Hao walio mchapa mtoto wapuuzi kweli, mtoto anajuaje kuwa hili ni zuri hili ni baya, mnachapa mtoto ambaye hana hatia kwanini hakumpiga picha hiyo mara ya pili, mpate ushahidi wa vielezo. pole sana mama
Nilichogundua Jamii yetu inaamini sisi wanawake tuko after mali Nasikitika sana Ukweli watoto wetu hawako salama maana kama tuna mashoga na chanzo ni wanaume ambao ni baba ,kaka wajomba na majirani zetu Mjue hayataisha haya matukio Kuna wanaume washenzi washenzi washenzi sana
Yan atleast dada wa kaz kanyoosha maelezo nimemuelewa mama mtu ni kama analinda ndoa yake .mana anaeleza kama haamini au ni kama anaona mumewe anaonewa
mama ana maelezo mengi tofauti mara mtoto hamjui baba yake mara bibi yake. huyu mama atulie aeleze vizuri. naona ameumia ndoa kufa na sio mtoto kupata madhara
Inabidi iangaliwe usikute huyo Baba anamali kwa hiyo anataka amfilisi .Uchunguzi wa kina unatakiwa sana, maana mtoto mwenyewe kuna mizengwe iweje wengine watambue hayo.Sina uhakika wa hayo ila uchaguzi wa kina unatakiwa haswa
We mwqnamke zimo kweli eti mume wangu..picha linaanza huyu mumeo yupo nje kwa dhamana je mnaishi wote?na bado anakuvua chupi?mana mimi mpaka nakika hii naogopa tukio ambalo ningelifanya Dunia ingesha
Kama hujakutana nayo huwezi elewa nenda dawati au ustawi wa jamii utaelewa watoto wanafanyiwa ukatili kwa kiasi,mimi nishakutana na kesi ya watoto wawili kubakwa na baba yao mzazi kabisaa mtoto wa miaka sita na wa miaka kumi na baba ni Tajikistan mkubwa tu .Na hapo utasema ni Mali??Hebu wanawake tushirikiane kwa pamoja kupinga ukatili kwa watoto na sio wetu hata wa majirani zetu.Hali ni mbaya pia pateni muda wa kwenda kutembelea vituo vinavyotunza watoto waliofanyiwa ukatili ndio mtajua hali halisi na mtajua hali ilivyo mbaya.
Mimi ni mama nanina kemea vikali vitendo vya ukatili. Lakini stoli haijanyooka 1.mama alikuwa na utaratibu wa kumpima mtoto bikra mara akaacha kwann aliacha kwani kama alikuwa na wazo mtt angebakwa na watu wa ndani kwann akuwaza na watu wa nje.. tulosoma Gaza tusaelewa
Uko sahihi dada niliwahi kutokewa na tukio kama hili nusu niozee jela ila binti baada ya kupimwa akakutwa bikra wanawake wa hivi sio watu wakuwaamini hata kidogo ukute mtoto katumwa na babaake mzazi kuharibu mahusiano ya mamaake
@@muzneali4747kuna kuaga na kesi za hivi zakusingiziwa ndomana huyo dada kasema hivyoo mi niliwahi kukutana na kisanga kama hichi sababu ilikua kwenye kumshauri mwenzangu mwenendo wa mtoto wake nikamwambia huyu mtoto kua unamkagua kwasabu tayari naona anadalili mpaka za kunitega anavua nguo mbele yangu na sio kawaida Kwa umri wake mama akariakti nakudai itakua Mimi natembea na mwanae kwanini niseme hivyoo kesi ikaanzia hapo hapo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nilishukuru mungu baada ya binti kupimwa akakutwa bikra ndo ikawa nafuu ya na tukaachana hapohapo 😂😂😂😂😂
@@khalsasalim7930stori inamashaka mengi Sana hii ukimsikiliza huyu mama bila kutumia mihemko unawaza ukazani kuna mtu ameonewa hapa ila huyu mama anasiri yake moyoni hapo kuna mtu anatapeliwa hapo
Jamanii jamanii huu ni uwongo mtoto wa miaka11 aweze kuhimili Dogi staili jamanii so kwelii😂😂 hyo mtoto kaaribikia kwingine wallahi tena sema hyo baba Mali ndozinazo mponza 😢
