🅻🅸🆅🅴 WAZIRI AWESO ANASIKILIZA KERO MUDA HUU ZA WAKAZI WA GOBA,WANANCHI WAFUNGUKA MAZITO JUU YA MAJI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Ccm ni kama gari bovu.leo linafanya kazi kesho liko gereji
Waziri weka namba ya simu yakupata taarifa za uendeshaji wa Huduma ya maji
Ccm mmechoka hamna sera kwa sasa! Uchaguzi umekaribia ndiyo sasa mnajikosha kuja kusikiliza kero za wananchi! Miaka yote mlikuwa wapi!? Mnapiga porojo hapo ili uchaguzi mpate kura tena! Uchaguzi ukiisha mateso ya wananchi yanarudi palepale! Wananchi dawa ni kuikataa ccm na kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Hakuna Maji bado Shida huku Tabata
Waziri Amini hujuma IPO inafanyika
Wanauza Maji Hao viongozi wa DAWASA
KM alitaka kumkaribisha waziri akiwa amekaa bila kuiongea chochote/