NABII MKUU AWAPATIA MILIONI 4 YA CHAKULA CHA MCHANA WATUMISHI WA MUNGU WANNE WAGENI - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Wakusujudiwa ni Mungu peke yake, Mungu wasamehe watu Hawa.
Nimekua nafuatilia kazi za Nabii mkuu ukweli kutoka moyoni hapa sio unatafuta waumini ila unasaidia watu kiroho na kimwili so acha Mungu aendelee kukutumia Baba yetu
Hiv mmemsikia akitaja jina la Yesu Kristo mwana wa Mungu alie hai juu mbingun au tunasikia Mungu tuu
Pungusa umalaya wamdomo kama hujamuelewa mtu nyamasa kuliko kuropoka
Acha kumsifia sana binadamu mshukuru mungu huyo sio mungu wa nabii ni mungu wa kila mtu kumsujudia binadamu ni kumkosea mungu nabii ashukuliwe kwa kazi yake!
"ANUANI SAHIHI"
Uuu jesus nabii naitwa pastor dani kutoka kenya nimepigwa sana naomba msadaa hili nifanikishe huduma yangu naisi kutumikia bwana
Amina nabii unampizani duniani naomba kibali Cha kuimba hapo kanisani kwako
Mungu ee mungu wasamehe watanzania kuwasujudia wanadamu na kumwacha mungu kunaleta laana juu yenu tubuni maana yesu analudi acheni kuabudu miungu
Mmh😊
Mungu akubariki Sana Sana Mtumishi
Baba mungu akubariki hii huduma inaisha shetani anatetemeka
MUNGU akulinde mtumishi wa MUNGU,uzidi kutubarikia maisha yetu.
And you are the one who serves God well enough, I love you saying your message and I love you,
Iam blessed,pia nami natamani Sana nifike nikamuone prophet
Ur God is my God since I ever knew you dady
Jamani Mungu akubariki sana baba. Watumishi naombeni no ya baba
Mungu akubariki sana geodavie kwa upendo wa kusaidia binadamu ufunguliwe
Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukuhifadhi nabii ,ubarikiwe
Mimi ni Apostle Joseph Itangishaka kutoka Burundi najiunganisha na mazababu ya NGURUMO YA UPAKO. Nakuja Arusha nionane na Baba
Mungu ni mwema sana baba
God bless you Chief Prophet spokesperson of God's Kingdom on Earth.
Nam najiungamanisha na mathabau hii kwa jina la yesu
God bless u pastor
Am from kenya,be been following the service since 2018,I ve been looking the number of Daddy but ve failed to get it,I love your services Baba may God bless you 🙏🙏🙏
Am blest lovely message thank you
Amen mtumshi wa Mungu napokea ukuu wa Mungu....kupitia madhabahu ya yako
Natamani huo upako uguze maisha yako na huduma baba tamuka neno kwangu
Amina mtumishi
GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY
Kwamara ya kwanza naguswa thank you lord
Ameeennnnnn
NABARIKIWA NAWW BABA,JAMANI NAITAJI NAMBA YA NABII MKUU.
Baba Geordavie Mungu akubariki
I m Muslim but one day tatembelea hio madhabaho napenda sana confidance ya nabii dr geodavie
Unakwenda kufanya nini? We si mwislam
Usi jalibu hata kidogo wew mu islam
@@pilimusa3217 Yesu Alikuja kwa wote
Umenigusa mungu akubariki.
God bless you Pst for the great job
Adui zangu wawe adui za mungu amina
Prophet nabii mkuu tunaomba balaka zenu Baba nambao hatuna uwezo wakukugikia baba tunakuomba baba tusaidie baba.🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amina
Emungu naomba nifungulie kwa jina la yesu maisha yangu yawe mepes
Huwa namfatiria Sana baba natamani japo niongee nae tu kwa simu kwasababu kwa uwezo wangu mdogo siwezi kumfika au nipate namba zake
May God bless you
Hayo maisha ya pesa na Mungu ni mbalimbali,halafu nywele bandia,lip stick na vipodozi mbalimbali,jiepusheni na tamaa za mambo ya dunia.
