MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 691

  • @ladytatu2139
    @ladytatu2139 4 ปีที่แล้ว +77

    Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi

  • @a.856
    @a.856 4 ปีที่แล้ว +80

    #Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻

    • @salimibrahim2497
      @salimibrahim2497 4 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 ปีที่แล้ว +2

      Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 ปีที่แล้ว +24

    Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe
    Good work Bwege

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว +61

    Mungu akuulinde sana mbwege
    unawakumbuka sana ndugu zako magerezan
    kama utan lkn ukweli kabsaa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 ปีที่แล้ว +234

    huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen
    alhamdulillah
    anasema kama utan lkn ukweli unauma

    • @latifamkulazi8378
      @latifamkulazi8378 4 ปีที่แล้ว +1

      Yuko na Omar mgumba

    • @samwelmasoya3347
      @samwelmasoya3347 4 ปีที่แล้ว +2

      Wambie hawo

    • @shaibuselemani2135
      @shaibuselemani2135 4 ปีที่แล้ว +3

      Halafu wakati huwohuwo anampinga kwakutunga sheria zinazoenda kinyume na allah

    • @jerrjamary2649
      @jerrjamary2649 4 ปีที่แล้ว +2

      Watu wa kilwa au Lindi wanaijua dini

    • @dicksontemba2469
      @dicksontemba2469 3 ปีที่แล้ว +1

      Kanifurahisha saana alipozungumzia masheikh waliofungwa miaka 8

  • @rajfakhaar6884
    @rajfakhaar6884 4 ปีที่แล้ว +22

    This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂

  • @ramadhanvesso1759
    @ramadhanvesso1759 4 ปีที่แล้ว +119

    Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว +1

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

    • @meshackndoya1318
      @meshackndoya1318 4 ปีที่แล้ว

      Balaaaa this guy

    • @jumannemartine628
      @jumannemartine628 4 ปีที่แล้ว

      Hongela bwege kaongea point ☝

    • @jumannemartine628
      @jumannemartine628 4 ปีที่แล้ว +1

      Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa

    • @salumpulumba211
      @salumpulumba211 4 ปีที่แล้ว

      He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 4 ปีที่แล้ว +25

    *Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*

    • @salumsaid6572
      @salumsaid6572 4 ปีที่แล้ว +1

      Ameen

    • @nicholausmsuya2344
      @nicholausmsuya2344 4 ปีที่แล้ว

      Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe

  • @zamdamasondole8272
    @zamdamasondole8272 4 ปีที่แล้ว +86

    Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii

    • @kesslymm3412
      @kesslymm3412 4 ปีที่แล้ว +1

      Amin

    • @rehemahamisi9971
      @rehemahamisi9971 4 ปีที่แล้ว

      allah akbar

    • @robinrobert5993
      @robinrobert5993 4 ปีที่แล้ว

      Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 ปีที่แล้ว

      Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna

    • @hidayamsebwa181
      @hidayamsebwa181 4 ปีที่แล้ว

      Zamda Masondole Allah Akbar

  • @josephmahay1438
    @josephmahay1438 4 ปีที่แล้ว +254

    Team BWEGE let me see you..🙋🙋

  • @majaliwajumafaru9482
    @majaliwajumafaru9482 4 ปีที่แล้ว +34

    Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 ปีที่แล้ว +63

    Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

  • @user-fs4el1tt7d
    @user-fs4el1tt7d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 ปีที่แล้ว +30

    So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪

  • @gillyamani6090
    @gillyamani6090 4 ปีที่แล้ว +32

    Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.

  • @huldajoseph556
    @huldajoseph556 4 ปีที่แล้ว +211

    USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI

    • @rashidinyegele4077
      @rashidinyegele4077 4 ปีที่แล้ว +1

      Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

    • @dobidotz3696
      @dobidotz3696 4 ปีที่แล้ว +1

      Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.

