Ebwanee mm nimemnukuu ndugu yangu akisema mwanzo alikua akibisha kua Mungu hakuna hila tokea siku hio aliamini kua Mungu yupo, kwa hio ni kama Mungu mwenyewe alitaka kumuonyesha ndugu yetu kama yupo na ni wa miujiza!
Allaahu mustaa'n(Allaah ndio tegemeo letu).Hiyo ni baadhi ya miujiza ambayo Allaah anaionesha kwa viumbe vyake ili wapate yakini juu ya uwepo wake na ili upate kumuabudu Allah hali ya kuwa peke yake ,na miongoni mwa miujiza yake ni Nabii yunuus alimeza na samaki ila kwa uwezo wa Allaah akatemwa hali ya kuwa muzima,miujiza mingine katika suratul baqara kuna mtu alifishwa na Allaah kwa miaka mia yeye na mnyama wake baadae Alaaah akamfufua yeye na akamuonesha anavyomfufua mnyama wake kwa kumvisha nyama na mifupa,pia miujiza mingine katika suratul kahf wale watu wa mapangoni ambao walifishwa miaka 300 na kitu wakiwa wamelala pangoni na mbwa wake lakini Allaah akawahuisha,miujiza mingine nabii ibrahim alipowashiwa moto mkubwa uliokokwa na kuni nyingi za watu wa mji wake ila Hakuungua hata kidogo,miujiza mingine Mtume Muhammad kupandishwa zaidi ya mbingu ya saba kupewa swala tano,miujiza mingine nabii issa(yesu) alipopandishwa mbinguni na Allaah,miujiza mingine nabii issa na juleyj kuzungumza wakiwa watoto wachanga.Kwahiyo hiyo miujiza kwa Allaah ni midogo saana anayoyasimulia
Mungu mwema ,,,Hakika Mungu alitaka uone utukufu wake jinsi alivyo mkuu,,na umswalie siku zote maishani.Hiyo ilikuwa nusu kufa nusu uhai .....jaman kuna muda ukitafakari mambo ya Mungu unakosa jawabu.
Fikiri baada ya msukosuko Umejua kama mungu yupo Nakuombea mungu ufanye ibada kwamungu kwani amekupa zawadi ya mtihani mzito live Na umekiri mungu yupo kwajinsi alivyokuokoa sasa jitahidi kumshika mungu akakupe na makazi mema "AMIN
Siyo habari za zari yuko pool na watoto wake tume choka. hizi ndo habari nzuri za ki akili wewe ntangazaji uko powa sana mashaallah endeleye ivo ivo .from oman
God is great always siku yako kama haijafika huezi kufa kweli Mungu niwamaajabu everything is possible with God.thank God for gift of life pole kwa mtihani.
Glory John Nahisi ungepata kumsikia akiwa anasimuliwa ile kishkaj tu (offcamera) ingezidi kukusimua apo mbele ya Camera km kuna vitu km kavirukaviruka 😄😄😄
SUBHANNALLAH..! Allahu Akbar..!Huo ni mpango wa Allah/Mungu (Qadar Allahu) kila jambo hupangwa na Allah/Mungu coz Allah ndo muweza wa kila jambo akitaka liwe kinakuwa na asilolitaka haliwi. Mtu anazaliwa na kufa kwa ahdi/mpango (ratiba) ya Mungu. But tusifanye kibri/dharau tukamuasi Mungu. MUNGU yupo na haipaswi kumuasi.
Allahu Akbar huwo niutukufu wake muumba mana watu wanadondoka mda mchache tu wanapoteza maisha ila siku 10 mlanalala nakuamka subhana Allah sitaki kufikiri sana mana nitakufuru
Watu ni wapumbavu wanaamini Yona alikaa siku 3 kwenye tumbo la samaki lakini hawataki kuamini story ya huyu jamaa! Mungu ni mkuu wa kila kitu! Hata bahari na samaki ana uwezo wa kuviamlisha na vikamtii!
