Iyo muvi mme bolonga ingetakiwa muweke tatizo lamwanaume kuto mpa mwanamke penz mana ubize wa kazi bado sio tatizo maana ata usiku nimrefu na tendo halichukui ata masaa
acheni tabia ya kurudia rudia vipnde maan neno katoka kuzungumza sahivi unkut dakik mbil mbel anarudia ten boresheni hilo but big up san kil mtu anafany uhusika wake kwa kuzingatia kil kitu kiifup kazi iko 💯💯💯
Wanaume, afya ya uzazi ni muhimu sana na ni jukumu lako na sio la mke wako, ur man downstairs is very important than yourself, ukizarau uanaume wako halisi mke wako hatakusikiliza kamwe, kuchitiwa unauma sana ila ukiwa haupigi mzigo Bora ujikaze tu
Big up sana lkn nyuki unapo sema unatimiza mahitaji yote unakosea mana hitajio kubwa umeshindwa kulitiza ndo mana umepgiwa afu juma halaumiki mana ata km ni ww ucngaliruka😂😂😂😂😂
Nyuki mpe mkeo haki yake tafadhali kwani hivi ,,alipokuwa kwao alikuwa yuwala chakula,yuwavaanguo na pia nywele yuatengeneza ...Sasa utanmfanya atoke nje ya ndoa😢😢
Huo Muda wanaoogombana ndo wangeutumia kufanya tendo la ndoa.😂😂😂😂😂😂
😂😂😂kweli
Huyu jamaa nimshamba sana
😂😂😂😂kweli kabisa
Mmmm ngoja nikatafte mume mana uyu nae mshamba
😂😂😂😂😂😂Umesema ukwel
Nelly ukinyoa hivyo unapendeza sana😊 usisuke bna🥱
Hata ingekuwa mimi Nyuki ningekucheat tuu..
Kwakweli hata mimi nisingemsumbua mtu anayeniambia yuko bize na kazi muda wote, natafuta msaada sehemu nyingine ila siyo nduye mume wangu
Hata mm singeweza jmn
Ulifanya jambo lamaana sana loveness kuwachanganya
Hakuna hitaji la msingi kwa Mke, kwama kumpa haki mke na kumpa muda wako
Sasa huyu bwabwa anaona kula na kuvaa ndio kamaliza, pumbavu kabisa
Mm nishabiki wako loveness
Nyuki sula ngumu umeniboa unavyo mtesa mwanamkemwezangu
❤
loveness hataki kuelewa ataka kiuno kitikiswe apelekewe moto😂😂😂
Iyo muvi mme bolonga ingetakiwa muweke tatizo lamwanaume kuto mpa mwanamke penz mana ubize wa kazi bado sio tatizo maana ata usiku nimrefu na tendo halichukui ata masaa
ni kweli
Ndoa bila tendo sio ndoa
Nelly unasema ukweli. Nyuki ata ukinunua kila kitu kama upei mke mapenzi yake iyo ni kazi bure atakuibia pesa aende kununua mwanaume
Kuna wakati mapenzi yana mda wake co kila mda umechoka umechoka mwenzio anakorogea uji
nikweli akupe haki yako loveness
Yaan ingekuwa mm ningemuacha na kazi zake ningetafuta mumeeeee mwengineeee
Jaman mm mwanamkee naitwa laty ila username 2
😂😂😂😂
Hili ni funzo la wanaume wengi manake wanaona mwanamke ametoka kwao kisa nyumba, fanicha na kula
Wewe nyuki acha kunyimana hiyo kitu bhana uchoyo tu muone 😊
😂😂😂😂😂😂😂
Mmmh pole lovenes hawa ndo walivyo
Mimi nisingeweza kukaa na mtu kama huyo juu ananinyima haki yangu
Hat mm ningekusalit kabis ten n babak
Na mm je nataka kila mara alafu unaninyima shemeji wafanye kaz au niondoke😂😂😂
Hata mimi hapo nisingekubali pamoja na kuhudumia kwako nyuki
Team Nyuki tujuane Kwa likes
Achakumpa mwenziyo shauri mbaya wewe mjinga unatamani kuaribu nyumba ya mwenziyo laah kwakweli sio kila rafiki ambayo anaweza kukupa shauriv nzuri
Nyuki nahiyo inatakiwa😂😂😂😂❤❤
Kabisa yy ndio sababu kubwa sana ya bibi yake kumchiti😂😂😂😂😂
Somo zuri safi sana ila loveness nakupenda kisura chako😂😂
Mpe dudu la yuyu🤣🤣🤣🤣
Pol dada mume yup bize at usiku jaman daa
Kazi njema ila 'siku moja kabla ya ndoa yangu haijakamilika na zingine Tu mingi
Iliisha kabla ya ndoa
Hata kumbato la mahaba hakuna, hivi kuna ndoa hapo👀👀👀
Kwanza ukitoa kazi kinacho fuata ni mapenzi
Sasa huyu jamaa yan da
Ana mapenz ya kweli labda sa tusemej
Jamani mi nampenda kweli love nees
Nyuki ningekuwa mm salaala ningekusalti mbaya mbovu tuone hio kaz n ndoa yko kuvunjik
Kazi nzuri wana Donta Mungu awazidishie🎉🎉🎉❤❤
Nyuki mwenyewe huyo aaaaiiiiiiih
acheni tabia ya kurudia rudia vipnde maan neno katoka kuzungumza sahivi unkut dakik mbil mbel anarudia ten boresheni hilo but big up san kil mtu anafany uhusika wake kwa kuzingatia kil kitu kiifup kazi iko 💯💯💯
Fact ❤❤❤ umeupiga mwingi Nelson maneno kuntu team hamam
Bana nn maana ya kuosha nyuki,waonekana mkubwa kiumri ama unaaibika na mapenzi,,,,😅😅😅😅 from Kenya bana
Waandaaji wa movie muepuke hizi scene za upigaji wanawake, ni kama mnauhalalisha vile.
