JOSLINE ANAFUNGUKA MAZITO/ KILICHOMUINGIZA KWENYE../ CHANZO CHA YOTE/ DULLY SYKES/ BIFU NA MR BLUE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

ความคิดเห็น • 110

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 ปีที่แล้ว +16

    Bonge La Interview.. Joseline Anajua Sana Kujieleza Katulia.. Huchoki Kumsikiliza 🙌🏾 Presenter Anauliza Maswali Ya Msingi Sana.. BEST 2023 INTERVIEW SO FAR..!!

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 ปีที่แล้ว +6

    My role model enzi hizooo!!Amenishape namna flani kuwa Smart n swag!! He's still humble n minato na midondoko ile ile!!He was way a head of time!!

  • @nathanielmpeta6144
    @nathanielmpeta6144 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa ana love sana na washkaji zake after all these years, this is rare.. he is a real one!

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 ปีที่แล้ว +5

    Joslin you are big na Sasa tuko kwenye digital world you don't need no body... Just take your content to the digital.. Yani hata ukianzisha Podcast unatoka watu wanapenda kukusikiliza tu hata Kama huimbi.. una vibe na Kila mtu.. Mungu unayemuomba akusaidie you are good to Gooooo! 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SoudyBrown
    @SoudyBrown ปีที่แล้ว +9

    Maaaan…. mwamba Kaua sanaaaa, nimependa sehem aliyotangaza Vita 😂🙌

  • @siraaronmallya425
    @siraaronmallya425 ปีที่แล้ว +13

    Brother Joslin wimbo wako ulinipa pesa sanaa ule niite basi....i was in primary and i was doing writing for others such song and paid....i was like grade 5 or6

  • @pascalcostantine4478
    @pascalcostantine4478 ปีที่แล้ว +2

    Jos ameongea FACT sana kuhusu kuimba nyimbo za mtu kwa stage. Respect you bro

  • @shepherdmosha1610
    @shepherdmosha1610 ปีที่แล้ว +13

    Mimi ninachokiona leo ni tofauti na ile interview ya wale shilawadu, nakuomba sana Jos stay possitive bro najua ni ngumu kuachana na urahimu ila ni rahisi kuachana na marafiki wanaokupelekea kwenye urahimu, namba 1 wa kuachana nae ni yule mliyekua nae kwenye ile interview, kwa sababu ndiye niliyemuona, wengine siwajui ila achana nao. Muombe Mungu akusaidie kwa hili na ikibidi mkabidhi maisha yako okoka. Mengine yatakaa sawa kadhi Mungu atakavyo bariki. Sisi tunaokujua kipindi kile tunasikiliza nyimbo zenu kwenye SONY WALKMAN unakua na zile kanda za (Kali za bongo) ndio tuna uchungu na nyie. Ni hayo tuu.

    • @charlschito6867
      @charlschito6867 ปีที่แล้ว +1

      Ebnae wanakuita Shepherd Mosha yaani ushauri na maoni yote umenifilisi umepita pooote nlipo waza kupita khs Josline ''Man of GOD , ile interview ilini jeruhi kumuona JOS yupo vile .... Huwezi amini kazi zke na Wakali kwanza sie ndio twackiliza hdi nukta hii

    • @thespot1435
      @thespot1435 ปีที่แล้ว

      Urahimu ndo nini?

    • @CleverMjaggah-uv8on
      @CleverMjaggah-uv8on 6 หลายเดือนก่อน

      Nn kilifanya akapotea kwenye game

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 ปีที่แล้ว +3

    Me nampenda sana akiongea yaan natamani arudi kwenye game aisee he's absolutely amazing

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 9 หลายเดือนก่อน

    One love bro. Nakumbuka busara zako na mchango wako for the truck we sung together going by the name of TUWE WOTE by Phantyrhymes ft Joslin. Kali sana hii

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 ปีที่แล้ว +2

    Much respect bro ✌

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu7073 ปีที่แล้ว +5

    Una swaga sana bro

  • @sasquaremusic3140
    @sasquaremusic3140 ปีที่แล้ว +1

    Bro uko vizuri katika kumhoji msanii na pia msanii brother josline yuko vizuri katika kujibu na kuelezea kwakweli tumelizika kwa interview..Ila naomba mtafuten na spack wa nipe report (tunda na spack)

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 ปีที่แล้ว +8

    Nigga got swagg! Can be market if he's serious #Jos+Jos

  • @goustonefrancisisole2534
    @goustonefrancisisole2534 ปีที่แล้ว +1

    Nimeona video fupi asee...... One of the best.....

