Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze
Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉
Kp please msijehalibu movie zenu kama wa2 furani mna2furahisha sana nazinafundisha movie zenu ila msijehalibu kuna movie ambazo za M2 furani huwezi kutizama ukiwa na wtt au ukiwa nawazazi wako niotopolo m2pu alocheza jitahidini muendelee hivi hivi asant
Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪
#kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo
Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤
NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia
Yaani tanguu nianze kuangalia vipindi vya hawa wajama sijapata hata like moja nipeni like moja tuu plz
Unataka like za nini kalale
@@BundalaShija-yb4voAkalale voo😂😂
😢😢😢😂
Sasa like we za nini wewe ndo utoe like Kwa wahusika
Uliwahi kutoa maoni yeyote??
tunaopenda kuangalia uku tunasoma comment gonga like KP one love❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Love❤
Amob e
Ila mimi nipenda sana muonekano mpya WA sheishei kama wewe kama mm like hapo please
Kama wa mkubali sheishei gonga like zake hapa
❤
Huyu dada shei wa moto tembeaji yake kama mgambo wa jiji
Yaani we Acha tu, sheishei wa moto sana🔥
Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze
Jaman sijawai ata kupata like moja nisaidien ata tano tu
😂😂😂 nmependa iyoo sawa mm acha njitolee kukusaidia na like yangu maskini mpenziiiiiiii 🤣🤣🤣🤣
Mimi niwa pili, nipeni likes zangu please 🎉 Je suis à Lubumbashi en RDCongo
Chukua hiyoo
Congo kwa ambaje???
wangap wanakubali hii PLAN B❤guys kazi nzur sana tumpeni Sheila mauwa yake kwakwel Sheila kila kazi unaendanana party yake❤❤❤😂
mimi wakwanza kutoka burundian naomba like hata moja bas❤
Tupo wengi frome burundi 😅😅😅❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Vp
Ila sheila jamani kila sekita kanapendexaaa tu❤️🌹🌹
Kwel kabisa😂
Uyu dada yuko pw
Binti likoma huyo like father like daughter❤😂
Wakwanza Leo kp like zangu tupo pamoja sana
Sheila mmh Mungu akusamehe, ila n Kaz tu ucjar
Style ya Kp ... Round hii iko Poa sana🥰🙏👍🙌
Kuomba like tu kutoa maoni aaah 😂😂😂 ila kisai ujambazi unafaa kweli kazi nzuri sana washirika
na tamani kuonana sheilah una nifurahishaga saana karibu simiyu
Sheila ongera kwa ubora zaidi wa ujuz wa computer naona umefanya kazi nzur🎉🎉🎉🎉🎉
Wow kp nimewahi tena jaman naomba like zangu plz alafu bila kusahau team strong wale wa 2025 January tujuane kwa comment nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Heri ww...mm n 2026
Yupoooooo
msijifanye hamjamiss suraj😅😅😅 mnipitie
Wakwanza leo naomba likes zangu kp na zebuu, 🎉🎉🎉🎉watching from 🇰🇪
Ila KP movie zako ni movie ambazo ni za kutumia akili sana, wewe ni nouma
Kabisaaaa
Kabisaa ata enye ilimuangushà ni Ile ya sonaà😅
@@Gladys-254 unaona last card imetumia akili kubwa, na wamangushi ni movie za kutumia akili achana na hizi movie nyingine ambazo story zao ni common
Bonjour tuongee ki faratcha
Sheria hongera sana unastahili upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Najua lazima kp atakuja kumpenda zebu mazima💪💪
washaupiga tena jaman hawa jamaa nawakubali sana maana wanacheza kama pele
Carol from Uganda Sheila Niko am happy sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shey mwana harakati huru oya sio poah unyama sana ❤❤❤❤❤
Yaani huu uyanya mm naukubar kama last card vile
I see.sheishei.ukatili.umekupendeza.kwel
Sheila unanifurahisha sana
Wp suraj
Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉
Zebuu ndo anaongea kama kitto alekebishe saut
@@Thedy-tp5ei ndo sauti ya mtoto wakitajiri siwajia wadekezwa😂
@@Thedy-tp5ei shida wametengeza sauti
Kp you are so intelligent bro ,my best actor in tz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Shei shei na kp hongereni sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii team ni noma wee Sheishei na Kp alaf Libozi uchizi na uganga una kufaa kabisa 😂😂😂😂😂
nampenda sana sheibshei jaman mwambyen jamess nampenda sana ety ❤❤❤ daa!!!
Yani shei shei waniacha hoi😂😂😂 mummy jamani kila ninapokuona muonekano wako...