Mungu anatisha pole Sana jmn ndugu nahic nawajua wote Mana huyo wa katikat namjua pole zangu ziende mianzin pote na kijiweni Cha jeshi la wafu bagamoyo
Mariam yaani wanaume tu.ndiyo tutulie nyie je? Mkitokaga kwenda huko machinjioni kutafuta utumbo wa supu au kwenye meza zenu sokoni za.dagaa na tembele mbona macho juu.na miwanja midomoni?? Mboga mboga.hiyo gelesha tu.
Mungu nimwema jamani me nilitokewa n.a. tatizo mmja sitaakaa nikashau ilaaa mungu huyu huyuu akasema badoo nataka uishii sitakagi hata kukumbuka oooh God 😭😭🙏
Baba na shangazi wame ekeana chuki, ume niulia wanangu wako karudi, Inna lillahi wainna ilayhi rajioun, shangazi kamnunia kaka yake au mdogo wake kwa kuamini ushirikina. Namuomba allaah atuvuwe katika mabalaa haya ya ushirikina.
Uwe kwenye dini yeyote ile iyo kusema kuwa ulikuwa unasema mungu hakuna ni kosa kubwa sana lakini kwa vile ukájabadilisha kauli sio mbaya. Allah sw akuvushe hilo na jengine
Ebwanee mm nimemnukuu ndugu yangu akisema mwanzo alikua akibisha kua Mungu hakuna hila tokea siku hio aliamini kua Mungu yupo, kwa hio ni kama Mungu mwenyewe alitaka kumuonyesha ndugu yetu kama yupo na ni wa miujiza!
Mungu ashindwi na lolote kama ameiumba bahari, mbingu,ardhi,binadamu, wanyama na mengiyo atashidwa kukuokoa wewe, tumshukuru Mungu kila wakati
Takhbirrrr :allahu akbar
Allaahu mustaa'n(Allaah ndio tegemeo letu).Hiyo ni baadhi ya miujiza ambayo Allaah anaionesha kwa viumbe vyake ili wapate yakini juu ya uwepo wake na ili upate kumuabudu Allah hali ya kuwa peke yake ,na miongoni mwa miujiza yake ni Nabii yunuus alimeza na samaki ila kwa uwezo wa Allaah akatemwa hali ya kuwa muzima,miujiza mingine katika suratul baqara kuna mtu alifishwa na Allaah kwa miaka mia yeye na mnyama wake baadae Alaaah akamfufua yeye na akamuonesha anavyomfufua mnyama wake kwa kumvisha nyama na mifupa,pia miujiza mingine katika suratul kahf wale watu wa mapangoni ambao walifishwa miaka 300 na kitu wakiwa wamelala pangoni na mbwa wake lakini Allaah akawahuisha,miujiza mingine nabii ibrahim alipowashiwa moto mkubwa uliokokwa na kuni nyingi za watu wa mji wake ila Hakuungua hata kidogo,miujiza mingine Mtume Muhammad kupandishwa zaidi ya mbingu ya saba kupewa swala tano,miujiza mingine nabii issa(yesu) alipopandishwa mbinguni na Allaah,miujiza mingine nabii issa na juleyj kuzungumza wakiwa watoto wachanga.Kwahiyo hiyo miujiza kwa Allaah ni midogo saana anayoyasimulia
Mtangazaji uko vizuri sana, maswali mazuri sana. Hongereni
The Wan
young chad nambie
Allah Akbar kweli Mungu upo umetoka mbali kakangu asante Esco interview was so emotion😥😥
Mungu mwema ,,,Hakika Mungu alitaka uone utukufu wake jinsi alivyo mkuu,,na umswalie siku zote maishani.Hiyo ilikuwa nusu kufa nusu uhai .....jaman kuna muda ukitafakari mambo ya Mungu unakosa jawabu.
