NABII MKUU AWAPATIA MILIONI 4 YA CHAKULA CHA MCHANA WATUMISHI WA MUNGU WANNE WAGENI - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 170

  • @yudathadecostantine926
    @yudathadecostantine926 2 ปีที่แล้ว +3

    Wakusujudiwa ni Mungu peke yake, Mungu wasamehe watu Hawa.

  • @greysonmarithin2856
    @greysonmarithin2856 ปีที่แล้ว +2

    Nimekua nafuatilia kazi za Nabii mkuu ukweli kutoka moyoni hapa sio unatafuta waumini ila unasaidia watu kiroho na kimwili so acha Mungu aendelee kukutumia Baba yetu

  • @chazdd1943
    @chazdd1943 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiv mmemsikia akitaja jina la Yesu Kristo mwana wa Mungu alie hai juu mbingun au tunasikia Mungu tuu

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 5 หลายเดือนก่อน

      Pungusa umalaya wamdomo kama hujamuelewa mtu nyamasa kuliko kuropoka

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 2 ปีที่แล้ว +3

    Acha kumsifia sana binadamu mshukuru mungu huyo sio mungu wa nabii ni mungu wa kila mtu kumsujudia binadamu ni kumkosea mungu nabii ashukuliwe kwa kazi yake!

  • @apostlewakili9378
    @apostlewakili9378 ปีที่แล้ว

    Uuu jesus nabii naitwa pastor dani kutoka kenya nimepigwa sana naomba msadaa hili nifanikishe huduma yangu naisi kutumikia bwana

  • @kasyaniTv
    @kasyaniTv 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina nabii unampizani duniani naomba kibali Cha kuimba hapo kanisani kwako

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ee mungu wasamehe watanzania kuwasujudia wanadamu na kumwacha mungu kunaleta laana juu yenu tubuni maana yesu analudi acheni kuabudu miungu

  • @navysanga4245
    @navysanga4245 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana Sana Mtumishi

  • @rogersgodwin5439
    @rogersgodwin5439 4 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu akubariki hii huduma inaisha shetani anatetemeka

  • @juliuskipande8890
    @juliuskipande8890 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akulinde mtumishi wa MUNGU,uzidi kutubarikia maisha yetu.

  • @NdihokubwayoSimeon-zd5db
    @NdihokubwayoSimeon-zd5db 4 หลายเดือนก่อน

    And you are the one who serves God well enough, I love you saying your message and I love you,

  • @mosesmakupe6076
    @mosesmakupe6076 2 ปีที่แล้ว +1

    Iam blessed,pia nami natamani Sana nifike nikamuone prophet

  • @idrisajukulu2637
    @idrisajukulu2637 2 ปีที่แล้ว +2

    Ur God is my God since I ever knew you dady

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Mungu akubariki sana baba. Watumishi naombeni no ya baba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana geodavie kwa upendo wa kusaidia binadamu ufunguliwe

  • @rens6841
    @rens6841 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukuhifadhi nabii ,ubarikiwe

  • @suavisndayizeye5732
    @suavisndayizeye5732 ปีที่แล้ว

    Mimi ni Apostle Joseph Itangishaka kutoka Burundi najiunganisha na mazababu ya NGURUMO YA UPAKO. Nakuja Arusha nionane na Baba

  • @kelvindaudi2107
    @kelvindaudi2107 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema sana baba

  • @frankmwakajila4652
    @frankmwakajila4652 2 ปีที่แล้ว +3

    God bless you Chief Prophet spokesperson of God's Kingdom on Earth.

