Hay mambo ni kiiman kbs km hujawah kutokew huwez kuamin ila hi dunia kubwa san kun watu wengine wapo uchi tunapanda nao ktk magar lkn kwa macho yao yetu tunaon wamevaa nguo...kikubwa usiombe tu yakukute endelee tu kusikia tu kwa watu
ASSALAAMU ALEYKUM MY BROTHER MALIMU RAMDHAN I AM PROUD OF YOU MY NAME IS SIDIK I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON. I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA. I AM PROUD OF PEOPLE OF TZ. MY DUAS ALWAYS WITH YOU AND UR FAMILY REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON WS
Hope Chriss @huyu anatengeneza mazingira ya kuaminisha watu kuwa ana dawa anatibu usenge last number ase na hivi vinavyojifanya ni vyombo nvya habari vina mic moja na Tape recoder mooja ni wasenge nao last number
Jamaa hamu kuambiwa muamini ila majini wapo na wa meumbwa na Mungu story ya huyu jamaa inaezekana au mpka ikutokee ww ndio ukubali tusiwe wabishi haya mambo ypo huwatokea sana wavuvii
Ahmed Salah hayo mambo yako tu kwa watu masikini ukiangalia matajiri stories zao ni namna ya kuenda ulaya ama china kununuwa na kuuza vitu , thamani ya dola imepanda au imeshuka halafu maskini kila siku zao ni uchawi, kurogwa, majini, na ujinga na kuto kuelimika kwingi saana
@@antoinettedjumapili2522 kweli, sasa kaona umaskini umemtawala anasingizia eti alikataa mazawadi uko chini ya maji, mapesa, dhahabu, sijui malumalu na mavyakula ya kila aina duuh, mie uyu kanimaliza sina hamu kabisaa
@Mariam Abdullah you're comment doesn't make any sense any sense and I say it very clear only the poor believe and talk about those nonsense most people in third world countries look at the man who is telling stories he is smelling poverty to the core
Songesha camera tuone vitabu @9:30. Ni kama hamjui kufanya interview. All interviews are same in Tanzania. Zero evidence. Speaking without backing what you say. Ndio manake na penda Kenya, nchi ya FACTS, sio story za kindergaten. Na ni kwanini Tanzania ndio majini wapo tu? Kuna siri wengine hawajui? Tupe siri.
Aisee si tupo mjini tunajiona wajanja et!! tupo town Kumbe kuna wazeee wapo vijijiji wanaa buni mbuni mbwinu mbiiiinuuu za kulaa helaaa zetuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😅😂😅 Mzee niseme tu asante kwa kupoteza muda wangu bila kusahau #MB zangu 😂 ila wewe ni muongo sijawahi ona kheee jmn tanzania ina joto hadi nahisi baridi maana sio kwa vibwanga na uongo huo 😂😅😂😅 uwiiii
jamani hawa walimu na wanganga siku hizi wanapenda tumia story ili kujipa umarufu...kabla hajaanza kusimulia nilihisi hicho ndio atakisema anyway mungu ndio anajua zaidi
Umejaribu kueleza vzuri ulimwengu wa majini, hiyo haikataliki ila kosa kubwa ulilofanya ni kuwa mfuasi wao coz, wanakutumia na watakutumia vbaya juu ya wanaadamu wenzako.
Mh huo ni ushirikina ndugu yangu Acha. Nashauri ndugu zangu tusiendekeze njaa itatupeleka pabaya. Haya upewe vitabu bila ya kujua kuvisoma mara ujue na kuanza tiba Mh yaan kutamani kula kwa wepesi? haya Rafiki yangu alizama kakuta majini wanawake wawili akaambiwa achague? MH jamani. haya wataalamu wa ujinini
namsikiliza kwa makini kila point,Luna muda anasema alipokuwa huko alikua hajui usiku wala mchana afu siku walipo mota kurudi duniani walimtoa usiku.kizazi hiki ni makini mno unapo nini jambo unabidi ujipange haswa
Watu Wabishi C Mfuatilie Stol Za Davista Mjue Mengi Majini Yapo Mtume Muhamadi Anajua Uwepo Wa Majini Nabii Yesu Anajua Uwepo Wa Majini Iweje Wewe Ukatae Kama Akuna Majini Wakati Wenye Mamlaka Kutoka Kwa Mungu Wanajua Uwepo Wa Majini We Nani Ubishe
Story inawezekana ikawa yakweli isipokuwa huyu mwamba ameridhia kumshirikisha mungu wake kwaajili ya hao mashetani. Yaani kifupi majini wanamtumia kupoteza watu kwasababu m.mungu yupo hai na hakuna msaada was jini unaotakiwa katika mambo
Achia mwingine microphone atupe story umemkatizia story mingi ata utamu wa story hajatupea juu unamnanganya mic badala uache atupe uondo i wish ningejua mtangazaji mwingine anamwoji nimsikize ww umetuaribia
Umeambiwa usivute pombe nimeipenda iyo. Ila pia ucnywe bangi... Pole sana.Wee tuzugeeeee ila halafu kakojoe ukalale.
