THE CLASSIC MR BLUE PT 1:MIAKA 23 YA GAME/NLIPIGIKA NKACHUKIA WAANDISHI/KALAPINA POSA ILIKUAJE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Hapana shaka kabisa kua Mr Blue ni moja ya wasanii waliokamilika sana Tanzania akiwa na uwezo wa Ku rap na kuimba ,akiwa amehudumu Game ya Bongo flava kwa zaidi ya miongo miwili mpaka sasa ,katika sehemu hii ya kwanza Mr Blue anaeleza miaka yake ya wali kabisa mpaka kuweza kutoa kazi zake za kwanza na jinsi zilivobadilisha maisha yake kwa ujumla zikiwemo changamoto kubwa

ความคิดเห็น • 85

  • @macknonkibona2401
    @macknonkibona2401 ปีที่แล้ว +6

    Blue moja ya Sifa kubwa yupo real sana anapo hojiwa,ajui coforge mambo.....inavutia sana kwa star kama yeye na ni motivation kwa mastar wengi nchin

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 3 หลายเดือนก่อน

      jamaa una usikivu mno big up

  • @freddiemello7848
    @freddiemello7848 ปีที่แล้ว +14

    huku Kenya watu wa zamani tunakutambua sana kaka..ngoma zako freshy

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kenya upendo ni Mwingi sana

  • @allysaidy1840
    @allysaidy1840 ปีที่แล้ว +13

    Nakumbuka enzi zile nasoma mwlim nyerenyere lazima nipite pale magomeni karibia na oil com kumuona mchizi noma sana...much respect babylon baizer

    • @popperkuch669
      @popperkuch669 ปีที่แล้ว +1

      Good memories

    • @benony1205
      @benony1205 ปีที่แล้ว +1

      Hata mimi Nilikuwa nasoma shule ya karume nyuma ya shule ndio ilikuwa kikundi chao Micharazo

    • @abdiathumani919
      @abdiathumani919 ปีที่แล้ว

      Kweli sula yako sio ngeni yulikua twaangalia wote pale kwa shekh yahya

    • @mtutulaclassic6207
      @mtutulaclassic6207 8 หลายเดือนก่อน

      we jamaa tumesoma wote nini?

    • @allysaidy1840
      @allysaidy1840 8 หลายเดือนก่อน

      Daah inawezekana tukawa tumesoma wote we umemaliza mwaka gani??

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 7 หลายเดือนก่อน +1

    He got energy, memory, smart, vibe then at the same time anautulivu sana, cheki jinsi anavyotulia hapo na kujibu maswali. 🙌🏽🔥

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 ปีที่แล้ว +7

    LEGEND 🔥🔥🔥🎤🎤🔥🔥🎼🎼🔥🔥🔥🎼🎼🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🔥🔥🔥

  • @immastersurvival481
    @immastersurvival481 ปีที่แล้ว +4

    Kuna watu wanafanya interview but you brother una kitu Zaid ya interview brother appreciate you

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  ปีที่แล้ว +5

      Nashukuru sana kaka,Asante kwa kutazama

  • @adrianmseso3261
    @adrianmseso3261 ปีที่แล้ว +3

    Nakubali nyimbo zake mwamba Mr blue pia shukulan zikufikie anko kuvifacts kibonge tozz

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 ปีที่แล้ว +3

    Rapa Bora sana kwangu toka nazaliwa ,blue blue ilinikuta nikiwa form 1 huko chidya boys sekondari mtwara

  • @samirmswahili
    @samirmswahili ปีที่แล้ว +3

    Bonge moja la interview salute bro kuvi

  • @raiswakusini4297
    @raiswakusini4297 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali kamanda wangu Babylon bayser nyani zee

  • @hamzaminja5448
    @hamzaminja5448 ปีที่แล้ว +6

    best presenter of all time

  • @mankwemba3841
    @mankwemba3841 ปีที่แล้ว +2

    We the best rap Tanzania ni Mr blue namkubari sana ❤tu big up Sana blue

  • @humphreymorise
    @humphreymorise ปีที่แล้ว +4

    Nipo mwanzo..sesion ya shule imepita, ningefurahi zaidi kuskia kuhusu uwezo wake Darasani hadi akafaulu shule maalumu Ilboru Arusha

    • @gnso_andrew2471
      @gnso_andrew2471 ปีที่แล้ว

      Kweli?