    • @saramtei4371
      @saramtei4371 2 ปีที่แล้ว

      Nam najiungamanisha na mathabau hii kwa jina la yesu

  • @ElizabethMtambo-pv2ql
    @ElizabethMtambo-pv2ql ปีที่แล้ว

    God bless u pastor

  • @mwanjatabitha6554
    @mwanjatabitha6554 2 ปีที่แล้ว +2

    Am from kenya,be been following the service since 2018,I ve been looking the number of Daddy but ve failed to get it,I love your services Baba may God bless you 🙏🙏🙏

  • @samuelmusyoki851
    @samuelmusyoki851 2 ปีที่แล้ว

    Am blest lovely message thank you

  • @juliussanka9917
    @juliussanka9917 2 ปีที่แล้ว

    Amen mtumshi wa Mungu napokea ukuu wa Mungu....kupitia madhabahu ya yako

  • @jamesmugo4258
    @jamesmugo4258 2 ปีที่แล้ว

    Natamani huo upako uguze maisha yako na huduma baba tamuka neno kwangu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 ปีที่แล้ว +1

    GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY

  • @frankfitiaelmbise9682
    @frankfitiaelmbise9682 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwamara ya kwanza naguswa thank you lord

  • @jacksonmagolwa8437
    @jacksonmagolwa8437 2 ปีที่แล้ว +1

    NABARIKIWA NAWW BABA,JAMANI NAITAJI NAMBA YA NABII MKUU.

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba Geordavie Mungu akubariki

  • @ibranoahngidange5909
    @ibranoahngidange5909 2 ปีที่แล้ว +2

    I m Muslim but one day tatembelea hio madhabaho napenda sana confidance ya nabii dr geodavie

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 ปีที่แล้ว

      Unakwenda kufanya nini? We si mwislam

    • @abdulrazakzakaria300
      @abdulrazakzakaria300 2 ปีที่แล้ว +2

      Usi jalibu hata kidogo wew mu islam

    • @chaomadedo
      @chaomadedo 2 ปีที่แล้ว

      @@pilimusa3217 Yesu Alikuja kwa wote

  • @susanmutisya1092
    @susanmutisya1092 2 ปีที่แล้ว +1

    Umenigusa mungu akubariki.

  • @ruwaruwa5245
    @ruwaruwa5245 2 ปีที่แล้ว

    God bless you Pst for the great job

  • @thadeothobiastharimo9774
    @thadeothobiastharimo9774 2 ปีที่แล้ว +1

    Adui zangu wawe adui za mungu amina

  • @franksean842
    @franksean842 2 ปีที่แล้ว +1

    Prophet nabii mkuu tunaomba balaka zenu Baba nambao hatuna uwezo wakukugikia baba tunakuomba baba tusaidie baba.🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @platinikabeymutomb9561
    @platinikabeymutomb9561 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @thadeothobiastharimo9774
    @thadeothobiastharimo9774 2 ปีที่แล้ว

    Emungu naomba nifungulie kwa jina la yesu maisha yangu yawe mepes

  • @nashonmwinuka1758
    @nashonmwinuka1758 2 ปีที่แล้ว +1

    Huwa namfatiria Sana baba natamani japo niongee nae tu kwa simu kwasababu kwa uwezo wangu mdogo siwezi kumfika au nipate namba zake

  • @mahinditv342
    @mahinditv342 2 ปีที่แล้ว

    May God bless you

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว +3

    Hayo maisha ya pesa na Mungu ni mbalimbali,halafu nywele bandia,lip stick na vipodozi mbalimbali,jiepusheni na tamaa za mambo ya dunia.

    • @furahinimbwambo
      @furahinimbwambo 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ni msa bato

    • @josephmusagasa5566
      @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว +1

      @@furahinimbwambo si msabato bali ni maandiko ya Biblia. Wachungaji wengi wanajifanya kuvaa miwani ya mbao wakifika kwenye vifungu hivyo kwani wake zao wanavaa kinyume na maandiko,hivyo wanashindwa waanzeje kukemea waumini?

    • @salmampinga4995
      @salmampinga4995 2 ปีที่แล้ว

      😂😂 Make hapo kwanza nicheke Pesa na MUNGU ni mbalimbali?Kwa wale wasomaji wa Biblia mnisaidie kuna mahal Yesu amewatuma wanafunzi wake wakatoe pesa kwenye tumbo la samaki hii imekaaje sio kwamba na yeye alikuwa na akaunti zake kwa kipindi hicho.

