FAIDA 8 ZA MKAA KWA KUKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ม.ค. 2022
- Maajabu ya mkaa kwa kuku wako ni mengi sana.
#tibazakuku
-Kuzuia kuhara kwa kuku
-Kuzuia Kuhara damu( Coccidiosis)
-kinga ya kideri
-kinga ya mafua
-Kuzuia minyoo
-Usadia ganda la yai kua gumu
👉Kujifunza zaidi kuhusu ufugaji wa kuku
• MBINU 10 ZA KUPUNGUZ...
👉Video zingine ya channel yetu.
/ @agalustv
👉Tangaza biashara yako kwenye channel yetu. Tuwasiliane kupitia wasap pekee +255765467484
, 🙏🙏🙏🙏
Asante sana kwa somo zuri. Kwa kweli mmekuwa watu muhimu na WA msaada sana katika ufugaji wangu.
Barikiwa sana🙏🤝
Asnt sn ubarikiwe kwa somo zuri
Amina ✍️ 🙏🏿 ndugu nawe pia
Naomba kuuliza kuku ili wawe wanataga sana mayai nifanyaje
Lishe ya kuku wanaotaga Jifunze kupitia Channel hii UTAJIFUNZA kuandaa Chakula icho
Huu Ndiyo Uzalendo was kweli
Watanzania...tunaweza fanikiwa sana tukishitikishana Maarifa adilia ksma haya❤
Mungu wetu wa Mbinguni azidi kukubariko Dana Kaka yetu🎉
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Asante kaka kwa hilo somo lakufuga kuku Bora kienyeji, bila kutumia madawa zamsduka zakuuza Chemie. Endelea kufundisha watu / wafugaji wakuku waache kutumia ama kula kuku zamadawa ya gmo?? Warudi kwa maisha yakienyiji. Mimi napenda, sana hii somo ssna tena nakuunga mkono 1oo PC. Saalamu sana kutoka hapa Ugeremani mungu azidi kukupatie Marifa zaidi. Amina.
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿 tupo pamoja. Salimia wote. Endelea kufuatilia kufuatilia tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA
Mungu akupe elimu Saidi🎉🎉😮
Amina ndugu nawe pia 🙏🏿 ✍️
Nashukuru Kwa taarifa hizi nzuri Kwa sisi wafugaji endelea KUFANYA UTAFITI uje na dawa ya kideri
Sawa ndugu 🙏🏿 Tuombeane
Mungu akupe elimu zaidi
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Somo la mkaa nimelipenda,it is new to me,keep it up.👍
Thank you and You're welcome
Jeez vifaranga na kuku wa nyama unaweza kuwapa mkaa
Sawa tu waweza
Nitoe shukrani za shati kwenu kwa darasa nzuri mnazotuelimisha asanteni sana
Barikiwa Sana ndugu
Mhmm. Agslus TV leo nimewafaisi sana. MUNGU awabariki sana kwa upendo huo wa kushare nasi.
Amina ndugu barikiwa pia
Ahsante kwa somo zuri tumekuelewa
Tupo pamoja ndugu
Mwl. Asante Sana Kwa Somo zuri kuhusiana na mkaa. Natamani kujua njia mbadala ya kuua wadudu wa kwenye mboga mboga. Kuriko kutumia dawa za viwandani.
Sawa ndugu ngoja tuandae video zake
Ahsante sana.
Somo zuri
Tupo pamoja ndugu
Asante Sana somo zuri
Barikiwa sana ndugu yetu🙏🤝
Asante Sana Kwa Taarifa muhimu.
