Mwogope Mungu mbona wanapokuja kuwekeza kwenye miradi yako unawazungusha.? Unawasainisha mikataba isiyotekelezeka. Mtu anawekeza akijua atapata faida muda wa malipo ukifika hakuna cha faida wala nini. Hata hela aliyowekeza pia inakuwa shida kumrejeshea. Kwa kweli umeua ndoto za wengi. Jitafakari sana na hiyo miradi yako machozi ya watu yatakumaliza.
@@hellendaniel3809 Tumeongea Ili wengine wasije wakaingia kwenye mitego yake. Wewe unajuaje hatujaongea wakati ndiyo kwanza umeiona leo. Kila mahali nitakapoona habari zake nitasema huyu ni tapeli.
Huyu kaka anaishi na Kiki na nyie kina milard jaribuni kutafuta Habari zenye mashiko, huyu alijisemea ni muwekezaji wa vanilla kwenye chinjachinja ya makonda hamna mtu hapa
Sasa amewajuaje wajane hapo sokoni na hao single mama? Sana zingie bhanna.😂 Ok sawa aliyoungisha Baada ya kuvinunua amevipeleka wapi??kwa wahitaji au.mwandishi tunaomba majibu.😂😂😂
Kwani usiwape hiyo hela wakaongeza mtaji ?wewe unanunua tena kwa bei ileile .hujawasaidia umewawezesha kurudi nyumbani mapema kwakuwa wamemaliza mzigo ilaa hakuna msaada hapo
Kwahyo kama kwako haramu ni haramu ni kwa wote kama ingelikuwa ni haramu ingepigwa marufuku na serikali yetu ninyi ndo wale mnaojifanya mnashika dini sana wakati mnakula hiyo kitimoto sirini waislamu wenzenu wasiwaone kwenye watu wengi unajikuta umeshika dini
Kaka Umewezaaaaaaaaaaaaa yaani Mungu akubariki sijui nikupigie vigeregere vingapiii siku nyingine wape nguruwe wale
Majina ya Arusha......kichwa mbayaaa...
Mwogope Mungu mbona wanapokuja kuwekeza kwenye miradi yako unawazungusha.? Unawasainisha mikataba isiyotekelezeka. Mtu anawekeza akijua atapata faida muda wa malipo ukifika hakuna cha faida wala nini. Hata hela aliyowekeza pia inakuwa shida kumrejeshea. Kwa kweli umeua ndoto za wengi. Jitafakari sana na hiyo miradi yako machozi ya watu yatakumaliza.
Mi pia ashaniliza huyo baba. Anaonekana mpole kumbe tapeli.
Mi pia ashaniliza huyo baba. Anaonekana mpole kumbe tapeli.
Haaaa
Usimtegemee mwanadmu ktk mafanikio yako. Tengeneza banda fuga mwenyewe.
kwann msiokee kabla hajaenda kusaidia huko sokoni
@@hellendaniel3809 Tumeongea Ili wengine wasije wakaingia kwenye mitego yake. Wewe unajuaje hatujaongea wakati ndiyo kwanza umeiona leo. Kila mahali nitakapoona habari zake nitasema huyu ni tapeli.
Tanzania siami ❤❤ Mmeskia amesema Yesu nimume wa wajane alaf amesema yeye ni ameokoka jaman kuokoka ndyo mpango mzima karibun kwa Yesu
@@VictorJohn-fu7ch siyo maneno yake ni ya Biblia
Kazi nzuri sana kaka, Mungu akubariki sana
😊
Hongera kaka Mungu akuongezee ulipotoa🙏🙏
kitimoto kafanya kazi ya moto 🔥🔥
Mhuni wa Vanilla huyu alibananishwa na Bashite😅
Huyu jamaa si ndy yule wa Vanilla😂😂😂
Yeah ndo huyu mwenye mashamba ya vanilla Morocco na Zanzibar 😂😂
Ndo huyo. M kaniliza kwenye vanilla.
Watanzania sisi wengi Bado wajinga,huyu anacheza na akili zetu wabongo,vanila watu wamepigwa
Jamani huyu jamaa ht anavyoongea anaonekana kabisa ni mgonjwa wa akili 😂
Ubarikiwe na uzidishie mara dufu
Huyu kaka anaishi na Kiki na nyie kina milard jaribuni kutafuta Habari zenye mashiko, huyu alijisemea ni muwekezaji wa vanilla kwenye chinjachinja ya makonda hamna mtu hapa
Si MTanzania ni mkongo analazimisha kuongea Kiswahili, uhamiaji mchunguzeni lipo jambo hapo.m
😂😂😂
Safiii sanaa mjomba 👌👍👏👏👏🥳🥳
Sasahivi anauza nguruwe; ameacha wapi Vanilla?