. Ongeeni wazi na watoto wenu hata wakiwa katika umri mdogo. Msione aibu kuwatajia kwa lugha nyepesi ya wao kuelewa. Kwamba mtu yeyote haruhusiwi kwagusa mbele au nyuma awe baba awe kaka au mtu yeyote. Shirikianeni wanawake ktk hilo. Shetani wako majumbani na sio mtaani. Bora aibu kumtamkia mtoto mdogo hayo mafundisho kuliko aibu ya kumburuza mumeo mahakamani kwa aibu ya kulala na mwanawe. Ningelikuwa Tz. Ningeliomba ajira ya kufundisha elimu hiyo kuanzia 3 yrs old nk. Ili kuwalinda watoto wetu. Mahakama na polisi zetu ndio hivyo. Pole sana mama mzazi. Hukumu halisi itatoka kwa mungu
Kuna kaka kaacha kill kitu arusha nyumba 2 mke alimtengeneza mtoto ili aseme amebakwa na baba yake , kaka yule alitoroka baada ya polis kumsaidia atoroke waliona ni uongo mwisho wa siku yule mama. Anamtafuta yule baba ili walee watoto mnaona mambo hayo
Kisasi cha Mungu ni kikali sana tubadilike wanadamu,tusali tuache kumtenda Mungu makosa yanayomuudhi vikali tujaalie mioyo ya sala ee Mwenyezi Mungu 🤲🙏
Hi mama anakua bize kiasi gani mpaka kushindwa kumkagua mtoto wa miaka 11 au kujua kama hayupo sawa hawa ndo wale wamama dont care anatakiwa naye akamatwe akae jela kidogo mana malezi yamemshinda kila kitu dada wa kazi anatumiwa mtoto kwakua haupo karbu yake kujua maendleo yake mm binafsi naona tuna kitu cha kujifunza kwa hii familia huyu mama yupo bize na maisha kuliko watoto wake anathamn ndoa hana muda na mwanae ndio mana hana taarifa za mtoto
Ila wanaume hawa ni viumbe hatar sanaa😢😢😢😢me wang alitembea na mdada wa kaz ndan ya mwaka mzima anampa mimba bint na anamtoa mimba hapa kwangu wala nilikuwa sifahamu,,,niikiwa na mimba miez tisa ndo nilipomfumania sitokuja kusahau ile cku nililia sanaa😢😢😢😢,hawa viumbe msioolewa ndo mtawatetea lkn co mm jmn😢😢😢
Mamlaka za serikali waingilie hili kwa mwenendo INAONYESHA polis wameshatulizwa kimazingira ya RUSHWA huyo mtoto atakosa haki na kuna watu watakaoathirika zaidi waliotoa ushahidi mtuhumiwa akiwa huru anaweza kuwafanyia Mambo mabaya mama yupo kwenye mtihani MKUBWA ameshazaa na wanaume wawili tofaut itakuwaje kama kutakuwa na roho ya kisasi? Familia inakwenda kugawanyika lamsingi mtuhumiwa ahukumiwe kwa aliyoyatenda haki itendeke POLISI WAACHE RUSHWA
Mh maelez yahuyu. Mama sio jmn vi mmemskililiza vizuri kweli kwann unamtengenezea kesi huyo mmeo kama humtak siumwambie tu ukweli yani umenivurndia maelez yan umesha faha ukweli juu ya huyo mmeo ulipata wap nguvu ya kulala tena nahuyo mbakaj isngkua baba halis sipangkucha upo nae
Kwa maelezo ya anty wa mtoto inaonekana huyu mama kunamchezo anaucheza bado anaipenda ndoa yake haangali maumivu ya mtoto wake anaitetea ndoa yake huyu mama mzazi achunguzwe ili mtoto apate haki yake
Jamani hizi kesi za ubakaji hasa za watoto chini ya umri wa miaka 18 zimezidi kuwa nyingi ipitishwe sheria ya kunyongwa hadi kufa na faini tunaoumia ni sisi wazazi hasa akina mama maana sisi ndio tunajua uchungu wa kuzaa
Uwiiii jmn tulelee wapi watt wetu? Wakikaa kwa bibi zao wanabakwa na babu zao wakikaa na mama zao wanabakwa na baba zao! Bado jamii iliyozunguka. Mungu wangu tusaidie kupigana hii vita
