USIKU HUU HARMONIZE NA MKURUGENZI KADOGOSA WAKITOKA MOROGORO KWA TRENI YA UMEME WAFUNGUKA ILIVYOKUWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 58

  • @afraeliazaelayo
    @afraeliazaelayo 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 หลายเดือนก่อน +23

    magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 หลายเดือนก่อน +3

      Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.

    • @emmanuelfari8924
      @emmanuelfari8924 3 หลายเดือนก่อน

      💯🙌

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 หลายเดือนก่อน

      @@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake

    • @Peace-x6s
      @Peace-x6s 3 หลายเดือนก่อน +1

      Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊

  • @sund2553
    @sund2553 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 หลายเดือนก่อน

      Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 หลายเดือนก่อน

      @@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz 3 หลายเดือนก่อน

      @@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 3 หลายเดือนก่อน

      @@ndukulusudikucho_ 🤣🤣

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 3 หลายเดือนก่อน +2

    😮😮😮 Siasa humu marufuku

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤

  • @salimsuweid1499
    @salimsuweid1499 3 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations

  • @hadija846
    @hadija846 3 หลายเดือนก่อน

    YAOYAO JESHII❤

  • @michaelmisago3671
    @michaelmisago3671 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi wa shirika anaakili sana

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 3 หลายเดือนก่อน +5

    Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia

    • @MussaMussa-u5f
      @MussaMussa-u5f 3 หลายเดือนก่อน

      Kama asingemalizia ingeisha

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 3 หลายเดือนก่อน

      @@MussaMussa-u5f tumpongeze kwa kusimamia

    • @timothypengejoshua8692
      @timothypengejoshua8692 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 3 หลายเดือนก่อน

      @@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu

  • @denissanchawa7689
    @denissanchawa7689 2 หลายเดือนก่อน

    Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sema reli sio leri

  • @timothypengejoshua8692
    @timothypengejoshua8692 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?

    • @allysanya8346
      @allysanya8346 3 หลายเดือนก่อน

      @@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 หลายเดือนก่อน

      @@allysanya8346 aahahaha

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 3 หลายเดือนก่อน

    HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA

  • @ColethaKomba
    @ColethaKomba 3 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥

  • @TresorMajibu-t7w
    @TresorMajibu-t7w 2 หลายเดือนก่อน

    Ongera konde boy konde jeshi

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @akidakombo259
    @akidakombo259 2 หลายเดือนก่อน

    R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba

  • @shigetemteremko7551
    @shigetemteremko7551 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 หลายเดือนก่อน

    Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 3 หลายเดือนก่อน

    Magufuli hoyeeee

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya magufuli hiyo

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 3 หลายเดือนก่อน

    Kirandage