Siyo malaya wacha kusema hivyo dada Gracee,wazungu wamewadanganya hakuna mwanaume wa kiafrika naweza kukaa na mwanamke mmoja sio utamaduni wetu,ni bora uwe na wake wengi kuliko unafiki wa kuvua pete ule madada wanao jiuza,alikuwa sawa kuwa na mke mdogo,Daudi,Ibrahimu,na manabii wengi hata Musa hawakuwa na mke mmoja.Huu ndo ukweli wanaume tunapenda wanawake wengi Mungu katuumba hivyo ili tuzaliane.Ona ulaya waliko anzisha mambo ya mke mmoja leo hakuna ndoa tena zimekufa wanatangaza ushoga
Shida baadhi ya wanaume nguvu zenyewa hawana. Akipata kimoja kwa mwezi anakipeleka kwa mchepuko. Swali linakuja; Ukienda huko ukirudi unakoroma na hela umetapanya. Kwa hiyo mkeo ampe baba yako au!
Ndugu muongo kama ni mke na sio mchepuko kwa nini Marehemu alipaki gari mahali pengine?.Ukiwaza hapo utaona Mwanaumme alikuwa anamkingia mchepuko asidhurike ndio ikamfikia yeye .
Umeshajua mumeo ana mke mdogo shukuru kwa sababu umeshajua ukimkosa ni wapi utampata """kuliko kuwa na michepuko hujui hata utampatia wapi... Wanawake tujifahamu zaidi hakuna cha peke yako
Nahisi huyu mama alikuwa ana lengo la kumuua mke mdogo mume ktk kumwokoa mke mdogo kuamua ndo ikatokea hasira nazo mbaya utakuta baadae ya dakika 5 tuu akili zinarudi tayari ameshaua mumewe tayari atajutia mume kaburini yeye magereza watoto ndo watateseka jamani R I P broo msele wamama acheni ukatili
Waongooo...huyo mume alikua hana mke mdogo bali mchepuko na familia haijui! Wakristo hatuna ndoa mbili kwahiyo acheni uongo...eti familia ilikua inajua🥴😏
Marehemu alikuwa malaya marehemu kafa akifanya umalaya nyie😅😅😅
Siyo malaya wacha kusema hivyo dada Gracee,wazungu wamewadanganya hakuna mwanaume wa kiafrika naweza kukaa na mwanamke mmoja sio utamaduni wetu,ni bora uwe na wake wengi kuliko unafiki wa kuvua pete ule madada wanao jiuza,alikuwa sawa kuwa na mke mdogo,Daudi,Ibrahimu,na manabii wengi hata Musa hawakuwa na mke mmoja.Huu ndo ukweli wanaume tunapenda wanawake wengi Mungu katuumba hivyo ili tuzaliane.Ona ulaya waliko anzisha mambo ya mke mmoja leo hakuna ndoa tena zimekufa wanatangaza ushoga
Shida baadhi ya wanaume nguvu zenyewa hawana. Akipata kimoja kwa mwezi anakipeleka kwa mchepuko. Swali linakuja; Ukienda huko ukirudi unakoroma na hela umetapanya. Kwa hiyo mkeo ampe baba yako au!
Msitetee uovu mwanaume kama unaona huwezi kutosheka na mwanamke mmoja acha kufanga ndoa uwe mtu wa kuzini tu
Mimi kwa upande wangu sijaonaga umalaya ambao unaweza mfikisha mbali,kwa sababu aliyesababisha yote ni marehemu akawe na la kumjibu Munguuu
Ndugu muongo kama ni mke na sio mchepuko kwa nini Marehemu alipaki gari mahali pengine?.Ukiwaza hapo utaona Mwanaumme alikuwa anamkingia mchepuko asidhurike ndio ikamfikia yeye .
Umeshajua mumeo ana mke mdogo shukuru kwa sababu umeshajua ukimkosa ni wapi utampata """kuliko kuwa na michepuko hujui hata utampatia wapi... Wanawake tujifahamu zaidi hakuna cha peke yako
Makonda anafanya kazi na watu wengine wanafanya kazi iyo ndo inaitwa jenga bomoa subhanna Allah 😭
Mtu weke sawa mke mdogo au mchepuko.Na kama mke mdogo wote alifunga nao ndoa?