  • @J96tz
    @J96tz ปีที่แล้ว +4

    Joseline my model namkubali Sana sana mpaka uzee wangu niufikie nitamsikiliza @j96_sna every where napatikana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa bonge Moja la singer rnb i'la dah his pambana bana...

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 ปีที่แล้ว +1

    Sema joslin mnyamwezi sana kapoa kinyamwezi hata ongea yake ya kinyamwezi sana Nakubali sana

  • @jovitham6003
    @jovitham6003 ปีที่แล้ว +6

    Big up dogo👍 makofi kwa wingi.
    Niseme tu kwamba,,, kuimba nyimbo ya msanii jukwaani ni makosa. Ni kumuibia msanii kazi zake. Ndio maana utasikia ughaibuni,, hata ile tu kupost nyimbo ya msanii utasikia " I have no right to this song,, huu mwimbo ni mwimbo wa . .... mfano huu mwimbo ni mwimbo wa Joslin,, au kwa ruhusa ya Joslin,,, tena kila ukiucheza asilimia fulani ya malipo inakwenda kwa muhusika wa nyimbo yake. ( period./ nukta )

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 ปีที่แล้ว +3

    Anaongea Kama ana rap you just want keep listening 👍🏾👍🏾👍🏾

  • @yusuphkidoto6766
    @yusuphkidoto6766 ปีที่แล้ว +4

    Ndugu mtangazaji mtafutee msanii mirror mfanye interview

  • @hezekiahelbertonline6831
    @hezekiahelbertonline6831 ปีที่แล้ว +1

    Bila hata kupepesa macho nafikiria Barnaba Classic atakuwa amekuelewa vizuri 🤔🤔🤔

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 ปีที่แล้ว

    Yes Very good ❤🇧🇮🇧🇮from Burundi in Cape Town

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 ปีที่แล้ว +4

    Ngoma za wakali kwanza nilizinunulia daftari maalum nikaziandika na penseli za rangi 😀

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 ปีที่แล้ว +1

    Big up Joslin

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 ปีที่แล้ว +2

    bonge la interview na joseline

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 ปีที่แล้ว

    Jamaa anaongea fresh sana. Hana majigambo ako ntulivu sana.

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 ปีที่แล้ว +4

    He still got it basing on the response to the questions

    • @Mina.15
      @Mina.15 ปีที่แล้ว +1

      So

  • @tahataly2413
    @tahataly2413 ปีที่แล้ว +1

    Young Dollar Baibe 🔥🔥

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 ปีที่แล้ว +3

    Background sauti ipo juu sana

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 ปีที่แล้ว +3

    DAR24 WALETENI WOTE WAKALI KWANZA TUWASIKIE KWENYE INTERVIEW.

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 ปีที่แล้ว

    Wendoambaye umemkopi blue,,,, hyo style alianza nayo blue nandmn hata kimafanikio blue amekuacha mbali sanaaaaa

  • @kisoso890
    @kisoso890 ปีที่แล้ว +2

    Much respect love ndugu yangu jos

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 ปีที่แล้ว

    Best online Tanzania 🇹🇿

  • @umelamedia
    @umelamedia ปีที่แล้ว

    Interview nzuri

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 ปีที่แล้ว +2

    Anaongea kwa upole kama Onmmy dimples

  • @mudriqbutton8372
    @mudriqbutton8372 ปีที่แล้ว +1

    Ila kwenye dhahabu josline kaua kinoma

  • @imanrogers5309
    @imanrogers5309 ปีที่แล้ว +1

    Jaman nina weza kupata namba za Joslin

  • @rasdaudi4199
    @rasdaudi4199 ปีที่แล้ว

    Peace Peace MAN I Josline#

  • @subzig8521
    @subzig8521 ปีที่แล้ว

    Kiukweli,tu,josline anakipaji kikubwa zaidi ya blue,sema tu blue ana bahati zaidi ya josline,

  • @timoliiisaya3824
    @timoliiisaya3824 ปีที่แล้ว +1

    29;15 hapo ndo kaanza kuzungumzia beef yake na duly😁

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 ปีที่แล้ว +2

    Kingine huruma haina bahati Joslin kuna muda mdomo unaokoa siunaona kina t, I, d mdomo tu ndounauweka kwene game but hamna kitu

  • @adamore854
    @adamore854 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa ni mwenye nidham kubwa ya maongezi.

