today i miss my country.thats why i am here'.hii nyimbo inanikumbusha my friend and i long time ,we're young i thought 15 birth.,,,natamani nije kutembea lkn nasubiri uchaguzi uishe mana zanzibar wanavurugu kipindi cha uchaguzi,,,by theway this song amaizing 🥰
This song reminds me back in August 1998 when i went to Dar from Mombasa for a wedding and was a hit in the Tashreef Bus. 26 years later........Nnausikiliza mtibiriko
Aaaah....enzi hizo taaaarab ilikua taaaarabu kweeeeeli.....Nyimbo na ujumbeee....Nyimbo kwa mafunzo....kwa kutulia sio fujo za siku hizi......santhaaaa
Bin Seif nakukubali kwa hizi baadhi ya kumbukumbu,ila mm naomba unitafutie na kutuingizia nyimbo zifuatazo..UJANJA NIKUPATA,NAKULIPA WEWE KESHI za Melody za zamani hizo,na old taarabi ni UJANA UMEPITA KAMA MOSHI na SALAMU KANISALIMIE,nyengine nikikumbukaa inshallah
ama leo umenikosha hasa roho yng bin seif hii nyimbo imenikumbusha mbali sana nawakumbu m.mungu awarehem lamania shaaban haji mohd ilitamba sn hi ngoma iko huku ila plz imalizie kipande chengine cha mwisho
Hichi kibao kinanikumbushaa enzi zile.saa 8 kipindi cha burudani dah unakata wali ndondo huku.kibao kikitiririka ukimaliza tu unabeba kijizuu chuoni,,,,dah mitaaa yote Waikiliza radio enzi zile bana
today i miss my country.thats why i am here'.hii nyimbo inanikumbusha my friend and i long time ,we're young i thought 15 birth.,,,natamani nije kutembea lkn nasubiri uchaguzi uishe mana zanzibar wanavurugu kipindi cha uchaguzi,,,by theway this song amaizing 🥰
Kuna nyimbo ukisizisiza unahisi tuu kulia kwa kumbukumbu za wapendwa wetu walotuacha...Mungu awalaze pema kwenye wema.
Ameen....11 years ago....imagine....ata sitamani kumbuka dem days jamani....When songs were songs...when mapenzi yalikua ya dhati....aah..........
This song reminds me back in August 1998 when i went to Dar from Mombasa for a wedding and was a hit in the Tashreef Bus. 26 years later........Nnausikiliza mtibiriko
Lungha safi, sauti murua, vyombo vimepangika na ujumbe wajitokeza waziwazi. Wahisi wamuona umpendae akicheza kufuata mdundo. Kweli huu ni mtibwiriko.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
safi sanaaa long time nimetafuta huu wimbo.... Santa sanaaa..... huo mtitigo huo huo mwondoko huo...
Aaaah....enzi hizo taaaarab ilikua taaaarabu kweeeeeli.....Nyimbo na ujumbeee....Nyimbo kwa mafunzo....kwa kutulia sio fujo za siku hizi......santhaaaa
Mshallah wimbo Bado unamvuto
Dahh chozi acha lidondoke nakumbuka mbali Sana miss you Zanzibar love you
Uko juu hatari fire mama mwanahawa ally naipenda mipasho yako.
Bin Seif nakukubali kwa hizi baadhi ya kumbukumbu,ila mm naomba unitafutie na kutuingizia nyimbo zifuatazo..UJANJA NIKUPATA,NAKULIPA WEWE KESHI za Melody za zamani hizo,na old taarabi ni UJANA UMEPITA KAMA MOSHI na SALAMU KANISALIMIE,nyengine nikikumbukaa inshallah
johari abdalla hahaha
Hii nyimbo nzuri jamani ❤❤
ama leo umenikosha hasa roho yng bin seif hii nyimbo imenikumbusha mbali sana nawakumbu m.mungu awarehem lamania shaaban haji mohd ilitamba sn hi ngoma iko huku ila plz imalizie kipande chengine cha mwisho
Kwako mambo sokomoko kwangu Mimi mambo poa namuonesha mambo kayaona mambo, kayaona mambo bado hajayaona 😍😍
Bin self Naomba ule wimbo Umekuwa Lod ume beba beg Tuletee kaka
hiyo tarab iko huku in mujarab has a bin seif inanikumbusha mbali sana
Umekewaaa nyooooo
old is gold. September 2020
Waooooh mziki na maneno tamuuuu yani weeee acha tuuuu poa moyo.
Aisha Oman kaja ngoma iko huku
aiii weweeee. mwaona ngoma iko uku.mama mama mamaaaeee. long time.
Bin seif una tukumbusha yaliyopita kale. kweli vyakale dhahabu. kama ipo kipendacho moyo iweke
Daah miaka imeenda 10 2019
Unacheza bila jasho kidogodogo zanzibar kwishaaaa
Eeeh bna hii kitu ni noma
mashallah................alhabib,,,,.....kitu muruwa mpaka ndani yamyyyyyyyyyyyyo
Bin seif nakuomba utuwekee umeyatupa mwenzangu umeyatupa iliyoimbwa na zuhura shaabani
Comments zenu ni za zamani pia....11yrs..6yrs..4yrs....Mungu awaweke nyote
Wanikumbusha mbali sana
Hichi kibao kinanikumbushaa enzi zile.saa 8 kipindi cha burudani dah unakata wali ndondo huku.kibao kikitiririka ukimaliza tu unabeba kijizuu chuoni,,,,dah mitaaa yote Waikiliza radio enzi zile bana
Aisha Oman kayaona mambo bado haja yaona naneno matamu vyombo vimetulia na ujumbe umewafikia
Mtwibiriko 2019
Hii albam ilikuwa inaitwaje jamani naitafuta mpaka leo
Ngoma iko huku ndio jina la album yenyewe
Masha Allah wimbo huu unanikumbusha mbali
Teynaa zamani sana !
Tena zamani sana!
Ahsanthaaaa Maaaaaaa! Wakat bana lol!
nipo ndani ya oman naisikiliza kitu kinanikumbusha mbali kabisa toka kigori nipooooo
Bin Seif saa nane ikifika utaijua na wakati wa chuoni utaujua kiukweli nzuri love Zanzibar
Safisana
R kikolo
ongela bimwana hawa
Bin seif uko wp wimbo kumbe madoidoi kumbe maidoido ya mwanahawa tuekee tujikumbushe
Hii ndio sauti ya mwanamke
yakale zahabu bwana
ll
MAMA MAMA MAMAEE
Mama maahallah
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😘😍😍😘😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