Pesa za xurma huwa haxidumu umuue mtu utoeviungo iliupate pesa. Utaishia.kuuwa.kilakukicha dam zawatu zinakutafuna machozi yanawadondoka kuwatoa roho. Utakufa.masikini nautakufa.vibaya naulifatu motoni. Shida.duniani na.Aellah. mungu tulizishe na.lixiki ulotukadilia🤲
Taifa lina ugeni mzito. Matukio haya yamekuwa ni mengi sasa. Naomba tuanze kuchukua hatua. Nchi nzima mauji, halafu yanafanywa kimya kimya. Hapana, hapa kuna jambo. Yawezekana kuna watu tumewakaribisha ndio wahusika wakuu. Wanatuua kidogo kidogo. Tusipochukua hatua tutakwisha. Tuanze kutambuana kuanzia nyumba kumi kumi.
LAITI MAMBO HAYA YANGEKUWA YANATOKEA KWA WANASIASA TUNGESEMA LABDA MAMBO MENGINE LAKINI RAIA WA KAWAIDA TENA MASIKINI WATOTO, VIJANA, WATU RIKA MBALIMBALI NA HATA WATU WAZIMA WANAUWAWA KIKATILI NAMNA HII, HAPA SI BURE IPO NAMNA. HATA MIMI NAKUBALIANA NA WEWE. JAMII LAZIMA IWE MACHO ULE UTAMADUNI WA KUWAKUMBATIA WATU TUSIYOWAJUA TUKIJIFANYA KUWA ETI NI MARAFIKI ZETU HAUFAI TENA. NA PIA HILI WIMBI LA WAFUGAJI WANAOHAMA MIKOA KWA MIKOA NI MUHIMU SANA KUHAKIKIWA KUANZIA NGAZI YA VITONGOJI KWA SABABU KATI YAO HAKUNA ANAYEJUA NANI NI NANI KATI YAO?! VYOMBO VYA USALAMA NAVYO VIZIDI KUWA MACHO MAANA HII HALI SIYO YA KAWAIDA.
@@AshaHaruna-ie2iq Tukitambuana tutawajua na kuchukua hatua. Mfano mzuri ni wale watu wa singida, walimchunguza mganga aliekaribishwa na mkazi mwenzao. Wakagundua mgeni mganga ndie anaewamaliza, wakamripoti, haikutosha, wakachukua hatua ya kukagua eneo la mganga na kugundua eneo tifutifu, wakafukua na kuona mwili wa mkazi mwenzao. Polisi wakafika na kuliweka chini ya ulinzi eneo la mshukiwa. Hadi jana waligundua makaburi matatu na kukuta miili. Uchunguzi unaendelea. Nasisitiza watanzania tutambuane kinyumba kumikumi.
Nchi yangu imekuaje yaarabi ewe mungu tuliocha watoto wetu kwenda kutafuta riziki tulidie yaarabi okoa family zetu yaarabi na haya majanga kila siku iitwayo siku yaarabi
Dunia inawatambua Simba! Chui! Nyoka! Kama viumbe hatari Ila hakijawahi kutokea kiumbe chenye roho ya kikatili kama Binaadamu.Mungu atuepushe na hizi imani za kikatili.
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU th-cam.com/video/r3gsfk3zbDQ/w-d-xo.html MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
Haki nimechoka na hizi taarifa jamani.kila kukicha ni habari hizi tu.kwani siku hizi marehemu hawarudi kupiga wauwaji wao jaman?mbona watu wanauwa kiurahisi saana jamani?
Shida ni namna polisi inavyodili na watuhumiwa Imagine mtu amebaka na kulawiti na video zipo wazi na dunia imeona lakini ana ujasiri wa kumtishia mwandishi wa habari mbele ya polisi😢 io inawapa wakosaji ujasiri wa kufanya yote haya Fatilia mtu akiuwa mtu urusi anafikishwa mahakamani akiwa na hali gan😢
Mimi mdogo wangu kachomwa uso na watu wasiojulikana.alipotea siku mbili hajulikan alipo .kupatikana ndo hivyo.amekaa ICU siku sita..Tanzania ndo basi tena..yakikuku🎉ta ndo utaamin hey tuyaonayo kila siku humu
Kwann saiv matukio ya kutekwa watu kuwawa na watu wasiojulikana kwann selikali yetu iko wapi na mkuu wa police yupo why jeshi la police linatakiwa kujiuliza ni wapi wanakwama😢
Jeshi la police ondoeni waganga wa kienyeji wachungaji wa mchongo toeni wanawaibia na kuwapoteza wananchi jmn mama Samia achana na matamasha achana na Simba na yanga chungulia huku washauri wa rais kazi yenu ni gani msiwe kama kina doto na mwinjaku jmn duu nilifukiri askari ndio wanateka watu kumbe Sio askari jmn😢😢😢
We shika adabu yako ulitaka raisi awachunge mpaka kwenye mitaa yenu huna lakusema We mbwa kachambe Msenge we kila kitu Raisi polisi kama nye wenyewe mekosa imani za kibinadamu Raisi afanye nini fala wewe
Kwa hiyo ukiwa raisi unatakiwa uwe kila mkoa, wilaya, vijiji, kata, tarafa, vitongoji, vichochoro vyote uwepo na kuhakikisha hakuna uhalifu unatokea? Huwezi toa lawama kama hizo. Poleni sana wandugu.