sasa mm natka namba yako vp nitajaupata namba yangu +96896927224
Ngonga like kama jamaa kafanana Marehemu Ruge Mutahaba.
ILA WABONGO MNA MENGI SANA😊
Kamani nimecheka sanaaaaaaaaaaah lakini musiseme kuwa nimuongo huwenda ikawa ni kweli 254 kenya
Hay mambo ni kiiman kbs km hujawah kutokew huwez kuamin ila hi dunia kubwa san kun watu wengine wapo uchi tunapanda nao ktk magar lkn kwa macho yao yetu tunaon wamevaa nguo...kikubwa usiombe tu yakukute endelee tu kusikia tu kwa watu
ASSALAAMU ALEYKUM MY BROTHER MALIMU RAMDHAN I AM PROUD OF YOU MY NAME IS SIDIK I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON. I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA. I AM PROUD OF PEOPLE OF TZ. MY DUAS ALWAYS WITH YOU AND UR FAMILY REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON WS
hello brother
Da huyu mzee kwa chai yupo vizuri
Huyu jamaa anatafta kiki ya uganga wake ....ili wateja wamiminike🤣🤣😆😆🤣🤣
Ila yote Tisa hapa duniani lazima watu waishi kwa ujanja falani hivi🙄🙄🙄🙄
Mmmh hatari unaweza kuzimia
TWOJAY _KENYA 😃😃😃😃😃😃😃😃noma
Yaan hata mm nawaza ilo anatafuta kiki ya uganga
Haya mambo yapo acheni ubishi
Kam ujaamini kam mm maelezo ya uyu mzee gonga like hapa
Hope Chriss @huyu anatengeneza mazingira ya kuaminisha watu kuwa ana dawa anatibu usenge last number ase na hivi vinavyojifanya ni vyombo nvya habari vina mic moja na Tape recoder mooja ni wasenge nao last number
Nyie ndio wabishi msokuwa na ushahidi wowote...unanini cha kusimulia??? Mtoto wa mama
Huyu mtalii wa majini anasema hakuwahi kutambua usiku na mchana, hizo siku tano alihesabu vipi?huyu alikuwa amezimia baada ya dhoruba
huyo brodher sio mong
yanihuu niuongo nawewe mtangazaji Kama umekoswahabali achananahiyokazi
Alipoteza fahamu ndiyo akaota
Kwenye vitabu vya dini zote pia vimeandika kuwa hao viunbe wapo.kwa hiyo tumuombe mungu atuepushie kukutana nao.kwa hiyo tusiwe wabishi na story yake.
Mariam Fritsi hao viumbe wapo,mzee niliemjua alibebwa nao dk 2 yupo km 4 alirudi mwenyewe nyumbani usiku
EUGENY Raphael unajua watu wengine wabishi wa kuelewa kwa kuwa bado hayajawakuta,ila likiwakuta ndio wataamini,kuwa ni kweli.
Kuna mijitu eti mganga anamwomba Mungu..!! sio kweli leo mmepata majibu, mganga anamwomba jini ...
Tena sana my
🤣😂😂 eti Alhamdulilah kumbe mie nishafika akhera 🤣🤣🤣🤣🤣
hahahahhaha
😀😀😀😀😀ingekua ivo watu wangeomba kufaa😀
Hhhhh
Nauliza aje jameni .. huyu jamaa anaweza nitumia copy ya hivyo vitabu .. Nijivunie elimu .. Ikibidii nita lipia 🤗😇😇
ALLAH AKBAR hestoria nzuri sana kama huyo ustadh ni mkweli ila usiwi mwenye kuomba msada wwte majini muombe ALLAH nimueza wayooote.
Ww apo yy anawaomba majini na sio Mungu..huelewi tu...??