    • @josephmusagasa5566
      @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว

      @@salmampinga4995 ndiyo maana alisema wakachukue kwa samaki,maana yake yeye hakuwa na pesa na pesa haimfikishi mtu mbinguni,na pesa hiyo ilichukuliwa ili kulipia Kodi kwa kaisari. Na ndiyo maana alisema; ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaisari. Nadhani umeelewapo

    • @salmampinga4995
      @salmampinga4995 2 ปีที่แล้ว

      Ooooh! Kumbe hazikuwa za kwake😅

  • @queenbby92
    @queenbby92 2 ปีที่แล้ว

    Amina najiungamanisha

  • @michaelpamba7570
    @michaelpamba7570 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye roho ya kinabii huwatii manabii nami napokea roho hiyo kupitia ww mtumishi wa Mungu.

    • @tarasisihatungimana4242
      @tarasisihatungimana4242 ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa msada wako na mungu aenderee kukubariki🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 ubarikiwe sana Nina taamani nikuone sku moja!!

  • @drtobias_
    @drtobias_ 2 ปีที่แล้ว

    Baba G Kwakweli mwaka huu umejitahidi mno,

  • @dalalivyumbatz
    @dalalivyumbatz 2 ปีที่แล้ว +1

    God Bless Nabii Heri kutoa nasiyo kupokea

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 2 ปีที่แล้ว

    Tumfahamu Mungu wa kweli sio mungu wa watu

  • @cunthichthia5697
    @cunthichthia5697 2 ปีที่แล้ว

    Naomba mawasiliamo tafadhali ni Mary kutoka Kenya

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 ปีที่แล้ว +3

    Sanaa na usanii

    • @zimanigervas7281
      @zimanigervas7281 2 ปีที่แล้ว +1

      Una uhakika na unachoandika au unakariri vitu

  • @queenbby92
    @queenbby92 2 ปีที่แล้ว +1

    I love you Dady

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 2 ปีที่แล้ว +1

    TUSAIDIE YESU

  • @venancjoseph1498
    @venancjoseph1498 2 ปีที่แล้ว

    Nakupata nabii mkuu.nipo msumbiji naomba nisaidie maombi mengi nifunguliwe maisha yangu.amen,,,

    • @sharonmunyiva9865
      @sharonmunyiva9865 2 ปีที่แล้ว

      Naomba uniombe changamoto zimenipata nisaidie n unibariki n kazi

    • @sharonmunyiva9865
      @sharonmunyiva9865 2 ปีที่แล้ว

      Naelewa jinsi unavyo ona shida zawengine pia waona zangu niokoe pia nami

  • @carokaseka7857
    @carokaseka7857 ปีที่แล้ว

    Hongera nabii mkuu Mimi naitwa Caroline nakaa shinyanga naangalia sana mahubiri yako nayafurahia sana ila siwezi kuja sina .mguu nimekatwa ila nakuangalia muda wrote pia nafurahi kuona unasaidia watu sana usiniache Mimi nabii mkuu

  • @stevemwandambo587
    @stevemwandambo587 ปีที่แล้ว +1

    Mungu naomba utufunue macho tulio vipofu maana watt wako tunazidi kupotea...na hii njaa ndio itawamaliza watu kabisa...

  • @doctorphonessolutiontz7075
    @doctorphonessolutiontz7075 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu anitie nguvu siku moja nitafanikiwa Kufka kanisan kwako baba ili nijione wa Thamani mbele za mungu

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 2 ปีที่แล้ว

    Daaah! I feel crying kwa kweli Mtumishi wa Mungu... Mungu azidi kukuinua mataifa yote yafahamu ukuu wa Mungu uliopo ndani yako Amen

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 2 ปีที่แล้ว +2

    Daddy 🥰❤️🙏🙏Hakuna kama wewe upo kwaajili yangu.

