Kibu siyo mwehu sisi washabiki ndio kila kitu tunajifanya tunakijua mikataba ya simba na yanga huwa kunauhuni mwingi kunawatu wanapiga hela sisi kazi kulaumu wachezaji kama kibu anatatizo sheria za michezo sizipo
Mimi ata mtandao ya kijamii inatumika vibaya sana habali nyingi za simba viongo wa simba chaguweni watu wa kuisemea simba kama 10 wanatosha na wawe wamesajiliwa
Kibu anadanganywa Simba itamkomesha wao ndiyo wanamkataba huko wala hatacheza timu za nje wako makini sana kuhusu mkataba ana tamaa sana
Kibu tamaa imekuponza Simba itakunyoosha
😂😂😂😂😂😂 poleni
Watanzania bwana, kila issue ni kiki. Huyu ni mchezaji hamwezi jua amepatwa na nini?? Punguzeni maneno basi, mwachieni privacy yake.
Kwanini asitoe taarifa kwa maboss zake ?baada ya kuchukua pesa ndio jambo limpate😂😂shida zake hazituusu aludishe pesa kwanza apambane na shida zake
Kibu siyo mwehu sisi washabiki ndio kila kitu tunajifanya tunakijua mikataba ya simba na yanga huwa kunauhuni mwingi kunawatu wanapiga hela sisi kazi kulaumu wachezaji kama kibu anatatizo sheria za michezo sizipo
@@athumanshaban ndio tunasubilia tuone kama niuhuni itafahamika nakama anatuhujumu itajulikana
Sawa ila huyu wanae yeye nikama nani kwenye usajil
@@athumanshaban mwanachama anachangia tim
Mimi ata mtandao ya kijamii inatumika vibaya sana habali nyingi za simba viongo wa simba chaguweni watu wa kuisemea simba kama 10 wanatosha na wawe wamesajiliwa
miraji kibu anawashauri wake ywezekana kafuata tartibu kaka
ILa kiukwel napenda uchambuzi wako
Miraji uko vizr sana ila mda mwngn huelewek bro wangu usimalize maneno huo ni mpira tu na ndio mpira wa kitanzania
Bado mbinu za viongozi wa simba changa mbona wachezaji wanawasumbua mfano lawi kibu chama uwo umakini wa kuzibiti wachezaji upo wap
BROO MPIRA UNAUJUWA KAKA BIG UP SANA. NITUMIE NAMBA ZAKO NIKUTILIE HAMSINI UKAWEKE VOCHA KAKA
Kwahiyo hata ww ukiwa unafanya kazi ukiwa na shida huwezi kutowa tarifa sahihi
Kwanini muna lalamika amujiamini
Miraji unaongea sana mpaka unajichanganya
Marekani kalipiwa na mkwe siyo Mo
Kibu kaacha mpira anafanya mambo mengine
Hamna hela nyie kibu hela katoa, tray Agen ya usajili
Anajitoa ufahamu mbona Simba hawajatoa barua kwa Chama?
Mnaunga unga tu nyie hamkukamilisha,
Naww unaongea nn sasa kama Kuna kilicho mkuta kwann asisema mbna vyote kasema. Na jatimiziwa
😂😂😂😂😂😂 poleni