Mnatoa kazi nzuri lakn mm naushauri muwe mnatoa move mnamaliza pia angalieni upepo uko wap mfano siku moja kabla ya ndoa Iko good saaana kwa hio mnge focus kumaliza Ile then move nyingine
Sisi tunafanya love story ukitaka za kutisha nadhani unawajua wanao fanya za kichawi nenda kaangalie siku ukimiss love story unakuja donta unaangalia rafiki 😊
Iyo naiona mbali sana kuliko kesho yangu kuliko hata penzi la dada wakazi kiukweli iyi naiona mbali sana kazi zenu nazifatiliyaka sana iyi iko bomba sana ❤❤❤❤❤
Namupenda tina sana na laveness nawapenda kabisa❤❤❤kelvin naweye nakupenda gisi unacheza❤brown nimukari yiko kama ex wangu arikuwa ananifokeya sana 😂😂😂nikasema uwu akinitia ndani ataniuwa nikasepa zangu😅😅😅 nawapenda sana jamani kutoka BURUNDI🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤leo nimewai mapema team strong usipite bila kunipa like jamani🎉nawapeda sana😊
Done 👍
❤❤❤❤😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤
nice series am happy with you people
niwambie tu kwamba kelvin ni mtu hatari sana anapokuwepo kwenye muvi yoyote ,anajua vibaya mnoo , very good kelvin ,you are the best always
Mtoto Tina kajipodoa kapodoka kweli😅😅😅😅
😂😂aswaaa
Muendelezo wa siku Moja kabla ya ndoa yangu mbn ziii
Jamani halaf ni kama wanarudia rudia story lkn difference ni creativity 💪💪👏👏
Swaga zao hizo sijui tatizo ni Nini walianza vizur tu
Na story zao zinahusiana mapenzi tuu @@AgnesMasoud
Kumbe umeliona hilo na ww
Wapi like za kelvin jaman ❤❤❤ mnipe like much love from Uganda 🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Vp kuhus sikumoja kabra yandowayang mbon munachelewa
Jaman haka ka movie mbna noma sana. James unanifurahsha saiv hausuki umekuwa gentle man sas
Yaaan Kelvin anaongea simple sana, had raha hongera broo,
Wapi like za kelvin ❤
Hii ingeitwa tu mke bora c lazima ijieleze😅😅😅
Jamani me nampenda sana Maya Maana maya ni mwamba saaana I love u maya
Hongereni kwa kubadilisha location
Sitting room nzuri sana
Kwakweli imenoga kweli
Mnatoa kazi nzuri lakn mm naushauri muwe mnatoa move mnamaliza pia angalieni upepo uko wap mfano siku moja kabla ya ndoa Iko good saaana kwa hio mnge focus kumaliza Ile then move nyingine
Umenena vyema
Hii hapa ni DONTA FAMILY halafu ile pale ni DONTA TV
Tina mzuri saana MA SHA ALLAH. Leo amependeza saana.
Napenda saaana team donta movie zao zinamafunzo walai love from 🇰🇪🇸🇦 team strong 🇸🇦🇰🇪🥰
Tina Leo jamani kanoga na meuk up 👌👌👌❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Movie nzuri.....lakn vipi muendelezo wa siku moja kabla ya ndoa yangu ??? Nimeisubiri kwa muda mpaka nimekata tamaa jameni
Tupo weng tunaisubr siku moj kabla ya ndoa yang
Eee!!..kweli mwendelezo lini tvnaisubili sana
Tunasubili kwa ham sana
KELVIN bana, big up big brother, naku kubali sana kweli. Mi ni shabiki wako wa kwanza. Natoka inchini congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Team kelvin hongereni sanaaa likes kwa wingi jamaa kelvin tunaomba mwendelezo jamani
Leo tin kapendez kupita maelezo❤❤❤❤❤
Good job but for now move ya ndoa yangu inakaa Sana tume poeka nayo heri ikae
ombi langu muwe mnabadilisha ladha ya story kila siku love story ata za kutisha kidogo 👹😅
Sisi tunafanya love story ukitaka za kutisha nadhani unawajua wanao fanya za kichawi nenda kaangalie siku ukimiss love story unakuja donta unaangalia rafiki 😊
Umemjib poa kabisa mwanzo hizo movie za kutisha zinamaana gani ila watu wanapenda movie za ushetani@@Dontafamily
LEO BROWN AMENIFURAHISHA ANAONGEA TARATIBU SIO SPEED KAMA NILIVOMZOWEA.