Wewe ni msa bato
@@furahinimbwambo si msabato bali ni maandiko ya Biblia. Wachungaji wengi wanajifanya kuvaa miwani ya mbao wakifika kwenye vifungu hivyo kwani wake zao wanavaa kinyume na maandiko,hivyo wanashindwa waanzeje kukemea waumini?
😂😂 Make hapo kwanza nicheke Pesa na MUNGU ni mbalimbali?Kwa wale wasomaji wa Biblia mnisaidie kuna mahal Yesu amewatuma wanafunzi wake wakatoe pesa kwenye tumbo la samaki hii imekaaje sio kwamba na yeye alikuwa na akaunti zake kwa kipindi hicho.
@@salmampinga4995 ndiyo maana alisema wakachukue kwa samaki,maana yake yeye hakuwa na pesa na pesa haimfikishi mtu mbinguni,na pesa hiyo ilichukuliwa ili kulipia Kodi kwa kaisari. Na ndiyo maana alisema; ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaisari. Nadhani umeelewapo
Ooooh! Kumbe hazikuwa za kwake😅
Amina najiungamanisha
Mwenye roho ya kinabii huwatii manabii nami napokea roho hiyo kupitia ww mtumishi wa Mungu.
Asante sana kwa msada wako na mungu aenderee kukubariki🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 ubarikiwe sana Nina taamani nikuone sku moja!!
Baba G Kwakweli mwaka huu umejitahidi mno,
God Bless Nabii Heri kutoa nasiyo kupokea
Tumfahamu Mungu wa kweli sio mungu wa watu
Naomba mawasiliamo tafadhali ni Mary kutoka Kenya
Sanaa na usanii
Una uhakika na unachoandika au unakariri vitu
I love you Dady
TUSAIDIE YESU
Nakupata nabii mkuu.nipo msumbiji naomba nisaidie maombi mengi nifunguliwe maisha yangu.amen,,,
Naomba uniombe changamoto zimenipata nisaidie n unibariki n kazi
Naelewa jinsi unavyo ona shida zawengine pia waona zangu niokoe pia nami
Hongera nabii mkuu Mimi naitwa Caroline nakaa shinyanga naangalia sana mahubiri yako nayafurahia sana ila siwezi kuja sina .mguu nimekatwa ila nakuangalia muda wrote pia nafurahi kuona unasaidia watu sana usiniache Mimi nabii mkuu
Mungu naomba utufunue macho tulio vipofu maana watt wako tunazidi kupotea...na hii njaa ndio itawamaliza watu kabisa...
Mungu anitie nguvu siku moja nitafanikiwa Kufka kanisan kwako baba ili nijione wa Thamani mbele za mungu
Daaah! I feel crying kwa kweli Mtumishi wa Mungu... Mungu azidi kukuinua mataifa yote yafahamu ukuu wa Mungu uliopo ndani yako Amen
Daddy 🥰❤️🙏🙏Hakuna kama wewe upo kwaajili yangu.
Hakunaa kama nani?🙂
Hakuna kama Baba yangu Nabii Mkuu Dr Geordavie upooo kaa kwa kutulia bro ukiona haikuhusu pita hivi ndiyo maana nimesema Yuko kwa ajili yangu sikujumlisha na shida zako.
Nabii mkuu mi nakukubali sana
Manabii na watumishi wote natamani Sanaa wajifunze moyo wa nabii mkuu sio Kama baba anazo Sana Ila Ni moyo tu waupendo natamani kufika siku moja kwa baba
Ameen God bless more, Nabii mkuu,
Hahhhaaaa jina kuu la Yesu Kristo lipitalo majina yote halitajwi hapa... I'm shocked!!
