Kevin, tulikuwa tunajuwa unafunza maadili ya ki afrika katika filamu zako ndio maana hata sisi watu makamo tunakuaga mashabiki wako. Sasa sijui umempata manager wa giza ambae anakuamuru kuwavika waigizaji namna hii ya kisasa isiyo maadili. Nguo hizo umemvika huyo Kendy ni nguo gani? Binti anavaa uchi mnapitisha kwenye camera kweli, lengo lenu ni gani? Mtuheshimu sisi tunao tazama kazi zenu, msije poteza mashabiki.
Kevin jitahidi jamani kutoa maana hapa kwa Vicky ulipo ishia ndio napataka yaani nampenda kuona anavyo ongea lakini jamani mimi mwenzenu AMINA AMENITOA ROHO NAOMBENI NAMBA ZA KEVIN YAAN AMINA AMINA TUUU❤❤
Kweli,halafu title inaelezea move yote itakavyokuwa,inatakiwa ,utamu wa move inatakiwe isijulikane mwisho utakuwaje,mfano title ya hii move ingekuwa mtego wa penzi
Vimaneno vingi mpaka atuoni kama ni episode ya ngap mpaka u zoom Kelvin unajua hii title unazozitumia unsmfumbua mtazamaji ajue mbele itakuwaje ata kam mkifumb ap kijana tajiri anifany maskin wstazamaj washajua brown anajifanyish kuw kapolwa mali sasa rekebish kam ulivorekbish ya kesho yangu
Kelvin mrekebisheni candy kwenye kuvaa, yaani maadili muyazingatie pia Kaka. Kazi zenu ni nzuri sana na Mungu anawasaidia ila muangalie sana maadili pia...
Kevin, tulikuwa tunajuwa unafunza maadili ya ki afrika katika filamu zako ndio maana hata sisi watu makamo tunakuaga mashabiki wako. Sasa sijui umempata manager wa giza ambae anakuamuru kuwavika waigizaji namna hii ya kisasa isiyo maadili. Nguo hizo umemvika huyo Kendy ni nguo gani? Binti anavaa uchi mnapitisha kwenye camera kweli, lengo lenu ni gani? Mtuheshimu sisi tunao tazama kazi zenu, msije poteza mashabiki.
Hiyo ni Kweli rafiki hata namimi nakuunga mkono wajirekebishe kabisa
Na kwa upande wangu kwani Hawa wadada waigizaji asipovaa kigauni mapaja wazi kwani unakuwa sio muigizaji????
Kweli. Kabisa
COMENT KUBWA HII KEVI ZIMGATIA
Filamu zinacchezwa kulingana na maendeleo ya globalization na mtindo wa kisasa piah
Wa kwanza Leo from Kenya. Naombeni like zenu mafans
Hii Kali walai love from team strong bana 🇰🇪🇸🇦 Genz wapi kelele ama ninyamaze 😂
Tulia 😅😅
Kevin jitahidi jamani kutoa maana hapa kwa Vicky ulipo ishia ndio napataka yaani nampenda kuona anavyo ongea lakini jamani mimi mwenzenu AMINA AMENITOA ROHO NAOMBENI NAMBA ZA KEVIN YAAN AMINA AMINA TUUU❤❤
jitahidini kulekebisha mavazi jmn😢😢😢 mbona mnajitahid kutunga story nzuri tena zenye mafundisho mazuri ❤❤❤
Ama kwel Kuna mda shetan ugeuka kuwa malaika..safr hii brown kaact hii series kimalaika
😂😂😂 Nilimchukia sana kwenye kesho yng
@@ZulekhaAmar-fy4pm eenh alijifanya mbabe Dunia ya kwake hakujua mgawa rizik ni mungu
Afu msifikili kill M2 anapenda kuangalia hizo uchi zenu Kwan ukivaa vzr unabadilika nn aloooo
Mv kali ila title ya majina ya movie zenu zinakuwa ndefu sn?