Sns mpo vizuri ole wenu muanze muanze udaku mtaaribu sana
Fikiri baada ya msukosuko
Umejua kama mungu yupo
Nakuombea mungu ufanye ibada kwamungu kwani amekupa zawadi ya mtihani mzito live
Na umekiri mungu yupo kwajinsi alivyokuokoa sasa jitahidi kumshika mungu akakupe na makazi mema "AMIN
Amiin
Pole sana kaka angu hakika Mungu anakusudi na wewe ndio Maana kakuokoa hapo inatupasa tumwuombe sana Mungu
Dah, baraa zito
Mwenyez mungu yupo👏👏Amin alitaka utambue Hilo ....pole sana
Poleni Sana kwa mkasa huu mzito Allah awaongoze walionusurika
duh hatari sana ingekuwa kwa wenzetu huyu kaka angetajirika hii ingetengenezewa bonge la muvi
Siyo habari za zari yuko pool na watoto wake tume choka. hizi ndo habari nzuri za ki akili wewe ntangazaji uko powa sana mashaallah endeleye ivo ivo .from oman
Mambo lily
Very good interviewing skills, patient and excellent listener. Thanks for this story, all the best
Allahu aqbar
Huyu bwana alishakufa tayari ila allah aliweza kumrudishia uhai wake
AL HAMDULILLAH
Mungu anasaidia jamani dugu zetu tuzidi kuswal... Imeniuma sana
God is great always siku yako kama haijafika huezi kufa kweli Mungu niwamaajabu everything is possible with God.thank God for gift of life pole kwa mtihani.
Mungu amulinde milele namutakiya maisha mema
The interviewer is a very smart guy,,Good and mature questions?
Sawa rubani
Kama ulijua hii ni story ya hivi karibun then ukapata ni kitu cha mwaka 1997 gonga like tujuane🤔🤔
Glory hii ni story ya kweli
Jamaa alidhaniwa amekufa na kweli familia yke ilishafanya msiba
@@ayoubally9701 duh jmn imenisisimua hi historia
Glory John Nahisi ungepata kumsikia akiwa anasimuliwa ile kishkaj tu (offcamera) ingezidi kukusimua apo mbele ya Camera km kuna vitu km kavirukaviruka 😄😄😄
@@ayoubally9701 dah kumbe unamjua kabisa? Nawish ningemskia kwa undani
Ila simply kabisa mungu yupo aisee
Pole sana ndugu
Shikamana na Ibada sana
Mmungu kakupenda. Wala let mahala pema peponi ndugu zetu. Aamin.
Utaskia hapo wakriston eti Yesu ndo kamponya😂😂 kiukweli Mungu Nimkubwa
SUBHANNALLAH..! Allahu Akbar..!Huo ni mpango wa Allah/Mungu (Qadar Allahu) kila jambo hupangwa na Allah/Mungu coz Allah ndo muweza wa kila jambo akitaka liwe kinakuwa na asilolitaka haliwi. Mtu anazaliwa na kufa kwa ahdi/mpango (ratiba) ya Mungu. But tusifanye kibri/dharau tukamuasi Mungu. MUNGU yupo na haipaswi kumuasi.
Allah karim
Kabisa
Hakika
Mtangazaji umejitaidi kuuliza maswali karibia yote ya wasikilizaji...big up
Allah kukuacha ww kaka angu anamakusudio yale tena mazurii sana
fanya ibada sanna Allah amekumbusha tu kuwa yy yupo na n muweza wa kila kitu
Dah pole sana
Huyu ndo bahariaa wa kweli
Huyo ndo baharia sio wengine wanajiita baharia akati ata maji hawajui kuogelea
Allahu Akbar huwo niutukufu wake muumba mana watu wanadondoka mda mchache tu wanapoteza maisha ila siku 10 mlanalala nakuamka subhana Allah sitaki kufikiri sana mana nitakufuru
Kabisa hii story mimi sjaielewa bhana
Yaaaani mungu alitakaa kukuonyesha ukuuwake ili ujue yupo vinginevyo hueleweki
Hhhhhh ulijuaje kama haeleweki
Watu ni wapumbavu wanaamini Yona alikaa siku 3 kwenye tumbo la samaki lakini hawataki kuamini story ya huyu jamaa! Mungu ni mkuu wa kila kitu! Hata bahari na samaki ana uwezo wa kuviamlisha na vikamtii!