    • @allysaidy1840
      @allysaidy1840 ปีที่แล้ว +2

      Aliishia form 2 nilisoma nae shule moja hizo nyingine ni story ndugu

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 ปีที่แล้ว +2

    Bonge moja la interview kuwahi kutokea kwa mr blue.

  • @djZezeman
    @djZezeman ปีที่แล้ว +1

    mapozi my favorite love from kenya

  • @baruanimalilo700
    @baruanimalilo700 5 หลายเดือนก่อน

    Bado tunakupenda saaaaaana Mr Blue 💙💙💙💙💙💙

  • @kibakivideos
    @kibakivideos ปีที่แล้ว +2

    Kabaysaa 🔥🔥🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @EllyNhembo
    @EllyNhembo ปีที่แล้ว +2

    Nimekuwa nikiwa naenjoy mzik mzur toka kwako

  • @agyally5127
    @agyally5127 ปีที่แล้ว +1

    Bongee Moja la interview salut saana kuv

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 ปีที่แล้ว +5

    Blue atuchane kuhusu ile ngoma yake na sugu ilikuaje

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaaaa alipokuja aliwasambalatisha matoz wote kipind kile

  • @kwzrvivanHamza
    @kwzrvivanHamza ปีที่แล้ว +2

    Mzee mkubwa kwa hii game❤

  • @khalfanmusa8974
    @khalfanmusa8974 ปีที่แล้ว +2

    Kudadeki ilikua uwe bwamshem blue sema dere ilikua bado yuko chuo😂❤

  • @rugambwaboniface3650
    @rugambwaboniface3650 5 หลายเดือนก่อน

    Kwenye ngoma ya Tabasamu,kuna line amepiga hv nimepata id ya kusambaza kanda,nikapata show za kenya uganda burundi na rwanda,...nimegundua kua ngoma ya mapozi ndo ilimpatia izo shows na zikapelekea kuandika iyo line.

  • @yingsan6757
    @yingsan6757 ปีที่แล้ว +3

    Legendary anazungumza

  • @msumijoe5064
    @msumijoe5064 ปีที่แล้ว +1

    Bysa.. All time.. Player

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 ปีที่แล้ว +1

    Uyu jamaa noma sana Mr bue byser

  • @Abuustar
    @Abuustar ปีที่แล้ว +1

    Mtyu wa watyu uyooh anaga noma

  • @jovincecharles
    @jovincecharles 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu arudi tena kaka kuvi

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 ปีที่แล้ว +5

    Nipeni maua yake Kwa njia ya likes

  • @user-us7mc7ur5y
    @user-us7mc7ur5y 6 หลายเดือนก่อน

    Namkubari Sana huyu mwamba ❤❤❤

  • @makantaafrika
    @makantaafrika ปีที่แล้ว +1

    Safi sana 🙌🏿

  • @user-us7mc7ur5y
    @user-us7mc7ur5y 6 หลายเดือนก่อน

    Legendary music ❤❤❤❤❤

  • @user-io1hm6ed4y
    @user-io1hm6ed4y 7 หลายเดือนก่อน

    Blue mnyama sana unaenjoy interview

  • @maalimzingizi4221
    @maalimzingizi4221 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba sana blue

