Chakumshukuru Mungu wazungu waliwasaidia sana ndugu zetu,hawakuwatupa baharini,nawalivunja safari yao wakawarudisha Mombasa,that is what we call humanity.gonga like kama unakubaliana na mimi
Pole sana kaka Mwembe Allah amekulinda na atakulinda na kila baya katika utafutaji wa ridhki yako, mitihani ndio sehemu katika maisha. Mtangazaji punguza maswali mengine ambayo hayana maana pia mpe muhusika nafasi azungumze ili watu wapate faidi na kujua jinsi gani mitihani ilivyomsibu. Allah kareem.
Allah qadir,hakika ni mtihani Allah aliwatahini...na aliwajaribu ..kwa hakika duniani kuna mitihani mingi sana na kwa hakika kila mja hutahiniwa kwa mitihani yake.Ewe Mola tutahini kwa mitihani ambayo itakuwa fauza kwetu.Pole kwako na kwenu kaka,Mola atakuwezesha na atakufaulusha ktk mitihani ...Hongera kwa Kumtanguliza Mungu kwa kila jambo ktk mtihani uliowapata.
@Esco, washauri wavuvi wapende kutembea na vipande vya vioo vya kujiangali. Endapo wanapata maafa unaweza kumulika kupitia mwanga wa jua kikatoa ishara kama tochi kali ili chombo hata kiwe mbali wataonekana kiurahisi na kupewa msaada. Hata marubani wa ndege wataweza kuwaona na kusaidia kutoa taarifa za uokozi. Mchango wa bure huo.
Punguza maswali bro.....unamkatisha sana msimuliaji....unamtoa kwenye feelings.....but napenda kipindi kizuri......but tumieni camera nzuri iwe na best quality
kama huyo Mungu alowatoa Znbr mpaka Somalia ndio huyo atakae tuvusha na kututolea CORONA VIRUS Ameen. maskini mzazi roho yote kwa watoto japo yupo matatizoni jamani tuwapende wazee wetu yaani yupo kifoni moyo upo kwa watoto.
Mtangazaji anahitaji mazoezi, habari zote zingechukua nusu ya muda aliotumia kumhoji aliathilika na ajali. Anarudia rudia mpaka utamu wa habari unaisha
@@fatumaally3444 nisawa ilahebu jaribu kafatilia maswali ya waandishi wetu mtu kafiliwa na mtuwake wakaribu sana halafu anamuuliza tukio hili umelipokeaje kama ahapo ajibu vipi hapo waandishiwe wana maswali yakipuuzi wakati mwengine
We hujui kihiji. Mtu anaelezea halafu unauliza tena mlijiskiaje, kwa nini alikuwa na hali mbaya. Jifunze jinsi ya kuelewa kabla ya kuuliza tena maana unarudia rudia
Kaka mwache atiririke na story hapo ndipo unapokosea kwanini unaongea sana ??maswali siyo hivo sasa unaboa kweli,mpe japo dakika kadhaa ajieleze sio kila neno watia swali sio pouwa,hebu angalia harafu jitathimini mwenyewe
Aiseeee jifunze kusikiliza.mpe muda asimulie.usihoji unayotaka kuskia tu jamani..na mtindo wako huo wakukatiza katika kila clip..si unaudhi aiseeee,wacha tuskie vina vya story maze
Chakumshukuru Mungu wazungu waliwasaidia sana ndugu zetu,hawakuwatupa baharini,nawalivunja safari yao wakawarudisha Mombasa,that is what we call humanity.gonga like kama unakubaliana na mimi
Napenda kila unapoelezea unamueka Mungu ndio alikuwezesha.