Amen🙏🙏🙏
Umeongea
Tony El Shabbaz Amen
Tony El Shabbaz Amen
Duuh pole bro mungu mkubwa
*Esco* nimependa sana ulivyomuuliza Maswali, good job mtanga mwenzangu 👍😀
kweli mungu nimwema
😍😘
😭😭😭😭 Acha Mungu aitwe Mungu
Wooooow bonge ya simuliz.maajabu ya Mungu
Mungu anatisha pole Sana jmn ndugu nahic nawajua wote Mana huyo wa katikat namjua pole zangu ziende mianzin pote na kijiweni Cha jeshi la wafu bagamoyo
Asia
@@frankmaligo5749 abeeh
@@selemanhemedi2759 polen sana
Mimi nakusalimia
@@frankmaligo5749 ahsante Frank
Duuh mtihani....nazidi kuamini kama kufa ni ahadi😔 pole sana Kaka
Pole Ndungu yangu. God bless you
Napenda kazi za huyu kijana sikosi kufatilia 🙏🙏🙏🙏
Mungu ni Mungu tu 🙏🏾
mama J&D ....
Subhanallah... Yaan unatakiwa umche Mungu wako... Usiache kufanya Taqwa...
mungu atasakusaidia
😂😂😂
Mnaniach hoi sna
POLE SANA KWA YALIYOKUKUTA,HILA WANAUME MKIENDA KUTAFUTA TULIENI SIO KUCHANGANYA MABINTI NI KUJITIA MIKOSI.
pore sana ngugu yamgu
Neno hilo
Mariam yaani wanaume tu.ndiyo tutulie nyie je? Mkitokaga kwenda huko machinjioni kutafuta utumbo wa supu au kwenye meza zenu sokoni za.dagaa na tembele mbona macho juu.na miwanja midomoni?? Mboga mboga.hiyo gelesha tu.
Pole kaka na mkasa huo uliokupata.
Mwenyezi Mungu akusaidie uendelee na Maisha yako salama.
Daah pole sana
Mungu ni mwema wakati wote
Pole kaka kw kupoteza wenzako Mungu n muweza w yote
Story ya kusikitish ila najikut 😄😄😄😄 Jins anavyo simulia Mungu yupo na hashindwi na kitu kaka
Uuuuuw!!! Jmn 😭😭😭kwel kufa ni Ahadi yamtu sitor inagusa mnooo hii
Mejaku nta
@@rafiamanzi687 meja alifufukaa jmn bongo kun vituko!!😂😂😂
God is great, may he always protect en guide you young man.
God is able. . I thank God for ur life bro fikiri. U r a herooo
Mungu nimwema jamani me nilitokewa n.a. tatizo mmja sitaakaa nikashau ilaaa mungu huyu huyuu akasema badoo nataka uishii sitakagi hata kukumbuka oooh God 😭😭🙏
N nn jamani ebu tuambie
@@rayaskitchen0189 😁wapenda umbea
Jamani😭😭pole sana
Allahu Akbar SubhanaAllah kweli kifo cha mtu huwa kimepangwa shukuru Allah kwa kukupa uhai kaka
Pole Sana.
Mungu ni mwaminifu siku zote
Pole sana kijana Mitihani ya mungu tu muhumu kumshukuru yy tu na kumtegemea kwa kila kitu
Baba na shangazi wame ekeana chuki, ume niulia wanangu wako karudi, Inna lillahi wainna ilayhi rajioun, shangazi kamnunia kaka yake au mdogo wake kwa kuamini ushirikina.
