Loveness unajiharibia Mwenyew Wanaume hawapendi habar za Mwanamme Mwengine, wanaumia snaa Mwish wa siku huyo Unae muhadithia hizo habar anajua ipo Siku utamuacha ukipata wakukupa pesa au vitu kwa Sababu anajua unataka vitu tu sio Upendo
Jamani si kwa utapeli huyo 😢😢pole sana loveness lakini nawewe umekuwa lofa sana wewe mwanaume unamwambia afungue ukaone ndani nayeye anakwambia umbwa zitakukula kwanini usinge funguka akili 🙄🤔❤🇧🇮🇧🇮
asante kwa muenderezo mzuli na mungu awabaliki sana mzidi kutupa kazi nzuli zenye mafuzo mazuli nakupenda sana kelvin naomba mungu pia ufani kiwe ufike mbali zaidi❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mmmmmh jamn tuliosikia kuwa nyumba haishi mtu alikuwa anaishi mdada mchafu akamtimua alafu tena et kunandugu zake wanakaa ndan anaogopa kwenda kumtambulisha apo wamajua kutupiga 😢😢😢😮
Nivizuri kuish kwa kujifunza pindi unapewa ushauli ulishindwa kumsikilie nakutafakal kwann unashauliwq vile bac jua kwqnza kuna mda mungu anaweza akakupa mtu sahih lakn kasolo yake ikawa ni money tyuu lakin ndoivyo huwa pesa inanguvu sanaaa sisi wanadamu tunaamin katika pesa pole lovenes nisehem ya kujifunza appreciate story nzuri nimeipenda kwakweli
Wañaume hawatakii wengine mazuri yaaaaaaani loveness hurudie kwa ule boy wa kwanza alikuwa na mapenzi ya ukweli kwako mamangu but fumilia tu anayekukushauri ipo siku atakuwa wa maana kwako ufumilivu kula ndivu
James na lovenes munanichekesha zaidi mumesemakwamba kaka Nelly hata ajikwae kwenye mandazi yawatu hanauwezo wakuyalipa ni police Street nihatari sasa ila sister lovenes kuwamakini acha shobo piya usionyeshe mazaifu yako yote mbele ya James utakuyakujutiya baadaye nautamukumbuka kaka Nelly unayemuzarau Leo James atakupelekeya moto basi kwasababu yeye ni mtu wamademu usimuzarau mwanaume katikamaisha yoyote ile hapa duniani
Lovenes nimekwambiya unakumbuka mupenzi wako wa nzamani nabado ilanawapenda team strong munajuwa
Mambo ni karakara nipeeni likes zenu please 🎉🎉
Mambo ya penzi jipya hayooo by the way nimemmic Nelly jmn
Ila Loveness unaniacha hoii mimi huku jaman 🤣🤣🤣🤣😂😂
Kitu kutoka MZ ❤❤❤
Apana loveness kimbia rudiii kwa nelly
Jmn kuna jambo clielewi hapa inakuwaje kila mtu anaomba like mmepost nn cha kutushawishi ku- like
James umerudi moto mpaka raha😂😂😂
1500views 200 likes jameni ebu wacheni masiara😂
Loveness angalia ucjejuta ukakumbuka maskini wako mbn hakuingizi ndani km anakupenda muongo uyo simume
Angalia shingo icjeikawa km twiga kwkuchungulia uliambiwa ukamtusi mdada wwtu
Waliolielewa biti gonga like
Ani hili bit kali sana kiukweli daah
Ama kweli biti kali
Loveless manyumba yote hayo mtu anakutembeza na miguu hana gari au😅😅😅
Nahakuingizi ndani anakuonyesha nje kwambali😂😂😂
😂😂😂apo sasa
Tunatembea kwa mguu lakini tuna manyumba mengi😂
Loveness unajiharibia Mwenyew Wanaume hawapendi habar za Mwanamme Mwengine, wanaumia snaa Mwish wa siku huyo Unae muhadithia hizo habar anajua ipo Siku utamuacha ukipata wakukupa pesa au vitu kwa Sababu anajua unataka vitu tu sio Upendo
Nmewai leo jamani like zangu☺️
Dad 😂 unakula like
Mamb
@@BadruLeonard poa
Hushtuki tu,Kwa nn utambulishwe Kwa nje,utamkumbuka Nelly mama
Yuaonyeshwa nyumba za watu na mwenyewe yuamini