  • @naseem7188
    @naseem7188 7 หลายเดือนก่อน

    najihisi machozi kunitoka siamini kama leo nimemuona tena msanii ninayempenda josilini nakumbuka mbali sana ,natamani urudi kwenye game nimemiss sana swaga zako mnyamwezi mpaka leo nikiwa na washikaji wa mtaa tunajiita wakali kwanza ,nakuzimia sana mwamba josline song zako tamu mshkaji mmoja ,niite basi ,perfume ,kariakoo nzima

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza ปีที่แล้ว +3

    Jama anaongea kinyamwezi sana kama zamani sehemu zetu za posta enzi hizo duh zilikua swag mwanzo mwisho nimemiss dar yazaman .!!

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 ปีที่แล้ว

      Kwel kabis ezi izo blue alikuwa mkali sana wa izo mambo

  • @Marjeby
    @Marjeby ปีที่แล้ว +16

    Vichwa kama hivi vinepotea kwa mambo ya kisenge senge tu jamaa kama huyu unaweza kumfananisha na msanii kama Konge boy kwenye kona gani?muonekano?kuimba?akili kubwa?kujieleza konde boy haingi kokote but kikubwa kinacho waponza watu kama hawa ni umjini wa kupita kiasi ndio unawapoteza mpaka wana angukia kwenye vitu vya kishamba

    • @travy0110
      @travy0110 ปีที่แล้ว +2

      Kwa nini usimtolee mfano diamond platnumz, mpk umseme tena Kwa kumtaja konde boy... Got yourself discipline.. point unayo Ila don't mention people... F***k.

    • @mwecmapesa3623
      @mwecmapesa3623 ปีที่แล้ว +1

      @@travy0110 😁😁

    • @magdalenapaulo1776
      @magdalenapaulo1776 ปีที่แล้ว

      @@travy0110 sasa huyo Dogo si bange ndo zinafanya watu wamtolee mfano na sio smart huyo Dogo au ulitaka amtolee mfano babaako

    • @travy0110
      @travy0110 ปีที่แล้ว +1

      @@magdalenapaulo1776 angemtolea bwana ako anaekupiga K, ingekuwa poa sana,.. bange zimefanyaje, wasanii wangapi dunian tena wakubwa na wanaheshimika wanakula bangi, na wanafanya vizur.. nkuambie kitu kama ulikuwa ulikuwa hujui wasanii 90% wanavuta bangi,.... Haya huyo mondi aliyekondeana Kwa madawa.. Acha upumbavu mwambie bwana ako akukaze vizur akili ivujie vizur.. na umwambie bwana ako aache Kula bange na yeye, Sawa mage

    • @abelmbilinyi1262
      @abelmbilinyi1262 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaaa✊

  • @uvuvweweonyetenyevwe1348
    @uvuvweweonyetenyevwe1348 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni kabla au baada ya ile aloojiwa na akina maimartha?

  • @Boaz22
    @Boaz22 ปีที่แล้ว

    Dar 24 mlikosa meza ya kuweka vikombe?? Mbona mnatia aibu media kubwa kama yenu jamani..

  • @dismaskimario389
    @dismaskimario389 ปีที่แล้ว

    Tatizo wasanii wengi wa zamani wameshindwa kuendana na kasi ya mabadiliko ya utandawazi, especially from analogy (hard copy) selling system to softcopy au digital selling system. afu wanalalamika sana hawataki kujishusha maisha yaende.

    • @Lky589
      @Lky589 ปีที่แล้ว

      Kuna kitu kipo nyuma Bado hujakijua, haohao waliowafanya tuwajue ndo haohao wanaofanya tuwaone hivo 🙏🙏🙏.

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 ปีที่แล้ว +1

    For sure joh but alichokupa mungu lazima Dunia ijue na mwisho uwezo wa mungu awe mpaka mwisho wa Dunia lkn sio Kwa Hawa Wana damu namini ipo tym yako sahihi ambavyo wewe utatoboa upya ukiachana na wanafiki walokushika mwanzo

    • @faza4023
      @faza4023 ปีที่แล้ว

      Duh bro umeongea point sana..alichokupa MUNGU hakipotei na watu watakujua kwa icho sababu amekupa icho ili uwafikie watu.

