#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
@@othmanhamad7941 Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
Sijawahi kucomment lakini kiukweli Bwege ulivyoviongea vyote ni ukweli bunge linasimamia jamuhuri na sio chama. Ni vizur kukumbushana ili kila mtu ajue majukumu yake
Asante sana. Haki inaleta Amani. inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI
Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi
Mbunge bwege yupo sahihi
Really appreciate ,👐
#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa
Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao
Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe
Good work Bwege
Mungu akuulinde sana mbwege
unawakumbuka sana ndugu zako magerezan
kama utan lkn ukweli kabsaa
huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen
alhamdulillah
anasema kama utan lkn ukweli unauma
Yuko na Omar mgumba
Wambie hawo
Halafu wakati huwohuwo anampinga kwakutunga sheria zinazoenda kinyume na allah
Watu wa kilwa au Lindi wanaijua dini
Kanifurahisha saana alipozungumzia masheikh waliofungwa miaka 8
This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂
Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
Balaaaa this guy
Hongela bwege kaongea point ☝
Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa
He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
Ameen
Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe
Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii
Amin
allah akbar
Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee
Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna
Zamda Masondole Allah Akbar
Team BWEGE let me see you..🙋🙋
Huyu bwege Janja.
Imeisha iyoo 😂😂
Mahay
Yeeaah
Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂
Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂
So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪
Kweli
Kwa nn hamjampitisha huyu
Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.
USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI
Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.
Umelewa ee
Hamjaelewa ee
Hulda Joseph Powerful
Kama unamkubari bwege gonga like hapa
Konk
Wala c bwege huyo ndie mbunge barabbara
Bwege ni nomaa
Kaka pambana kwa ajili yako na KILWA KWA ujumla bila kusahau Lindi
Big up sana bwege
Hadi nimesisimka aise.bwege big up.
Pole jaman, hyu mbunge had leo namtizama
I like this guy... watching from KE
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
Xure bro
Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara
Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara
Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌
HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU
Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪
Yani sichoki kumsikiliza bwege
Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio
Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.
This guy bana😂😂😂
Ndio maana kavaa suti tofauti
Msukuma awaka Bungeni kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
@@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA
@@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia
@@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,
jasson nelly 😂😂😂😂
Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.
Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu
Kwelii kbs
Kwel kbsa mkuu umeona iyooo haha
Cio alitaka kumtoa ameshamtoa tayari
@@marcowawaghufa8197 ndio ujanja wao wakiona mtu anaongea ukwelii wanazuga
Kweli kabisa
Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti
Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂
یا عمر أتدری من الساٸل....
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
Mbumbumbu wa ccm
"Mnanjaa" eeeeeeeh
"Mmeshiba" eeeeeeeeh
MBUMBUMBU IN BWEGE'S VOICE!!!!
Huyo jamaa aliyetoa taarifa sijui kama atarudia tena!
Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana
Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.
Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili
Sophia Mwakila
.
N jina la utan, uwa analitumia siku zote
A.k.a jina lke suleyman bungara
Nawi Hadj z
Usiangalie nani kasema angalia nini kasema
I just love him
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing
Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe
Mheshimiwa Bwege noma
Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje
yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH
Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!
Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE
@@othmanhamad7941
Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
Si kama pilato,,,
Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa
Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2
Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂
Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri
Nimekwelewa Sana.
Pamoja
😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii
Dah had spika kaona aibu kaingilia
Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,
Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa
🤣🤣🤣
Hapo jamani mumepata mbunge 💪
Mmh
Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo
uwo umbea naima.....
Ismail Mjesh kwel anaongea kama nyundo😅😅
aya
@@naimamunishi1241 poa mzmaa lkn
😃😃😂😂
kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂
Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako
Allah atamlipa kwakweli
AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.
TBC ndo wamefanya!
Nicholaus Makundi ww mtu
.ee
😃😃😃😃 ana ongea vyema
mzee yupo vizuli
Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi
Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr
Dah huyu kweli bwege 😂😂
Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege
i love this man
😂😂😂 ameongea point sanaa
Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri
😃😃😃 Yuko vizuri sana
Uyu kichwaaaa kina madin san
Ahahaaaaaa duh
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa
Mnaangalia Nan kasema na c nn kasema 💪💪
Bg up sana ww mzee noma
He's very bright. He knows how to present critical issues.
Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana
Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba
This is Suleiman bungara bwege. Is the best parliament
Kilwa tukimpoteza bungara tutajilaumu
Kweli ingawa cyo kwetu uko Ila uyu jamaa na mpenda sana
.
.
Kweli kabsa dada yangu, mm napatamani Sana, uko kilwa, Kuna watu wenyeofu na mungu, na wenyekujali watu wao, na wenyehakili.
Mola amlinde hyu mzee ntmn angekuwa mbunge wa Mbagala
nakubali mbunge wetyu kilwa boy
Sijawahi kucomment lakini kiukweli Bwege ulivyoviongea vyote ni ukweli bunge linasimamia jamuhuri na sio chama. Ni vizur kukumbushana ili kila mtu ajue majukumu yake
Yani kaongea ukweli mtupu bwege
Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma
Mheshimiwa Bwege Kaongea Point Nyingi Ingawa Ukisikiliza Kwa Haraka Na Jina Lake Utaona Kama Hamna Kitu,Atakuwa Yupo High😀
Duuuuu uyu jamaaa naanza kumfatilia
@@jaclinejoel8935 Ahaha sawa
Ukimkubali bwege na ww unakua bwege🤣🤣
Sema nini nakubali sana bwege ila mimi sio bwege 😂😂
😂😂😂huyu mbunge anachekesha ila anaongea Point za maana
Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea
Everyone gangsta till Bwege shows up
USIANGALIE NANI KASEMA ANGALIA NINI KASEMA
RESPECT
Kumbe unafikaga hum we mzee
Ahahaha kupata habari mzee lazima uzunguke
Bwege huwa anaongea ukweli ingawa ana comedy nyingi
Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.
Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki
Munaangalia Nani kasema hamuangalii Nini kasema
Safi mbunge bwege una umuhimu mkubwa katika nchi hii
Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up
Walahi huyu m2 angastahili kuwa. Jimbo Langu.
😅😅nalima kwake bure mwezi mzima💪
Kawachana live kweli kweli big up daddy
Wew ndo baba lao bungeni
😂😂😂
Baba yaoo😂😂😂😂 maneno magumu
nmependa mh speaker anavyofurahia sehemu yake ya kazi
Even me
Asante sana.
Haki inaleta Amani.
inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI
Nipo Kenya huku, kiswahili kidogo kinanisumbua mr bwege katisha sana.
Eti unasema ah, Nyoooo. Safi sana mbunge
Noma sana, Mzee yuko sawa
Kwasababu hapa bongo hamtusikilizi ndiomana tumeendakusemea marekani saluti kwa bwege 😂😂😂