NYUMBANI KWA SALMIN SWAGGZ NA MKE WAKE BRANDINA, MTOTO NYOSHI EL SADAAT.! WAFUNGUKA HAYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- #Salminswaggz
NYUMBANI KWA SALMIN SWAGGZ NA MKE WAKE BRANDINA, MTOTO NYOSHI EL SADAAT.! WAFUNGUKA HAYA
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Salim niite tufanye Kaz bhas buda maana tumepambana sana kwenye graphics hapa mbez makonde tulikuwa tunakesha wote ofisin buda
Mtangazaji Annandale kudil na mbwa baada ya interview
Mwanangu salmini swags nimependa life yko design umebond sana na wife
Presenter kafeliii.
Salimn ameoa😊😊
Sasa unashikaje nguo za mtoto wakati hujanawa mikono? Je ukiacha germs kwenye nguo za mtoto? Pia washauri kutoanika nguo za mtoto nje, watoto wako sensitive sana
Mhh.. 🤔
Nyie ndo mnafanyaga watoto wanakua mashoga
Kwahyo kuanika nje ni chanzo cha ushoga,, bas waafrica wangekua mashoga wote
We sio mzima Kuna nati imelegea mkunduni kwako
Kuna usafi mwingine ni wakiwaki😢
Wananyonya yeye na babake 😂😂😂
Wananyonyaa wawili😂😂😂😂
huyu jamaa mbona kama anakosa content kwenye kuhoji..🤔
Na mahari utoe ndio utoe jina kwa mtoto wa pili
Blandina mzur
Mbona waandishi wengine km makuma, tafuta ubunifu unaangaikia vitu visivyo vya msingi
Hahaha 😅 wananyonya wawili
Huyu mwandishi au mbea Yan unapitiliza sehem ambazo haujaluhusiwa
Mmm! Dada amejichora matatuu ya hatari mmm!!! Huyu alikuwa baraa
Hahaha
😂😂😂😂😂😂hajielewi
Apo umefel kijana mwanao mzr Kwan kuna mtoto mbaya duh
❤❤❤
babu anajiongezea vitu sindio😂😂😂😂😂
Huyu jamaa kafanana kama na mkewe hivi lkn ni upendo WA dhat
Huyu mwanamke siyo wa kuoa wala kumzalisha
Babu yake kampelekea kumuona mjukuu au bro wake wa boxing swagg ajiangalie kawa mjomba.
Mwandishi mumbeyaaa hadii nguooo unazikanguwaaa weweee noma
Sioe mchoyo blandina
Koo sio koho, mwandishi unatakiwa ukamilike
Yan kiukwel hapa hakuna mwanamke
Salmin swags
Nimependa ukarimu wa mke wa jamaa
Sahaani ndo nini? Inaitwa Sani.. Narudia tena kua mwandishi unatakiwa ukamilike
Hakuna mke hapo
Baba mkwe anapaka mkologo 😂😂😂
Kwani tabuu
@@MTOTOWAvitoto sijuii kwako unaonaje
mme mweupe mke mweupe ndoa haitoboi iyo
Maisha ya bongo ni ya ku act sana..alafu wakiumwa wanaomba wachangiwe
Mwandishiio mmbea na anaboa sana
mbea sana anachunguza had chup
unaambiwa binti yangu unauliza tena WAKIKE?
Hahahaha huenda kuna mabinti wa kiume
Huyu msanii ndio leo namjua
Ulikuwa wap siku zoteeeeee 😂😂😂
Sababu hafanyi ngoma zenu za amapiano sijui kautaka😂
@@samchris1914 labda hafanyi kiki 😂 mbn kina stamina roma nawajua
Polee
Anaitwa salmin swaggz we wa wp broh😅
Mama jiko hapana makoro koro bora kukosa jiko😂😂
We unajua hata bei ya kod 😂
Tulioe changwa na major ya kicongo atuko wachoyo
Msi mchambue tabia mke wa mtu ,,shida nimtangazaj ajielewi aende kwa Gabi wa global akajifunze kazi
Salmin kafanana na dem wake
Sema suwee daahhj 😂😂😂😂😂
Hahaa wajinga ndo hawamuelewi due.. Yuko real ana freestyle, sio mambo ya kupangiwa interview... Hii nzur 🎉