Huyo mama anataka mali mwanaume aishie jela yeye amiliki nyumba na mali zake😢😢 Isha kuwa mchezo wanaume kutengenezewa kesi ili mama amiliki amli wanaume kuweni makini
Kwanza mama hata hisia za kuhisi mtoto yupo tofauti hata kutembea jamani pia nilicho kigundua mama hana ukaribu na mtoto au watu wa hapo njumbani ndo maana 😢😢wamama tuwe marafiki na watoto uwiiiiii wababa wa skuz hawaeleweki
Kwanza nakemea ubakaji ila nawaza tu, mke anataka kesi iendeshwe haraka mume afungwe haraka, lengo siyo haki ipatikane lengo ni mume afungwe haraka, halafu iweje sasa? Mbona kama anaingilia utendaji wa vyombo vya dola ? 1 Mtangazaji mbona hujamuuliza chanzo cha kuachana na mume wa kwanza? 2. Hujamuuliza mali walizochuma? 3. Hujamuuliza ikiwa alienda polisi kwann polisi wamjumuishe tena kumkamata usiku? 4. Inawezekenaje mama yupo nyumbani et anafua nje, mtoto anabakwa hapohapo na kuna watoto wengine pia, halafu mama anasema hata mlango hawafungi na hajawahi kuwakuta wala kujua lolote.
Jamani haya matendo ya ubakaji kwa watoto wetu yanatuumiza sana sisi wamama,wanaume ni wakatiri sana sana😭😭,inauma sana jamani mimi kama mama nakosa hata neno,naogopa mnooo nawaza watoto wetu,hata sijui tuwafiche wapi 😭😭😭,ila mama uzazi nawe inaonekana kuna vitu unaficha,kweli matukio yote hayo ulindwa kushtuka na kuwa na wasiwasi na binti yako😢😢😢
Nimeumia sana mtoto kapitis maumivu sana kwa muda mlefu bila wao kujua na hapa tujifunze jambo tusiwe wakali kwa watoto wataogopa kituambia mambo wanayo fanyiwa
Mm binafsi siamini sheria kwani tulishapambana na kesi kama hiyo kwa mwaka mazima hukumu ikatoka mtuhumiwa jela miaka 30 lakini😢mwaka moja tu mtuhumiwa kaachiwa bila upanda wa mlalamikaji kupewa taarifa kufuatilia wanasema mtuhumiwa alikata rufaa kesi ikaendeshawa kimyakimya wakasema kuwa mtuhumiwa alikutwa hana hatia bila upande wa mlalamikaji kuambiwa ,wakati kulikuwa na ushahidi wa doctor, askari kuna mtoto mwingine aliye shuhuda na ushahidi wa sehemu ya tukio lakini bado aliachiwa...hapo nimejifunza hakuna kuamini polisi wala mahakama bora nichukue sheria mkononi kama ni mbwayi na iwe mbwayi
Jamani hivi wanaume mna nini jamani kwanini hivi jamani serikali itafute dawa ya hiki kitu jamani tumbonla uzazi linauma jamani mungu hawa watu wananini jamani
Hivi nyieee siku ya Kwanzaa tuu mmeonq alaf mnaendelea kukaa kimya kweli jaman mnashindwa kuchunguza zaid jaman tuachen uzembee huu inaniuma mnavusimulia kweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yan huyo mma ni mwongo pia maelezo hayajitoshelezi huyo dda waliopo nje amekuja sangap kumpima na amejuaje hilo yan,, hiyo stor niyakutengeneza angalien kwanza na kufanya uchunguz ndipo mposti huo nimchongo tu
Aah Dahh its so sad!WOMEN,WOMEN i call u louder again WOMEN please this is the time to realy be careful with your children . They suffer a lot out there and the rest of the family’s they even solve these matters jst quitly,they dont know how they keep destroying this generation psychologically.MOTHER’S your daughters needs continuesly check up on them down there til their turning 18 yrs old,do not be ashamed for the sake of their safety.May God stand with our familly’s 🙏🙏🙏. #weneedtostandforthesegirls #Chilrenrightsmustapplyhere #weneedrightsforthislittlegirl. #actionspeakshere.