😂😂😂
Linamtembeza mtot wa watu wa mguuu Adi apauke duh ili ongo nyie kaaah Adi kazid sas
😂😂
❤❤❤❤😂😂😂😂
Jamani nyumba ni zako na muchumba huwezi enda nae akaingia ndani akaona mwenyewe looh penzi jipya hili 😂😂
😂😂eti ahadi ahadi kama yesu love huyo mtu nimkora😂😂
😂😂😂😂😂 loveness my dear mwisho wa kukimbia ni kusimama, unaonaje ukirudi kwa Nelly ❤ Kenya
Like jamani
😂😂 embu kwanza nicheke jmn loveliness unaingy Cha kiume apo jmn yakweli hayo
Loveness ukona misemo sanaa 😂😂
Hahaha jemc kabadilika balaa kama anahela kwel
😂😂😂niceke ninenepe mie lavenesi kosa mali upate akili yani uoneshwe nyumba kwainje ukataliwe kuingiya ndani unatapeliwa ivivi pole sana mwaya😢
Hata iyo cm amebeba, loveness hauna Bahari,
Msijifanye hamujaona kitambi cha james😂😂😂😂
James ikonakudanganya tu ili umupelekeye moto ure utajutiya nautapatamarazi bure
Loveness unadanganywa vyote hivyo hushituki tu. Nimejifunza kitu tuacheni tamaa turidhike n tulichonacho
My favorite ❤❤❤
Jamani si kwa utapeli huyo 😢😢pole sana loveness lakini nawewe umekuwa lofa sana wewe mwanaume unamwambia afungue ukaone ndani nayeye anakwambia umbwa zitakukula kwanini usinge funguka akili 🙄🤔❤🇧🇮🇧🇮
Una manyumba Lakini huna gari mwa enda kwa mguuu hadi mwachoka😂 hamuingie hata
Yalabi wanawake tunadanganyikaga sana lovenesse umedaganwa rafikiyangu mwogo uyokaka🎉🎉🎉🎉
Wanawake acheni kua na tamaa ukamuacha anae kupenda ukafata mtu mwenye pesa
asante kwa muenderezo mzuli na mungu awabaliki sana mzidi kutupa kazi nzuli zenye mafuzo mazuli nakupenda sana kelvin naomba mungu pia ufani kiwe ufike mbali zaidi❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mtaka Vyote kwa pupa hukosaa Vyote 😂 Loveness, ww utakosa Masomo ya chuo na Mwanamme utakosaa
Anakuvuruga daa lovness na penzi jipya😂😂😂😂 nawapenda wote❤❤❤❤
James sura yako tu inaonyesha unaongea urongo
Ebu mnifanyie connection na Nelly aki Huwa napenda huyo kijana walai
Ooh jaman loveness umepatikan,, bc mwenyew umekufa umeoza Kwa uyo jama kama uoni
Yaani wewe loveness hushiriki tu mtu anakuonesha nyumba hafu hakuingizi ndani hivi mbaka hapo bado haujagundua tu kitu jamani
Maana yake wapo wengi wa kuishi na james😂😂
Daah jamn wanawake mbona huwa mnadanganyika ivyo . Love bhana
Unaonyeshwa nyumba inje inje tu!! Huoni kama unadanganywa?
Loveness kwan we huogop ndio umepigwa 😀😆😆😆😆😆
Mlioisikia hii sentensi "wewe ni mtu wa muhimu kuliko wote ninaotarajia kuja kuishi nao" tupungiane mkono ✋✋✋
🤚🤚🤚😂😂😂
🙌🙌
👐🙌
Nelly ❤❤❤
Ilq ukipendwa siku Zote inakuwa hivi kuringa half kupenda siku zote Maumivu
Mbwa Wametoka Nuruway😂😂😂😂😂😂😂 James shikamoo
😂😂😂
Kevi wembe ulimpotezea wap.jaman da
Lovenes uko sawa upendo c kuambiwa i love you to wanaume wenye ni mali ngumu wanajua upendo nikuambiwa i love you tosha
Jamani hivi wanaume waongo kama huyu kaka bado wapo kweli maana sio poa😂😂😂😂😂😂
Wenzako wanasuka rass wew unasuka vidolidoli😂😂😂😂
Hap ullv taj yahay umeniboa san kk
Mmmmmh jamn tuliosikia kuwa nyumba haishi mtu alikuwa anaishi mdada mchafu akamtimua alafu tena et kunandugu zake wanakaa ndan anaogopa kwenda kumtambulisha apo wamajua kutupiga 😢😢😢😮
Naona wewe lovenes huku tafuta mapenzi kwajames ila umefata maokoto polesana I'm from Texas
