@@lifeinmiddleeast8179 wangapi wanaachiwa ambavyo hawajavitolea jacho na wanadum navyo yan cha kufnya pesa isikutawalee sijui unaelewa ninachoo maanishaa
Pole kaka hamna mkamilifu sisi wote wakosefu Mungu akupe furaha na maisha marefu kupata hiv sio mwisho wa dunia pole sana kaka Mungu anakupenda its well my kaka hang in there pole sana na matatizo ya dunia
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. leo davista umependeza kaka, koti safi,shati kali jeans blue bahari,huku mawani ime match na koti.mkuu umetaradadi hakika ukifa hauozi.UMEPOA🎉🎉😂😂
Kila hatua ya mwanadamu ina mafundisho yake aujakosea pekeyako mimi pia nimewahi kukosea kama wewe tena nilikuwa money spender sana ila mpaka ukiona upo hai mpaka leo ni Mungu ana makusudi na sisi tusikate tamaa life linasonga tusipigie hesabu tulichokipoteza tupigie hesabu kile ambacho atujawahi kukipata
Kuna uwezekano mkubwa hio mali ilikua ya kishirikina ukizingatia katika simulizi nyingi hapa tumesikia mali za migodini zinahushishwa sana na ushirikina wa kutoa makafara,masharti ya kishenzi na kadhalika !
LEARN THROUGH MISTAKE MY BROTHER DONT GIVE UP MY PRAYES U KNOW WHEN U HAVE MONEY UR FRIEND WILL LOVE U BUT IF U DONT HAVE ANYTHING NO ONE WILL LOVE U U START PRAY TO GOD AND ASK GOD FOR FORGIVENESS THAT IS MY ADVICE 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Wewe mmbwa ulipo wafira wanaume wenzio apo ndo ulipo pata laana zote mmbwa ww kuna mzee huku kwetu kuna mzee alikua anahela kuliko ww alikua anafira vibaya sana wanaume wenzake saiv kumamae chakukila hana anaishi kwenye jumba bovu anakunya wala hanawi%
Kuna baadhi ya shuhuda nimegundua hazina ukweli huyu ndg namfaham na timekua pamoja lkn maelezo yake mengine si kweli kwa mfano baba yake mzazi yupo hai anaitwa Osca Prims na anaishi Nyarugusu mkoa wa Geita naomba niishie hapo.
Labda wazazi wako wakapata utajiri kupitia njia questionable.... Hivo ndivyo kunaedanga in such cases, Kila kitu huisha tu ghafla. Give your life to Jesus, you'll be fine IJN
Sasa unashanga nini mtoto wa miaka shirini na moja kupagalanganya mali acheni kutumbukizia uchawi huyo jamaa hakuwa na upeo ata wewe kama hauna upeo ukipewa fedha nyingi hautaweza kuziendeleza, hakuna uchawi hapo
@@alenialex6941 Tuna mjua vizur hyo mtoa story nasktika hata ktendo cha ksema mara baba yake kafa wakat yupo na hyo anae sema mdogo wake ni kaka yake yupo tu hko anakosema anafanya kaz bandalin hamna yupo tu. Kila siku tunamuona na hafanyi kaz bandalin
Vijana.wanaachiwa mali za kifreemason.ndo.zinawapelekewa.kuwa.wafanya.anasa vijana Tanzania mnapoishi.jitahidi kumheshimu Mungu kutunza.heshima.ya.Mungu ili.Mungu.awatunze.yeye.kama.yeye
Mungu yuko pamoja na wew. Nakuomba uokoke na umpe Yesu maisha yako
Hizo pesa zilikuwa za moto kaka wala usijilaumu sana ukimwi syo mwisho wa maisha kikubwa kula vizuri pumzika na unywe maji mengi
Kwamaelezo yake Hela ilimuendexha Wala xio zamot