Jamaa hamu kuambiwa muamini ila majini wapo na wa meumbwa na Mungu story ya huyu jamaa inaezekana au mpka ikutokee ww ndio ukubali tusiwe wabishi haya mambo ypo huwatokea sana wavuvii
Ahmed Salah
hayo mambo yako tu kwa watu masikini ukiangalia matajiri stories zao ni namna ya kuenda ulaya ama china kununuwa na kuuza vitu , thamani ya dola imepanda au imeshuka halafu maskini kila siku zao ni uchawi, kurogwa, majini, na ujinga na kuto kuelimika kwingi saana
@@antoinettedjumapili2522 😂😂😂😂umenifanya hadi nimecheka kwa sauti wallah, ila umeongea point sana🙌
@@antoinettedjumapili2522 kweli, sasa kaona umaskini umemtawala anasingizia eti alikataa mazawadi uko chini ya maji, mapesa, dhahabu, sijui malumalu na mavyakula ya kila aina duuh, mie uyu kanimaliza sina hamu kabisaa
@@antoinettedjumapili2522 nimekuelewa sana 😂😂😂
@Mariam Abdullah
you're comment doesn't make any sense any sense and I say it very clear only the poor believe and talk about those nonsense most people in third world countries look at the man who is telling stories he is smelling poverty to the core
Allah atueke wepesi kwakweli
Hahahahahah hii story wala si yakibaharia umetumalizia MB zetu. Hii ni yauganga
Nataka kujuwa nani alikueleza kuwa huyu ni baharia
Gbvxf
Ghost edd
Kweli majini wapo,kuna mwengine Jamali yalimkuta sema yeye alipata mabalaa na alisumbuliwa mda mrefu mweee
Kwan mwafahamian?
Majini wote wamuumbwa na ALLAH hakuna mtu anayeumba jini
Hakuna jini mzuri majini wote ni Giza ndio maana ukitamka tu jina la Yesu ambalo ni Nuru wanateketea na kukumbia
we kafir na wewe badilika majini ni viumbe kama wewe
Huyu anasimulia hadithi aliyosimuliwa na babu yake zamani, sasa anaifanya reality!!
I caaaan't!!!🙉🙉🙈😛😛
Eneo Latukio 🤣🤣
🤣🤣
😁😁😁😁🤣🤣🤣😂😂
Nimecheka
@@mauwashadrack820 hhhhhhi
Ni kweli mimi na ndugu yangu alivutwa na mamba Bahaliñi tukajua amekufa
We tuache hebu🤣😆😂
Pole sana Ramadhan na hiyo ndio mitihani katika maisha, na kila mja ana mtihani wake alopangiwa na Mwenezi Mungu.
naomba namba yako
Nilifilili kweli kumbe niyale ya wapigaji,Acha uongo.
Unaonekana mtunzi mzuri wa story 😂😂😂😂🤣 na utajiri wao wote hawajakupa hata kidogo ukakae kwenye nyumba nzuri
Kweli hii story kumbe na wewe umeona ee
HAHAHAHAHAAAAA WE MCHOKOZI BALAA NICHOZE NAMI BASI 0765932008
Haa
😂😂😂😂😂hata pikipiki hawajampa yaaani
@@victormariki2419 😂😂😂😂😂
Haya mambo yapo ila huyu jamaa Katupiga bhana 😂😂 jamaa kalumbanalumbana na jini😂😂
Amelumbana lumbana hahahaha
Haaahaaa 🤣🤣🤣😂😂Yani katuburuzaaa
Amepewa vitabu Lakini alirudi bila vitu jamaniii😅😅😂😂😂😂
Kama umesikia kinyume cha mguu mfupi ni mguu mnene kwene dk ya 7 sek ya 56-57, gonga like twende sawa.
🤣🤣🤣
@@sadiyakb8498 Atari xana
🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁
Hahaha,, eti majin wengine walihuzunika,, alikua kawafanyia nn???
Mwamini yesu kk
Mwambie amwamini Mungu na yesu kama mtume
Yeah ni ukwel utokea haya mambo
Dah kama nikweli bro tunashukuru kwa story na pole kwa kuzunguruka😎😎
😂😂😂🙌
😃😃😃😃😃😄😄
Jamani tz nimewashindwa😀
Jamani hayo mambo kweli yapo acheni maneno ya dharau kikubwa nikumuomba tu mungu yasitukute mabalaa kama haya
Likikufika utaamini mungu Atunusuru
Duh!! Polesana
Aise
Mtakuja kubakwa na Majini maamae😅😅😀😂...,we sema uliuza roho ndo upate mahela
Ningependa nipate mawasiliano ya Bw Ramadhani au huyo Esco
Mbongo kuamni ni ngumu sana.
hahahahahha kaka mbona mi mbongo na nimeleea
Songesha camera tuone vitabu @9:30. Ni kama hamjui kufanya interview. All interviews are same in Tanzania. Zero evidence. Speaking without backing what you say.