Duh!!sijui huyu mshenzi alifikiria nini mpaka kutekeleza kitendo hiko jamani naomba serikali iingilie kati na ikiwezekana huyu baba anyongwe kabisa ajue uchungu wa kumbaka mwanae
Dunia inaenda wap Eeh mungu tusamehe kwa yote adhabu hii unayotupa ni kali mno😢 binadamu tumekua wanyama Eeh mungu eeeh tunusuru tunusuru tunusuru💔😭🙌
😢😢😢 Mungu asikie kilio chetu uwiiiii inaumiza
Hao walio mchapa mtoto wapuuzi kweli, mtoto anajuaje kuwa hili ni zuri hili ni baya, mnachapa mtoto ambaye hana hatia kwanini hakumpiga picha hiyo mara ya pili, mpate ushahidi wa vielezo. pole sana mama
Nikiskiaga ivi naskiaga mwili unakufa gazi mumgu wang 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Nilichogundua Jamii yetu inaamini sisi wanawake tuko after mali
Nasikitika sana
Ukweli watoto wetu hawako salama maana kama tuna mashoga na chanzo ni wanaume ambao ni baba ,kaka wajomba na majirani zetu
Mjue hayataisha haya matukio
Kuna wanaume washenzi washenzi washenzi sana
Bado anamwita mumewangu he
Hata wanawake washenzi tena
duh, mama anaficha sura huku nyumba inaoneshwa mpk geti sasa wanaoifaham iyo nyumba si watamjua huyo mama
Watu wa kalibu lazima wajue ila mm na ww hatuju
@@ggfffhii4706 najua lakini waandishi hawapo makini
Yan atleast dada wa kaz kanyoosha maelezo nimemuelewa mama mtu ni kama analinda ndoa yake .mana anaeleza kama haamini au ni kama anaona mumewe anaonewa
Pia huyu mama ni mzembe sana, mtoto wa miaka 11 atalalaje chumba na babake. Hafai kuwa mama
@@aggreynsemwa1380 ni stori ya kutia shaka sana mno
Ningekua ni mm huyo baba tungegawana majengo ningemalizana nae usiku huo huo asubuh angeamkia hospital mboo hana na mm nikaamkia jela
Kabisaaaaaa
Ningeing'oa kwa meno yangu
Mimi mwenyewe sidhan nsingeweza kuvumilia ningemnyonga
Unapiga na panga ucku
Yaan uyu dada bado anatamka ety namuuliza mume wangu ni kweli umefanya😮bado anaita mume wangu uwiiìiii
😂😂sio Kwa ubaya nimecheka jaman pole sana mama
mama ana maelezo mengi tofauti mara mtoto hamjui baba yake mara bibi yake. huyu mama atulie aeleze vizuri. naona ameumia ndoa kufa na sio mtoto kupata madhara
Kwakweli
Inabidi iangaliwe usikute huyo Baba anamali kwa hiyo anataka amfilisi .Uchunguzi wa kina unatakiwa sana, maana mtoto mwenyewe kuna mizengwe iweje wengine watambue hayo.Sina uhakika wa hayo ila uchaguzi wa kina unatakiwa haswa
Acheni mentality za kimaskini kuna kitu gani hapo ambacho hakieleweki?
