo wa zama hzo walikuwa wanamtaja Yesu...?leo Tz Rais wetu ni mama Samia hv watumish wanaweza kuapishwa kwa jina la Kikwete...?soma kwanza din ndio uje huku
@@ramadhanmahongole9293 unajua mm ndio maana nilihama ktk Ukristo huku kwenye Uisilam huwez Kuta Muislam ana mkashifu Mtume yeyote wa Mungu lkn nyie wakristo cjui mna shida gan aisee, Uisilam ume mpamba sn Yesu na mama yake,hvyo hta ukitaka haki Uisilam una haki kuliko Ukristo sababu una mzungumzia vzr huyo mnae muamin na Manabii wote
Shafdi Allah akuhifadhi upo vizuri Sana na tunakukubali Sana. Allah akuongezee hekima na Busara. Allahumma Aamiin! 🙏✍️✍️
Mashallah sheikh shafi wapereke shure awo wachungaji amuna kitu
Wewe Shafii 😂😂😂😂😂 Mwalimu wako Sule Majini kamshindwa wewe utamuweza Shafii
Shaffi hebu kubali mdahalo na Ndacha acha masharti yasiyokuwa na sababu tuwasikie hoja zenu.
Uislamu bila uongo hakuna hakuna uislam
Nyie hamujaona hadithi aliyotoa shafii hapo???
kuna neno majini au akili zenu hazifany kazi
@@DesderiusHaule masharti anayotoa Shafii huyataki, na wakati anasema shart lake kubwa ni kutokubali matusi, wewe unamuambia aache masharti kwa hiyo unataka kutengeneza chuki, Fitna na Matusi?
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh Shafii uko sawa kabisa❤❤
Mashaallah ustadh 🙏
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
Shafii mchamungu sanaa nakukubali huna sifa za dunia we ni mlinganiaji wa haki
Stevinmpozi,kaka dunia tunapita,na utakwenda kuulizwa nani ulikuwa unamuabudu,kuwa muislam ndacha anadanganya watu tu.
Hata ukiwaambia hivyo kaka hawakuelewi hao wanataka dawa
@@samxx411dini yenu imekuja jana tena na lijamaa lichafu ktk kila eneo.Hivi kweli maisha ya Muhammad ndivyo wanatakiwa kuishi wacha Mungu Kweli,mbingu gani inayokusanya matakataka bila kuangalia utakatif 0:00 u
Ataulizwa na nani? Yesu ndiye muhukumu wa haki
Soma yote siyo nusu
@@FridayMwassa hata akisoma biblia nzima hutoamini
perfect sana shekh shaff mungu akuongoze
Shekhe unaenda kujizalilisha ukifanya mdahalo na Ndacha coz huna elimu ya Dini
Ndacha ndiyo Hana elimu Kwa tarifa yako
@@rashidibrahim8316ndacha ni mwalimu wa walimu alimfundisha mzee wa comedy mazinge kamfindisha sule na sasa anataka amfundishe shafii kuwa uislamu ni ukafiri
Shafii uko vizur sana Allah akuzidishie.
Shafii achaa nao wehu tu hawajui kitu chochote 😂😂😂 wasikupotezeee muda
😂😂😂😂 Shafii mwoga kukutana na Ndacha bila ushirikiano na Mwalimu wake Sule hawezi kufanya midaharo na wahadhiri wa Kikristo 😂😂😂
Yan nampend mungu kam Dr sulle asingekubali majin shafii asingeingiy kwenye 18 za ndacha shehe tunakusubiri kazim umekubali
Utajuwa hujui ndugu , jichanganye kwa ndancha na muwe wawili tu.