    • @evangelist_gaitani
      @evangelist_gaitani 2 ปีที่แล้ว

      Hakunaa kama nani?🙂

    • @salmampinga4995
      @salmampinga4995 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna kama Baba yangu Nabii Mkuu Dr Geordavie upooo kaa kwa kutulia bro ukiona haikuhusu pita hivi ndiyo maana nimesema Yuko kwa ajili yangu sikujumlisha na shida zako.

  • @JamesG-nm5xu
    @JamesG-nm5xu ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu mi nakukubali sana

  • @samwelnuru6571
    @samwelnuru6571 2 ปีที่แล้ว +3

    Manabii na watumishi wote natamani Sanaa wajifunze moyo wa nabii mkuu sio Kama baba anazo Sana Ila Ni moyo tu waupendo natamani kufika siku moja kwa baba

  • @peterswai391
    @peterswai391 2 ปีที่แล้ว

    Ameen God bless more, Nabii mkuu,

  • @successconcious703
    @successconcious703 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahhhaaaa jina kuu la Yesu Kristo lipitalo majina yote halitajwi hapa... I'm shocked!!

  • @thadeothobiastharimo9774
    @thadeothobiastharimo9774 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba niache pombe kwa jina payesu na omba kwa iman

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wa Ngurumo ya Upako nikumbuke na Mimi

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmmh MH aya

  • @bahatisinkamba991
    @bahatisinkamba991 8 หลายเดือนก่อน

    Yupo vizur

  • @evachuw8092
    @evachuw8092 2 ปีที่แล้ว

    Amina Baba nabii mkuu

  • @shafiirajabu4521
    @shafiirajabu4521 2 ปีที่แล้ว

    Nafatilia sana huduma zako baba

  • @eliasamwel885
    @eliasamwel885 3 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @joeloluoch7270
    @joeloluoch7270 2 ปีที่แล้ว +1

    am Joel form Kenya I need your help

  • @felixtchibambe2208
    @felixtchibambe2208 2 ปีที่แล้ว

    Thanks nabii

  • @vitalisnyagali2774
    @vitalisnyagali2774 2 ปีที่แล้ว +1

    Akika uyu ni mwana wa mungu natamani siku moja nimuone ata nipate kumshika mkona wake

  • @PFD123
    @PFD123 2 ปีที่แล้ว +1

    Watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa...mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikiii

  • @naomishimwela4093
    @naomishimwela4093 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mwenyewe natamani Sana kuponywa nauyo nb

  • @rens6841
    @rens6841 ปีที่แล้ว

    Mungu wa ngurumo ya upako naomba nikumbuke😭😭😭nami siku nishuudie

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo7154 2 ปีที่แล้ว

    Ntafika hpo cku moja.

  • @banzamukalay5396
    @banzamukalay5396 2 ปีที่แล้ว +1

    siku hizo wengi watakuja kwajina langu, angaliyeni msije mka danganywa, sasa hivi kuna kuwa miyungu mahali mengi tofauti.

  • @NabiisasitaKomesh
    @NabiisasitaKomesh หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @pendocharopendo9559
    @pendocharopendo9559 2 ปีที่แล้ว

    Amen 👏👏👏

  • @bahatisinkamba991
    @bahatisinkamba991 8 หลายเดือนก่อน

    Bora nabii kuliko wachungaji wanafiki

  • @assayusuph3295
    @assayusuph3295 ปีที่แล้ว

    Mungu tukumbuke ni siku za mwisho kalibu unaludi kwa Mala ya pili okoa watu wako baba wamecha kukutwgemea wewe wanabud binadamu kama wakina gr devid wanao jiita manabii wakuuu eee Mungu tukumbuke

  • @mo_hustler9099
    @mo_hustler9099 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu dada malaya2 tena anapenda wanaume wenye pesa na sio wenye mapenzi ya kwel

  • @tcplcsimba4369
    @tcplcsimba4369 2 ปีที่แล้ว +1

    Hao walinzi na miwani myeusi wa nini?

