Nilizama ZANZIBAR nikaonekana DJIBOUTI, Nimekaa kwenye maji siku 7, Ndugu zangu watano walikufa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มี.ค. 2020

ความคิดเห็น • 227

  • @gharibgharib7208
    @gharibgharib7208 4 ปีที่แล้ว +27

    Chakumshukuru Mungu wazungu waliwasaidia sana ndugu zetu,hawakuwatupa baharini,nawalivunja safari yao wakawarudisha Mombasa,that is what we call humanity.gonga like kama unakubaliana na mimi

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 4 ปีที่แล้ว +19

    Napenda kila unapoelezea unamueka Mungu ndio alikuwezesha.

    • @manenojames2011
      @manenojames2011 4 ปีที่แล้ว +1

      Aise mm leo nimeaza kufatilia kuazi saa5 usk mpka saa 5 sijalala aise

  • @tylerbrown5333
    @tylerbrown5333 4 ปีที่แล้ว +11

    Thank God almighty for everything. Mungu awabariki sana mlioathirika🙏

  • @fredymahenge3063
    @fredymahenge3063 4 ปีที่แล้ว +7

    Jifunze kuhoji maswali ,unarudia rudia sana,ikiwezekana muache aeleze yy menyewe ilivokua

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 ปีที่แล้ว +14

    Subhana Allah Allah Akbar kwakweli Allah hashindwi nalolote nimwingi warehma

  • @hassanhamiduhassanbarwan1450
    @hassanhamiduhassanbarwan1450 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana kaka Mwembe Allah amekulinda na atakulinda na kila baya katika utafutaji wa ridhki yako, mitihani ndio sehemu katika maisha. Mtangazaji punguza maswali mengine ambayo hayana maana pia mpe muhusika nafasi azungumze ili watu wapate faidi na kujua jinsi gani mitihani ilivyomsibu. Allah kareem.

  • @dhiabmohammed4238
    @dhiabmohammed4238 4 ปีที่แล้ว +7

    Allah amponyeshe ndugu yako na mshutuko na kuwa mjongwa amin

  • @jafarirashidi7456
    @jafarirashidi7456 4 ปีที่แล้ว +17

    Hizi stori nazipenda sana mkuu zidisha kutuma nyingi zaidi nazipenda sana

    • @angelangowi9078
      @angelangowi9078 4 ปีที่แล้ว +1

      Mtangazaji unaongea sanaaaaa . mpe chance ajieleze

    • @fatumaally3444
      @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว +1

      @@angelangowi9078 anakuulizia wewe ujue mengi dada

    • @bridgesportsallyz827
      @bridgesportsallyz827 4 ปีที่แล้ว +1

      Azifanye mtindo wa makala zitakuwa poa zaidi

  • @fatumaally3444
    @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah ana imani sana...Allah amzidishie

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 4 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah yaani mliletwa hadi Mombasa,yaani walikuwa na utu..mungu awalipe

  • @binkai9070
    @binkai9070 4 ปีที่แล้ว +5

    Allah akufanyie wepesi uncle

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah qadir,hakika ni mtihani Allah aliwatahini...na aliwajaribu ..kwa hakika duniani kuna mitihani mingi sana na kwa hakika kila mja hutahiniwa kwa mitihani yake.Ewe Mola tutahini kwa mitihani ambayo itakuwa fauza kwetu.Pole kwako na kwenu kaka,Mola atakuwezesha na atakufaulusha ktk mitihani ...Hongera kwa Kumtanguliza Mungu kwa kila jambo ktk mtihani uliowapata.

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +7

    Hii story kama umeirudia kuisikiliza mara nyingi kama mie gonga like zako hapa pia tupia comments zako mie nimejifunza vitu vingi ww je?

  • @shakukawele9959
    @shakukawele9959 4 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana kaka mungu azidi ku kupa maisha marefu 🙏🏽🙏🏽

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 ปีที่แล้ว +5

    Mzee pole.
    Mtangazaji muache jamaa ajielzee kwa kina.

    • @abdulrahmanmwadini5925
      @abdulrahmanmwadini5925 3 ปีที่แล้ว

      watu wamekaa 7days Baharini,harafu unawauliza "hamkuogopa"kutupwa Baharini ?, kwakweli hii Elimu ya Uandishi uliosoma!!!!!!????

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 4 ปีที่แล้ว +3

    Never change that background music it is so fantastic

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 ปีที่แล้ว +2

    Poleni sana mzee

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 ปีที่แล้ว +9

    @Esco, washauri wavuvi wapende kutembea na vipande vya vioo vya kujiangali. Endapo wanapata maafa unaweza kumulika kupitia mwanga wa jua kikatoa ishara kama tochi kali ili chombo hata kiwe mbali wataonekana kiurahisi na kupewa msaada. Hata marubani wa ndege wataweza kuwaona na kusaidia kutoa taarifa za uokozi. Mchango wa bure huo.

    • @mariamunika6239
      @mariamunika6239 ปีที่แล้ว +1

      Hee inawezekana kumbe.

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 ปีที่แล้ว

      @@mariamunika6239 ni moja Kati ya mbinu za dakika za mwisho.

  • @fedricklubigisa139
    @fedricklubigisa139 4 ปีที่แล้ว +3

    Mapema sana nimewahiiii leo hizi story nazipenda sana

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy3074 4 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana kwa yaliyowapata, vijana tushazowea kumla kashakaangwa

  • @faridaongala2324
    @faridaongala2324 4 ปีที่แล้ว +2

    Unamuamini mungu baba ndio mana kakuponya

  • @henrickkunambi4022
    @henrickkunambi4022 4 ปีที่แล้ว +3

    Maswali ni mengi sana ndugu mtangazaji msimuliaji hanashindwa kusimulia vzr

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 ปีที่แล้ว +7

    Napenda SIMULIZI hizi lakini unachoniboa nimaswali ambayo hayampi nafasi msimuliaji tuliza kiherehere tupate stor

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 4 ปีที่แล้ว +3

    Anajiela vijimadwali vyako vyamtoa kwenye reli

  • @lilym704
    @lilym704 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mwezi mungu ni mkubwa story sana ina sisimuwa uki ifikiriya

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah bonge la mkasa walah poleni sana Mungu ni mwingi wa rehema

  • @zuhuraomary3442
    @zuhuraomary3442 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji uwe una tulia kidogo kwenye maswali kipindi kizur❤️

  • @mkambotv5418
    @mkambotv5418 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndugu mtangazaji acha maswali mengi wacha story iendelee. waboesha sana kwa kumkatakata.

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 4 ปีที่แล้ว +3

    Kijana yuko well informed sema anauliza sana maswali ila anajua pia kuuliza sema anauliza sana hopefully atakuwa bora sana huyu soon

    • @radiorahma
      @radiorahma 3 ปีที่แล้ว

      inatakikana amuwache amalize kujieleza ndio aulize maswali wakati mwengine anampoteza inakuwa story inaenda mbele inarudi nyuma

    • @daynahringo3389
      @daynahringo3389 ปีที่แล้ว

      Yuko vizuri nadhani nyie hamjakutana na watangazaji hewa

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 ปีที่แล้ว +3

    Poleni mzee tuletee story hizi tena na tena

  • @lupacrisamayc518
    @lupacrisamayc518 4 ปีที่แล้ว +18

    Punguza maswali bro.....unamkatisha sana msimuliaji....unamtoa kwenye feelings.....but napenda kipindi kizuri......but tumieni camera nzuri iwe na best quality

    • @danielmwita4207
      @danielmwita4207 4 ปีที่แล้ว

      Story nzuri ila punguza maswali kidogo

    • @rajabumsuya7946
      @rajabumsuya7946 4 ปีที่แล้ว

      Anazingua maswali mengi hadi story anaharibu sasa

    • @mosesbarnabas236
      @mosesbarnabas236 4 ปีที่แล้ว

      Jamaa maswalii mengiiii had inakeraaa yaan

    • @bensonswai9661
      @bensonswai9661 4 ปีที่แล้ว

      We kichwa yako n mbovu e bila maswal utaelewa vipi

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ ปีที่แล้ว

      @@bensonswai9661 😂 😂 😂

  • @herielmao3900
    @herielmao3900 11 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji umeniangusha ktk kuuliza maswali, jitahidi siku nyingine kuuliza maswali kuntu na kitaaluma zaidi

  • @daynahringo3389
    @daynahringo3389 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji upo vizuri sanaa hongera

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 ปีที่แล้ว

    Umeuliza suali la kishoqa sana
    Yaaan wawaokowe af wawatose
    Mjomba rudi kwenye mafunzo

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani pole sana

  • @wardawarda3427
    @wardawarda3427 4 ปีที่แล้ว +4

    kama huyo Mungu alowatoa Znbr mpaka Somalia ndio huyo atakae tuvusha na kututolea CORONA VIRUS Ameen. maskini mzazi roho yote kwa watoto japo yupo matatizoni jamani tuwapende wazee wetu yaani yupo kifoni moyo upo kwa watoto.

    • @fatumaally3444
      @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว

      Kweli wazazi wanatujali sana

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa wazazi hawana mfano baadhi Yao mashetan hawajali watoto wao

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu muandishi acha mtu aelezeee unaingilia sana kati unauliiiiza ila unafanya kazi nzuri sanaa

  • @hussenyussuphu5781
    @hussenyussuphu5781 4 ปีที่แล้ว +2

    Unataka uendenamda braza
    Punguzamaswari

  • @yussufmohamed7427
    @yussufmohamed7427 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali broo kwa simulizi

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 ปีที่แล้ว

    Daaah wallahi machozi yamenitoka nilipokua nafikiria wakati wanaingia nyumbani nilijihisi kama nipo

  • @MrSaidi57
    @MrSaidi57 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji anahitaji mazoezi, habari zote zingechukua nusu ya muda aliotumia kumhoji aliathilika na ajali. Anarudia rudia mpaka utamu wa habari unaisha

  • @tundahatibu6738
    @tundahatibu6738 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah barik

  • @salembaksh6551
    @salembaksh6551 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri esco

  • @makoyebq879
    @makoyebq879 4 ปีที่แล้ว +2

    Next time esco mwache muhusika ajieleze mwenyewe

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 ปีที่แล้ว +4

    Based on true story

  • @infochannel5674
    @infochannel5674 4 ปีที่แล้ว +10

    Story za kweli zinajulikana.

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 4 ปีที่แล้ว +2

    Huna experience ya maswali kasome tena

  • @DalilahamadHamadl
    @DalilahamadHamadl 4 ปีที่แล้ว +2

    Msuka kichawini au pole mzee Wang Allah akufanyie wepes

    • @fatmaaly3056
      @fatmaaly3056 4 ปีที่แล้ว

      Acha dharau na kukebei wezeo

    • @DalilahamadHamadl
      @DalilahamadHamadl 4 ปีที่แล้ว +1

      @@fatmaaly3056 kwahy kuliza zarau au unajielewa ww au umevuta virus vya corona jitambuwe km mwanamke na ujuwe kutofautisha zarau na kuliza sawa mama

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 ปีที่แล้ว +2

    Esco aaahhh hapo hamna kucheka tena mbna unauliza maswali ya kitoto

  • @omarkhamis7368
    @omarkhamis7368 4 ปีที่แล้ว +8

    We muandishi unajifunza kuhoji ilabado hujui nahutojua mtukazama halafu unamuuliza ulijisikia vipi unataka akujibu nilikua na furaha au?

    • @fatumaally3444
      @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว

      Sasa alikua anataka kujua hali halisi...jamani tujifunze kutoa comment pia

    • @omarkhamis7368
      @omarkhamis7368 4 ปีที่แล้ว

      @@fatumaally3444 nisawa ilahebu jaribu kafatilia maswali ya waandishi wetu mtu kafiliwa na mtuwake wakaribu sana halafu anamuuliza tukio hili umelipokeaje kama ahapo ajibu vipi hapo waandishiwe wana maswali yakipuuzi wakati mwengine

    • @jumpersamtimber8102
      @jumpersamtimber8102 4 ปีที่แล้ว

      Omar Khamis kweli anajifunza kabisaa anaboa

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah pole shekhe wangu ulitakiwa uswali sana

    • @jamilmwinge3695
      @jamilmwinge3695 4 ปีที่แล้ว

      Kufanya ibada sio mpaka upatwe na janga ata ww na mm tunatakiwa kuswali sana.

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 2 ปีที่แล้ว

      @@jamilmwinge3695 kabisa

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 4 ปีที่แล้ว +3

    We hujui kihiji. Mtu anaelezea halafu unauliza tena mlijiskiaje, kwa nini alikuwa na hali mbaya. Jifunze jinsi ya kuelewa kabla ya kuuliza tena maana unarudia rudia

  • @malonyrashidi1915
    @malonyrashidi1915 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah Akbar mungu zaidi

  • @jimmym3049
    @jimmym3049 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwandishi sio profisional kabisa... Yan watu wameokolewa alafu mwandishi anauliza eti hawakuogopa kutoswa tena baharini... Bure kabisa

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh polen sanaaaa

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 4 ปีที่แล้ว +1

    Nzuri Sana story

  • @iddijuma3650
    @iddijuma3650 3 ปีที่แล้ว

    Allah kareem...Alhamdulillah.

  • @rehemamwachali2491
    @rehemamwachali2491 4 ปีที่แล้ว

    kazi nzuri kijana

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว +1

    Polen sana MUNGU hamtupi mja wake🙏

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 4 ปีที่แล้ว +5

    Mtangazaji,unauliza facts lakini jaribu kumwachia nafasi aleze story kuliko kuingilia kati na kutaka kumjibia story.

    • @sanciroandrea8826
      @sanciroandrea8826 4 ปีที่แล้ว

      Mwache msimulizi asimulie kwanza kisha badae ndo uanze kumrudisha nyuma

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU89 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว +5

    pole sana
    ila Allah angekujalia ungeingia mpka saud arabia ungeeenda kuhij kabsaa makka faster.
    ungejigımboa kabsaaa nguzo ya 5

    • @pip_rake
      @pip_rake 4 ปีที่แล้ว

      Makini, utanivunja mbavu na sina hali tayari

    • @umbeaeastafrica7943
      @umbeaeastafrica7943 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji gani unahoji maswala hayo hayo unarejea mbele nyumba umesoma wapi bro. Unarusha steem

  • @zubeirbaia3227
    @zubeirbaia3227 2 ปีที่แล้ว

    ManshaAllah

  • @mashakiabdulrahman3373
    @mashakiabdulrahman3373 4 ปีที่แล้ว +1

    So sad Allah Akabar

  • @tumacholo7311
    @tumacholo7311 2 ปีที่แล้ว

    Pole xn

  • @aminaally242
    @aminaally242 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji unaongea kuliko huyo anayetoa ushuhuda

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah Akbar

  • @emmanueljohn6765
    @emmanueljohn6765 4 ปีที่แล้ว +1

    good story

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi 4 ปีที่แล้ว +4

    Kaka mwache atiririke na story hapo ndipo unapokosea kwanini unaongea sana ??maswali siyo hivo sasa unaboa kweli,mpe japo dakika kadhaa ajieleze sio kila neno watia swali sio pouwa,hebu angalia harafu jitathimini mwenyewe

  • @shuhaidaomar3347
    @shuhaidaomar3347 4 ปีที่แล้ว +1

    Hi stori mzuri bt huyo muhujaji ana mtihani

  • @kulwajumanne2718
    @kulwajumanne2718 4 ปีที่แล้ว +2

    Zile balaaa mzee tumezipenda balaaa

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 4 ปีที่แล้ว +2

    Maswal yako kaka yanaboa si umuache asimulie unaulza ht yasiyo maana mpka unatukosesha utamu,mfyuuuuuuuuuu

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 4 ปีที่แล้ว +1

    nmefurahi sana na nmejifunza sana

  • @angelasdney4164
    @angelasdney4164 4 ปีที่แล้ว

    ❤️

  • @nurdinalhaji7139
    @nurdinalhaji7139 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji unaanza vizur katikati unachanganya bro badilika story kal ila we ndo unaharibu kwa maswal ya kurud nyuma..

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba6742 4 ปีที่แล้ว +1

    Bahari inatisha afu inavitu vingi kwakweli

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji hadithi n nzuri sana lkn ila yako una maswali ya papo kwa papo mpe kidogo muda msimuliaji aweze kusimuliya kwa upana yale yalomsibu...

  • @jaymannjenga5003
    @jaymannjenga5003 4 ปีที่แล้ว +1

    Aiseeee jifunze kusikiliza.mpe muda asimulie.usihoji unayotaka kuskia tu jamani..na mtindo wako huo wakukatiza katika kila clip..si unaudhi aiseeee,wacha tuskie vina vya story maze

  • @simonamedous3509
    @simonamedous3509 4 ปีที่แล้ว +1

    Jifunze kwa mafundi kama njiapanda na wengine maswalibmengi

  • @ibrahimabdallah2317
    @ibrahimabdallah2317 4 ปีที่แล้ว +2

    Hyo ni simuliz au mahojiano maswali meng kma mahojiano wakat ni simuliz

  • @mohamedkunguju966
    @mohamedkunguju966 4 ปีที่แล้ว +2

    Maswal yanazid uwezo loh

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 ปีที่แล้ว

    Apa Akuna Mtangazaji Bola Niachane Nayo Habari Pasua Kichwa Stol Nzuli Lakini Muojaji Ajui Kuzingatia Muda Wa Mtoa Stol

  • @officialsaid7541
    @officialsaid7541 4 ปีที่แล้ว +1

    Esco lete madini tena na tena

  • @Daniel-ug6fi
    @Daniel-ug6fi 4 ปีที่แล้ว

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @kulwajumanne2718
    @kulwajumanne2718 4 ปีที่แล้ว +5

    Zilete mzee tumezipenda balaaa ujuee

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 ปีที่แล้ว

    Hao waongo nanyie waandishi hamnakazi inavyo onekana

  • @ahmedsaidi438
    @ahmedsaidi438 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaje yupo vizuri

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani uyo Mzee naomba namba yake

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaj ana washwa washwa mpaka anatamani kuhadithia yeye

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 4 ปีที่แล้ว +1

    Unajitahidi kutayarisha vipindi zivuri, kaza kamba

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbona yuko vizuri mtangazaji 🚣🏿‍♀️

  • @peaceboy5342
    @peaceboy5342 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani una maswali mpaka unaboa boya wee

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 4 ปีที่แล้ว +7

    NDUGU MTANGAZAJI MPE NAFASI MSIMULIAJI MASWALI MBELE YA SAFARI UNAWEZA KUMPOTEZA KATIKA STORI YAKE Vinginevyo unafanya poa

    • @omarchuo2178
      @omarchuo2178 4 ปีที่แล้ว

      Yuko vizuri mtangazaji maana wasimuliaji wanatupeleka fasta hawatusimulii vitu vingine

  • @vitalisnyagali1903
    @vitalisnyagali1903 4 ปีที่แล้ว +1

    aujui kuoji kk

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว

    Kipindi changu hiki love u Esco

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 ปีที่แล้ว +1

    Plole san hii kazi ya uvuvi inachanga moto nyingi san hiki kipindi kizuri san tuleeten mvuvi mwengine mmuohoji

  • @mbarakashekallaghe1210
    @mbarakashekallaghe1210 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mtangazaji anaboa .....Yeye anaongea sana kuliko huyo mzee