Sheila nakuona mbali katika uigizaj keep it up! 🎉🎉
Mimi uyo kwa kp na zebuu tukiona nani atamshinda kisai 😂😂😂❤❤❤❤❤
Basi hapa hawawezi kufika nimeipenda hiyo sheila
Wangp wanasubir kuona couple ya kp n zebu ❤❤❤
MISS SHEI SHEI 😂😂❤❤👊👊✌️✌️
Wow sheila weeeh Nakubali kazi zenu nizuri sana kp ❤❤❤💪💪💪
You guys .....walai mmebarikiwa...your acting are professional .kazi nzuri wadau
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Jamn Mimi wakwanza kp njoo nipe like yanguuuu nawewe kama ni mpenzi wa hii movie usininyime likee❤
Ila kp jamn basi Muwe mnarusha Kila baada ya siku Moja mnachelewa tunakosa uhondo pliiiiiiz
Walahi kep WE noma❤❤
Kp please msijehalibu movie zenu kama wa2 furani mna2furahisha sana nazinafundisha movie zenu ila msijehalibu kuna movie ambazo za M2 furani huwezi kutizama ukiwa na wtt au ukiwa nawazazi wako niotopolo m2pu alocheza jitahidini muendelee hivi hivi asant
LEO NIPEENI 100 TU REAL FUNS🙏🎤
Hawa waigiza movie hii wanaonekana wasomi sana ❤❤
Sheila jasili kweli nakupenda juu unajiamiya kabisa
Nice job,,,I like it... from Kenya 🇰🇪
FROM RWANDA ,, APPRECIATE 🎉💪💪💪💪SANA THIS FILM PRODUCTION,, GREAT ORGANIZATION 💪💪💪💪
How is Rwanda
Daaaah kp and shei shei penda sana nyinyi ❤❤❤❤❤❤kp na watu zako mungu azid kuwapa kipaji KP ukinyoa una pendeza sana🎉
NAKUBALI SAN TEM KP HII KAZI KALI SAN 🎉🎉🎉 HONGERENI SANA
Shukran Sana
Nyumba ndani nzr nje sasa 😊😊
Mimi ni watatu naomba like zenu jamani
Nmeingoja sana🎉🎉🎉 kaz zenu nzuri
Mwaomba like tu lkn kupongeza kazi y kp aaah
Nakubal sana kp Kwa kazi nzuli
Shei shei anajua mpaka anaboa kinoma aiseee amevaa uhusika kinoma
Duh sheyshey we ni nyokooo hila xjakutukana
Wow shei shei yuko vzr san kaz nzur kp 🎉🎉🎉 mambo ni🔥🔥
Zepuu kaa rada mwamba anakuja(KP)🎉🎉🎉🎉
Thank you kb na zebun na all the team ❤❤❤❤4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧
Bonge moja la movie ya kwenda 🎉🎉🎉🎉
Nimewahi leo kp kipengele hanacho kipenda love form kenya pesa kwanza kp
Kenya Kwa ambaje??
Shey shey ww ni noma kabisa nimekupenda bule🎉🎉
Hivi mnaombanga like za kazi gan
KP ukatumia akili nyingi Sana hongera endelea kutuburudisha
Wa 50 leo naomba like
Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪
#kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo
Clam kafata nn kwenye hii comment😊
Kwel kabxa ❤❤❤
Congrats Sheila napenda unavokua sirious❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 Sheila bwana eti huyu demu utamla na utampiga picha za utupu 😂😂😂
Cheche uko sérieuse kinoma nimekupenda katika movies zote umecheza kwa hiyi umetisha kinyamaa😂 bzuuuu à toi checheee😅😅
Daah sijawai ona watu wenye akili kama ya sheishei mungu akupambanie ufike mbali
Da sheilla😂😂😂 hongela scène zote jamani unajuwa kuziheza dada uko na kipaji ❤❤
Kisai kanenepa adi kitambi 😅❤
Chezea pesa wewe😂😂😂
Hujakuona deboz😅
Nayule mwenye kisura cha kitoto sijui yuko wapi😂😂😂.Suraji
wa kwanza
Kali sana 🔥🔥🔥
Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤
Hongeren Kwa Kaz nzur yenye mafunzo kwa jamii
Kp unapenda kuigiza vizuri sana nawapenda sana
Me naamin sheishei cio mwiz ni mpelez pamoj na diboz cio chinz ni mpelez Bali sheishei anashilikian na kp kuwajuwa waarifu
At mm naisi ivyo
Wow nimefurahi sana kwa kutuletea part 3 anyway good job Mr kp na team yako for really mnajua San may God bless you all love you guys❤❤❤❤
Ila sheila kachangamka sana nyie kamsela kabisa😂😂😂 shei sheii umeweza uhunii dadangu ama mwaonajee na nyie😂
Kp na zebuu naomba kua moja ya wasanii wako
Aki shei shei amefiti his sehemu kabisa😂😂😂😂😂😂 nikiwa kenya 🇰🇪 ♥️
Kabisa nilijua nimeona pekeyangu
Upande wa mrembo pia yupo Norah yaan kitaeleweka tu😂
Ila sheishei anajua anajua mpk anajua tena daaah 🎉🎉🎉
Sheyshey mjaja kweli
Wozaaaaaa
Wombona😂
Shey shey and you team keep up,,,,, good job❤
Aki nyinyi wezi nawaona sana nakwani mwizi anaishi ndani ya maji😂😂😂😂
Sheila unajikubali kama mm rafk yang,
NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia
Kupitia movie zenu naendelea ku improve level yakutumia cm ❤🇨🇩
Wapi darkid
Wapi suraj
Nipeni hata like no one to coment
Shei shei bonge la msanii namuona ikifika mbaliiii inshallah
Nampenda sana Miss Shei Shei anavyoigiza yuko makini sana ❤
Sheishei nakukubali
Jamani waliopenda kp kusuka nipeni liki