Ndio manake na penda Kenya, nchi ya FACTS, sio story za kindergaten.
Na ni kwanini Tanzania ndio majini wapo tu? Kuna siri wengine hawajui? Tupe siri.
Majini wapo Tanzania tu? Mmh wewe mwenzetu upo sawa kabisa...
haya mambo yapo, hufanyika haswaa maeneo ya pwani.
Atakama yapo sio kwahizi chenga niuongo mtupu promo hizo
Matatizo ya kuangalia muvi za kutisha ndo haya yaani huyu jama anatuadisia marudio ya muvi kabisa huyu😀😀😀
Wa kwnz leo,Piga kelele wee,wewee,weweweeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥
Et nilipo taka kuondoa walikua na huzuni
Pete za nini izo mkuuu
😹🤣🤣🤣🤣🤣 ahhhhhh! Una nichekecha kweli
njaa inasumbua huyu baba muonekano wake pekee unaona ni shida
Pole sana😥🙏
Assumptions!
Aisee si tupo mjini tunajiona wajanja et!! tupo town Kumbe kuna wazeee wapo vijijiji wanaa buni mbuni mbwinu mbiiiinuuu za kulaa helaaa zetuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Chidi chpoo yan w acha tu 😂😂😂😂
Utasikia eti ooooh,sikuwai kuona USIKU wala Mchana, mara eti Ooooh nulipotolewa ilikua ni USIKU, chizi kwl huo jama, wajinga njo wali wak😂🙄
I'm
Gnl Mutabazi Hamza 😂😂😂
Njoo kwa Yesu kristo....ndg utakuwa salama.....hao ni mapepo tunayakemea kwa Jina la Yesu kristo.
Mzee muongo sana Mara akuwahi kuona mchana wala usiku,Mara usiku ndo aliwekwa kwenye box kurudishwa duniani da!
Hata mimi mwenyewe sijakubali😂😂😂
Alimaanisha usiku wa duniani. Anyway story za uchawi zote za uongo tu.
Mguu mmoja mfup mwingine mnene
Maajabu huu mwaka sielewi
Kwa kingereza tunaita balamuda triangle watu huwa wanapotea meli, ndege pia ndio zao hivi viumbe vipo tru pole mwaya..
Wacha uongo bermuda triangle iko atlantic ocean sio indian ocean
Hiyo tumerumbana rumbana pale, yaani uwongo dhahiri 🤣🤣🤣🙌🏼
😂😂😂😂😂😂😂 ume ona
😂😅😂😅 Mzee niseme tu asante kwa kupoteza muda wangu bila kusahau #MB zangu 😂 ila wewe ni muongo sijawahi ona kheee jmn tanzania ina joto hadi nahisi baridi maana sio kwa vibwanga na uongo huo 😂😅😂😅 uwiiii
Wew inawezekan kweli
Mh wew muongo
Watanzania wajinga Sana
Nawabishi Sana kuamin matukio
Ya adimu zaid dunian Kama Aya
Majin wapo na watu wanapendwa
Na majin
jamani hawa walimu na wanganga siku hizi wanapenda tumia story ili kujipa umarufu...kabla hajaanza kusimulia nilihisi hicho ndio atakisema anyway mungu ndio anajua zaidi
🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee mpiga punyeto uyo anaongopa ana lolote k uyo
Mmmh uyo baba muongo jamani khaa 😃
mmm mantoum dunia hii hatuko peke yetu.kuna viumbe kama binadamu.lakini wako tofauti sana na binadam
ni kweli.
Esco brasa tupe namba za simu za bwana Ramadhani.
Yanga bana
Story za wanyabi....
Mungu wangu 🙏
Na wakubali sana SNS keep doing what you guys are doing naikubali sana SNS 💪👉👍🔥🔥
Jamaa yupo seriously kama kweli vile kumbe muongoo,,, Yaani anamaliza majogoo ya watu tu mtaani
Umejaribu kueleza vzuri ulimwengu wa majini, hiyo haikataliki ila kosa kubwa ulilofanya ni kuwa mfuasi wao coz, wanakutumia na watakutumia vbaya juu ya wanaadamu wenzako.