Aise mm leo nimeaza kufatilia kuazi saa5 usk mpka saa 5 sijalala aise
Thank God almighty for everything. Mungu awabariki sana mlioathirika🙏
Jifunze kuhoji maswali ,unarudia rudia sana,ikiwezekana muache aeleze yy menyewe ilivokua
Subhana Allah Allah Akbar kwakweli Allah hashindwi nalolote nimwingi warehma
@Da2 Hana Mshirika kbsa100&
Pole sana kaka Mwembe Allah amekulinda na atakulinda na kila baya katika utafutaji wa ridhki yako, mitihani ndio sehemu katika maisha. Mtangazaji punguza maswali mengine ambayo hayana maana pia mpe muhusika nafasi azungumze ili watu wapate faidi na kujua jinsi gani mitihani ilivyomsibu. Allah kareem.
Allah amponyeshe ndugu yako na mshutuko na kuwa mjongwa amin
Hizi stori nazipenda sana mkuu zidisha kutuma nyingi zaidi nazipenda sana
Mtangazaji unaongea sanaaaaa . mpe chance ajieleze
@@angelangowi9078 anakuulizia wewe ujue mengi dada
Azifanye mtindo wa makala zitakuwa poa zaidi
Mashallah ana imani sana...Allah amzidishie
Masha Allah yaani mliletwa hadi Mombasa,yaani walikuwa na utu..mungu awalipe
Allah akufanyie wepesi uncle
Allah qadir,hakika ni mtihani Allah aliwatahini...na aliwajaribu ..kwa hakika duniani kuna mitihani mingi sana na kwa hakika kila mja hutahiniwa kwa mitihani yake.Ewe Mola tutahini kwa mitihani ambayo itakuwa fauza kwetu.Pole kwako na kwenu kaka,Mola atakuwezesha na atakufaulusha ktk mitihani ...Hongera kwa Kumtanguliza Mungu kwa kila jambo ktk mtihani uliowapata.
Hii story kama umeirudia kuisikiliza mara nyingi kama mie gonga like zako hapa pia tupia comments zako mie nimejifunza vitu vingi ww je?
P1
Pole sana kaka mungu azidi ku kupa maisha marefu 🙏🏽🙏🏽
@Shaku and Mwisho Mwema
Mzee pole.
Mtangazaji muache jamaa ajielzee kwa kina.
watu wamekaa 7days Baharini,harafu unawauliza "hamkuogopa"kutupwa Baharini ?, kwakweli hii Elimu ya Uandishi uliosoma!!!!!!????
Never change that background music it is so fantastic
Poleni sana mzee
@Esco, washauri wavuvi wapende kutembea na vipande vya vioo vya kujiangali. Endapo wanapata maafa unaweza kumulika kupitia mwanga wa jua kikatoa ishara kama tochi kali ili chombo hata kiwe mbali wataonekana kiurahisi na kupewa msaada. Hata marubani wa ndege wataweza kuwaona na kusaidia kutoa taarifa za uokozi. Mchango wa bure huo.
Hee inawezekana kumbe.
@@mariamunika6239 ni moja Kati ya mbinu za dakika za mwisho.
Mapema sana nimewahiiii leo hizi story nazipenda sana
Poleni sana kwa yaliyowapata, vijana tushazowea kumla kashakaangwa
Unamuamini mungu baba ndio mana kakuponya
Maswali ni mengi sana ndugu mtangazaji msimuliaji hanashindwa kusimulia vzr
Yani anazinguwa kabisa
Napenda SIMULIZI hizi lakini unachoniboa nimaswali ambayo hayampi nafasi msimuliaji tuliza kiherehere tupate stor
Anajiela vijimadwali vyako vyamtoa kwenye reli
Mashaallah mwezi mungu ni mkubwa story sana ina sisimuwa uki ifikiriya
Dah bonge la mkasa walah poleni sana Mungu ni mwingi wa rehema
Mtangazaji uwe una tulia kidogo kwenye maswali kipindi kizur❤️
Ndugu mtangazaji acha maswali mengi wacha story iendelee. waboesha sana kwa kumkatakata.