Kweli,halafu title inaelezea move yote itakavyokuwa,inatakiwa ,utamu wa move inatakiwe isijulikane mwisho utakuwaje,mfano title ya hii move ingekuwa mtego wa penzi
Brown umeambiwa ukwel na Tina leo akiwa mlevi, na chakuambiwa na mlev n point kabisa, na nishahid wa halal kabisa mahakamani
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤ nyingi kwenu nyote from 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Museveni must go😢
Kwel kunambi umeupiga mwingi sema yahitaji moyo mgumu
Mko vizuli kwAkweli
Jmn candy nilimmic kweny mov
Like nyingi
Mnachelewa kutoa vipande xana paka tunasahau movie jitaidini kutoa kwa wakati ata kwa week vipand 5
USHAURI MNGEIANDIKA NI PARTY 2 ILI TUNAOFATILIA KUIJUA KIURAHISI.
Wa mwisho kutoka 🇰🇪🇰🇪Nipeni like zenu
Sasa mie semeje😢😢😢
I like tha way candy ana huruma kuhusu kevin kuriko Tina bibi yake kevin enyewe mapenzi ni skam
Huyu ni brown sio kelvin
pamoja wanangu waliowah tujuane bac
Bravo kerve kwakazi zuri sana 2024 muko moto sana ❤❤❤❤ maansha Allah 😮😮😮
❤❤❤❤❤
Tina wendo pumbavu hujielewi unasamanisha hela kuliko utu😢
Maya anasauty mzuri sana ❤❤❤❤
alfu mjuwe tunawatoto wenye tushazowelesha kuhangalia movies za Donta tv
Braoni umepooza umepunguza nywere
Kumb at ww umeona
Siongei lakin acha Leo niongee izo nguo kendy unatuabisha
😂😂😂😂jamani Tina kanichekesha kumbe anajua kulewa😂😂😂
Wa kwanza mimi hapa mkenya original
mayyaa umenifrahishaa sana daah
Tina eee amerewa vibaa😂😂😂
Kendi nilikuwa nimekumiss
Vimaneno vingi mpaka atuoni kama ni episode ya ngap mpaka u zoom Kelvin unajua hii title unazozitumia unsmfumbua mtazamaji ajue mbele itakuwaje ata kam mkifumb ap kijana tajiri anifany maskin wstazamaj washajua brown anajifanyish kuw kapolwa mali sasa rekebish kam ulivorekbish ya kesho yangu
Me nilishawahi kutoa maoni kama haya, wanapenda kutumia kijana kijana hadi TITTLE inakuwa ndefu Yaani
Kendy tulia wew umekuja ukakaribishwa kama njinsi Brown alivyo karibishwa nyumba
Tina wacha unafiki hpo mwanzo ulimpenda Brown kumbe ulimpendea pesa yke umesaha msaada wa Brown
Tina hujakua kuigiza apo kwa ulevi
Move zenu hazieleweki hata majina halafu mabaya saivi mnafanya ili mladi liende
Walevi wote wangekuwa wanaongea hiv tungeongeza siku za kuishi kwa tabasamu
Maya ndo mke Bora 🎉🎉🎉❤❤
Shda ya Hz movie huelew zinaanzia wap zinaishia wap xax kama hii n part one au 2!
Tina umeweza 😂😂😂 kuwa mlevi😂😂😂
😂😂😂😂
Mmhh jamn tina unaeckty umelew kwan c ungechukuwa tu maamuz yak bila kunyw.