Tupo pamoja ndugu
Asante sana kwa somo, nimejifunza
Barikiwa Sana ndugu
Asante Kwa SOMO zuri
Tupo pamoja ndugu
Asante kwa somo kuku wangu mafua yanasumbua kumbe mkaa utawaza nisaidia
Hakika
Adam Kanyika nashukuru, ninakuku wa kienyeji lakini mafua na kuvimba macho umekuwa changamoto Sana naomba msada wenu
Apo ni usafi. Kue na hewa nzuri uku uku tumia tiba mbalimbali za asili kuhimarisha afya yao
Mm kuku walikufa wote kwakuhara kinyesi cheupe nakijani niritibu ikagoma waliisha wote,ira kwasomo hili uwenda ningejua mapema ingesaidia,asante sana nitaanza tena nione
Pole sana ndugu kumbuka CHANJO pia
Asante kwa somo nzuri
Barikiwa pia
Asante kwa kunisaidia dawa hii nimefurahi sana nitaanza kutumia
Barikiwa sana
Asante Kwa SoMo hili.swali;je naweza kutumia mkaa hata Kwa kuku wa kisasa au ni kienyeji TU.
Aina zote za kuku
Thanks kwa dalasa Hilo nielimu bola sana Tena ya asilia inayomwezesha kuku kuwa na afya bora
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
Asante kwa some zuri Mungu akubariki mimi nauliza ni chakula gani inamfanya kuku kutaga kwawakati
Ni Aina gani ya kuku
Kuku wa kienyeji
Naahukuru sana kwa masomo mazuri ya ufugaji mm swali langu ni hili nn kinacho sababish kuku kula mayai na nitmie nini ili wasiawe wanakula mayai
Ongeza vyakula vya protini, na madini ya chokaa na mifupa ktk mchanganyiko wa chakula. Fuatilila video sababu ya kuku kula mayai by agalus TV zitakuja
Asante kwa SoMo zuri
Barikiwa pia
Asante kwa somo zuri la ufugaji
Tupo pamoja ndugu
Asant kwa somo unapochanganya mkaa na chakula chake unaweza kuwalowanishia na maji
Hapana watu kikavu
Naomba Namba Yako mkuu
Sawa ndugu tutakutumia
Asante sana kwa kutujuza
Karibu
Asante sana kwa mahelezo,,,,munge tiya namba zenu hewani ili tupangilie kuhusu mazungumuzo Mazuri ya ufugaji
Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ tunashukuru kwa ushauri wako
Asante Kwa somo nzuri la kuku mimi tatizo langu nina puppy anatoka manyoya sana Na ninampa dawa ya minyoo karibu kila mwezi Naomba kujua
Ni kawaida tu hatua ya ukuaji. Ongeza lishe ya protini ktk chakula
Asante jaman uwiii somo zurli
Tupo PAMOJA NDUGU
Asante nimekuelewa
Pamoja sana
Hongera Kwa kutufundisha
Tupo pamoja ndugu na tunashukuru kwa kua nasi
Asante kwa maelekezo mazuri ila nina changamoto kuku wangu wameugua ndani ya siku k.m 6 wamekufa 50 nimetumia dawa nyingi bila mafanikio
Dalili gani
Asante Kwa SoMo lako
Tupo pamoja ndugu
Habari nashukuru sana
Tupo pamoja ndugu
Asante kwa somo. Nzuri
Barikiwa sana ndugu
Safi saana
Tupo pamoja ndugu
Asante kwa somo
Pa1🤝 ndugu
Asante Kwa SoMo nimependa kwakweli
Karibu ktk ufugaji
Asante sana kwa somo,mimi nafuga kuku wa kienyeji, Kuna kuku wawili wanaatamia, mmoja ndo anaanza mmoja mzoefu, huyu mzoefu nilichukuwa mayai mawili nikachemsha, Cha ajabu yakatoka maji na jioni tepetepe, nikadhani halijaiva vizuri leo nimechemsha nusu saa lakini nimekuta vilevile,maana Kuna ambayo sijawawekea, mwanzo nilikuwa nikichemsha yanakuwa mzuri tu Sasa nina mashaka watatoka vifaranga kweli,na sijui ni ya yupi maana walikuwa wanataga sehemu moja
Apo sasa ni mtihani ndugu. Ila siku nyingine uwe unaweka alama mayai. 🙏kwa pensel
Ahsant kwa kutupa elimu hyo jamani
Mm nafuga kuku wa kienyeji lkn tatizo wao anapotaga kuku mmoja wotee wanataga pahala pmoja pia akitaga mmoja wakati wa kulalia wanakua wanalalia kuku wote km 3 hata ukiwatengua huwa hawkibali ikofika siku ya kutoa vifaranga wanaweza kutoa watoto 2 au 3 na hapo hawatotoi vifaranga wanaanza kugombania vfaranga viiivyoanguliwa Mayai wanayaacha hawatoi tena vifaranga nifanye nn? Mana ni hasara kubwa wananipa wanaa ha massive mengi na mm naharamika kwa kuwalisha
Wananipa.hasara kwakuwalisha
Hapo nimekosea nilikusudia hyo
Fuatilia video hii apa jinsi ya kuzuia kuku kutaga kiota 1
th-cam.com/video/tTedzAAnXRM/w-d-xo.html
Fuatilila video hii apa
th-cam.com/video/tTedzAAnXRM/w-d-xo.html
Asante kuku wangu wanahara dam na wanatoa minyoo❤
Pole sana wape dawa minyooo na ya UGONJWA wa coccidiosis
Somo zuri.