Pesa ilimtawala ata siyo laana hakikisha kwenye maisha yako pesa haikutawal lakn yeye pesa ilimtawala
Kitu ambacho hujakitolea jasho huwez kukitunza
@@lifeinmiddleeast8179 wangapi wanaachiwa ambavyo hawajavitolea jacho na wanadum navyo yan cha kufnya pesa isikutawalee sijui unaelewa ninachoo maanishaa
Pole kaka hamna mkamilifu sisi wote wakosefu Mungu akupe furaha na maisha marefu kupata hiv sio mwisho wa dunia pole sana kaka Mungu anakupenda its well my kaka hang in there pole sana na matatizo ya dunia
🥺🥺🥺🥺😰😰😰kama umefikia kutubu bas Mungu akubarik sana
Alie mfanyia interview Kaka angu akiwa amelewa mungu anakuona
😂😂😂😂
😅
Uyu kaka namkumbuka mtume wangu kweli alikuwa handsome uyu uyu mwwupe af mrefu kabadilika nyie
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. leo davista umependeza kaka, koti safi,shati kali jeans blue bahari,huku mawani ime match na koti.mkuu umetaradadi hakika ukifa hauozi.UMEPOA🎉🎉😂😂
Si ameoa saiz anahudumiwa
Shida ni upeo mdogo hapo hakuna uchawi, pole sana
Nakupa ongera kwaku waambia waulimwengu kuhusu afya yako bila kuji ficha uko jasiri Sana basi Mungu aku ende mbele mkibiliye yesu
Pole Sana Mungu ni Mwema atarudisha vyote ulivyopoteza🙏
Dah tumuombe mungu jamaa namfaham babake yupo hai mamake ndo alifariki lakin mengine anadanganya mengine siyajui
Weka party zote hili ni bonge la fundisho kwa vijana.
Natamani niweke screen kubwa kila mkoa ili wajifunze
Hatari jweli Mungu hakuongoze haoa kujifunza kwa kweli
Kila hatua ya mwanadamu ina mafundisho yake aujakosea pekeyako mimi pia nimewahi kukosea kama wewe tena nilikuwa money spender sana ila mpaka ukiona upo hai mpaka leo ni Mungu ana makusudi na sisi tusikate tamaa life linasonga tusipigie hesabu tulichokipoteza tupigie hesabu kile ambacho atujawahi kukipata
Alafu jamaa ni daima mbele nyuma mwiko 👊🏿👊🏿
Hii Hali ilinifika😂 nyie Hela zinapeperuka
Pole
Kweli sikia Kwa mtu 😂Cc Home tulifisika Jmn Aibu magari yakaisha nyumba zikaizwa uwiii tukabaki empty 🏃but God is Great
@@zubedarichard2311 mmmh kiaje?
Tubu dhambi zako zote na umufuate YESU YA DUNIANI SIO DILI
Uko sahihi
Bora upoteze pesa kwenye starehe hautoumia Sana kuliko kupoteza pesa kwenye biashara. Utaumia Sana kupoteza pesa kwenye biashara kuliko kwenye mapenzi
Davista mata everything 💪
Pole sana master
Kuna uwezekano mkubwa hio mali ilikua ya kishirikina ukizingatia katika simulizi nyingi hapa tumesikia mali za migodini zinahushishwa sana na ushirikina wa kutoa makafara,masharti ya kishenzi na kadhalika !
Wazungu wao kwenye madini awatoi kafara?
Mali ya madini 😢😢😢 nikazi sana kuiendesha maana kupata madini inabidi tuu uwe mshilikina naona mtufrani anavo angaikaga kutafuta waganga 😢😢
Ingali bdo upo hai na umefanya toba Mungu anasamehe yohana 8:1:11
Nenda kwa mwamposa kawe hakika mkono wa mungu utauona kakangu ukimwi cyo kitumbele ya yesu
Imenifunza kitu
Kujitambua ni mwanzo wa toba.
Tubu umridie Mungu wako na maisha yako yatakuwa sawa tu.
