A single Father raising his girl BUT neighbors are against his Principles//Baba Olivia Ep 01
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024
- #GaboziGamba ambae amecheza kama Athour ni Single father ambae ana jaribu kumpa binti yake malezi bora yatakayo mfanya kuja kua mwanamke asie kua tegemezi kwa mtu yeyote, mwenye kujiamini na zaidi ya yote kua rafiki yake.
Wakati mwingine majirani wanaweza kua msaada wakati wa shida, lakini sio kwa Athour ambae kwa muda mrefu anajaribu kutoraka kifungo cha majirani zake ambao wamekua mzigo kwake.
............................................................................................................................
GaboziGamba, who plays the character of Athour, is a single father trying to give his daughter the best upbringing so that she grows up to be a self-reliant, confident woman and, above all, his friend. Sometimes neighbors can be helpful in times of trouble, but not for Athour, who has long been trying to escape the burden his neighbors have become to him.
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Jamani simunipe like zangu nimejitaidi sana kuwahi hapa
Ubarikiwe sana kwa kutumia muda wako kuifuatilia tamthilia yetu ya Baba Olivia.❤❤Usisahau kutupa zawadi kubwa ya kusubscribe 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
🎉
Tuma episode 4 na zinazoendelea
muendelezo jmn
Jamaa namkubali Sana ! Alafu hana majigambo . Gabo zegamba Mwamba wa maigizo Tanzania.
Mwenyezi Mungu akuweke Mahali pema Mzee wangu Kolongo nakukumbuka sana Mzee... Pengo lako ni kubwa mno na umeondoka mapema mno.... Hongera sana brother @henrymwakajumba kwa kunipa nafasi kwenye filamu zako🙏🏽🙏🏽
Amen, kweli alikua mcheshi sana tuli enjoy sana kufanya nae kazi mda wote tulikua tunacheka tu location.Asante kwa kujutuma pia!
Yani baba baili upike mwenyewe
Kwani alikufa lini jamani huyo mzee korongo
@@saumodzumbo9671 mwanzoni mwanzoni mwa mwaka huu kama sio mwishon mwa mwaka jana 😭😭
Heee, kumbeee alishafariki??
Kazi sio mbaya 👍 # aliyeona jicho la gabo kwa mzee akitonyoa ndizi ✋
😂😂😂😂😂Asanteee, aseee una jichoo!
Haaaa
Kweli umefuatilia
@@henrymwakajumba yes
Mm mm mm mm mm
C😮m😅
Gabo anajua anajua anajua tenaa😊❤
Gabo is also one of the best in the world
Your absolutely right..... you have touched the heart of bongo movie
@@patrickkalu4477 well said , thanks
Absolutely 💯🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Haka katoto cha Gabo kanajua sana ❤🎉
Kongol3 nyingi kwenu
Asante sana🙏🏾🙏🏾
Ivi kunawatu wanatabia kama yangu, iih movie nimeiyon umu nikaipoyezea nmeingia tiktok mtu kapost nmeipenda nimeludi kuitafuta.nizur sana
Mimi hapa ivy0 ivy0
Mm nilijua ya kizunguu🤣🤣🤣🤣
Mi ndio nimefika hapa
Ndo natoka tiktok
Ata Mimi Nilipuuzia
Kumbe wabongo tukituliza akili tunatengeneza vizuri, safi sana
Ondoa NENO KUMBE...FOCUS NA NENO POSTIVE
Zsae
😅
Mimi niliacha muda sana kuangalia bongo move lakini hii leo nimeipenda ❤
Asantee❤️❤️
Ni movie sio move 😂😂😂😂😂
Hata mm
Huyo mwalimu ni mrembo sana 🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mary kama mary
Nikiwa south africa nimepata kufatiliya tamsiliya yenu yenye mafunzo na mafanikiyo mungu awawekeye wepesi kwenye kazi zenu ❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana na kwako pia!