Naomba niache pombe kwa jina payesu na omba kwa iman
Mungu wa Ngurumo ya Upako nikumbuke na Mimi
Mmmmmmh MH aya
Yupo vizur
Amina Baba nabii mkuu
Nafatilia sana huduma zako baba
Amen
am Joel form Kenya I need your help
Thanks nabii
Akika uyu ni mwana wa mungu natamani siku moja nimuone ata nipate kumshika mkona wake
Watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa...mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikiii
Jamani mwenyewe natamani Sana kuponywa nauyo nb
Mungu wa ngurumo ya upako naomba nikumbuke😭😭😭nami siku nishuudie
Ntafika hpo cku moja.
siku hizo wengi watakuja kwajina langu, angaliyeni msije mka danganywa, sasa hivi kuna kuwa miyungu mahali mengi tofauti.
Ameni
Amen 👏👏👏
Bora nabii kuliko wachungaji wanafiki
Mungu tukumbuke ni siku za mwisho kalibu unaludi kwa Mala ya pili okoa watu wako baba wamecha kukutwgemea wewe wanabud binadamu kama wakina gr devid wanao jiita manabii wakuuu eee Mungu tukumbuke
Huyu dada malaya2 tena anapenda wanaume wenye pesa na sio wenye mapenzi ya kwel
Unamtukana kwa kuwa si ndugu yako
Mnajuana?
Katafute Chanel ya kupeleka makasiriko yako sio hapa tafuta na wewe hela akufate
Muhifadhi bac
@@zimanigervas7281 yan
Hao walinzi na miwani myeusi wa nini?
Amen Amen Amen wow
Daaah Eeh Mungu😥🤲🙏
Bwana asifiwe mtumishi naitwa Nelson Brydon naomba uniombe nipate kazi kwasababu kazi ninayofanya ayinipi nafasi yakwenda kanisani kbsa ninafanya you kauko naomba maombi yako niko dar salaam
Nabii Mkuu🙏
Unawapoteza
Mimi Nina swali,kutokana na Imani yetu ya kikristo tangu nianze kumfatilia huyu nabii sijawai kusikia akiomba na akamaliza kwakutaja jina la Yesu wakati ndivyo baba Mungu mwenyew ametuelekeza lolot tuliombalo kupitia Jana la Yesu tutapewa.naomba mnisaidie kwa ilo please
Huyu anaitumikia nguvu nyingine ndio maana hajifungamanishi na jina hilo
Mathayo 6:1-2
Da!! So painfully
Ameen
Jamani yesu akiludi tutaelewa yote hayo yaliyofichika mahali pa giza nene
Kweli geordavie ninoma wanakuja wenyewe kusalenda
Kwan mkifika lazima mlie shida jaman! MBONA mtamaliza hela za baba wa watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli kabisa
😂😂😂😂🙌🙌
Mmh siriously
😁😁😁
Nipo tanga nabii mkuu na kufuatilia sana nipo mbioni kufika kwako Ngomeni nabii wangu,nahitaji kufunguliwa kwani nimefungwa kila upande nisaidie baba.
Umefika kwa Musemaji wa God's Government kingdom,huyo ndiyo DR GeorDavie NABII mkuu anatenda Yale ambayo hata ulimwengu wote unamujuwa....Mimi ni chawa wake hapa ZAMBIA
Mungu mwema hakika
Naomba kujua huyo nabii anapatikana wapi?
Arusha
Shika Sana ulichonacho
Watanzania tunakwenda wap watumishi mnapenda pesa kuliko nenola Mungu
Pesa pesa pesa
Yani mtu anapokea ibada,nawakati ni mmoja tu anayepaswa kupewa ibada,unaacha kushughulikia roho za watu ,badala yake unafanya mambo ya mwilini tu Mungu atashughulika na wewe.
Aanze kukushughulikia wewe aanze na wewe,unayehukumu
miminibinadamutenamasikinisinachakukupababailakukuombeyamunguakuongezeyesikuzakozamaishanafamiliyayako