Kama umeamka salama mwambie Mungu asante na ulike hapa🙏
,😂😂😂mpuuzi nin kwani wew ndo mungu
@@kamarhelo 🙏mwambie asante
@@kamarhelo 😂🙏mwambie Mungu asante sio mimi
Mwisho mwema ni maombi yangu kwako mungu😢
Wanadamu tuwe na hofu ya Mungu.
Pesa za xurma huwa haxidumu umuue mtu utoeviungo iliupate pesa. Utaishia.kuuwa.kilakukicha dam zawatu zinakutafuna machozi yanawadondoka kuwatoa roho. Utakufa.masikini nautakufa.vibaya naulifatu motoni. Shida.duniani na.Aellah. mungu tulizishe na.lixiki ulotukadilia🤲
Taifa lina ugeni mzito. Matukio haya yamekuwa ni mengi sasa. Naomba tuanze kuchukua hatua. Nchi nzima mauji, halafu yanafanywa kimya kimya. Hapana, hapa kuna jambo. Yawezekana kuna watu tumewakaribisha ndio wahusika wakuu. Wanatuua kidogo kidogo. Tusipochukua hatua tutakwisha. Tuanze kutambuana kuanzia nyumba kumi kumi.
LAITI MAMBO HAYA YANGEKUWA YANATOKEA KWA WANASIASA TUNGESEMA LABDA MAMBO MENGINE LAKINI RAIA WA KAWAIDA TENA MASIKINI WATOTO, VIJANA, WATU RIKA MBALIMBALI NA HATA WATU WAZIMA WANAUWAWA KIKATILI NAMNA HII, HAPA SI BURE IPO NAMNA. HATA MIMI NAKUBALIANA NA WEWE. JAMII LAZIMA IWE MACHO ULE UTAMADUNI WA KUWAKUMBATIA WATU TUSIYOWAJUA TUKIJIFANYA KUWA ETI NI MARAFIKI ZETU HAUFAI TENA. NA PIA HILI WIMBI LA WAFUGAJI WANAOHAMA MIKOA KWA MIKOA NI MUHIMU SANA KUHAKIKIWA KUANZIA NGAZI YA VITONGOJI KWA SABABU KATI YAO HAKUNA ANAYEJUA NANI NI NANI KATI YAO?! VYOMBO VYA USALAMA NAVYO VIZIDI KUWA MACHO MAANA HII HALI SIYO YA KAWAIDA.
Awa ni wakimbizi tuu wanaingia kinyemela
@@AshaHaruna-ie2iq
Tukitambuana tutawajua na kuchukua hatua. Mfano mzuri ni wale watu wa singida, walimchunguza mganga aliekaribishwa na mkazi mwenzao. Wakagundua mgeni mganga ndie anaewamaliza, wakamripoti, haikutosha, wakachukua hatua ya kukagua eneo la mganga na kugundua eneo tifutifu, wakafukua na kuona mwili wa mkazi mwenzao. Polisi wakafika na kuliweka chini ya ulinzi eneo la mshukiwa. Hadi jana waligundua makaburi matatu na kukuta miili. Uchunguzi unaendelea. Nasisitiza watanzania tutambuane kinyumba kumikumi.
Oooh wwlimtoboa macho kuficha ushahidii duuh kifo cha naumivii kapata hakii😢😢😢
Nchi yangu imekuaje yaarabi ewe mungu tuliocha watoto wetu kwenda kutafuta riziki tulidie yaarabi okoa family zetu yaarabi na haya majanga kila siku iitwayo siku yaarabi
Nimeshachagua kutembea Na bisibisi Sasa Kwa hali hii mtu asiniulize ntaifanyia Nini 😭😭
Kijana mdogo huyo amefanya nini mpaka auwawe kwa uchungu namna hiyo. Haya mambo ni makubwa mbele za M'mungu.
Duuuh Mungu atusamehe kwa makosa na dhambi tunazozitenda kwa makusudi binadamu tunaogopana sasa
Tz 😢😢😢tz mungu tulinde jamani mana rais yupo bize pia yey ni mwanadamj tusaidie mola wetu😢
Dunia inawatambua Simba! Chui! Nyoka! Kama viumbe hatari Ila hakijawahi kutokea kiumbe chenye roho ya kikatili kama Binaadamu.Mungu atuepushe na hizi imani za kikatili.