Duuuuh hadi kwenye Miembe majini wanaishi.
karibuni giningi
Mamae hii stori nilisimuliwa zamani na marehemu babu..wkt tunapata kahawa..inaonekana hasa ni uwongo mtupu..shenzi type..za alifu alela ulela
Mhm
Mashetani wengine wakitaka kukupa uganga wanaweza kukupoteza ukawa unaishi porini tu mda wao wakitaka kukurudisha wanakurudisha
Kama urongo ungekuwa ni binadamu..Hawa ndio warongo Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mh huo ni ushirikina ndugu yangu Acha. Nashauri ndugu zangu tusiendekeze njaa itatupeleka pabaya. Haya upewe vitabu bila ya kujua kuvisoma mara ujue na kuanza tiba Mh yaan kutamani kula kwa wepesi? haya Rafiki yangu alizama kakuta majini wanawake wawili akaambiwa achague? MH jamani. haya wataalamu wa ujinini
Mmmmh hhhhhhh hii ni kaaliii kwikwiikwiiii hii stori sujuiii....
Na wewe mwaandishi ulimjuaje huyu mtu
😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣
🤣🤣🤣
Hapo sasa
Naikubari sana sns tafuteni nyingine tena story kama izo mi zinanivutia sana
We mzee ni mtu mzima acha uongo bhana,vua ayo💍💍
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅
namsikiliza kwa makini kila point,Luna muda anasema alipokuwa huko alikua hajui usiku wala mchana afu siku walipo mota kurudi duniani walimtoa usiku.kizazi hiki ni makini mno unapo nini jambo unabidi ujipange haswa
Wao ndio walimwambia huu usiku lkn yeye hakujua usiku wala mchana kule hakuna jua nyota wala jua
Kumanina huyu mzee mwongo kinyamaa😂😂😂😂😂😂 yani anasimulia hadhisi zile za kwenye vitabu 😂😂😂😂😂
😁😁😁😁 uyu atakuwa mchawi au anapenda mambo ya kishirikina coz anasifia mivitu yakipepo na anapenda
Hahahahahahahahaha huuuuuuniuronga sasa dooooooo wambongo hapo mkiamini basi sijui nisemeje kabisaaaaa.
Watu Wabishi C Mfuatilie Stol Za Davista Mjue Mengi Majini Yapo Mtume Muhamadi Anajua Uwepo Wa Majini Nabii Yesu Anajua Uwepo Wa Majini Iweje Wewe Ukatae Kama Akuna Majini Wakati Wenye Mamlaka Kutoka Kwa Mungu Wanajua Uwepo Wa Majini We Nani Ubishe
Fact
Aaaaa sitory yako imenifulaisha sana
Mzee wa kudere uyu sio kweli
Story inawezekana ikawa yakweli isipokuwa huyu mwamba ameridhia kumshirikisha mungu wake kwaajili ya hao mashetani.
Yaani kifupi majini wanamtumia kupoteza watu kwasababu m.mungu yupo hai na hakuna msaada was jini unaotakiwa katika mambo
Uongo ulioandaliwaa
Haaaaahaaa Lioga sana hili,,,,ati alhamdhililah siko duniani tena niko ahera haaaahaaa
Dah kweli tangazo hili la kganga
Huyu Hajielew pumbavu Zak macho kama mzee jenguo
Hata.nieri.mzee.jenguo.macho.yake.mazuri
😂😂😂Make hapo kwanza ncheke. Majini walimlilia. Liongo hili. Huyo mganga karithi anataka kutupiga fix😂😂😂
Lizee lipiga punyeto ilo 😂😂😂😂😂😂
Tanzania mnajua kiki kweli hata wazeee
Mbona hata namba ya simu hajatoa kama ni kwel anatafuta wateja🙊🙈😸
😀😀😀😀woiiiii!!!!!😀😀😀
Some vidios are for teaching people iam an old father having great genarytion and teach them that nk
Tangazo la mganga
Kuna mtu bas ataamini😂 jini akupe kitabu ukasome reallyyy si akusumarizie tuu kukurahisishia...
Jini mwanamke ana ZIWA KUBWA na ZIWA DOGO kama unaamini hilo sema YEAAAAAAAAAAA
Alfu Lela Ulela😁😁😁😁
uyu jamaa muongo sana kasema cku ya 6 kajikuta ufukwen kachoka sana mara kafika home wanamwambia cku ya 5 ulipotea
Achia mwingine microphone atupe story umemkatizia story mingi ata utamu wa story hajatupea juu unamnanganya mic badala uache atupe uondo i wish ningejua mtangazaji mwingine anamwoji nimsikize ww umetuaribia
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾😍😍