  • @levinahmuspeka3952
    @levinahmuspeka3952 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen Amen wow

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina7627 2 ปีที่แล้ว

    Daaah Eeh Mungu😥🤲🙏

  • @OMBENIURASSA100
    @OMBENIURASSA100 2 ปีที่แล้ว +3

    Bwana asifiwe mtumishi naitwa Nelson Brydon naomba uniombe nipate kazi kwasababu kazi ninayofanya ayinipi nafasi yakwenda kanisani kbsa ninafanya you kauko naomba maombi yako niko dar salaam

  • @patrickmwaki6042
    @patrickmwaki6042 2 ปีที่แล้ว

    Nabii Mkuu🙏

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 2 ปีที่แล้ว

    Unawapoteza

  • @levislwamba9626
    @levislwamba9626 2 ปีที่แล้ว

    Mimi Nina swali,kutokana na Imani yetu ya kikristo tangu nianze kumfatilia huyu nabii sijawai kusikia akiomba na akamaliza kwakutaja jina la Yesu wakati ndivyo baba Mungu mwenyew ametuelekeza lolot tuliombalo kupitia Jana la Yesu tutapewa.naomba mnisaidie kwa ilo please

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 ปีที่แล้ว

      Huyu anaitumikia nguvu nyingine ndio maana hajifungamanishi na jina hilo

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991 2 ปีที่แล้ว

    Mathayo 6:1-2

  • @happykisarika1337
    @happykisarika1337 2 ปีที่แล้ว

    Da!! So painfully

  • @peterswai391
    @peterswai391 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani yesu akiludi tutaelewa yote hayo yaliyofichika mahali pa giza nene

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli geordavie ninoma wanakuja wenyewe kusalenda

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwan mkifika lazima mlie shida jaman! MBONA mtamaliza hela za baba wa watu

  • @neemakipande5564
    @neemakipande5564 ปีที่แล้ว +1

    Nipo tanga nabii mkuu na kufuatilia sana nipo mbioni kufika kwako Ngomeni nabii wangu,nahitaji kufunguliwa kwani nimefungwa kila upande nisaidie baba.

  • @kenneth.m.siwale9699
    @kenneth.m.siwale9699 2 ปีที่แล้ว +3

    Umefika kwa Musemaji wa God's Government kingdom,huyo ndiyo DR GeorDavie NABII mkuu anatenda Yale ambayo hata ulimwengu wote unamujuwa....Mimi ni chawa wake hapa ZAMBIA

  • @elliyalapiyadaleghi5892
    @elliyalapiyadaleghi5892 2 ปีที่แล้ว

    Mungu mwema hakika

  • @rosemarry2020
    @rosemarry2020 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kujua huyo nabii anapatikana wapi?

  • @lovenessmaiko2584
    @lovenessmaiko2584 2 ปีที่แล้ว +1

    Shika Sana ulichonacho

  • @josephlyimo6968
    @josephlyimo6968 2 ปีที่แล้ว +1

    Watanzania tunakwenda wap watumishi mnapenda pesa kuliko nenola Mungu

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 2 ปีที่แล้ว

    Pesa pesa pesa

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani mtu anapokea ibada,nawakati ni mmoja tu anayepaswa kupewa ibada,unaacha kushughulikia roho za watu ,badala yake unafanya mambo ya mwilini tu Mungu atashughulika na wewe.

    • @zimanigervas7281
      @zimanigervas7281 2 ปีที่แล้ว +1

      Aanze kukushughulikia wewe aanze na wewe,unayehukumu

  • @BeatriceFlorina
    @BeatriceFlorina ปีที่แล้ว +1

    miminibinadamutenamasikinisinachakukupababailakukuombeyamunguakuongezeyesikuzakozamaishanafamiliyayako