Pia tina😂
😂😂😂 nashangaa pia Leo..nimedhn stima zimekata na ndio kapunguza speed ya kuongea brown
Umeonae kumbe nao humakinika tena vizuri tu wau tunaomba mwendelezo basi, mmetuonjesha utamu basi isiwe ndo mwisho kabisa
chezea kutongoza 😂😂😂
😂😂😂Glory
Nipeni like zangu kama kelvin anapenda Juic sana tena orange 😂😂😂
Kabla sijaimaliza hii movie, AK tinah umependeza dadangu, Yan umetoka mwaaa💋
Ivi hizo like mnazoomba hua mnapelekaga wap
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅 ata mm huwa najiuliz huwa zina faid gan kwao😊
Nampenda saana Kelvin jamani. Kazi nzuri saana.
Leo nimemuona tina akiwa romantic kbsa weee tina😅😅😅
Kabisa tunakubali sana kelvin wetu ogerasana kaka ❤️❤️❤️❤️
Tina looks beautiful 😍 with makeup...but she is more beautiful without makeup 😊
Mbona sikuizi munaweka pica ya Kelvin nahaonekani haya kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Duuh kevi ajaonekana🙄
Kelvin yup uyo ambae ujamuona ww😂😂😂
😂😂😂 nilikua sijafika mwisho
mmeamua kabisa kuipa jina la movie ya Kikorea❤❤
😁
MaashaAllh ❤ mumeanza kuupgrade😂😂 nyumba na Tina kadamshi kinoma yani
Wow ❤❤️ maneno matamu Tina sana penda ivo
Kelvin nakupenda Tena Sana unaushauri mzuri Sana yaan ongea yako hata mtuawe namawazo yanapotea kweli Asante Sana Kelvin ❤❤❤❤❤❤
Iyo naiona mbali sana kuliko kesho yangu kuliko hata penzi la dada wakazi kiukweli iyi naiona mbali sana kazi zenu nazifatiliyaka sana iyi iko bomba sana ❤❤❤❤❤
Very great work bro kelvin am Calvin from Uganda
Tujue hatima ya Tina anajifanya anapenda kumbe alipenda pesa kitakuramba Tina mmetuachia patam tunaomba muendelee ❤❤🎉🎉
Nilikua tu Tina hatafaulu huu mtihani😂😂😂
Idia ya kelvin ilikua nzuri kabs Big UP kelvin🎉🎉
Dah kaka Kevin unajuwa sana Tena sana ntanzania 1
Kazi zenu zinazid kubamba congratulations 🎉
Congratulations Maya💕❤️Tinah kuw na roh y ubinadam kumbuk utu vitu vinaishag
Imemsisimua Kila mtu tupewe mwendelezo bana❤
Nawakubali sana ila hio inamaan kubwa sana upande wangu ❤❤❤❤
Kevin jangamukia movie ya ndoa yangu
kelvin unanifurahishaga kweli penda sana wewe tunawafatilia tukiwa from burundi❤❤❤❤❤
Mapenzi shika mooo marahaba😂😂
Nawapenda sana
part2 tafadhali itoke halaka maana part1 imeishia patam nawakubar sana wana donta❤❤❤
Tina this time you look smart.
Loh!!tina kaanguka mtihani pu!!