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 ปีที่แล้ว +1

    👊

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 ปีที่แล้ว

    Tatizo lake umarekani mwingi ndmn wanaishia kwny madawa2

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 ปีที่แล้ว

    watu alowa-inspire ni:
    Mr. blue, ommy dimpoz na Gosby..

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 4 หลายเดือนก่อน

      Mr blue alianza muziki nakuanza kuonekana kwenye tv kabla ya Joseline

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 4 หลายเดือนก่อน

      @@steveanthon5523 josling ndo wa kwanza kurap kwa mapoz, blue kaiga.. ndo maana dully aliwaeka ktk Dhahabu

  • @hefsibahunkie7376
    @hefsibahunkie7376 ปีที่แล้ว

    when was this?

  • @mphotshoke7760
    @mphotshoke7760 ปีที่แล้ว +4

    🍁🍁✌️🇿🇦

    • @Titointokyo
      @Titointokyo ปีที่แล้ว

      🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 ปีที่แล้ว +2

    Ivi Joseline huyu ndo yule niliemuona Kwa kina juma lokole mbona kama Yuko tofauti na yule

    • @abelmbilinyi1262
      @abelmbilinyi1262 ปีที่แล้ว +1

      Na Mimi ngoja nisubir jibu hapa

    • @godfreysangu8954
      @godfreysangu8954 ปีที่แล้ว

      @@abelmbilinyi1262 Ndo huyu huyu lakini inawezekana kapata watu wazuri wa psychology wamemrudisha kwenye hali ya kujitambua kwa haraka sana. Kapata tiba sahihi na amekubali kubadilika

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 ปีที่แล้ว +1

      Nadhani na kamera pia

    • @goustonefrancisisole2534
      @goustonefrancisisole2534 ปีที่แล้ว

      Ile interview haikuwa planned.... Ilikuwa accident kuonekana karibu na studio.....

  • @robertmodestmushema1297
    @robertmodestmushema1297 ปีที่แล้ว

    I just wish huyu jamaa angetafuta identity yake badala ya kupmbana kumuiga Millard kwa sauti. Evryone has a golden chance to create an new thing in the industry

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 ปีที่แล้ว

      Anaiga mpaka upoaji aisee

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 ปีที่แล้ว

      Ww uoni mapresents wengi walitokea kumuig adam mchov yan iyo ipo ulifany kizuri watu watapenda tu nakuiga

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 ปีที่แล้ว +1

      @@yusuphswai6851 sil kuiga huko sasa yani kumcopy kabisa mtu, ni vizuri kuvutiwa na mtu ila sio kujaribu kua yeye na wewe kua wewe maana huwezi kamwe kua yeye ila utaonekana tu kua unamuiga yeye.

    • @ed3ezekiel388
      @ed3ezekiel388 ปีที่แล้ว

      Kijana ebu fatilia vizur kati ya huyo millad wko na J nan alianza game 😅😅 wakat wakina J wanatamba hii dasalama huyo millad wako alikuwa anatafuta siso sasa unamlinganisha vp na J

    • @ezekielchengula2228
      @ezekielchengula2228 ปีที่แล้ว

      Tone ya Joslin ndiyo hii hii hata kabla ya Millard.

  • @kisoso890
    @kisoso890 ปีที่แล้ว

    Kijana wetu wa Enzi zetu bilcanas

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 ปีที่แล้ว +1

    Madawa ya kulevya mabaya Sana.

  • @imanrogers5309
    @imanrogers5309 ปีที่แล้ว

    Dar 24 naombeni namba za Joslin

    • @dar24media
      @dar24media  ปีที่แล้ว

      Tunaomba utupatie namba yako kupia Instagram 'DM'

    • @uvuvweweonyetenyevwe1348
      @uvuvweweonyetenyevwe1348 ปีที่แล้ว

      @@dar24media hii interview ya lin mazee

  • @allyhabibu1117
    @allyhabibu1117 ปีที่แล้ว

    Mwanetu

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 ปีที่แล้ว +1

    Ongea Sana usikae kimya

  • @thandiweonkhwazi8164
    @thandiweonkhwazi8164 ปีที่แล้ว +2

    Punguzeni sauti ya hako ka mziki kana bore

  • @micahkalume7826
    @micahkalume7826 ปีที่แล้ว

    Collabo yake na Dully & Mr Blue aliua sana uyo mwamba