MAGUFULI AKATAA HADHARANI WANAJESHI WASIKATWE - "CHUKUA PESA KALIPE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ย. 2019
- MAGUFULI AKATAA HADHARANI WANAJESHI WASIKATWE - "CHUKUA PESA KALIPE"
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 25, anaendelea na ziara yake jijini Dodoma..
Rais Magufuli leo ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa makao makuu ya ulinzi Kikombo yailiyopo jijini humo..
#JPM
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
th-cam.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:th-cam.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
th-cam.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
th-cam.com/users/playlist?li
Viva magu gonga like kama utampa kula magu 2020
Hongera sana Rais wetu. Mungu azidi kukulinda.
Excellent our president Tz Dkt JPM wew ni wa kuigwa GOD bless You
i like Dr. Magufuli, may God bless you for serving the people of Tanzania, you are the best example of patriotic leaders, i wish you where our president.
Yes,he is a patriotic leader,am a kenyan though lakini nampenda sana magufuli.
Prophesor joes ndarchako
Mungu ukulinde sanaaa,Rais wetu mwenye uchungu na nchi yetu
Leo hatuko nae tena
Jamani magu wetu Leo haupo nasi 😭😭😭😭😭😭😭 Alhamdulillah Allah Kareem pumzika kwaaAmani Rais wetu
Best country in Africa TZ nampongza Rais wa jamuhuri wa Tz Mungu ampeleke mbele mbele I will come to visit Tz soon
Hakika Baba wewe ulishushwa na Baba yetu wa mbinguni,,, viva my beloved President JPM vivaaaaa!!
From my heart I salute you Mr President
Asia
SAFI SANA anko MAGU
ALLAH AKULINDE NA AKUPE UJASIRI ZAIDI.
Napenda tabia yako ya kutomuonea aibu yeyote.
SHUKRAN.
MMMMMAAAAAAGGGGUGUGUGGGGUUUUUGGGGUUFFFFUUUULLLLLLIIIIII MAGUFULI JMNI MAGUFULI. ulitutetea wanyonge..Mungu Alikuwa neema ukawa hivyo baba...asante comrade..thank u Gallant son of Africa..neenda baba nenda...tunamshukuru Bwana sababu ya maisha yako mkuu
Jknyerere anapunga kwa mbali akisema na sasa hapa roho yangu imetulia fikra zangu zimeishi mda mrefu zikitanga ila hapa nimepata mkombozi maana wanafunzi wangu wengi walienda kuiba lkn hapa nimepata mkombozi atakayewafikisha nchi ya ahad
Pambana baba sisi tuliowengi tunakukubali, huku ARUSHA ni raha kilakona, wasiokukubali watakukubali tu watakewasitake maendeleo wanayaona.
HONGERA sana hii inatoa motisha kwa jeshi. ..letu kazi yao tayari ni kujitoa lazima serikali iwape motisha
Safi sana baba yetu tunakuombea kwa Mungu akulinde pia akupe nguvu na afya njema piga kazi
More blessing to you,, Mr prezidiii
Presedent wanguuuuuuuu songa mbeleeee wewe wetu 20 years
Allah bless our leader
Allah bless our Tanzania
Allah bless our Africa
Safi sn Rais wetu kw wema wko lifikishe mbali jeshi la wananchi
Hongera xana rais wang,endelea kuchapa kaz
Huyu Rais jamani mm sina la kusema zaidi ya kumuombea uzima tu na afya tele
Nakupenda Rais wangu
Big up Mr. President
Tunalia kwa yote haya uliyoyafanya na kuyatekeleza, lakini,aaah haupo na hatupo pamoja....Mungu atusimamie.
ni chuki na visa vinaenezwa lkn kweli zipo hatua ambazo ukazifuata ktk utekelezaj wa mirad lazma ukwame au ucheleweshe miradi hiyo
viva jpm
ee
Magufuli oyeee
Waziri ana wangusha hawalipi pesa ya likizo makamanda wako pamoja wanapiga kz ngumu
Very good mh raisi jpm
Safi sana
Hongera Mh Rais unaubinadamu na huruma kubwa Mungu akupe nguvu, piga kazi
In magufuri we trust
Hongera rais wangu
Safi sana raisi wetu
Waaangaliweeee jamaniiiii hawawatuuuuu wanakazingumuuu hawanachakuwalipa hawawatu
Nzuri Hawa
Mr president you kill it😉😉😍😍😍😍😍😍😍
japhary juma j
Rais Magufuli una muono mzuri na nchi hii endelea hivyo
Amir jeshi mkuu..ww ni Amir jeshi unaejua kazi zako vizuri jeshi letu hili kwa uwezo wa Mungu litafika mbali from defensive force to army hongera muheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli
😆😆🇹🇿 wa Gogo watani zetu hao! tuta wapiga fimbo...😆♥️
God bless baba yetu🙏
RAISI WANGU NATAMANI HUKO MBINGUNI PIA NIKUKUTE UKIWA NA CHEO ZAIDI YANGU HILI TUFURAHI WOTE MBINGUNI NIKIKUKUMBUSHA ULIVYO TUPEA NIDHAM DUNIANI AMINA🙏
Bado sijaamini. Amesafiri tu kidogo.