😢😢😢😢yani Kila mkoa Tanzania hatuna aman ewe mola wetu tusaidie tupe mwisho mwema inshallah
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU
th-cam.com/video/r3gsfk3zbDQ/w-d-xo.html
MPWAPWA-DODOMA:
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka.
Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita.
Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu.
Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full.
Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻
Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
Allahu Akibarr.
Hichi kipindi nikile wanachosemaga unanijua mimi ninani😢
Haki nimechoka na hizi taarifa jamani.kila kukicha ni habari hizi tu.kwani siku hizi marehemu hawarudi kupiga wauwaji wao jaman?mbona watu wanauwa kiurahisi saana jamani?
Binadam wameshakuwa na roho mbaya kushinda hata wanyama Allah tunaomba wabadilishe roho zawo waja wako tutaisha.
Matukio kila siku jamani
Daaa jmn kwann kila siku mauwaji jmn 😢😢😢😢
Shida ni namna polisi inavyodili na watuhumiwa
Imagine mtu amebaka na kulawiti na video zipo wazi na dunia imeona lakini ana ujasiri wa kumtishia mwandishi wa habari mbele ya polisi😢
io inawapa wakosaji ujasiri wa kufanya yote haya
Fatilia mtu akiuwa mtu urusi anafikishwa mahakamani akiwa na hali gan😢
Yani tz Kila kukichaa saivi ni mauaji tu tena watoto wadogo hii nchi saivi tunapoelekea huko siyo salama kwa kweli
Haya mauji mbona yamekithiri hapa nchini, vyombo vya ulinzi na usalama ongezeni maarifa.
Mimi mdogo wangu kachomwa uso na watu wasiojulikana.alipotea siku mbili hajulikan alipo .kupatikana ndo hivyo.amekaa ICU siku sita..Tanzania ndo basi tena..yakikuku🎉ta ndo utaamin hey tuyaonayo kila siku humu
poleni sana anaendeleyaje kwa sasa
Yaraab yaarab tutangulie uku tuendako
Kwann saiv matukio ya kutekwa watu kuwawa na watu wasiojulikana kwann selikali yetu iko wapi na mkuu wa police yupo why jeshi la police linatakiwa kujiuliza ni wapi wanakwama😢
Duh mbona haya majanga babati yanazidi watu wanauwawa hovyo hovyo
hii dunia jaman vip bola uchaguz uwishe mapema jaman
Tanzania Hali nimbaya lakina singida babati imezid
Jaman haya matukio yamezidi iv
Jeshi la police ondoeni waganga wa kienyeji wachungaji wa mchongo toeni wanawaibia na kuwapoteza wananchi jmn mama Samia achana na matamasha achana na Simba na yanga chungulia huku washauri wa rais kazi yenu ni gani msiwe kama kina doto na mwinjaku jmn duu nilifukiri askari ndio wanateka watu kumbe Sio askari jmn😢😢😢
Eeee MUNGU wa mbinguni tuhurumie na utusamehe baba hakika sisi ni wakosaji sijui tunaelekea wapi😭😭😭
😭😭😭😭
Duuh. Mauaji kila siku 😭
Serikal weken Sheria Kari kwa vitu kama iv las ivo tutakwisha
DUH POLEN XNA
Kwann Sasa hivi watu wanauwa sana wezao
sasa apo mapolisi amna chmana laisii yup bize na mziki na kuliba magoliii ya mipilaa dar tuna teseka sana wa tz
We shika adabu yako ulitaka raisi awachunge mpaka kwenye mitaa yenu huna lakusema We mbwa kachambe Msenge we kila kitu Raisi polisi kama nye wenyewe mekosa imani za kibinadamu Raisi afanye nini fala wewe
@@halimamasai2234 we shoga Sasa bila kutoa tamko kwa akilii yako ww uwoni kama uwovuu unazidi we shoga nn wewe
Kwa hiyo ukiwa raisi unatakiwa uwe kila mkoa, wilaya, vijiji, kata, tarafa, vitongoji, vichochoro vyote uwepo na kuhakikisha hakuna uhalifu unatokea? Huwezi toa lawama kama hizo. Poleni sana wandugu.
Mungu mkubwa duu
Manyara nn lkn 😢
Du htr
Hii Manyala Ni Tanzania au Kenya?
KENYA
😅😅jmn@@mussamsuya8595
Innalillah wainnaillah rajiun allah akupe makazi mema mdogo we2 dah😢😢😢😢
Ni Tanzania.
Ni Tanzania.