Kijana yuko well informed sema anauliza sana maswali ila anajua pia kuuliza sema anauliza sana hopefully atakuwa bora sana huyu soon
inatakikana amuwache amalize kujieleza ndio aulize maswali wakati mwengine anampoteza inakuwa story inaenda mbele inarudi nyuma
Yuko vizuri nadhani nyie hamjakutana na watangazaji hewa
Poleni mzee tuletee story hizi tena na tena
Punguza maswali bro.....unamkatisha sana msimuliaji....unamtoa kwenye feelings.....but napenda kipindi kizuri......but tumieni camera nzuri iwe na best quality
Story nzuri ila punguza maswali kidogo
Anazingua maswali mengi hadi story anaharibu sasa
Jamaa maswalii mengiiii had inakeraaa yaan
We kichwa yako n mbovu e bila maswal utaelewa vipi
@@bensonswai9661 😂 😂 😂
Mtangazaji umeniangusha ktk kuuliza maswali, jitahidi siku nyingine kuuliza maswali kuntu na kitaaluma zaidi
Mtangazaji upo vizuri sanaa hongera
Umeuliza suali la kishoqa sana
Yaaan wawaokowe af wawatose
Mjomba rudi kwenye mafunzo
Yani pole sana
kama huyo Mungu alowatoa Znbr mpaka Somalia ndio huyo atakae tuvusha na kututolea CORONA VIRUS Ameen. maskini mzazi roho yote kwa watoto japo yupo matatizoni jamani tuwapende wazee wetu yaani yupo kifoni moyo upo kwa watoto.
Kweli wazazi wanatujali sana
Kabisa wazazi hawana mfano baadhi Yao mashetan hawajali watoto wao
Ndugu muandishi acha mtu aelezeee unaingilia sana kati unauliiiiza ila unafanya kazi nzuri sanaa
Unataka uendenamda braza
Punguzamaswari
Nakukubali broo kwa simulizi
Daaah wallahi machozi yamenitoka nilipokua nafikiria wakati wanaingia nyumbani nilijihisi kama nipo
Mtangazaji anahitaji mazoezi, habari zote zingechukua nusu ya muda aliotumia kumhoji aliathilika na ajali. Anarudia rudia mpaka utamu wa habari unaisha
Allah barik
Kazi nzuri esco
Next time esco mwache muhusika ajieleze mwenyewe
Based on true story
Story za kweli zinajulikana.
Huna experience ya maswali kasome tena
Msuka kichawini au pole mzee Wang Allah akufanyie wepes
Acha dharau na kukebei wezeo
@@fatmaaly3056 kwahy kuliza zarau au unajielewa ww au umevuta virus vya corona jitambuwe km mwanamke na ujuwe kutofautisha zarau na kuliza sawa mama
Esco aaahhh hapo hamna kucheka tena mbna unauliza maswali ya kitoto
Ahmed Salah umeona eeh
We muandishi unajifunza kuhoji ilabado hujui nahutojua mtukazama halafu unamuuliza ulijisikia vipi unataka akujibu nilikua na furaha au?
Sasa alikua anataka kujua hali halisi...jamani tujifunze kutoa comment pia
@@fatumaally3444 nisawa ilahebu jaribu kafatilia maswali ya waandishi wetu mtu kafiliwa na mtuwake wakaribu sana halafu anamuuliza tukio hili umelipokeaje kama ahapo ajibu vipi hapo waandishiwe wana maswali yakipuuzi wakati mwengine
Omar Khamis kweli anajifunza kabisaa anaboa
Subhanallah
Dah pole shekhe wangu ulitakiwa uswali sana
Kufanya ibada sio mpaka upatwe na janga ata ww na mm tunatakiwa kuswali sana.
@@jamilmwinge3695 kabisa
We hujui kihiji. Mtu anaelezea halafu unauliza tena mlijiskiaje, kwa nini alikuwa na hali mbaya. Jifunze jinsi ya kuelewa kabla ya kuuliza tena maana unarudia rudia
Hata mie sijui maana ya kihiji
Hah
Allah Akbar mungu zaidi
Huyu mwandishi sio profisional kabisa... Yan watu wameokolewa alafu mwandishi anauliza eti hawakuogopa kutoswa tena baharini... Bure kabisa
Mmmh polen sanaaaa
Nzuri Sana story
Allah kareem...Alhamdulillah.
kazi nzuri kijana
Nice
Polen sana MUNGU hamtupi mja wake🙏
Kabisa
Mtangazaji,unauliza facts lakini jaribu kumwachia nafasi aleze story kuliko kuingilia kati na kutaka kumjibia story.
Mwache msimulizi asimulie kwanza kisha badae ndo uanze kumrudisha nyuma
Poleni sana
pole sana
ila Allah angekujalia ungeingia mpka saud arabia ungeeenda kuhij kabsaa makka faster.
ungejigımboa kabsaaa nguzo ya 5
Makini, utanivunja mbavu na sina hali tayari
😂😂😂
Mtangazaji gani unahoji maswala hayo hayo unarejea mbele nyumba umesoma wapi bro. Unarusha steem
ManshaAllah
So sad Allah Akabar
Pole xn
Mtangazaji unaongea kuliko huyo anayetoa ushuhuda
Allah Akbar
good story
Kaka mwache atiririke na story hapo ndipo unapokosea kwanini unaongea sana ??maswali siyo hivo sasa unaboa kweli,mpe japo dakika kadhaa ajieleze sio kila neno watia swali sio pouwa,hebu angalia harafu jitathimini mwenyewe
Anabooo sana
Hi stori mzuri bt huyo muhujaji ana mtihani
Zile balaaa mzee tumezipenda balaaa
Maswal yako kaka yanaboa si umuache asimulie unaulza ht yasiyo maana mpka unatukosesha utamu,mfyuuuuuuuuuu
nmefurahi sana na nmejifunza sana
❤️
Mtangazaji unaanza vizur katikati unachanganya bro badilika story kal ila we ndo unaharibu kwa maswal ya kurud nyuma..
Bahari inatisha afu inavitu vingi kwakweli
Mtangazaji hadithi n nzuri sana lkn ila yako una maswali ya papo kwa papo mpe kidogo muda msimuliaji aweze kusimuliya kwa upana yale yalomsibu...
Aiseeee jifunze kusikiliza.mpe muda asimulie.usihoji unayotaka kuskia tu jamani..na mtindo wako huo wakukatiza katika kila clip..si unaudhi aiseeee,wacha tuskie vina vya story maze
Jifunze kwa mafundi kama njiapanda na wengine maswalibmengi
Hyo ni simuliz au mahojiano maswali meng kma mahojiano wakat ni simuliz
Kabisa kaka anaharibu kwel
Maswal yanazid uwezo loh
Apa Akuna Mtangazaji Bola Niachane Nayo Habari Pasua Kichwa Stol Nzuli Lakini Muojaji Ajui Kuzingatia Muda Wa Mtoa Stol
Esco lete madini tena na tena
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Zilete mzee tumezipenda balaaa ujuee
Hao waongo nanyie waandishi hamnakazi inavyo onekana
Mtangazaje yupo vizuri
Jamani uyo Mzee naomba namba yake
Mtangazaj ana washwa washwa mpaka anatamani kuhadithia yeye
@Ramadhan😆😆
Unajitahidi kutayarisha vipindi zivuri, kaza kamba
Mbona yuko vizuri mtangazaji 🚣🏿♀️
Yani una maswali mpaka unaboa boya wee
NDUGU MTANGAZAJI MPE NAFASI MSIMULIAJI MASWALI MBELE YA SAFARI UNAWEZA KUMPOTEZA KATIKA STORI YAKE Vinginevyo unafanya poa
Yuko vizuri mtangazaji maana wasimuliaji wanatupeleka fasta hawatusimulii vitu vingine
aujui kuoji kk
Kipindi changu hiki love u Esco
Plole san hii kazi ya uvuvi inachanga moto nyingi san hiki kipindi kizuri san tuleeten mvuvi mwengine mmuohoji
Huyu mtangazaji anaboa .....Yeye anaongea sana kuliko huyo mzee