Jembe letu hilooo
Hongeren sana
Ongeza mandege hadi yafike 10000
Lewis Noah wewe bima za afya ni bora kuliko izo ndege,kuna watu wanateseka vijijini hawana bima.
Hongera magu kwakuuthamin ulinzi.
100%
Mungu sikia maombi ya Watz kwa ajili ya mpendwa wao Rais was Tz
Safi, lkn Navyojua nyumba zilizo ndani ya kambi ya jeshi hawezi mwanaheshi kukatwa pesa ni za jeshi.
Kwa hiyo unahisi raisi anadanganya umma au
Walikuwa wameambiwa wakatwe walikataa kulikuwa na mvutano mkubwa lakini aliyezijenga alikuwa anadai ni moja ya madeni sugu inayodaiwa Serikali
Kikwete na General Mwamunyange ndo walihusika kwenye huo ujenzi wa hizo nyumba na kuamua wanajeshi walipe kupitia Ngome allowance zao, na wakaandika mikataba namna hiyo. General Mabeyo alipoingia akasema haiwezekani maana Ngome allowance ni pesa yao binafsi, kwanini watumie pesa yao ambayo ni sehemu ya mshahara kulipia deni la nyumba wasizomiliki? Maana umiliki wa nyumba unabaki kwa jeshi. Ndo maana Magu kasema anawashangaa waliosaini hiyo mikataba. Hapo nadhani kaamua kutokusema sana maana atawagusa moja kwa moja JK na Mwamunyange.
Hujui kitu tulia,uko kikosi gani ww?
Duuuuuuuuu
Ni vizuri ali auwawa.
The way he talks about country no ukweli katika,
Tanzanian mbona hamjui kushukuru
Sins cha kusema ila selema selema
.(aliselema alijaa).
😀
Congratulations president
Rais JPM asante kwa udhubutu
Tutengenezee nchi baba mkubwa tunakukubali sana.
Magufuli anahofia Wanajeshi kumgeuka lazima ajifanye kuwatetea. Ulikuwa wapi mda wote umekaribia uchaguzi ndio unakumbuka. "UNAKUMBUKA SHUKA KUMESHAKUCHA" Huyo Mabeyo umempa cheo sio cha kwake kwa ajili ya ukabila. Huwezi kuwadanganya Wanajeshi subiri utapata majibu sio mda mrefu.
Nc
Wamenipa sumu,wamemuuwa Gadaf wa kuwet pumbafuuu🤣🤣🤣.
Ujumbe umefika wanalipwa hela na wanapimiwa maeneo hadi raha na inawezekana wakapewa bure
Rushwa ya kiaina hiyo haha na ujinga wenu
La tumebaki kusikiriza sauti na picha tu baba mtetezi wa Afrika mtetezi wa wanyonge alla akulaze mahari peponi tutakumbuka milele
Magufuli- Jeshi!!
Ewe mwenyez MUNGU enderea kuyapa nguvu majeshi yetu
Waliotufanya tulie ipo cku wao watalia mala Mia ya tunavyolia wananchi was Tz
Huyu Rais anastahili heshima kubwa
achana na maneno piga kazi
Observation point.....
Safi Mzee magu
Tukumbuke Na walimu baba
Amir jeshi mkuu wa jeshi la wanaichi wa Tanzania akiongoza kwa weledi mkubwa kuongoza kimkakati ktk zoezi zima, pamoja na waziri Hussen Mwinyi, mkuu wa majeshi ya ulinzi wa Tanzania mh Mabeyo
Wewe ni mwamba usio tikisika....
Lion of Judah's.....
Mungu akulinde na kukupa Neema tele kwenye mipango mizuri ulionayo kuliongoza taifa letu Mh. Dr. JPM the President of URT