Sio kwa miaka ya sasa bro zamani majeshi yote unayo yajua wewe ya Tz sifa ilikuwa uzarendo elimu ziada ila kwa miaka ya sasa mambo yamebadilika katika askari 5 bas jua kati yao ukosi mwenye degree au diploma @@fahadfaraj6474
Kazi mbili kivipi serikalini tunawaamuzi wengi mtaani hawana kazi na adui wa rushwa hivo tunpunguzie majukumu na wengine wanufaike na wito wao ushauri.
alaf unakutana na kenge anakwambia polisi ni D 2
ni div 4 kbs
Sku hizi hadi madalali wanadegree so kushangaa degree ni ushamba
@@fahadfaraj6474 tomba nyoko hujaelewa wewe mi sushangai madalali huo ni mambo ya ajira mi nashangaa wanasema polisi wana D 2
@@jumarajab5316 majority wana d mbili kwani uongo bwana
Sio kwa miaka ya sasa bro zamani majeshi yote unayo yajua wewe ya Tz sifa ilikuwa uzarendo elimu ziada ila kwa miaka ya sasa mambo yamebadilika katika askari 5 bas jua kati yao ukosi mwenye degree au diploma @@fahadfaraj6474
Kozi ya uamuzi inatolewaga vyuo vipi na vipi hapa Dsm
Utasikia D 2 haya sasa
kazi nzuri mkuu 🎉🎉
Hongera afande mana unachezeshga vzur mechi zko ata kma mistake ni chache
Safi sana boss
Chigugu tarafa ya Chikundi Masasi😂😂
sports and game are one of factors that made community policing engagement, big up kiongozi unaonyesha positive image ya jeshi letu la polisi.
Ppp
L
Big up Mzee WA pess
Chigugu ❤❤ Masasi 🔥🔥
Ni vzr
Safii sana
Jiandae kupata kipondo viwanjani,,
Mwaakwetu mwendo wa ngiri tu 😅😅😅😅
R nyingi,,,
Kazi mbili kivipi serikalini tunawaamuzi wengi mtaani hawana kazi na adui wa rushwa hivo tunpunguzie majukumu na wengine wanufaike na wito wao ushauri.
Acha wivu hiyo ni michezo
Yaan jitihada za mwenzako wazionea wivu … afu polic wanafursaaa nyingi kam vip nenda kasomee upolic upate ata upishi
Huwo ujinga angaliya Europe walivyoendelea kuna mwamuzi wa Ufaransa anachezesha ligi zaidi ya tatu