Ila uyu tina simuamin kabisa 😂😂😂😂😂
Nzur sana ila hamjamalzia movie nyng
Duuuh iko vzr mwendelezo tafadhali
tinna umependez mpenz❤
Maya na Tina mmependeza sana
Love you so much donta family ❤️❤️❤️ napenda kazi zenu MUNGU asiwaache 🙏
Kunambi kazi kwako kaka kujua mbivu nambichi pokea maua yako 🎉🎉🎉
Tina mashallah umependeza hadi umebadilika sura🎉🎉🎉🎉
Leo tina mekap imependeza sana mumebadilisha mpambaji
Vipi kuhusu siku moja kabla ya ndoa yangu mbona inachelewa sana
Namupenda tina sana na laveness nawapenda kabisa❤❤❤kelvin naweye nakupenda gisi unacheza❤brown nimukari yiko kama ex wangu arikuwa ananifokeya sana 😂😂😂nikasema uwu akinitia ndani ataniuwa nikasepa zangu😅😅😅 nawapenda sana jamani kutoka BURUNDI🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
TINA kwaiyi movie yupo kama Musukule😂😂😂
Acha uji au unatamani wewe ndo ungekuwa tina
Kilicho Sema na kelvin sasa kimetimia,
Hongerani sana mafunzo mazuri kweli tupeni muendelezo plz
Aliempachika tina hizo kope shkamoo, 😂
Kazi safi lkn Tina weeeh ushapatikana kwa mtego 😂😂😂
♥️♥️👍 jamaani tunaomba mzigomwinginekwahiimovie please 🙏🙏
Maya naona utapata ndoa..
Siku moja kabla ya ndoa yangu mwendelezo lini
Kelvin mungu akubaliki Sana kwa kipanji ulicho pewa🎉🎉🎉🎉 like kwa Kelvin jaman tujuwane
Af we Tina ukijiremba unakuwa mbaya kuwa kawaida ty ndo unaonekana kisu
😂😂😂😂😂But Kelvin uko na mafumbo wee mkaka❤❤❤❤
Jaman wanawake ni sawasawa na kinjonga ❤❤
Wapi wale wa kelvin ❤❤❤
Hii kali sana isiwe tu ndio mwisho
Daaah nouma saana mnajua mpaka mnajua tenaa endeleen kushusha vituuu❤❤
Kwakweli anajua apewe maua yake kelvin khan❤
Maya pokea maua yako 🎉🎉🎉 nakupenda San unapoint san
Nasubili part 2 ❤❤ good work🤗🤗🤗
Tina ulikua wampenda Brown sababu ya pesa, Acha roho mbaya Tina😂❤❤❤❤❤
Blown anaongeyaga 😂😂na mikono na kichwa😂😂 I love ❤️ Kevin anaongeyaga nauturifu sana
Waah nexrt❤❤❤
❤❤❤❤ dont tv inawanawake warembo jamani namupotewa Tina nawapa pongezi
Wakwanza ndo nn we toa maoni kwakitu ambacho kimekosekana bhana like ndo nn mnakuwa kama washa wa video
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉much love donta family
wa kwanza leo
Asante
Wow kelvin umefikiria ka watu kumi,kazi zuri bro ❤🎉🇰🇪
🔥🔥
@@Dontafamily enyewe ni fire 🔥
Nawapenda bure ❤❤❤❤
Napenda maandhari yenu ❤
Ila kevi unamafumboo,,,,but all in all kazii nzur
Nawakubar Sana 🔥
Tina mzuriii ❤
Sijawahi kuwa wa kwanza hapa jamani
BOOOOOM 🎉, from Congo
Yan sini zako zinafundisha sana kaka upo vzr
Siku moja kabla ya ndoa VIP emb jaribuni kumalizia kazi kabla ya kazi mnatuboa mashabiki
Umenena vyema
Kweli tunataka siku moja kabra ya ndoa
Jmni 😊tina na brownn hum mmependez hatr