Mama Bado anampenda mume mbakaji mmningemuua uyo mwanaume
Funga kinywa Dunia Ina mengi @@spreadlove5300
We mwqnamke zimo kweli eti mume wangu..picha linaanza huyu mumeo yupo nje kwa dhamana je mnaishi wote?na bado anakuvua chupi?mana mimi mpaka nakika hii naogopa tukio ambalo ningelifanya Dunia ingesha
mali zitatuuwa jamani wanawake
Kama upo makini maelezo ya mama mzazi na huyu wa pili tofauti,wallah sina imani kabisa na hili
Ata mm naona iyo kesi niyakutengeneza kwa uroho wa mali
Kama hujakutana nayo huwezi elewa nenda dawati au ustawi wa jamii utaelewa watoto wanafanyiwa ukatili kwa kiasi,mimi nishakutana na kesi ya watoto wawili kubakwa na baba yao mzazi kabisaa mtoto wa miaka sita na wa miaka kumi na baba ni Tajikistan mkubwa tu .Na hapo utasema ni Mali??Hebu wanawake tushirikiane kwa pamoja kupinga ukatili kwa watoto na sio wetu hata wa majirani zetu.Hali ni mbaya pia pateni muda wa kwenda kutembelea vituo vinavyotunza watoto waliofanyiwa ukatili ndio mtajua hali halisi na mtajua hali ilivyo mbaya.
Kwa taarifa tu ndugu huyu mke ndio animali kuliko mume hata nyumba waliokua wakiishi ni ya mwanamke ya ni hili liumbwa nalijua
Mimi ni mama nanina kemea vikali vitendo vya ukatili. Lakini stoli haijanyooka 1.mama alikuwa na utaratibu wa kumpima mtoto bikra mara akaacha kwann aliacha kwani kama alikuwa na wazo mtt angebakwa na watu wa ndani kwann akuwaza na watu wa nje.. tulosoma Gaza tusaelewa
Huyo mwanamke hajitambui. Yaani mtoto kabakwa miezi minane wewe mama mtu hujui? How come?
Huyu mama muongo. Anasitasita hadi haaminiki.
Maumivu anayopitia huyu mama ww hujui tumiachie tu mungu
inawezekana vizuri tu. Huyo ni binti wa miaka 11 labda angekua anamuogesha au kumkagua angejua mapema
Jmn msimpe lawama huyo mama kwani huwezi mfikiria vibaya mtu wako wa karibu bila kupata udhibitisho mwenyewe 😢
Mama kashirikiana na ndugu zake kufunga riwaya
Haya maelezo ni kama hayajanyooka
Hizo dua anayesoma ni nani?.Uchaguzi ufanyike wa kina
Yanyooshe wewe basi!!! Wabongo mmeanza kudhani!!! Dah hata mtoto hamumjali mnajali mali!! Kawaambia nani kama huyu hamaa ana mali😣😣
Mbona mama.kama.anatunga story mbona hana uchungu
Maelezo hayana ukweli anajua kila kitu mtoto ajawa mwari akiingiliwa utajua ty maana hawez kukaa wala kutembea liongo ndiomana anajifunika uso
Ni stori ya uongo 😅😅😅😅 kama una brain 🧠 ya maana kama yangu unaona ni uongo kabisa 😂😂😂😂
Nimuongo huyu mama namjua vizuri tuu anamsingizia kesi
Tupe ukweli unaoujua na evidence
sijui kwanini napata mashaka na maelezo ya huyu mke.
@Yustamgaya HEBU tueleze MASHAKA YAKO INGEKUWA MWANAO pia ungekuwa na MASHAKA??