Mwombe Mungu akusaidie urudi na atakuinue tena shetani ashindwe
Pole kaka
Harafu kama kalewa hv😂😂 pole kaka ake mwaya
Saikolojia anahitaji washauri
Unafanana na mdogo wangu kwelikweli
Duuh,story nzuri sana kaka from u.s.a
LEARN THROUGH MISTAKE MY BROTHER DONT GIVE UP MY PRAYES U KNOW WHEN U HAVE MONEY UR FRIEND WILL LOVE U BUT IF U DONT HAVE ANYTHING NO ONE WILL LOVE U U START PRAY TO GOD AND ASK GOD FOR FORGIVENESS THAT IS MY ADVICE 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
First Born wa mchongo😢
Never give up brother You are just are humane and you have made mistake, its not the end of your life,usikate tamaa
Ego ina tesa watu wengi. Tujifunze kwa wakubwa zetu.
Nahao wazazi maybe walikataa kukutowa kafara ndo wakachukuliwa wao
Wewe mmbwa ulipo wafira wanaume wenzio apo ndo ulipo pata laana zote mmbwa ww kuna mzee huku kwetu kuna mzee alikua anahela kuliko ww alikua anafira vibaya sana wanaume wenzake saiv kumamae chakukila hana anaishi kwenye jumba bovu anakunya wala hanawi%
Katika maisha yangu Huwa sijutii niliyopitia maana Kuna watu wamepitia mengi sana.
DAVISTA umenikosha sana Hiyo Back ground music imetosha sana
Umenifuraisha umekuwa mkweli namuwazi
Mungu anisamee,ila jamaa anafurahisha kinoma😂
Hata Mimi nimecheka aiseeee.....
He is so handsome though
Pole sana
Ukiwa na pesa tu lazima marafiki waje
Jamani mimi nakupendaa nauwo ukimwi wako😂
Mzur kwer
Upendo wa dhati sana
Kumekucha kumekucha 😂😂😂
heheheee. kweli handsome
@@msaysha5886 😂😂
Kuna baadhi ya shuhuda nimegundua hazina ukweli huyu ndg namfaham na timekua pamoja lkn maelezo yake mengine si kweli kwa mfano baba yake mzazi yupo hai anaitwa Osca Prims na anaishi Nyarugusu mkoa wa Geita naomba niishie hapo.
Duh, kumbe anatupiga!
Weeeee kumbe 😳
Kwa hiyo anatupiga na kitu kizito 😂
Davista sijui anaona hizi msg afuatilie
Kama kweli baba yake yuko? Si asingekubali nyumba ziuzwe jamani napata utata.
Anazingua xna jamaa wazazi wapo bna
Mwamba hulikua mfiraji duuh🤔 Kaz unayo
Ni kweli mzuri ila saiv umeisha ila uskate tamaa
Ok ok davistaaaaa
Maisha ni funzo.pole kaka
Pesa za maagano huwa hazirithiki
Rikaka rizuri hiliiiii🥰🥰🥰🥰
Tayari mnalipenda 🤣🤣🤣🤣🤣
Cpat picha enz zake
@@mosesjohnswilla9926hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha sasa je ata niwewe kama uko single ungempenda ona nifanyie mpango wa namba basi😂😂😂😂
Mzigo bado mpya njoon tusome
Tupo
😂😂
Kwanini uku kumbuka kwenda cannada ama iyo pesa ili kuwa ya kichawi uwezi fikiria memo ju ni pesa zamajini
Nakukumbuka sana enzi hizo tunapiga tuition sengerema aise
Astaghafullilah daah ulifikia hadi kulawiti wanaume wenzako, Mungu akusamehe kiukweli na hata hvyo dunia imeshakufunza
Sijutii kupoteza pesa kwenye starehe. Pesa inatafutwa umri unaruhusu
Alafu anaonekana kama anaelekea kwenye kuchanganikiw
No kunywa
Haaa ok
Kaz unayo...fanya ibada
Huyu mwamba bado anaranduka
Ulipowalawiti ndipo ulipoingiza laana kwenye maisha yako
😣😣😣😣😣
Drugs are not good hata unaona vnye anaongea banaaa ☹️☹️☹️anaogea kitu anarudia tenaa like drugs are not goos
Mwanza jamani Kuna matukio😢😮
Huyuu mwamba na mfaham vzr xan mbak kwao hayo anayo sema n kwel
@@robbysonpaschal4749 mpe number zangu nimpenda
Mwanza matukio ni mengi sana usipokuwa makini
Liongooooo
😂😂😂😂😂
Kingine kaka upunguze pombe za ubanda
Ubanda na kumbuka mbali sana
Kosa ni la wazazi hawakukupa missing ya kutafta kazi, au namna ya kupata pesa kwa jasho maana ulizoeshwa raha tu
🇹🇿👍.