Namuomba allaah atuvuwe katika mabalaa haya ya ushirikina.
i cant hold my teas..mungu ni mkuu na pia ni mwaminifu kwa kiumbe kilichomo duniani
Uwe kwenye dini yeyote ile iyo kusema kuwa ulikuwa unasema mungu hakuna ni kosa kubwa sana lakini kwa vile ukájabadilisha kauli sio mbaya. Allah sw akuvushe hilo na jengine
Mungu atabaki kuwa mungu tu pole kaka ulipitia kipindi kigumu sana
pole ..sana kaka
Mm cjui ningefanyaje loooh ....mungu mkubwa kwakweli
Kiukweli katika TV online Tz hii ni no1 iko vzr watangazaji wako vzr sio wengine muda wote wanahoji upumbavu 😏
Looking good Tina..
@@andersonchibule4761 oĺĺĺĺpĺ
Plpppppp9pp9l999ppp ĺo9pòĺķĺ.ķ9ĺpĺmim
Lķmm
Ķmmm
mppmĺo
Ķmmkĺ9
Òoĺkplĺ0⁰
Pole sana kaka mungu nimwema sana Allah akupe umri mzuri na Sia njema inshaallah Biidhin lilah Subhanallah
Sana
Mambo kadada
Izi ndo habari zinazohitajika mitandaoni 7bu Zinafundixha na zina xtory za kweli
Hii story inaumiza hongera sana esko kwa kazi nzur
Pole sana kijana,kwani mungu ana sababu na wewe.
Mungu ni muweza wa yote
Pole sana
Daaanh polee Broo
Pole kaka
ALLAH AKBAR
Malyam ali nipe mashariti ya kubadili dini
Mungu wangu polen sana 😢😢😢
Mtangazaj upo vzr asilimia zote hongera sana
Yaani huyu journalist yupo on point mpaka llaahhaa
Hii channel ni 🔥🔥🔥🔥wako vizuri sana katika kazi zao, Mungu 🙏 azidi kuwabariki kila siku
Hapo kwenye kulala hapo bado nabaki mdomo wazi ila mungu ni mwema sana
naona kama maigizo
Allahu Akbar hakika Allah ni mkubwa inabidi tumuabu hakika
Mwenyezi mungu atakufanyi a wepesi akuondoleni kila palipo pazito mwenyezi mungu apafanye wepesi
mwandishi wewe uko vizuri kila mtu ametosheka
pole sana kaka mwenyezi mungu mkubwa
Asanteni sns kwa habari za ukweli
Pole sana kakangu
Pole sanaa ndugu yangu mungu ni mwema kiukweli 😭😭😭mmepitia wakati mgumu sanaaa
Dah polen sana
Mwacheni mungu aitwe mungu
Mbona
Nmependa jina dharau Ksha ufikiri😊
Uchawi hupo na Mungu yupo nasi siku zote za maisha yetu
Pole sana mungu akupe umri uishi Miaka isio idadi Allah akbar
❤️❤️❤️❤️❤️❤️Love sns kazi nzuri
SubhanbaLlah Allahu Akbar
Pole Sana mungu ni mweza wa yote swali sana
Subhannah ALLAH
Hakika MUNGU ni mwingi wa huruma poleni sana wapendwa wetu
Aise mungu nimkuu jamani ulio yapitia nimagumu mungu awarehemu walio tangulia pole sana
Mtangazaji maswali yako ya point sana
Pole sana mungu nimwema sana
Aliyeskia kwenye mad mtangazaji bhana🔥🔥🔥🔥🔥
Haya mammbo ya pwani. Waachie waswahili
Mungu ni Mkuu anatulinda kila wakati
Mungu ni Mungu jamani inauma 😭
20:23 ni stori ya kusikitisha ila hapa nimecheka kwakweli..pole sana kaka mkubwa
😂😂😂.... Allah ni muweza wa kila jambo
Kweli kabisa
Duuuh kweli mungu mkubwa!!!lkn hayo ni mambo yakishirikina wallah
Allah amekunusuru apo napengine pia InshaaAllah
Mungu ni mwema naomba mungu akulinde
Pole sana ndugu
Pole ndugu yangu
Mmh! Jmn mungu yupo