Ningekua mm hata kuongea nisingeweza huyo mama anamaumivu kama ni uchungu wa kuzaa hapo ndio unarud upya
Uko sahihi dada niliwahi kutokewa na tukio kama hili nusu niozee jela ila binti baada ya kupimwa akakutwa bikra wanawake wa hivi sio watu wakuwaamini hata kidogo ukute mtoto katumwa na babaake mzazi kuharibu mahusiano ya mamaake
@@muzneali4747kuna kuaga na kesi za hivi zakusingiziwa ndomana huyo dada kasema hivyoo mi niliwahi kukutana na kisanga kama hichi sababu ilikua kwenye kumshauri mwenzangu mwenendo wa mtoto wake nikamwambia huyu mtoto kua unamkagua kwasabu tayari naona anadalili mpaka za kunitega anavua nguo mbele yangu na sio kawaida Kwa umri wake mama akariakti nakudai itakua Mimi natembea na mwanae kwanini niseme hivyoo kesi ikaanzia hapo hapo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nilishukuru mungu baada ya binti kupimwa akakutwa bikra ndo ikawa nafuu ya na tukaachana hapohapo 😂😂😂😂😂
@@khalsasalim7930stori inamashaka mengi Sana hii ukimsikiliza huyu mama bila kutumia mihemko unawaza ukazani kuna mtu ameonewa hapa ila huyu mama anasiri yake moyoni hapo kuna mtu anatapeliwa hapo
Duuuu jmn dunia hiii jmn ad uyu dada anamwita tu mume wangu ety ni kweli wakata anaona mtt kwbakwa jmni ,yan wanaume wanamna hiyo wanyongwe tu wafee
Hapo ndiyo itakuwa dawa
Muongozo huyo dada sikiliza Kwa makini uongo mtupu
@@mohamedkisenga6654yaani nimuongo nimuongo mtupu Jamanii Mali hizi zitawatowa roho na hujuwii zilivyo patikana 😮😮
Nimeishiwa mpaka nguvu za ku comment 😢😢😢😢
Jamanii jamanii huu ni uwongo mtoto wa miaka11 aweze kuhimili Dogi staili jamanii so kwelii😂😂 hyo mtoto kaaribikia kwingine wallahi tena sema hyo baba Mali ndozinazo mponza 😢
Vitoto vya sikuizi chipusi nyingi iraukifuatilia wenye makosa niwalez kama wariona dalili kwanini wasichukuwe angalizo mapema
Hapo kesho anawekewa zamana..baada ya hapo anaweka mawakili mawakili wanamtetea kesi kwishaaaa..mbakaji anazamana 😅kesho anaenda kula mihogo
Km anataka mali huyo dada ipo sk atakufa
Kama mali ni za mwanamke
Kwanza wamama tunatakiwa tutenge mda wafaragha nawatt wetu siwake wala wakiume sahivi hawa wanaume sio watu kabisaa
. Ongeeni wazi na watoto wenu hata wakiwa katika umri mdogo. Msione aibu kuwatajia kwa lugha nyepesi ya wao kuelewa. Kwamba mtu yeyote haruhusiwi kwagusa mbele au nyuma awe baba awe kaka au mtu yeyote. Shirikianeni wanawake ktk hilo. Shetani wako majumbani na sio mtaani. Bora aibu kumtamkia mtoto mdogo hayo mafundisho kuliko aibu ya kumburuza mumeo mahakamani kwa aibu ya kulala na mwanawe. Ningelikuwa Tz. Ningeliomba ajira ya kufundisha elimu hiyo kuanzia 3 yrs old nk. Ili kuwalinda watoto wetu. Mahakama na polisi zetu ndio hivyo. Pole sana mama mzazi. Hukumu halisi itatoka kwa mungu
Kuna kaka kaacha kill kitu arusha nyumba 2 mke alimtengeneza mtoto ili aseme amebakwa na baba yake , kaka yule alitoroka baada ya polis kumsaidia atoroke waliona ni uongo mwisho wa siku yule mama. Anamtafuta yule baba ili walee watoto mnaona mambo hayo
Umeonae hata kakangu alifanyiwa hivyo tukatishia kuvunja chungu wakaja kutuma wazee waombe msamaha Na ndoa Yao ikaishia pale wakaachana mpaka Leo 😂😂
@@cheiknamouna2058Tamaaa ya mali
Sijui ni kisimu changu kimechoka mimi nliona kwa nje hayo mauwa kama madoti ya damu kumbe ni urembo wa kamtandio🙈
Mwenyewe nilihisi hivyo hivyo
Kama mimi
Na ukute hapo anaswali swala tano😢😢😢
Ukweli anaujua MUNGU hapa mana kama sielewi au sijui niwarlezaji hawajui kujieleza
Kisasi cha Mungu ni kikali sana tubadilike wanadamu,tusali tuache kumtenda Mungu makosa yanayomuudhi vikali tujaalie mioyo ya sala ee Mwenyezi Mungu 🤲🙏
Hi mama anakua bize kiasi gani mpaka kushindwa kumkagua mtoto wa miaka 11 au kujua kama hayupo sawa hawa ndo wale wamama dont care anatakiwa naye akamatwe akae jela kidogo mana malezi yamemshinda kila kitu dada wa kazi anatumiwa mtoto kwakua haupo karbu yake kujua maendleo yake mm binafsi naona tuna kitu cha kujifunza kwa hii familia huyu mama yupo bize na maisha kuliko watoto wake anathamn ndoa hana muda na mwanae ndio mana hana taarifa za mtoto
Yan uuongo had shangazi mwenyewe anakosea maneno yan anatetemeka kwa kitu wanachoongea jaman🤐
Ila wanaume hawa ni viumbe hatar sanaa😢😢😢😢me wang alitembea na mdada wa kaz ndan ya mwaka mzima anampa mimba bint na anamtoa mimba hapa kwangu wala nilikuwa sifahamu,,,niikiwa na mimba miez tisa ndo nilipomfumania sitokuja kusahau ile cku nililia sanaa😢😢😢😢,hawa viumbe msioolewa ndo mtawatetea lkn co mm jmn😢😢😢
Mna tamaa na mali za mwanaume waongo
ngoja yakukute ndio utajua ni mali au
Sio tamaa ya mali hapa kuna ukweli 80% ila mama mzazi anaongea kama mtu anayejaribu kutetea ndoa bila kujali haki ya mtoto.
Tumia akili sio kuongea ujinga omba mungu lisikukute kwa mtoto wako
Mamlaka za serikali waingilie hili kwa mwenendo INAONYESHA polis wameshatulizwa kimazingira ya RUSHWA huyo mtoto atakosa haki na kuna watu watakaoathirika zaidi waliotoa ushahidi mtuhumiwa akiwa huru anaweza kuwafanyia Mambo mabaya mama yupo kwenye mtihani MKUBWA ameshazaa na wanaume wawili tofaut itakuwaje kama kutakuwa na roho ya kisasi? Familia inakwenda kugawanyika lamsingi mtuhumiwa ahukumiwe kwa aliyoyatenda haki itendeke POLISI WAACHE RUSHWA
Mimi naona apo wabanwe wotee iyo kesi maelezo yao nikesi yakumtengenezea uyo baba kwa uroo wa mali
Dah! Inauma sanaa,na inasikitisha mungu tunusuru sote.
Mh maelez yahuyu. Mama sio jmn vi mmemskililiza vizuri kweli kwann unamtengenezea kesi huyo mmeo kama humtak siumwambie tu ukweli yani umenivurndia maelez yan umesha faha ukweli juu ya huyo mmeo ulipata wap nguvu ya kulala tena nahuyo mbakaj isngkua baba halis sipangkucha upo nae
Mbona kama mchogo jamani
Mim mwenyewe simuelewi mpka hamu ya kuskiliza inaisha
Wanachanganya maneno mpk noma
mmmmmmm anapuliza na fenu.mtoto mzoefu kulikov mama.