Huyu anajaribu kutetea tu sababu marehemu anandoa ya mke mmoja
Jamani tuanze wivu
Lkn mbona familia walisema hawamjui??jaman jaman mbona moto unatungoja ila siku zote kosa ni la marehemu
Dahh huyu mwanamke ni katili hapo amewapa shida watoto wake yeye anaenda gerezani mme kafa ukitaka kufanya kitu fikiria mwisho wakr
Katili kupitiliza.
Amfikiriagi nyie wanawake
Ushapigwa mashine mara 7 umezaa na watoto unataka nn sasa
Jamani kwani wakrito wanaoa wake wawili sikuizi kwa nn aitwe mke mdogo
Ndoa ya kikristu inawake wawili au mmoja?
Wivu mwingine uwiiiiiii mwanaume akisha amuwa na aliwa tayari na mtu meingine ameshakutowa moyoni kuwa king'ang"anizi ndiyo madhara yake ni haya
Kabisaa dear wanaume wengi hawapendi makelele
Nikweri kabisa hata kama unampenda vip muache aende naikiwezekana kaa nae mbali utamsahau tu japo ni vigumu
Weee mama mbona katili ivyo??? Umepata nn sasa?
Nahisi huyu mama alikuwa ana lengo la kumuua mke mdogo mume ktk kumwokoa mke mdogo kuamua ndo ikatokea hasira nazo mbaya utakuta baadae ya dakika 5 tuu akili zinarudi tayari ameshaua mumewe tayari atajutia mume kaburini yeye magereza watoto ndo watateseka jamani R I P broo msele wamama acheni ukatili
Hata mimi nawazia hivyo alikuwa anamzuia kwa kumkingia
Wachaga hamtakiwi kuolewa binafsi nakumbuka baba aliwahi kunihusia kwamba nikioa mwanamke mchaga ananilaani
Sk hizi wanawske wamekuwa wakatili sn pale wanapopatia chance
Sijaelewa mnaposema mke mdogo mnamaanisha nini? Kwa hiyo ana ndoa 2?
Anajua Kila kitu
Mume alipaki gari chocho sababu alishajua anafatiliwa yaani tuombe MUNGU atusaidie tuache dhambi na machukizo mbele ya MUNGU
Kassian John huo Ni unyama na ukatili usio kubalika
Namtauwawa sana jmn
Waongooo...huyo mume alikua hana mke mdogo bali mchepuko na familia haijui! Wakristo hatuna ndoa mbili kwahiyo acheni uongo...eti familia ilikua inajua🥴😏
Ndio kaisha faliki Sasa ukirsto hapo unawasaidia Nini?
Mali mtakufa mtaziacha wekezeni kwa Muñgu
Exactly
Hivi unakuja kuwaambia nini watoto wako eti baba yenu nilimuua kisa wivu, utaeleweka kweli?
Duh yy anaenda jera. watoto wanateseka bila hatia yoyote jaman binadamu sisi
mpaka sasa sisi wanaume 2-1wanawake,mechi iendelee mpaka tueshimiane
😂😂😂
Kazi iendelee
Imaonyesha walikuwa na ugomvi toka nyumbani mme akafanya ubabe ndoikatokea
Sasa kamuuwa mwache akatumikie kifungo cha Maisha
Wanawake mko wapi?
Tupo hapa kafanya vizuri tu mke mdogo iyo veeeeeep wakati ni ndoa ya mke mmoja na mume mmoja
Kwenye fumanizi hakuna nguvu. Wanaume wamemaliza wake zao kwa virusi kisa michepuko.
Jino kwa jino akalalee mbele angemkuta mke wake ndo yupo kwa mwanaume angekubariiiiiii afe tu
Wakibosho ni wakali ase
Atajua mbele
Ndiyo akikuwa anajua Kila kitu
Mnaaza maisha ya dhiki mkijipata mtu anaaza habari za kijinga mtakufa nawaambia
Makonda anafanya kazi na watu wengine wanafanya kazi iyo ndo inaitwa jenga bomoa subhanna Allah 😭