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 ปีที่แล้ว

    ✊kizaz sana

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 ปีที่แล้ว +1

    >>>Kuvi conscious maswal mazur 🙌

  • @sokastreet
    @sokastreet 8 หลายเดือนก่อน

    Msanii wangu wa muda wote

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 ปีที่แล้ว +2

    Analala kwenye maziwa😂😂

    • @Bbwaoy
      @Bbwaoy 8 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq 7 หลายเดือนก่อน

    Blue mnyama sana

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm ปีที่แล้ว

    Kabaisa

  • @kenyaharmonizebodyguard
    @kenyaharmonizebodyguard ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji nkadhani ni khaligraph Jones 254😅

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 ปีที่แล้ว

    Ngoma yangu kwa Mr blue ni kiss kiss ni bonge moja la ngoma yani😂😂

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 ปีที่แล้ว +1

    Hatari

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 ปีที่แล้ว

    Love u Mr mbue

  • @Rachid_Daudi
    @Rachid_Daudi ปีที่แล้ว

    #LiegeEdward 🔥 🔥 🔥

  • @SirizaufalmewaMungu
    @SirizaufalmewaMungu ปีที่แล้ว

    Mzee umetulia sana kwenye mahojiano

  • @khalfanmusa8974
    @khalfanmusa8974 ปีที่แล้ว

    Iko saw kka

  • @lucasmsogoti3435
    @lucasmsogoti3435 ปีที่แล้ว

    Babylon byser long live blood

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 ปีที่แล้ว +1

    Nlikua nangoja aseme miaka niliyoishi kwenye game imezidi miaka niliyowahi kuishi duniani😄...like tf bro...gademit!!!

  • @valenciatraseas4840
    @valenciatraseas4840 ปีที่แล้ว

    🙌🏻🔥🔥

  • @mwandustar
    @mwandustar ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥

  • @joelyansigary8213
    @joelyansigary8213 8 หลายเดือนก่อน

    Jamaa utoton walikua wananiita mr blue😂

  • @izzoboy
    @izzoboy ปีที่แล้ว

    Naombeni interview plz

  • @sadbimos
    @sadbimos ปีที่แล้ว

    Mwamba alifanya kizazi kipende music...apewe heshima ake tafadhar

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ 7 หลายเดือนก่อน

    Ab skillz na yeye anasema mapozi ilikua yake akampa blue

  • @clemencelamberti1911
    @clemencelamberti1911 ปีที่แล้ว

    Bsbylon bieeeezz

  • @MeastrasElKachelino
    @MeastrasElKachelino ปีที่แล้ว +1

    Mchizi namkumbuka sana, tangia mapozi akiwa mndogo mnyama...! Time flies

  • @promisenyota_
    @promisenyota_ ปีที่แล้ว

    😀😀😀😀😀 eti nimnyang'anye na hii

  • @ncassien
    @ncassien ปีที่แล้ว

    🤝🤝🤝

  • @micahkalume7826
    @micahkalume7826 ปีที่แล้ว

    👍

  • @hadserhood2823
    @hadserhood2823 8 หลายเดือนก่อน

    Mad pack au kagomazi anajiita

  • @dannymachaku8943
    @dannymachaku8943 7 หลายเดือนก่อน

    Kitambo hicho primary school

  • @jacksonkasika
    @jacksonkasika ปีที่แล้ว

    Mapambano yanazidi kusonga mbele unapopgika unajifunza vingi mwiko kukata tamaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊.

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr ปีที่แล้ว

    Bro Kuna haja ya kutuletea father p

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 ปีที่แล้ว

    Dah unyama mwingi sana kwa Baisa

  • @AndrewPaulsr
    @AndrewPaulsr 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @alibadi4325
    @alibadi4325 ปีที่แล้ว

    A

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 ปีที่แล้ว

    Hip Hop family ✊🏿👮🏿

  • @raiswakusini4297
    @raiswakusini4297 ปีที่แล้ว

    Nakubali kamanda wangu Babylon bayser nyani zee

  • @Abuustar
    @Abuustar ปีที่แล้ว

    Mtyu wa watyu uyooh anaga noma