    • @abdilahijumanne1415
      @abdilahijumanne1415 4 ปีที่แล้ว

      Umelewa ee
      Hamjaelewa ee

    • @lmashua
      @lmashua 4 ปีที่แล้ว

      Hulda Joseph Powerful

  • @yoramswagala3398
    @yoramswagala3398 4 ปีที่แล้ว +308

    Kama unamkubari bwege gonga like hapa

  • @rehemaalex43
    @rehemaalex43 4 ปีที่แล้ว +18

    Hadi nimesisimka aise.bwege big up.

  • @joakimgioche6352
    @joakimgioche6352 4 ปีที่แล้ว +3

    I like this guy... watching from KE

  • @japharynduko6139
    @japharynduko6139 4 ปีที่แล้ว +8

    Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 4 ปีที่แล้ว +56

    Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara

  • @jumasaganka8479
    @jumasaganka8479 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara

  • @nuhuazizi6190
    @nuhuazizi6190 4 ปีที่แล้ว +19

    Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 4 ปีที่แล้ว +53

    HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU

  • @brightlastborn4440
    @brightlastborn4440 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪

  • @shenuromussa4813
    @shenuromussa4813 4 ปีที่แล้ว +18

    Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio

  • @ramadhanmtipa4618
    @ramadhanmtipa4618 4 ปีที่แล้ว +12

    Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 4 ปีที่แล้ว +59

    This guy bana😂😂😂
    Ndio maana kavaa suti tofauti

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Msukuma awaka Bungeni kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

    • @belak999
      @belak999 4 ปีที่แล้ว

      @@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      @@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia

    • @belak999
      @belak999 4 ปีที่แล้ว

      @@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,

    • @regneralex819
      @regneralex819 4 ปีที่แล้ว +1

      jasson nelly 😂😂😂😂

  • @hajikombo8578
    @hajikombo8578 4 ปีที่แล้ว +27

    Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 4 ปีที่แล้ว +56

    Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 4 ปีที่แล้ว

      Kwelii kbs

    • @nemecymsanya3191
      @nemecymsanya3191 4 ปีที่แล้ว

      Kwel kbsa mkuu umeona iyooo haha

    • @marcowawaghufa8197
      @marcowawaghufa8197 4 ปีที่แล้ว +1

      Cio alitaka kumtoa ameshamtoa tayari

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 4 ปีที่แล้ว

      @@marcowawaghufa8197 ndio ujanja wao wakiona mtu anaongea ukwelii wanazuga

    • @aliebrahim9423
      @aliebrahim9423 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

  • @mohamedyusuphmbaki4973
    @mohamedyusuphmbaki4973 4 ปีที่แล้ว +8

    Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani4775 4 ปีที่แล้ว +8

    Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂

    • @ammygalby9921
      @ammygalby9921 4 ปีที่แล้ว

      یا عمر أتدری من الساٸل....

  • @hudaynahamad8506
    @hudaynahamad8506 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg

  • @clementmathias9512
    @clementmathias9512 4 ปีที่แล้ว +4

    Mbumbumbu wa ccm
    "Mnanjaa" eeeeeeeh
    "Mmeshiba" eeeeeeeeh
    MBUMBUMBU IN BWEGE'S VOICE!!!!
    Huyo jamaa aliyetoa taarifa sijui kama atarudia tena!

  • @hellenabernard6747
    @hellenabernard6747 4 ปีที่แล้ว +5

    Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana

  • @aminamalinda6522
    @aminamalinda6522 4 ปีที่แล้ว +22

    Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 4 ปีที่แล้ว +32

    Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili

  • @rachelissacmahenge1348
    @rachelissacmahenge1348 4 ปีที่แล้ว +23

    Usiangalie nani kasema angalia nini kasema

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 4 ปีที่แล้ว +28

    I just love him

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

  • @nicksonthevet
    @nicksonthevet 4 ปีที่แล้ว +7

    This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing

  • @omarybabuutv972
    @omarybabuutv972 4 ปีที่แล้ว +14

    Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida

  • @bensalome4676
    @bensalome4676 3 ปีที่แล้ว +3

    Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 4 ปีที่แล้ว +8

    Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe

  • @sadockalfred6750
    @sadockalfred6750 4 ปีที่แล้ว +22

    Mheshimiwa Bwege noma

  • @julietraymond4874
    @julietraymond4874 4 ปีที่แล้ว +11

    Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 ปีที่แล้ว +8

    yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 ปีที่แล้ว +40

    Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!

