Hotuba ya kwanza ya Rais Magufuli bungeni Nov 20 2015
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2015
- Ni hotuba aliyoitoa wakati akilifungua rasmi bunge la kumi na moja ambapo alieleza mipango ya serikali yake na jinsi atavyofanya kazi kwa utofauti, matumizi ya pesa kwenye safari za viongozi nje kwenye awamu iliyopita na mengine.
Millard asante sana kwa kazi nzuri ya kuhakikisha hatupitwi na kitu.
good jpm
speech of our hope...Tusubiri tuone utekelezaji wake
asante mungu kwa kutupa kiongozi huyu naamini matumaini sasa ya kila mtanzania yameongezeka .naamini haya aliongongea mh Rais ni kwa dhati ya moyo wake n wakati sasa wa ss watanzania kuifurahia tanzania yetu thank god
You always provide we need
Asante , JAMAA wetu wa NGUVU.
nice
what a conservatives president!
Nitaanza kumkubari baada ya miaka 3 akiendelea kwa speed hiiii
hizo ndo speech za wasomi sio mipasho
Hotuba ya mheshimiwa JPM imefunika kabisa, sijaona kwa waliotangulia. Kama anamaanisha kweli pasi CCM itaendelea kutawala.
shkurn ayo
it will b confirmed
linah acha ufusuka daàaah! Ainu!!!
it will b confirmed after 3 yrs
huyo Lina kavaa nini hicho mbona wanawake tunajidhalilisha hv bongo au ukitoa video ukiwa uchi ndo unapata mashabiki?????? Acheni kutudhalilisha kiasi hiko basi uvae brazia na chupi ifahamike akili yako haifanyi kazi daaaaaah it is shameful..... samahani kwa watakao kwazika
mategemeo yangu kama mwananchi ni utekerezaji
speech ipo poa tusubir utekelezaji
Naomba raisi wetu aangalie hawa wanawake wanaojiingiza kwenye sanaa kwa kuvaa mavazi ya aibu maana video huwezi angalia watoto wakiwepo au mtoto kuangalia na wakubwa .......huku si kuelimisha jamii bali ni kupotosha