@@gervasbeno5589 hsmuwezi ndacha huyu nikaa maji kwenye koo
Ndacha anauwezo mkubwa zaidi utaanza kujigamba na takibili nyiingi
Ndacha hajui kitu
Sasa wewe unatetea dini ya mashoga LGBTQ walahujui nanikaiyanzisha maana hatayesu mwenyewe hajawahi kuwaita watu au wanafunzi wake wakristo
Sjui ww ni mkristo wa wapi? uku Kenya uyo ndacha mweywe wakristo wanamkataa😂😂😂,ndacha hana elimu ata mm namshinda,hatoi maandiko anasoma haraka haraka yeye na msomaji wake
sasa wegine wanashabikia dini ya majini
@@shabamuhidin634 wanasoma haraka ju Wana elimu lakini wewe mwenye akili finyu huwezi pata lolote , wewe ni last class unaelewa polepole
Nashagaha sana watu wenye helimu lakini awamjuwi mungu
Ndacha na Danieli wamelumbana
Mathayo 28:16 haisemi hivyo acha uongo Mzee ww endelea kuyafuat hayo majini ila kumbuka ole Ole inakuja kilio cha kusaga Meno ndipo utamkubuka Mungu
Wanamaneno megi lakini awana neno
Shafii acha woga. Inaonyesha unamuogopa Ndacha. Masharti hayawekwi na upande mmoja tu. Mnakaa pande zote mbili mnakubaliana ndipo mnakuja na masharti ya pamoja.
Mtu kasoma vitabu vya dini kama vilivyoandikwa, wewe unasema umetukanwa. Huko ni kuzidiwa hoja na kutafuta chaka la kujificha!
Saivi waislamu ndo wanafunguka akili kuwa kuna ushirikiano baina ya dini yao, ushirikina na majini....mi nakushangaa unavyokataa wakati tangu utotoni tumeshuhudia miongoni mwa vitu wanavyotumia waganga wa jadi ni hayo maandishi ya kiarabu. Ndo maana ata mapepo wakitolewa kanisani wanajiita majina ya kiarabu. Hii dini chimbuko lake ni miungu ya kiarabu, ipo siku mtafunguka macho tu
Qur,an 8:2
Mdàharo lini
Ndio maana mm nilisilim aisee,Shekh unaongea vitu km mtu akiacha ushabik hawez kuwa mkristo
Ndacha Hana ilmu ila ni msemaji mzuri kwamana aingiyi akili Yesu mungu ndio, Yesu mwana ndio, Yesu mtume ndio. Yani hamna hata kufikiria. Yani ni yes yes yes
Kumbe ulifanya utafiti mkubwa kwa swali gumu kumbe ndacha ni mwalimi wako lakini anaweza pia kuwa mwanafunzi wako ila si kielimu ila kiimami na ujuzi wa kutambua maandiko
Malaika wameumbwa Kwa nuru na majini wameumbwa Kwa moto kwaiyo majini na Malaika ni viumbe tofauti
1) wafalme 22-21
2) mambo yanyakati 18-20 mungu anafanya kazi na pepo msafi Aumimi sijaelewa apo?
Mnisaidie
😂😂😂😂 kama hawajui Biblia si ndiyo ndiyo ukafanye midaharo jamani😂😂😂😂 yani unatoa majibu tu kwa mtangazaji
Shafii hana anacho kijua kwenye Scripture science
Ndacha hana mpinzani huku mnapiga kelele tu yaani wapumbavu wote
Wakristo hamna hoja
@@JamesMoses-jd1yq sasa unaona huyu shafii analakusema huyu ni kabubu tu eti majini wazuri na chakula Chao ni damu yabinadamu Hawa ndio wanasababisha maajali barabarani kwa kuwatoa kafara binadamu washindwe katika jina la bwana wetu yesu kristo aliyehai
Huyu shafiii kwa elimu yake hatoshi kabisaa kwa ndacha
Kulingana nampangilio ya uislamu ..uislamu ni dini ya Mungu
Mpaka hapo Ndacha sitisha mjadala zidi ya huyu elimu yake ndogo
Kama wew dume mwite ndacha
Huyu Hana ufahamu na qurani muisilamu kamili lazima awe na jini ndacha anaufahamu mkubwa
Acha uongo majini hawazai maana hawana jinsia,waislam mmekuja kupotosha vitabu vilivyo tangulia, shetani hana nafasi ya kutubu.