Nakupenda sana Gabo wangu MUNGU akupe maisha marefu❤❤❤
Asante sanaa ❤️❤️ usi sahau ku subscribe basi! 🙏🏾🙏🏾
Gabo anajua sana 🎉
I just love how everyone plays their part accordingly. A true masterpiece from Gabo Zigamba
Asante sana🙏🏾🙏🏾
Kiukweli naipenda sana hii elimu ya moja kwa moja nimeipenda from Zanzibar.🎉🎉🎉🎉❤
Asante saaana 🙏🏾🙏🏾
Gabo tunakukubali sana asante sana kwa kazi nzuri ❤❤❤❤
Asante sanaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Utunzaji wa mazingira muimu sana kuzingatiwa, ila Machupa ya plastic ayachomwi moto ovyo. Ongereni kwa Kazi nzuri
Asante
Gabo always ako juu Allah ampe maisha marefu hana umbambamba
Aminaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amin
Zigamba kbsaaaaaaa unatisha kbsaaaaaaa ❤❤❤❤tupe ngoma kali
Zinakuja we subscribe tu, kila wiki Episode mpya!
I really love it 😍 you are the best 💞 Gabo more fire more blessings 😊
Asante sana! Keep watching the coming episodes!🙏🏾
The next kanumba, GABO ZIGAMBA. Smart moves only
Movie kwakweli Ni Nzuri na Inaonesha vile uzalendo wetu wa Kitanzania ulivyo. Kila mtu anayoifahamu Kiswahili / Kingereza utaiyelewa vizuri.
Hongera Kwa producer na Actors . Everyone has played their role well and congratulations to all of you.
Please keep up .
From Mohamed ( Ndola Zambia )
Nzuri kwakweli muendelezo tafadhali
Asante sana Mohamed!🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Inawezekana kutumia kiswahili mwanzo mwsho bila kuchanganyachanganya👍.. Lugha safi❤
Goma lakwenda kabisa hili
Goma kali sana gabo
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
The story is so touching, what a masterpiece 💪🏾💪🏾🙌🏽💯. Tunasubiri upcoming episodes kwa hamu
Asante sana sana kwa kuangalia, Kila wiki kutakua na episode mpya!
Gabo ukiungana na madebe mutatisha kinoma noma aisey...Good work
This is top tier quality content even the picture quality is amazing i hope you get the recognition you deserve hongera sana❤
Absolutely right
Wow, thank you 🙏🏾🙏🏾
Hongera kaka Gabo kazi nzur na asante kwa Darasa
Shukran sana🙏🏾🙏🏾
Hongereni Sana tamthilia tamu🎉🎉🎉❤❤❤❤
Asante sana! Kila juma tatu episode mpya!!
Angekuwepo kanumba jmn ❤❤
❤️❤️
Hii move niyamdagan siniliskiya huyu mzeee kongoro amefariki
itakua ni kitambo kdogo
Kongoro sio korongo. Yes ameshafariki
Ur the best actor gabo, big up bro.
GABO big up bro God Bless you
I😂😂baba oliva bahili hayabana 😢😢innalilah wainna lillah rajoun mzee korongo
Amina ❤️❤️🙏🏾🙏🏾
Iko na message nzur sanaa
Asante sana!🙏🏾
Jaman gabo Asante kwa hii zawad move bomba kabisa
Hii ndio movie best Kwangu mwaka huu❤️❤️❤️❤️❤️❤️
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
I move mbaka namkumbuka kanumba quality yake
Bro ujawayi kufel safi sana
Asante sana! Kaa mkao wa kula juma tatu hii!
Movie kali sana but Production Departments wamefeli sana kazi inapoteza mvuto
Ni kitu gani kimefeli ili tujirekebishe hapo badae?? 🙏🏾
Kazi nzuli bro
I appreciate you gabo♥️♥️👍👍👍👍👍 napenda move zako zote
Gabo kazi zako zuri sana naipenda character Yako natamani siku Moja kuigiza pia
Gaboo Icho kibanda hapo polin unamuuzia nan 😂😂😂😂😂
Utaona tu kwenye episode zinazo endelea subscribe usipitwe😂😂
😂😂😂
Huy kaka nomaa❤
❤️❤️
Semaji mwalimu kanyoooka mnoooo ❤
Gabo🔥🙌
This is the great film I have never seen in Tz
❤❤❤❤❤❤ nice tamthiliya nzur Sana
Keki ya mtoto mdg😂😂😂
Vizuri pamoja 🤝
Mwamba namkubali sana uyu
10:26 hapo kwenye kuomba viungo vya cake😂😂😂😂. Ila wewe ni baba wa mfano kwa kweli
😂😂😂
Mmetishaaaaa mama jemsi english yake😂😂😂😂
Kenya watching
Thanks stay tuned for more episodes 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Daaaah! Sema Bro unajua Sana aiseeee! BD cjakupatia mshindani.