Nelly leo ni Ile siku 😢😢😢
Muonekano wke tu mm binafsi hnivutii kbsa wanawake wenzngu tuachen tamaa
Ananyumba nakila siku mpo nje😅
Hapo sasa na mwanamke anaamin et🤣🤣🤣
hamna namba ya siri herufi 3
Jemsi una kiti chako baba ❤❤❤❤❤
Kabsaah 😂😂😅😅
Mapenz yanauma aaaaiiiiseee nyiee achen tu hasa ukijbiwa vibaya unaachwa bila sababu maalum
Love Ness Kuna bomu litakulipukia😊😂
❤❤❤
Mnatutania yani anaoneshwa nyumba lakini wanatembea Kwa teke 😅😅
Nivizuri kuish kwa kujifunza pindi unapewa ushauli ulishindwa kumsikilie nakutafakal kwann unashauliwq vile bac jua kwqnza kuna mda mungu anaweza akakupa mtu sahih lakn kasolo yake ikawa ni money tyuu lakin ndoivyo huwa pesa inanguvu sanaaa sisi wanadamu tunaamin katika pesa pole lovenes nisehem ya kujifunza appreciate story nzuri nimeipenda kwakweli
😂😂😂😂love umepata mume😂😂😂
Duuuh james bhna ahaahhahha ingekuwa izo nyumba zote ni zako sidhan kama mngetembea na mguu 😬😬😬
Itakula kwako love lovenes hakuna mambo kama hayo utalia ww ujutie mbona ndani hataki kukui ngiza
Like seriously love ness msomi wa chuo mama unaongopewa kama mtoto wa darasa la 2
Sasa si maigizo tu hyo
Lov jmn mhhhhjjjj, ilano way out, ilikazi ya fasihi itimie
Loveness tayari umeyaoga
James na ww Umekuwa wakudanganya tu wadada Jamn mwisho wa siku una waachaa solembaa
Loveneess mwanaume wako tapeli😂😂😂 utajuta
Kipenzi changu 😂😂😂
❤❤❤ but lovenes utamkumbuka nelly
Mmmh umeingizwa cha kiume loveness
Tatzo tamaaaaa
Wañaume hawatakii wengine mazuri yaaaaaaani loveness hurudie kwa ule boy wa kwanza alikuwa na mapenzi ya ukweli kwako mamangu but fumilia tu anayekukushauri ipo siku atakuwa wa maana kwako ufumilivu kula ndivu
Jaman nmemmic Shenaiza na Dayana mim ❤❤
❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Hiiiii ahhhhhh James asa unachekesha mwishowe mwambie hyo love kuwa na ndege unayo mana so kutongoza ivo
loveness umeyatimba hapo ujapata mwanaume Bali umepatikana
wanawake upofu wetu uko kwenye masikiyo yani apo akuna mpenzi kwa jms
😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂
Nyumba zote unaishia nje😂😂😂
M jamani ukipata muke unayo mupenda oyesha mapenzi ya ukweli yaaaaaaani uwe mwaminifu kwake bila kusitasita
😂😂😂 yaani liongo ili li mme 😂😂 ndani hakuingiliki sio
Loveness umeingia mkenge shoga angu maana jamse ni kiboko
❤❤❤nc
Ila Las anaonekena .ni muongo sana kwaa wanawake .uongo mwingi
James na lovenes munanichekesha zaidi mumesemakwamba kaka Nelly hata ajikwae kwenye mandazi yawatu hanauwezo wakuyalipa ni police Street nihatari sasa ila sister lovenes kuwamakini acha shobo piya usionyeshe mazaifu yako yote mbele ya James utakuyakujutiya baadaye nautamukumbuka kaka Nelly unayemuzarau Leo James atakupelekeya moto basi kwasababu yeye ni mtu wamademu usimuzarau mwanaume katikamaisha yoyote ile hapa duniani
Loveness next time uvae braa😂😂😂😂😂😂any way movie nzuri hongereni❤❤❤❤❤❤😊
Love jaman🎉🎉🎉
Loveness kwann hupend sdiria dear 😂
Waah,,,ahadi xa uongo pia bona hata hakuna kuingia ndani??
Jamaaaaa liongoo
Mhmhmh pole weenyumba waiona kwa nje
Lavness wajinga ndio waliwao 😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉 🎉 🎉 🎉 🎉 🎉
mwanaume na mwanamke hupendana kinafiki tu
Mbwa wametoka norway😂😂