  • @bunnasib1961
    @bunnasib1961 4 ปีที่แล้ว +66

    Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว +1

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

    • @othmanhamad7941
      @othmanhamad7941 4 ปีที่แล้ว

      Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE

    • @bunnasib1961
      @bunnasib1961 4 ปีที่แล้ว

      @@othmanhamad7941
      Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 4 ปีที่แล้ว

      Si kama pilato,,,

    • @djgmp8140
      @djgmp8140 4 ปีที่แล้ว

      Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 4 ปีที่แล้ว +12

    Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 ปีที่แล้ว +19

    Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂

  • @djdon9706
    @djdon9706 4 ปีที่แล้ว +44

    Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 ปีที่แล้ว +9

    😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii

    • @chizochivihi4915
      @chizochivihi4915 4 ปีที่แล้ว +1

      Dah had spika kaona aibu kaingilia

  • @abdulmohamedi4947
    @abdulmohamedi4947 4 ปีที่แล้ว +2

    Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,

  • @wiza2309
    @wiza2309 4 ปีที่แล้ว +27

    Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 ปีที่แล้ว +35

    Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo

  • @paulinasemindu1292
    @paulinasemindu1292 4 ปีที่แล้ว +8

    kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi2663 4 ปีที่แล้ว +26

    AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.

  • @casianclement3147
    @casianclement3147 4 ปีที่แล้ว +7

    😃😃😃😃 ana ongea vyema

  • @braymwajombe1074
    @braymwajombe1074 4 ปีที่แล้ว +23

    mzee yupo vizuli

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 4 ปีที่แล้ว +10

    Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 4 ปีที่แล้ว +1

    Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr

  • @fadhilingogota3581
    @fadhilingogota3581 4 ปีที่แล้ว +11

    Dah huyu kweli bwege 😂😂

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 4 ปีที่แล้ว +7

    Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 4 ปีที่แล้ว +6

    i love this man

  • @angelngoye4910
    @angelngoye4910 4 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂 ameongea point sanaa

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 ปีที่แล้ว +1

    Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 ปีที่แล้ว +5

    😃😃😃 Yuko vizuri sana

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 4 ปีที่แล้ว +45

    Uyu kichwaaaa kina madin san

  • @juianakarani8341
    @juianakarani8341 4 ปีที่แล้ว

    Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.

  • @faustinekulwa2596
    @faustinekulwa2596 4 ปีที่แล้ว

    Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa

  • @zubedaramadhan2517
    @zubedaramadhan2517 4 ปีที่แล้ว +17

    Mnaangalia Nan kasema na c nn kasema 💪💪

  • @sinacksaigodi5876
    @sinacksaigodi5876 2 ปีที่แล้ว +2

    He's very bright. He knows how to present critical issues.

  • @BLESSblessing1
    @BLESSblessing1 3 หลายเดือนก่อน

    Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana

  • @viorasaimon8934
    @viorasaimon8934 4 ปีที่แล้ว +1

    Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba

  • @MuharamiNgasinda-eo3ld
    @MuharamiNgasinda-eo3ld 9 วันที่ผ่านมา

    This is Suleiman bungara bwege. Is the best parliament

  • @swaumumohammed5710
    @swaumumohammed5710 4 ปีที่แล้ว +49

    Kilwa tukimpoteza bungara tutajilaumu

    • @nemecymsanya3191
      @nemecymsanya3191 4 ปีที่แล้ว +4

      Kweli ingawa cyo kwetu uko Ila uyu jamaa na mpenda sana

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 4 ปีที่แล้ว

      .

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 4 ปีที่แล้ว

      .

    • @esirbilliwizz2328
      @esirbilliwizz2328 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabsa dada yangu, mm napatamani Sana, uko kilwa, Kuna watu wenyeofu na mungu, na wenyekujali watu wao, na wenyehakili.

