Wema Sepetu baada ya kutoka Mahakamani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2018
- Kesi ya mrembo Wema Sepetu ya kukutwa na msokoto wa bangi imesikilizwa leo February 8, 2018 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Inspekta wa Polisi, Wille ameieleza Mahakama kuwa hakuwepo wakati Wema akichukuliwa sampuli ya mkojo kwa Mkemia Mkuu wa serikali.
Nakupenda sana wema mungu atakupa wepesi inshallah
Pole sana yataisha
Love bebe sepetu
Mbona akina Ray C hawakushtakiwa ndipo wamshtaki Wema? Wallahi Tz inaudhi😏
Pole sana kwa usumbufu unaofanyiwa dear yataisha tu. Amiin
Pole wema
Penda sana wema wanaokuchukia watakufa na wivu wao
pole da wema yataisha.
Huyu mtangazaji m ckumuelewa na kama huyo inspekta kajibu hivyo basi wema atashinda maa hakupata bangi chumbani kwa wema n kwa wafanykazi sasa uoni hapo kesi kwisha maana wakimchukua mkojo sahii na kama hatumii now bangi s mkojo utakuwa msafi sasa korti watasema labda n housegal
Maskini wema mungu akusimamie
CCM ishaanza mambo yake. Basi sawa.
Tucheki kutazama Video zote mpya za BONGO Kiswahili🔥🔥
In sha Allah yuwaeza shinda maana hio kesi hata c ngumu
kumbe
Jione vile
Alice Supa jifunze Kiswahili, unapitisha immature. Kesi imea-hirishwa sio imeha-irishwa
kwahio Information was fake..Alaf ni kama wema hii kiki ya mahakamani anaipenda sana..hivi kunakosekana way forward yakumaliza kesi.mtamaliza madera jamani ma hizi safari..saizi hukumu ingekua ishatoka au hata dhamana..lakini bado soyo soyo tu
😅😅😅😅eti watamaliza nn?
mnamchafua bana Tanzania sweetheart au ndo mti wenye matunda upigwa mawe? mwacheni bana wema wangu love you madame
Dah?
Sahihisho la comment ya hapo juu "unapindisha kiswahili" sio "unapitisha immature"
😨😨 imeairishwa tena mmh
Akifungwa itapendenza inshallah Mwenyenzi mungu amsaidiye afungwe ata miaka mitatu
Madame
kila la kheri my
Muaceni wema .just wivu kuwafatiria wenzenu
Kweli Wema una ujauzito,hayo matiti yaonyesha👀👀👀
Hii kesi inaisha lini jamani khaaa
Bangii??? Duh!
izo n geresh tu iyi kes itaishaa mbn kw sabb ushrud ccn hd una vaa head phn na make up juu daaah hii nchi
kwahio walikutana na diamond😂😂😋
Hivi wewe dada mtangazaji unaendaga kufanya nini mahakamani yani lazima usisitizieage msokoto wa bangi!!!
Huwezagi kutangaza kama wengine mambo yanayohusiana tuu na Wema kuhudhuria mahakamani?
Hakuna kesi hapo tena the end
Mm ningetakiwa na wema ningitaka kufanya kitu cha kherr sio chakishenzi nilitaka niowane nae niwe mchumba wa milele na mungu atupatie watoto.lakini sijawahi kuonana nae wala kuongea naee bali nilijaribu kujitokeza hivi sasa labda atapata kuiyona comment hii....lakini nimehofia kwa kubwa la mabisho 😂 amor rapa ashanteni
Kadhuri😂😍😍
Huo mkojo wa wema unavozungumziwa Ni kama pembe ya ndovo.... Kumbe pembe ndio yaweza ingia utokeapo mkojo wa nanihino uyu
watanzania wanapenda simu eheee
MUNGU CMAMA NINGELIKUWA HAKIMU NACKILIZA KESI YA HUYU PAKA.AMEKAMATWA NA KIDHITI NAFUNGA JALADA LA UPELELEZI.NAMUAMSHA 5 KEKO AKAPUMZKE.
Hamad Shein pamoja sana kaka
Sasa kuvuta bangi kuna tatizo gani ,watanzania mna mambo akhaa
hiyo bosheni tu jaisharudi ccm hakuna kesi
aya bwn
Kesi imekua ngumu daa dio dunia hii
Huyu mschana nyuma nimfanyikAzi
dah na uzur wako lkn dkt kanusa mkojo wako...hahahaaa
Maisha yanaenda na umri unasonga mbele
Hahahahahahah kweli make up ni nzuri leo una fanana uuufff
ilo begi la msando km anasafiri😂😂😂😂
jitu zima ovyooo
shydoll wa Alihajj 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hakuna mwema
kaz munayo ww kesh mond kes leo
Hii ishu ya kukumbatiana na wakili imetoka wapi tena?? Upuuzi huu munaofanya
ni kosa tena inaonesha kuwa hakuna kitu hapo
😀😀😀😀😇😀
hahahaaa
Silipendi ili bibi au atokee nyangavu anijibu coment yangu labda anijibu wema maana ukikoment humu kuna mafala yanaumizwa na mambo ya watu
LAYTHAT OMAN 😀😀😀😀😀😀😀😀
Sakina Juma umpendi wema kwani yuala kwenu au alishawai kuomba kitu aina haja umpende akipendwa na MUNGU yatosha aina haja umpende wewe nyoko😏😏😏😏
Aysha Aysha nlisema litatokea senge linijibu ala sijalikusudia ww nyoooooo
Sakina Juma swadaktaaaa
LAYTHAT OMAN jinsi humpendi nando jinsi anapaa juu, Wewe unadhani ukimchukia utampunguzia nini wewe 🤣😂😂😂😂 crazy talk,. Hujui tu jinsi watu wanavyo kuchukia kushinda unavyo mchukia nyoo
Serekali ya magufuli itawanyoosha na mtanyooka tu ni lazima
Lifungeni ilo wema uko
LAYTHAT OMAN lifungwe
Kama wema anafungwa utapata Nini, nataka kuku uliza Kama, unamujuwa Mungu kweli? neno la Mungu Lina sema chuki Ni zambi, wema Alisha kukukoseya, Kama apa, umuombe musama, ukumbuke Kuna kihama!
hajati ally Exactly my dear
Kama jela pazuri mpeleke mwanao,mschiuuuuuuuuu roho mbayaaaa nyambafu
LAYTHAT OMAN aah kwan alikuchugulia mumeo wwwweee