Duh asee huyu jamaa kuna kitu flan kichwani haipo sana 😂
Ila huyo jamaa huwaga simuelewagi kabisa 😂😂😂😂
Mwandishi Umeniangusha Sana si ukuje hata unihoji mie huku 😂
Cedric kaze mtupu 😂😂😂
Barikiwa sana
Sasa amewajuaje wajane hapo sokoni na hao single mama? Sana zingie bhanna.😂 Ok sawa aliyoungisha
Baada ya kuvinunua amevipeleka wapi??kwa wahitaji au.mwandishi tunaomba majibu.😂😂😂
Eeeeeh nimeamu Eeeeeh 😂😂😂niwasaidie Eeeeeh
😂😂😂
Wajinga mtapigwa sana pesa tulio soma cuba tumeelewa plan yake
Said mkondya a.k.a Mr manguruwe mradi wake upo Dodoma Kijiji cha Mai mai
Mbn eeeh nyingi 😂😂😂😂😂
Tajiri wa Vanila Africa na Duniani mwenye Mashamba Morogoro, Kenya na Zanzibar, kumbe pia anafuga nguruwe?😂😂😂
Huyu jamaa wa vanilla 😂
Safi iyo
NimesikiyaVibayaAu.Mungu.au.Yesu..makubwa.haya.hongerakwakuwaungisha
Sasa kwani wanaouza sokoni ni ma single mothers MUNGU atusaidie tutaangamia kwa kukosa maarifa
Sio huyu wa vanila wa Alusha kwa makonda?
Hivi vanilla ilikuwaje ...
Huyu kaka huyu nyie
Safi sana
Arusha mna mambo
Wewe acha sifa za kijinga msaada uwa autolewi ivyo acha sifa
Kiswahili kigumu au mhamiaji
Nice❤
S mkulima wa vanilla wa makonda hyu
Uyu muhaya mjanja sanaaaa😅😅😅😅😅
Km hujui kabila la m2 funga domo lako.
Sio muhaya huyu mbona haongei kingereza,huyu tena sidhan kama ni mtanzania huyu.
Mtanzania huyu wa mbozi kiswahil chetu Huwa tunagandamiza sana
@@SalomeHaonga Hahaha kabisa Nahaonga
😂😂😂😂😂daaaah
Seminary ipi?? Million inanunua nini?
Kumbe single mother ni mama mwenye mtoto mmoja na hamsemi?
😮
Mbona fujo fujo tu watu wa Arusha
Kwani usiwape hiyo hela wakaongeza mtaji ?wewe unanunua tena kwa bei ileile .hujawasaidia umewawezesha kurudi nyumbani mapema kwakuwa wamemaliza mzigo ilaa hakuna msaada hapo
Mungu ambariki
Tapeli hawamjui tu
Jamaa mpaka kaanza kufanana na mifugo yake
Angalieni sana, huu ni muda wa uchaguzi,,,,
Hii gari nilikutana nayo jana moshi ikielekea hko
Tapeli mkubwa
Mkongo man huyo
Biashara ya nguruwe ni biashara haramu mkifa mtajuta
Kwahyo kama kwako haramu ni haramu ni kwa wote kama ingelikuwa ni haramu ingepigwa marufuku na serikali yetu ninyi ndo wale mnaojifanya mnashika dini sana wakati mnakula hiyo kitimoto sirini waislamu wenzenu wasiwaone kwenye watu wengi unajikuta umeshika dini
@@philemonmagesa5548kwako wewe ni halali kwa maandiko gani?!
Hamna watu wanakula nguruwe kama waislamu, halafu kwanini nguruwe tu ila pombe na umalaya mnaongoza?
Lafidhi ya Kinyarwaanda ,ni yule wa Vanila
Mnyiha mwambozi
Eeeeeeeeeee🙏
Eeeeeh.. eeeeeh
Huyu mbona anarafudhi ya kikenya
Ni mnyakyusa na hii ndiyo rafudhi yao ya kinyaki
Wakenya hawaongei hivi