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Much love from kenya🇰🇪🇰🇪 feels good to watch a swahili series...asanteni. drama poa hii💯
Thanks sana we appreciate it 🙏🏾🙏🏾
Its Tanzanian series not kenya
@@z43345 Yes I know its a Tanzanian series. I meant that we are watching from Kenya and we like it.
Gabo ujawahi kufer kaka kazi nzur sana
Asante sana!! ❤️
Am looking forward to the next episode brother Henry
Asante kaka! Inakuja J3! 🙏🏾🙏🏾
Nakupenda sana kaka❤❤❤
Kazinii nzuriii sanaaa
🙏
Nzur mno hongera nyingine lini
Asante sana! Usikose mwendelezo kila wiki share na uwapendao!🙏🏾🙏🏾
Ila mm napenda movie za gabo hatari 🔥❤
Mzee anamaliza ndizi tu...
#nahis huku ni kilimanjaro
Mambo ya maana kbs haya…..a very informative video.
🙏🏾🙏🏾❤️
gabo upo vizur sana ongela kaka
Nimefrai kumuona Mwanangu kabisa Dude
Gud movie ❤❤
❤️
Aliekua anajua kufanya kazi mzuri kama hii ni marehemu KANUMBA TU hongera kwako brother muvi ipo poa sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana! 🙏🏾🙏🏾 umependa nini hasa kwenye hii??
Mungu atufikishe juu zaidi
Amen, na asante sana kwa kuangalia.Tafadhali share na uwapendao!
This guy is kind of cool how he gets the recipe for the cake. :)
😅😅
Olive Yupo vzir sana😂😂😂
Daah hii muvi tamu sana
Shukran 🙏🏾🙏🏾
Bonge moja la kamba
Movie tamu ❤❤
Gabo you inspire me so much ❤ 💖 💓
Happy to hear that!🙏🏾🙏🏾
Kazi safi wapendwa
Tunashukuru sana!
😂😂😂yaan kwenda shule na mguu ndo adhabu??😅😅
Sikufikiri swala lakulipa mda,mazingira yanahitajika kutuzwa
Kaka kazi nzuriii mnoo mnoooo huna bayaaa hiii moviii imetoka sasa hv au inamdaaa ulikua hujaiweka sokoni??
Asante sana! Tutakuja na behind the scenes utapata story ya kusisimua kuhusu hii tamthilia.
Jamaaaaaaaan kwanini mna tunyima haki etu vitu vizuri kama ivi mnatucheleweshea
Leo mapema sana itakua hewani!
Wa@@henrymwakajumba
Mwenzenu napata vipande nus nus pia nmeshindwa tambua Jina Kamil la movie, mara baba olivie,mara a single father nambien Jina maalumu nianzie mwanz tamu sn
@@MagrethDaniel-cu5fg inaitwa Baba Olivia, ni tamthilia kila wiki episode (Kipande) kimoja kinakua kina toka, subscribe usizikose.
Huyu jamaa fundi Tanzania mzima❤
Kazi nzuri jamn ❤
❤️❤️ Asante!!
Keep it up Gabo
Thanks 🙏🏾 🙏🏾🙏🏾
nice work homeboy mwaisa. naskia sound za muvi katka quality ya hali ya juu
Nicee production
Thanks 💯
Ndio kwa swali lako la mwisho😂
Kweli anajua kuigiza sana ila ivi vitu viko sana majumban
❤❤❤ nzur sana
Movie kali sana
Nzuri kwakweli
Aiseee huwa sio mpenzi wa move ila hii aiseee balaaa
Asante Sana!🙏🏾
Nakushukuru kwa kazi yako ilivyonoga
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Duuh movie nzuri hivi ndo season one au tuambieni wanaojuwa
Wala hujakosea hii ni season 1, kuna Episode nyingi zinakuja, Tafadhali subscribe usipitwe!🙏🏾
Iko sawa hii
Dah inasikitisha
Da muvii ii yn nmpnda mnooo
Asante sana! Tafadhali subscribe usipitwe na mwendelezo!