Mambo vipi kevini unapatikana wapi name nahitwa kevini nataka tuongee saw
Wakwanza mm
kazi mzur sana ira mnacherewesha
I'm the first 🥇🥇
From DRC napenda sn love story za Kelvin
Vguo hvyo wachieni watoto vaen magaun yapo mazur tu
NIMEIELEWA PIC YA KUNAMBI
Kendi mwambie Tina ukweli kwan leo hii amemwona Brown hafai k2 ila Tina lipo nyima laja leo kwa Brown keshl kwa Tina
Nampenda kendi ❤❤
Braiton naona atakuja kumuoa kendi
Kendo anawaza vizuri dada watu Na Kaka mmoja chumba kimoja
Maya hapo umesema kweli mweleze Tina kinaga ubwaga nmemwona Kendy amewasili
Mmm Tina anamchana makavu brown ajiongeze 😂
Nawapenda sana
Lakini mnatukawiza
From Rwanda❤❤❤
Jamani Maya nakupenda buuure
Maya ndo mwanamke sahihi Brown ,au bas muongeze dakk
Kumbe Maya anampenz wake daaah samahann jaman
Kazizenu nzuri lakin muwafunze jinsi yakuvaaa aseeeee
Maya ukienda Zanzibar brown atakuwa matesoni,kwanza huyo kendi na Tina😢😢
Jaman part 12 ya kijana tajiri kujifanya masikini apate mke bora
Natamani brown awe na maya
Kaka brauni muko vizuli sana katika sana zenu Huwa nakufuatilieni sana Niko mozambiq.
Nawafata sana ila nataka iyi muiendeleshe
Good 🎉🎉🎉 nawapenda wot❤❤❤❤❤❤
Kaka mmeuwa kinoma yan
Brown.wamkumba kelvin ss alivyokwambia
Maya jaman unaroho zury adi uruma
Tina Tina nimekuita mara mbili,ukilewa unajua, 😅😅
Kaka Brown usiwe na shaka kazi unarudi rasimi hayo nimapito 2 ya maisha
Kazi nzuri calvn na timu yako mungu awafikishe mbali❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tina nimubaya akirewa lol😅hakili zinakuja lol😂😂❤
Waoooo Nimefurahi kumuona kendi Tena jaman
Nimeipa san
jitahidini kulekebisha mavazi jmn😢😢😢 mbona mnajitahid kutunga story nzuri tena zenye mafundisho mazuri ❤❤❤
Kelvin mrekebisheni candy kwenye kuvaa, yaani maadili muyazingatie pia Kaka. Kazi zenu ni nzuri sana na Mungu anawasaidia ila muangalie sana maadili pia...
Kila mavazi uendana na maudhui uwezi kuigiza kama shekhe arafu uvae mavazi ya pastor 🙏
Mavazi uendana na maudhui uwezi kuigiza kama shekhe arafu uvae mavazi ya pastor 🙏
Tina unajua guchamba ukilewa mmmaaa 😅😅😅😅😅
Courage ❤❤❤❤❤❤❤❤
Swali maya na Kendi ni dada ama
🇨🇩✌️
Tinah 😂😂😂😂😂😂😂umenifurahisha sana
Huyo siyo mwanake maya domwanake wakuowa
Jitahidin kuvaa na kajisitiri vizur 2waombe wadada jaman daaaah
Dunya iko mwisho kiukwel 😢😢wanawake tunadalilika wallah
Maya mungu akubaliki saf Sana dada
Number 1 leo😅😅
Estão a demorar muito meus amorosos,aqui fala Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Tina nakupendaaga bule ❤😂😂
Kunambi ❤❤❤❤
Wa mwnz
Candy nguo kama hizo hazikupendez bwana😂ww chibonge
Tina una roho mbaya 😒🙂↕️
candy is baaaaaack❤❤❤❤🎉
Saf san kaz mzr san
Maya Jaman mungu akubarik uwendelee na moy huo huo
Amin yarab
Nataka part 03 jamani
❤❤❤❤❤
Mmenikumbushaaa Best wife
Movie nzuri ❤❤❤kelvin huja wahi kufeli kwenye kazi zako❤❤ congratulations 💔bro❤❤❤❤❤❤
Tiner umeua apo kweny kaulev
Kelvin Mimi ni shabiki kutoka Kenya Kelvin chunga Sana kwa picture unazoposti ukitumia waschana wasiovaa kimadili utapoteza mashabiki kwaheri
Acha ushamba ww boya mbona kawaida2