Chamuhim kwenye ndoa nitendo likikosekana bas jua hapo hakuna ndoa Tena
Kumbe Kuna baadhi ya wanaume hawajitambui Kam nyuki. Sasa mahitaj ya mwanamke na tendo la ndo wap na wap
Kiufupi penzi ni tiba ya nyumba sisi wanaume tujitahidi kujari hisia za wanao tujari haswa nyakati zausiku
🎉🎉🎉🎉🎉
Ingekuwa unamkuna aya siku moja kwa wiki 😅😅😅😅anakula anashiba weee
Nyuki we vip mpe haki yake mke wako jmn mbona ivo😂😂😂
Wakati mwingine wanajitakiya wenyewe mwanamke anataka haki yake akuna ndoa bila tendo
kula kuvaa siko kuliko mleta ht kwao alikua yuvipt
Lovenes omba hakiyako mwaya🎉
We mpuuzi kwani kwao alikua hali au hapaki mafuta 😂😂😂😂
Next 🔥🔥🔥
Nahii tabia kutofunga mkanda ilitokea wapi wanaume
Kweli nyny bila kelvin bado sio chochote
Hiyo sura ni ya nyuki kweli inauma kwa ukali😂😂
Mhuuuu nisingemtafut kabicaaaaa uyu kaka aiseeeeeee
Safi sana wanadonta tv kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Muhamniyee
Atari sana vipi wanawake wanaowanyima wanaume zao
Na wenyewe wafanyewe kama alivyo fanyiwa huyu mshamba daah ila huyu mwanaume hana akili
🔥🔥🔥
Ayo ndo maisha ninayo yapitia muda wote nambiwa Niko bize na kazi mala nimechoka kwakweli sina furaha😂
😂😂😂😂
Movie zenu mbona zinaisha kiboya Ivo
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
Mko vizuri
Nyuki mupe mambo mutoto wawatu
Kazi poa sana nyuki
Nyuki Kawa nzi jmn
kazi nzurii sana🎉🎉
Shemeji ni handsome😢😢😢
Hizo lips juma...❤❤❤❤
Huyu mwaume nikichaaa mwanamke anahitaji zaidi ya pesa na chakula pia huwezi kufanya hivyo tafuta namna nzuri yakuzungumza nae
Ndio maana matajiri wengi wana poteza wake / kulea watoto wasio wakwao kwa sababu, hawana muda na wake zao😌😏
Wanaume, afya ya uzazi ni muhimu sana na ni jukumu lako na sio la mke wako, ur man downstairs is very important than yourself, ukizarau uanaume wako halisi mke wako hatakusikiliza kamwe, kuchitiwa unauma sana ila ukiwa haupigi mzigo Bora ujikaze tu
Big up sana lkn nyuki unapo sema unatimiza mahitaji yote unakosea mana hitajio kubwa umeshindwa kulitiza ndo mana umepgiwa afu juma halaumiki mana ata km ni ww ucngaliruka😂😂😂😂😂
Nyuki mpe mkeo haki yake tafadhali kwani hivi ,,alipokuwa kwao alikuwa yuwala chakula,yuwavaanguo na pia nywele yuatengeneza ...Sasa utanmfanya atoke nje ya ndoa😢😢
Lovenes 😂😂😂😂 yawa
Movie mbaya😮
Nawapenda jamani❤❤❤❤❤
Nelly unamwambia ukweli kabisa uyo nyuki, lkn achen kurudia rudia maneno,
Loveness te amo mormiga 😘🥰🙏 sou d cabo delgado mueda
Mbn hatujawai mpenzi wa vae ni mdomo tu prrrrrry😮😅😅
🤭🤭🤭🤭😱😱😱😱 jamani kuwana.subila.lavinesi
Ujinga m2pu uo
Achana naye dada
Sex is important in marriage hata kwetu tunkula tunakunywa
Jiongeze ww
Huyu ni shetani wa mgu oja yaani hasikilizi mkewe 😞
Loveness crazy girl anamihemko ya maisha mwache akome
Muvimzuli
Au.jogooo...hapandi.m2ngi😂😂😂
❤❤❤❤❤
Nyuki na ww unamakosa usimpe makosa mke wako tu sasa yalio tokeya nikumuonea
Tatizo lenu mna Scene ndefu ndefu sana 😢 Maneno kibao
❤❤❤🎉🎉🎉
❤ acheni kkuzingiziya kazi kwenye ndowa
Tuachane from no where😅
🎉🎉🎉🎉❤
nyuki ana nyodo ivo kamz ndo mm sirud hata
Huyu mwanaume bwa bwa kweli 😳
Huo mda mngemalizana tu jaman
❤❤❤
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