Basi hii story itavutwa vutwa mpaka imalizike tutegemee miezi 2
🤣🤣
Franc nakuona
Mtangazaji unaboa hauko siriaz na kaz
Diamond ajifunze kitu apa machawa aoo
Simba anaingia vipi sasa
Mwanangu ulikuwa ndimu
Dah france ndg yang 😂
Sasa hao wanawake wote uliyotembea nao wameasilika nao wote?????
Alifiwa mama ake tu huko sengerema...
Huyo dogo ni wa viboko
Huyu bado ana tatizo la kisaikolojia,,,anahitaji msaada
Domana wahega wanasema samaki mkunje igalimbichi
Enjoy
Labda wazazi wako wakapata utajiri kupitia njia questionable.... Hivo ndivyo kunaedanga in such cases, Kila kitu huisha tu ghafla. Give your life to Jesus, you'll be fine IJN
Eve hilo ndilo neno kubwa ulilosema.
Sasa unashanga nini mtoto wa miaka shirini na moja kupagalanganya mali acheni kutumbukizia uchawi huyo jamaa hakuwa na upeo ata wewe kama hauna upeo ukipewa fedha nyingi hautaweza kuziendeleza, hakuna uchawi hapo
@@Mpakauseme jamaa muongo, miaka 20 kashasoma mpaka a level na chuo miaka 3 na karudi bongo tayari, shule alianza na umri gani?
Hu jama namkubali story yak inamafunzo
Machawa ushawatia usenge Una wabafilisha na wao Wana kumwaga,hii ilikuwa mwaka gani?
Duuh dunia imekwisha
Davister interview zingne muwe mnapeleleza vizur watu wengne wanakhalibia mashabiki wa chanel zako kwan wanazungumza uongo uongo sana
Kwani uongo unaupimaje au ndo wabongo amkosi Cha kukosoa
@@alenialex6941 Tuna mjua vizur hyo mtoa story nasktika hata ktendo cha ksema mara baba yake kafa wakat yupo na hyo anae sema mdogo wake ni kaka yake yupo tu hko anakosema anafanya kaz bandalin hamna yupo tu. Kila siku tunamuona na hafanyi kaz bandalin
@@alenialex6941 ukitaka ukwel Nenda nae nyarugusu geita mwambie akpeleke kwao km hto mkta baba yake na hyo kaka yake anae msema yupo bandalin
Dogo hapaswi kukusimanga ummemsaidia kumpa elimu
😂😂😂mwamba kweli kweli
Majuto ni mjukuu
Nashkuru nmejifunza kitu kikubwa sanaa coz pia mm nmeachiwa Mali juzi na wazazi wangu🙏
Nije tuziponde au utaki chawa🤣👋
naomba kuwa chawawako 😂😂
Chawa pro max nipo hapa
Mpenzi tuliza kichwa iyo ujue nini utafanya ukiweza ziache bank zalisha isa!
Huhitaji chawa😂😂
Apeche
Duhhhhh
Pole kaka maisha ni mapambano siyo mwisho
Unahoji mtu kashatia vyombo😄
Kufilisika sio mwisho wa kutafuta
Kawaida sana
Weweee acha hiyo imetoka sasa
Good story
naomba namba ya huyo kijana,
Bila shaka ulistahik hayo una tumikia ulicho kichuma
Vijana.wanaachiwa mali za kifreemason.ndo.zinawapelekewa.kuwa.wafanya.anasa vijana Tanzania mnapoishi.jitahidi kumheshimu Mungu kutunza.heshima.ya.Mungu ili.Mungu.awatunze.yeye.kama.yeye
Pole sana! Anza upya tu
Nipo kwenye siti
😂😂😂😂
nyanyuka futa vumbi endelea naa safari