    • @saidijuma9386
      @saidijuma9386 4 ปีที่แล้ว

      Mola amlinde hyu mzee ntmn angekuwa mbunge wa Mbagala

  • @omarysimbaimaramiakamiacha7108
    @omarysimbaimaramiakamiacha7108 4 ปีที่แล้ว +1

    nakubali mbunge wetyu kilwa boy

  • @mudoempire
    @mudoempire 4 ปีที่แล้ว +20

    Sijawahi kucomment lakini kiukweli Bwege ulivyoviongea vyote ni ukweli bunge linasimamia jamuhuri na sio chama. Ni vizur kukumbushana ili kila mtu ajue majukumu yake

    • @kiabosaid8366
      @kiabosaid8366 4 ปีที่แล้ว

      Yani kaongea ukweli mtupu bwege

  • @brianwekolu7826
    @brianwekolu7826 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 4 ปีที่แล้ว +21

    Mheshimiwa Bwege Kaongea Point Nyingi Ingawa Ukisikiliza Kwa Haraka Na Jina Lake Utaona Kama Hamna Kitu,Atakuwa Yupo High😀

  • @adamdullah4755
    @adamdullah4755 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukimkubali bwege na ww unakua bwege🤣🤣
    Sema nini nakubali sana bwege ila mimi sio bwege 😂😂

  • @ramlabaraka1045
    @ramlabaraka1045 4 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂huyu mbunge anachekesha ila anaongea Point za maana

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi5450 4 ปีที่แล้ว +10

    Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea

  • @_sukuna_.
    @_sukuna_. 4 ปีที่แล้ว +2

    Everyone gangsta till Bwege shows up

  • @beberulambegu660
    @beberulambegu660 4 ปีที่แล้ว +3

    USIANGALIE NANI KASEMA ANGALIA NINI KASEMA
    RESPECT

  • @hawaally5603
    @hawaally5603 4 ปีที่แล้ว +37

    Bwege huwa anaongea ukweli ingawa ana comedy nyingi

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche th-cam.com/video/MfRNuSByQTY/w-d-xo.html usisahau kusubuscribe.

  • @jovingeorge3051
    @jovingeorge3051 4 ปีที่แล้ว +1

    Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki

  • @suleimanmohammed5337
    @suleimanmohammed5337 4 ปีที่แล้ว +1

    Munaangalia Nani kasema hamuangalii Nini kasema

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 6 หลายเดือนก่อน

    Safi mbunge bwege una umuhimu mkubwa katika nchi hii

  • @Susharealestatecompany
    @Susharealestatecompany 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up

  • @emanueljosephat1605
    @emanueljosephat1605 4 ปีที่แล้ว +1

    Walahi huyu m2 angastahili kuwa. Jimbo Langu.
    😅😅nalima kwake bure mwezi mzima💪

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 4 ปีที่แล้ว +1

    Kawachana live kweli kweli big up daddy

  • @frankmongateko1580
    @frankmongateko1580 4 ปีที่แล้ว +29

    Wew ndo baba lao bungeni

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 4 ปีที่แล้ว +2

    nmependa mh speaker anavyofurahia sehemu yake ya kazi

  • @joshuamkali4598
    @joshuamkali4598 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana.
    Haki inaleta Amani.
    inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 4 ปีที่แล้ว

    Nipo Kenya huku, kiswahili kidogo kinanisumbua mr bwege katisha sana.

  • @Rogasiandesmond6
    @Rogasiandesmond6 4 ปีที่แล้ว

    Eti unasema ah, Nyoooo. Safi sana mbunge

  • @mwesigwaabdurahim8590
    @mwesigwaabdurahim8590 4 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana, Mzee yuko sawa

  • @geofreyemanuel8939
    @geofreyemanuel8939 4 ปีที่แล้ว

    Kwasababu hapa bongo hamtusikilizi ndiomana tumeendakusemea marekani saluti kwa bwege 😂😂😂