Pamoja ndugu🙏🏿
Asante kwa somo zuri
Tupo pamoja ndugu
Barikiwa
Amina KUBWA ndugu 🙏🏿✍️
Nashukuru kwa somo zuri
Tupo PAMOJA
Asante sana tajalibu
Karibu sana ndugu ktk ufugaji
Asante, Mimi nafuga lakin vfaranga vinakufa kila siku
Pole sana ndugu jifunze uleaji wa vifaranga kupitia
th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT.html
Mungu awabariki
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk mwaka huu
Asante kwakunitanua mawazo
Karibu🙏🏿
Je pemba ya mahindi ni nzuri kuchanganya na mkaa
Ni nzuri ila ziwe kavu
Asante sana
Barikiwa Sana ndugu 🙏🏿
ahsante kwa maarifa
Tupo pamoja ndugu
Nimeipenda sana sikujua kutofautisha kati ya vumbi na chenga chenga ss nmeelewa
🙏🤝🤝
Asante nimeelewa
Tupo pamoja ndugu
Asante
Barikiwa sana
Nashukulu Kwa somo
Barikiwa pia
Nakushukuru kwa somo zuri kuhusiana na faida ya mkaa kwa kuku.
Tupo pa1 ndugu
Nimepata maarifa ya matumizi ya mkaa
Hakika ndugu 🙏🏿 ✍️
Asante kwa ushauri wako
Tupo pamoja ndugu
Naomba unifafanulie hapo Kwa wiki mara tan au mwezi mara moja
Kama Kinga waweza wapa kwa wiki Mara 1 AU 2 AU
Kama Kinga waweza wapa kwa wiki Mara 1 AU 2 AU
Ubarikiwe
Amina ndugu nawe pia
Nashukuru umenifunza mengi kaka
Tupo pamoja ndugu
Asante kwa somo zuri la kuhusu mkaa. Mimi chakula nawapa pumba mashudu mahandi mtama damu chokaa na mifupa. Je nikichanganya na mkaa nitakuwa sawa?
Sawa tu ndugu
Asante sana, unaweza kupea vivaranga wadogo
Angalau mwezi 1++
Nimenufaika na soma lenu Leo ni mara yangu ya kwanza kusikia mafunzo haya nitajitahidi kufuatilia
Tupo pamoja ndugu
Vema sana
Barikiwa pia✍️🙏🏿🙏🏿
Nashukuru,kwasomolako,kamaumempa,dawa,yakidelianaweza,kulamkaa 2:15
Baada ya wiki 1
Assnte naitajivi faranga na mwslimu
Karibu sana🤝🙏
Nakupata Niki Kenya pamoja bro
Barikiwa Sana ndugu Salimia uko 🇰🇪 Kenya
Tumi.pamoja.kwenye domi hili
OK good
Asante kwa somo zuri kwa dar mnapatikana wapi napenda kuwatembelea.
Karibu mbeya
Kwakweli nimejifunza kitu kipya kabisa MUNGU akubariki mwalimu wetu, ila naomba niulize hii elimi ni kwa ajili ya kuku wa kienyeji au na wa nyama?
Kuku wa Aina zote. Tunashukuru Kwa Baraka izo
Daa sikutegemea nashukuru kukutana na somo muhimu kama hili kuhusu faida za mkaa kwa kuku
Barikiwa Sana ndugu. Tuendelee kufuga
Je niki usaga nikachekecha nkauchanganya kwenye maji safi ya kunywa nkawapa hapo vipi
Apo Sawa Sawa ndugu
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Be blessed
Asante kwa masomo mazuri,je naweza kuwapa vifaranga wangu mkaa?
Kuanzia mwez 1 unaweza wapa AU wape kwenye maji
Mkaa ni nii jina nyingine ama ni masudu,kwa kizungu inaitwaji kiswahili sikielawi vizuri na ni zuri kwa kuku wote hata layers
Mkaa ni charcoal, na mashudu ni sunflower oil cake
Nawapataje..nipate.Hii..Elimu.ya.ufugaji
Endelea kufuatilia channel hiii Ina masomo mengi Sana
Tunashukuru kwa elimu mutupayoo hasa kwa sisi wajasiliamal wadogo
Tupo pa1 ndugu 🙏🙏🤝
Asante sana kwa somo je uomkaa unachanganya nanini
Mkaa pekee kwenye chakula cha kuku
Je unaweza kuchanganya mkaa na unga wa mwembe kwa pamoja
Apo Sawa ILa isiwe kwenye maji
Elimu hii inasaidia vijijini kwetu , pia hata mkaa
Hakika
🎉Asante Kwa somo la utumiaji wa Mkaa Kwa kuku. Somo limejitosheleza
Barikiwa Sana ndugu
Nakukubali maan walikua hawali ila Sasa ukieka wanaanza kila mkaa mm kiukweli Ina siku maalm nawap maan sijui km inamazara
Apo ndyo vizur angalau Mara moja kwa wiki kwa kila mwez
Nawashukulu kwa SoMo zuri la mkaa kwa afya ya kuku nitaendelea nanyi ,Mimi nimfugaji nimeanza ufugaji was kuku was kienyi
Karibu na Asante sana🙏🏿
Tufundishe mbinu mpya ya upandikizaji maana nimejikuta nimewaza jambo la hili Jogoo wangu naona apandi kabisa Tetea wangu namie nakosa subira kiukweli
Ok bt kwa sasa badili tu jogoo maana nao wanatofautiana ubora kama binadam tu😀😀😀🙏🙏
😀😀Daaah kwahy ashaishiwa nguvu za kiume alikuja kwa Mbwe mbwe nikasema huyu kidume sichinji lakini Looh
Sema namshukuru kanipatia Vifaranga sema kwa Tetea wawili tuu
Njia nyingine mpunguzie mafuta kama unachanganya chakula.punguza mashudu
Ahsant kk
Tupo pamoja ndugu
Sijasikia hiyo aina ya mkaa
Jifunze zaid
Ok
Tupo pamoja ndugu
Umetsha bro bye afsa mifugo Liston hangu
Tupo pamoja mkuu ✍️👏🤝
Naomba ushauri kuku anaacha mayai mengi yaani hatotoi yote nifanyeje naomba mwongozo wako
Fuatilia video hii.sababu za KUKU kuacha MAYAI
th-cam.com/video/wgm_6tAEcLw/w-d-xo.html
Naomba ushaur
Upi ndugu
Asante sana Kwa somo zuri swali ni kila aina ya kuku wanapewa mkaa?, pia ni kuanzia umri gani unaostahili
Ndio wanapewa. Angalau wiki 2/3
Axante kwaelimu kukukwa mwaka anataga malangapi
Kuku wa Aina gani
Je naweza kuitumia kwenye maji ya kuku?au mpaka nichanganye kwenye chakula?msaada tafadhali
Ata kwenye maji japo isiwe kila cku. Itumike angalau kwa wiki Mara 1
Kuku wangu nimechanganya na Bata mzinga mkaa hazulu kwa Bata mzinga
Haina shida
Asante sana kwa solo hili
Je naweza weka mkaa ktk maji Yao ya kunywa?
Yaaah unaweza pia