Shekhe una shule ndogo sana 😂😂😂😂
Shafi wacha uwongo njoo kwaye mjadala
majini hawana vizazi bhna sasa kwan kama ni malaika walioasi kwani malaika wanazaaa we endelea na majini yako
Katika imani ya kiislam majini sio malaika nawala hawana asili ya malaika..ndio mana majini huzaliana tofaut na malaika
Usiruke kabla ya ngoma
Uyo Ndacha ako na utoto sana,si walishafanya mdahalo na akina Yusuf Wambugu kuhusu Jumamosi? si alishindwa kutoa andiko mpaka leo Jumamosi imeandikwa wapi katika Bibilia...leo anakuja kumsumbua Sheikh Shafi kuhusu Jumamosi tena
Kwani wew una ushahidi wa kusema majin hawana kizazi?maana majin ni viumbe ambao wameletwa dunian kwa lengo la ibada,sasa ingekuwa hawazalian si wangekuwa wameisha duniani?kwa sababu wanakufa hao pia,musilete uwana cha kwenye suala la iman
Wewe hayo mazishi ya majini hulishauzuri na uliwaona wapi majini yanazaliana ? Ndomaana wakristo tunasema nyie waislamu mnamausiano na majini mapepo wachafu mashetani yaliletwa Kwa Muhammad awasilimishe
kama hawaajui mbona utaki kukutana na ndacha
Jamanieeee tuache ushabiki wadau . Tuwapelekeni uwanjani tujue Nani mkweli. Ila huyu hachukui raundi mbili. Huyu ni mpole ni aheri sule
Kwahyo kwenye uislamu shetani Anaweza kumrejea mwenyezi Mungu kwa kutibu au ameshahukumiwa??
Kuna tofauti kati ya shetani na majini kaka shetani ni mmoja tu aliyefukuzwa kwa ufalme wa mbinguni ila majini ni wengi tu kma wanadamu walivyo tafuta elimu ufahamu kaka Wacha ushindani
Ata ukiangalia ile surat jini mtume muhammad anafunuliwa habari za majini ambazo alikuwa hazijui sio Kuabudu majini
Nasoma comments tu
Kichwa unga wewe
Hhhhh we mujadala hawuwezi kabisa
Majini ilislimu, ila sio kubatiza
Nan kakwambia majini wana kizazi
Mm apa
Majini ni upuuzi
Kumbe shafii unajua ukweli kwamba yesu ndio njia ya kweli na uzima adi unaamini maneno yake "na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kiristo ulie mtuma"sasa huko kwa mhammad unachelewea nini?
Ww ndio uelewa huna,hakuna Muislam asie mkubal Yesu na ukiwa Muislam halafu umuamin Yesu ww ni moton, Uisilam unatufunza kuamin Manabii wote wa Mwenyez Mungu sisi hatubagui Nabii hta mmoja
@@huseinshedrack6180 mbona mnamswalia mtume mhammad why ana makosa gani mbona Yesu kristo hamumswalii?
@@huseinshedrack6180 uzuri wauslamu mnajua ukweli uko wapi ila hamtaki kukubali na kuritad muwe wakiristo tu mnajua kabisa mtume wenu hana uwezo wa kuwaombea dua badala yake nyie ndio mnafanya kazi ya kumswalia yeye kila siku sasa iweje mitume wengine km Yesu kristo mshindwe kumswalia lkn mhammad mnamswalia jibu ni kwamba mmeshajua yesu kristo ni mwana wa Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo hana madhambi ila mhammad ana madhambi ndmn mnamswalia
@@ramadhanmahongole9293 ndio maana nikakwambia huna elim ya din,hii sio zama za Yesu ni zama za Mtume Muhammad ndio maana tuna mtaja yy,Kwan zama za Nabii Mussa Yesu alikuwepo...?na km hakuwepo na nyie mnasema Ukristo ulikuwepo wakristo wa zama hzo walikuwa wanamtaja Yesu...?leo Tz Rais wetu ni mama Samia hv watumish wanaweza kuapishwa kwa jina la Kikwete...?soma kwanza din ndio uje huku
@@ramadhanmahongole9293 unajua mm ndio maana nilihama ktk Ukristo huku kwenye Uisilam huwez Kuta Muislam ana mkashifu Mtume yeyote wa Mungu lkn nyie wakristo cjui mna shida gan aisee, Uisilam ume mpamba sn Yesu na mama yake,hvyo hta ukitaka haki Uisilam una haki kuliko Ukristo sababu una mzungumzia vzr huyo mnae muamin na Manabii wote
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule