MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...
    Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, amesalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani katika sherehe za miaka 58 ya uhuru akiwemo Lazaro Nyarandu, John Heche, Boniface Jacob, Sugu, pamoja na Godbless Lema katika uwanja wa CCM kirumba Jijini Mwanza
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

ความคิดเห็น • 95

  • @yassinkabingwa8915
    @yassinkabingwa8915 4 ปีที่แล้ว +4

    CCM ni kioo cha Democracia nchini na katika bara la Africa. Mungu ibariki Tanzania pia mbariki Raisi wetu JPM daima

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 ปีที่แล้ว +14

    Ni Jambo jema kuwaachia huru BINAADAMU hususan walioingia gerezani bila ya hatia.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +9

    Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 4 ปีที่แล้ว +3

    Hii ndio Tanzania ya wote sasa hakika MUNGU ni mkuu sana.Maendeleo bila umoja na upendo hata ktk familia ni kasoro kubwa.Hongera baba Magufuri wewe ni baba wa wote na MUNGU akupe wepesi ktk kusimamia majukumu yako.

    • @abdallhaibrahim3816
      @abdallhaibrahim3816 4 ปีที่แล้ว

      Mimi kilicho nifulahisha viongozi wote kufika bila jujali tofauti zao hakika mungu atuongoze tusije chukiana sababu ya vyama nawapa hongela viongozi wote kwa ujumla

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 4 ปีที่แล้ว +2

    Da
    Safi sana imejenga taswira nzuri sana kwa Taifa letu hasa wale wasiopenda Taifa letu wapo kimaslahi zaidi

  • @deokessy4714
    @deokessy4714 4 ปีที่แล้ว +9

    JPM utazidi kuwa juuuuuuu,like hapa Kama unaamini hivyo

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 ปีที่แล้ว

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 ปีที่แล้ว

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 ปีที่แล้ว

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 ปีที่แล้ว +10

    Mmemuons LEMA ANAVYOUTAFUTA MKONO WA MAGUFULI ILI MRADI AMSALIMIE HALAFU KESHO UTAMSIKIA ANAMPONDA

  • @emanuelmrema3970
    @emanuelmrema3970 4 ปีที่แล้ว +6

    Kama kuna aliemuona mwinyi akisimama kila SAA kuonyesha kuabudu agonge like

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว +12

    Asante mheshimiwa rais kwa kuwasamehe,wafungwa

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 4 ปีที่แล้ว

      Magufuli ana akili finyu sana. Unasamehe Wafungwa kwa upendeleo. Magereza kumejaa wagonjwa wa maradhi sugu na Wazee amemwachia nani wakuu wa Magereza.

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 4 ปีที่แล้ว +6

    Imaleta raha. Moyo unafurahia mno

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm Bnafsi Nampenda Cna Rais Wangu Magu Mwamba Wa Ziwa Victoria Mungu Hakuweke tu Umefanya Makubwa Ndani Ya Kipindi Kifupi Hongera Watanzania Wenzangu tuendelea Kumsaport Rais Wetu Nimungu Katupa

    • @fransicsamson106
      @fransicsamson106 4 ปีที่แล้ว

      Joseph Materu mungu hajamuleta jpm acha ujinga mungu hayuko upande Wa dikiteta.

    • @josephmateru8892
      @josephmateru8892 4 ปีที่แล้ว +1

      @@fransicsamson106 Cwa Kaka Mm Kweli Mjinga Ww Mwelevu Cna Coz Unataka Mm Nifate Mtazamo Wako Mm Kusema Jpm Kaletwa Na Mungu Nimtazamo Wangu Mjinga Na Mpumbavu Niyule Mwenye Kupinga Mtazamo Wa Mtu Mwingine Coz Mm C Ww Na Wa C Mm Nandio Maana Hata Levo Za Maisha 2potofauti 😂😂😂😂Haaaahaaahaa😂😂😂😂☝️☝️☝️

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaani Magufuli amepatana na Wahuni Face to face...Safi sana Bongo poa

  • @mako331
    @mako331 4 ปีที่แล้ว +6

    I just love this President, hata kuwasalimia tu wapinzani is a good gesture for the peace of the nation

  • @sabinashabani9742
    @sabinashabani9742 4 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana raisi wetu

  • @edwardmagori6630
    @edwardmagori6630 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana Rais wetu... Nimekiona pale ulipo wasalim wale jamaa pale chini Na Rangi zao za kaki.. Haaaaaaa

  • @محمدعلي-م4ص3ش
    @محمدعلي-م4ص3ش 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ibarik Tanzania, Mungu mbarik Rais wetu amiiin

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 4 ปีที่แล้ว +3

    Nmefurahisaana kuona vngozi waupinzani wakiwa kitukimoja

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 ปีที่แล้ว +3

    Msamaha niufunguo... Raisi wetu Mungu akubarikisana

  • @adrianondumbaro3933
    @adrianondumbaro3933 4 ปีที่แล้ว +2

    Loyce Akim usilete wongo wako. Sio kila mtu alinyoosha mkono amsalimie ila baada ya raisi kumsalimia nyalandu alimsalimia pia yule mwanamke na alimpa mkono. Acha uzushi.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 ปีที่แล้ว +3

    Msiopenda nchi yetu Hasa wale wakoloni wanaotaka kutugawa mtateseka sanaaaa, kwa nini mtesekee, tuacheni tu, thank you Mr President JPM chief in commander.., vyama tupa hukooo, nchi kwanza.. , twenzetu wote...

  • @ntemikingi3531
    @ntemikingi3531 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante MUNGU kwa kukutanisha viongozi wrote kwa ubora huu

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 4 ปีที่แล้ว +2

    Sungu nimemuona hapo Tanzania mungu aiyongoze tanzania amani

  • @hebronkilimanjaro6724
    @hebronkilimanjaro6724 4 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii

  • @mchungajijesse4593
    @mchungajijesse4593 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kusalimiana na wapinzani

  • @jimjam7687
    @jimjam7687 4 ปีที่แล้ว +3

    Jambo la busara Sana.

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 ปีที่แล้ว +3

    Mzee malichela wanasema tukitaka kuona maendeleo tuende dodoma kwani maendeleo yanastahiki dodoma pekee!! Au nchi ni dodoma tuu??

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว

      Mm ntaenda nyumbani kwangu na eneo nililopo

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 ปีที่แล้ว

      Utaelewa tu ni kwa nini babu tulia

    • @mikemotikas8145
      @mikemotikas8145 4 ปีที่แล้ว

      Wewe ni profesor wa nini MALICHELA ni nini??

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 ปีที่แล้ว

    Which is which, 57 years or 58 years?!!

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 4 ปีที่แล้ว

    hiki ndicho tunachokihitaji babaaa ktk taifaletuuu i like it

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 ปีที่แล้ว +6

    YAPO MENGI YA KUIGA HAPO NA UMOJA NI NGUVU SANA...HONGERA JPM

    • @ntemikingi3531
      @ntemikingi3531 4 ปีที่แล้ว

      Safi sana tuendeleeni kudumu kwenye UPENDO na UMOJA huu mzuri daima

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 ปีที่แล้ว

      Tanzania tusipokuwa na umoja, mshikamano, undugu, na amani Maadui watatufanya hakuna maana Tanzania inazo rasilimali ambazo hata zingine hatujazitumia. Tuwe makini sana na Siasa za chuki.

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 4 ปีที่แล้ว

    Ukiangalia kwa makini zaidi utagundua kabisa my rais hana tatizo na wapinzani na hana ubaya nao kabisa,nadhani wapambe ndio vichonganishi sana,binafsi naomba rais aendelee kuongoza nchi hii,ila kuwepo na wanachama wengine kwenye kuongoza nchi,ana upendo sana na watu wote,Mungu ambariki sana mh rais na kumpa maisha marefu,.

    • @fransicsamson106
      @fransicsamson106 4 ปีที่แล้ว

      richard tungaraza acha ushamba jpm akomee hii mitano inamtosha

    • @richardtungaraza7509
      @richardtungaraza7509 4 ปีที่แล้ว

      @@fransicsamson106 hujaelewa kaka,kabla hujapanic na kuongea hovyo tafakari maneno yako,mtandaoni humu,jpm ataongoza kwa mujibu wa katiba na si vinginevyo

  • @yassinkabingwa8915
    @yassinkabingwa8915 4 ปีที่แล้ว

    Pongezi kwenu kazi nzuri

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 ปีที่แล้ว +1

    Viva JPM

  • @fredpiter4657
    @fredpiter4657 2 ปีที่แล้ว

    Uliku naupendo sana

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 4 ปีที่แล้ว

    Wamesamehewa majambazi lakini mashehe wetu wasio na hatia wanasota kwa dhulma ,mungu amlani makufuli amin

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 ปีที่แล้ว

    Naona haina haja ya uchaguzi mwaka 2020

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwani hawa wa uamsho katiba hairuhusu kuachiwa ?? Au hawaonekani??

    • @mapundaone9380
      @mapundaone9380 4 ปีที่แล้ว +2

      Kwa ninavyofahamu Mimi kisheria kwa mujibu wa ibara ya 45 na viprngere vyake, kwamba mhe.raisi ana haki /nguvu ya kisheria kuwaachia wafungwa *waliopewa hukumu* au wiokwisha hukumiwa,
      Sasa tatizo ninaloliona Mimi ni kwamba mahakama haijaamua kuisikiliza hiyo kesi wala kutoa hukumu ,raisi hatakiwi kusamehe mahabusu kwakua atakua anaingilia muhimili wa mahakama kisheria,
      Kwahiyo kwa mtazamo wangu naona kama kuna ucheleweshwaji basi inawezekana ukawa upo mahakamani ,huo ndo ufahamu wangu Mimi kisheria

    • @mapundaone9380
      @mapundaone9380 4 ปีที่แล้ว

      Labda kama kuna anayefahamu zaidi anaweza akafafanua kwa undani tukajifunza kitu na kuongeza uelewa

  • @luqmanalmas2166
    @luqmanalmas2166 4 ปีที่แล้ว

    Nani kamuona yuke mdada anamuangalia rais vibaya au macho yangu

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu amekuchagua Raisi mwema

    • @mlawajafari5741
      @mlawajafari5741 4 ปีที่แล้ว

      Mh magufuli wa pizani wamesha kuelewa chapa kaziiiiii

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 ปีที่แล้ว

    Bango linasomeka miaka 57 maandishi yanasema 58!

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว

    Kesho Kenya. Miaka 55 ya uhuru

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli anaonyesha kutimilisha maadili ya watanzania na halwa wanyonge na pia hana ubaguzi dhidi ya wapinzani mungu wabariki watanzania wote wazidishe upendo baina ya wote kwaumoja AMIN

  • @loyceackim4296
    @loyceackim4296 4 ปีที่แล้ว +1

    Wangapi wamemuona mwanamke aliyesimama na Nyarandu hakutaka kumsalimia Raisi

  • @eriezarichardmbeya1233
    @eriezarichardmbeya1233 4 ปีที่แล้ว

    Msukuma sijaewa alichozungumza wamemuelewa wasukuma lkn sio mbaya,,,,,,,

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 ปีที่แล้ว

    mkiteuliwa mkafanye kaz sasa muache uchama...sisisote tunajenga nchi moja.

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtani upovzri

  • @massawejacob
    @massawejacob 4 ปีที่แล้ว

    Sasa kipi tena tunataka ? Tuijenge Tanzania twendeni mbele

  • @ambokilesilwani4074
    @ambokilesilwani4074 4 ปีที่แล้ว

    Baba umeeleweka no comment yako ni mapya kila iitwapo leo

  • @shadiasalumu8503
    @shadiasalumu8503 4 ปีที่แล้ว

    sasa wana adabu magu mwamba buana

  • @mussamgonela
    @mussamgonela ปีที่แล้ว

    No one like you

  • @salaamclinicoftraditionalm3641
    @salaamclinicoftraditionalm3641 4 ปีที่แล้ว

    Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa karibu kituoni kwetu Chanika kwa Dadi jijini Dar-es-Salaam.
    0716651640/0685074983/0742671603

  • @lauriansimon2566
    @lauriansimon2566 4 ปีที่แล้ว +3

    Uzalendo jukwaani ofsini watekeni hao

  • @lucasjacob9733
    @lucasjacob9733 4 ปีที่แล้ว

    Wasukuma wanapenda sifaa

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 ปีที่แล้ว

    Haoooo jamaaaa tuwavishe jezi zakijani ,tu wasitudanganye,

  • @mussamgonela
    @mussamgonela ปีที่แล้ว

    No like you

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 ปีที่แล้ว +1

    Bado ni kiwango cha chini kabisa kupeana mikono hakumaanishi kwamba nchi haina matatizo kauli ya raisi kama kweli anataka ukiona nchi ni huru basi tamko lake ni muhimu kwa matukio yaliyotokea ya hujuma kwa wapinzani.

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 ปีที่แล้ว

      Wapinzani mtaisoma No pofu itawatoka sana

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 4 ปีที่แล้ว +4

    Mbowe ni zaidi ya wote hapo.hakuna wa kumfikia

    • @agripinamichael800
      @agripinamichael800 4 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa kuwaachia huru watanzani wezentu

    • @jacobnassoro6009
      @jacobnassoro6009 4 ปีที่แล้ว

      Umamacho ya akili

    • @ancomagutanzania7068
      @ancomagutanzania7068 4 ปีที่แล้ว +1

      Uyo mbowe ni MUNGU AU MALAIKA eti ni zaidi Kama kweli ni zaidi aachie uwenyekiti alio kalia kwa myaka 15 na zaidi

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 4 ปีที่แล้ว

      Saana

    • @ancomagutanzania7068
      @ancomagutanzania7068 4 ปีที่แล้ว

      Au chama chake na katiba nawafwasi wake kinamtaka awe mwenye kiti wa kudumu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +8

    Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa

  • @hebronkilimanjaro6724
    @hebronkilimanjaro6724 4 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii