Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2016
  • Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

ความคิดเห็น • 21

  • @kletusEdward
    @kletusEdward 8 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana mheshimiwa kwa hotuba nzuri na yenye changamoto nyingi za kiutendaji kwa maana chombo hicho ndicho kinacho onyesha dira ya nchi yetu.

  • @YUDATHADEYSHINE
    @YUDATHADEYSHINE 8 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli

  • @dct4lif
    @dct4lif 8 ปีที่แล้ว +1

    Kilio cha watanzania mungu kakisikia. We finally have a president who actually cares about the country and its people. God bless you Mr President we are ready to lay down our lives to protect you. Tanzanians have suffered enough

  • @yonathansimon7147
    @yonathansimon7147 8 ปีที่แล้ว +1

    Tunakuombea kwa MWENYEZI MUNGU akupe afya njema na nguvu na katika kasi yako nzuri ya kutuletea maendeleo ya kweli utuvushe hadi nchi ya ahadi hongera sana baba kwa kuwa na moyo wa kizalendo na kwa utumishi uliotukuka hakika Mungu ametupa kiongozi mahiri wa Tanzania wote tuwekeni itikadi za vyama pembeni tumuunge mkono Rais wetu mpendwa.

  • @frankmbige1515
    @frankmbige1515 8 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana Rais kwa hotuba makini na yamamlaka Mungu akupe Afya njema pia tunatamani sana ungekuwa na hotuba kila mwezi

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 8 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mh.JPM Rais wetu mtukufu. Mungu yupo na wewe kila hatua unayoipiga maana ameaidi hivyo. Songa mbele kuijenga nchi yetu.

  • @yonathansimon7147
    @yonathansimon7147 8 ปีที่แล้ว +2

    pongezi za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa hotuba nzuri iliyosheheni hekima, busara pamoja dira kwa mahakama yaTanzania inavyotakiwa kwendana na kasi ya awamu ya tano.#HAPA KAZI TU!!

  • @najmaibrahim282
    @najmaibrahim282 8 ปีที่แล้ว

    mh rais hongera mungu akulinde maana umengusa sana ktk moyo wagu.

  • @sospeterwankuru987
    @sospeterwankuru987 8 ปีที่แล้ว +1

    Pongezi sana Mh.Magufuli ila ni vizuri kama utakuwa unatoa hotuba elekezi na mrejesho wa utekelezaji wa maagizo yako aidha kila mwisho wa mwezi au kwa mda utakao jipangia mwenyewe.

  • @abrahammaleko4304
    @abrahammaleko4304 8 ปีที่แล้ว +1

    Mheshimiwa Raisi Dkt John Magufuli hongera sana kwa hotuba nzuri iliyojaa kila chachu ya uzalendo. Hakika namwomba Mungu akulinde ili uwawafikishe watu wake kwenye kilele cha kufurahia neema na utajiri tuliyojaliwa. Amina

  • @walterkayombo1362
    @walterkayombo1362 8 ปีที่แล้ว +1

    Hotuba imetulia na Mh kaongea uhalisia na sio mbwembwe kama ambavyo tulizoea!!!!Bravooooo Mh Magufuli

  • @mgenikisukari1371
    @mgenikisukari1371 8 ปีที่แล้ว

    hapa kazi tu!!!

  • @cleopasmheluka7482
    @cleopasmheluka7482 8 ปีที่แล้ว

    hongera hutuba ni zaidi ya uzalendo japo kuna maneno mengi yenye mwelekeo wa kuvunja sheria wanasheria wa serikali muwe msaada kwa raisi @AG,RAISI NI TAASISI

  • @eddydben
    @eddydben 8 ปีที่แล้ว

    safi sana rais john magufuli .sasa tunaona mwanga wa matumaini

  • @jameszombe5610
    @jameszombe5610 8 ปีที่แล้ว

    Magufuli ametxha salute kwake

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 7 ปีที่แล้ว

    wewe ndiyo baba,sasa tuna mtu mwenye mamlaka katka nchi anaye jua anachosimamia anaongea kile kilichopo moyoni bila kujali utampenda ama utamchukia Mimi nina matumaini sasa na nchi yangu hongera mheshimiwa Rais Magufuli

  • @josephkatembo4138
    @josephkatembo4138 8 ปีที่แล้ว

    Serikali ya awamu ya tano inajitahidi kurudisha matumaini kwa wa anchi ktk kuwahudumia, sheria na taratibu zitumike vema ktk kudhibiti watendaji wanaoenda kinyume

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 8 ปีที่แล้ว

    Baadhi ya hawo majaji walionekana kukosa raha kabisa wakati wakimsikiliza Rais Magufuli. ..kwa sababu wengi wao tayari ni corrupted na hii speech anawagusa vitendo vyao vya kula rushwa

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 8 ปีที่แล้ว

    Anaejilipa millioni 35 kwa mwezi nafikiri ni Mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu aliwaita Watanzania vigeugeu baada ya watu kumuuliza kuhusu mshahara wake. Na ni mtaalam wakufanya vikao vya bodi Ulaya.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 8 ปีที่แล้ว

    DR Magufuli you true Socialist , salute mr President

  • @jumahassan7909
    @jumahassan7909 8 ปีที่แล้ว

    pokeeni hotuba makini yakizalendo yakumjali mnyonge