Mue na akili hii huenda ni njama Usha ambiwa tuishinnao. Kwa akili harafu kwanini kuhoji upande mmoja mbona Hamna akili watangazaji
Wanaume wa kitanzania sijui ni ibilisi gani ime wapata 😢
Kwa maelezo ya anty wa mtoto inaonekana huyu mama kunamchezo anaucheza bado anaipenda ndoa yake haangali maumivu ya mtoto wake anaitetea ndoa yake huyu mama mzazi achunguzwe ili mtoto apate haki yake
Wandishi wa habari pesa inawaingizaga matatzon san dunia hadaha
MIMI SIO MWANASHERIA ILA HUU NI MCHONGO
Usiwe na roho mbaya uwongo wewe ulikuwepo
Hao watu wazima nao wanaficha sura?
Jamani hizi kesi za ubakaji hasa za watoto chini ya umri wa miaka 18 zimezidi kuwa nyingi ipitishwe sheria ya kunyongwa hadi kufa na faini tunaoumia ni sisi wazazi hasa akina mama maana sisi ndio tunajua uchungu wa kuzaa
Mmmmm Pole sana inauma saana huu sio wakati wa kuamini yeyote,Mambo ni mengi Mungu amsaidie mtoto maana asipopata muongo mzuri ndo kuharibikiwa huko.
Hii hatari sijauelewa mtu uko nyumbani unapika ama unafua mtoto anabakwa uyo baba Hana hata hofu kweli duh!
Inawezekana tukio ni la kweli ila mama hajui kujieleza
Mtangazaji na wewee eti humuogeshi 😮😮 sasa unaweza kuogesha mtoto wa 11 years
Jamani huyo baba mungu amlaani na afungwe kifungo cha maisha ana niniyeye asiadhibiwe? Ila mumhoji huyo mtoto taratibu na baba yake pia
Huyu mama kama 90 vile
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli aseee
Anamwingilia mtoto mama akiwepo pia? Kuna kitu hakipo sawa
Haya mambo hsyatoisha bila raia kuamua.mukingojea serikali hampati kitu .dhamana ipo
Allah atatenda haki katika hili
Msingizieni kaka wa watu kisa tamaa ya mali na ujue dunia inawaona sawa na mungu yupo pamoja na mwenye haki yake
Hii ndo tatizo la kuoa mwanamke alie achika huyo dada muongo
Utakuwa ndugu yake mwanaume kumbuka mtoto wa mwezio ni wako umia maana hujui mtoto wako atafanyaje
Hii c ya zamani sana
Ao wanawake wakishagombana nao wanakutia kesi tu
Uwiiii jmn tulelee wapi watt wetu? Wakikaa kwa bibi zao wanabakwa na babu zao wakikaa na mama zao wanabakwa na baba zao! Bado jamii iliyozunguka. Mungu wangu tusaidie kupigana hii vita
Mbona kama mchongo huo😂😂
Sio lako ndio maana wsema hivyo
Huyo mama anataka mali mwanaume aishie jela yeye amiliki nyumba na mali zake😢😢 Isha kuwa mchezo wanaume kutengenezewa kesi ili mama amiliki amli wanaume kuweni makini
Mwanaume Mia hana mama ndio mwenye hela alafu uzae na mtu watoto Wawili then umtengenezee kesi for what hayajawakuta ndio maana
Huyu mama pia afungwe
Sasa mnaonyesha nyumbn watu siwatajuA NI WAPI NA HUYU MTANGAZAJI MASWALI YA KUPUUZI. HAYA HUSIANI HATA NA HILO TATIZO KAMA MWEHU
😂😂mwehu
Huo ni uongo uliopikwa
Subiri yakukute. Ndio utaelewa hii dunia.
Au wanataka kumdhurumu huyo baba jamani
Inauma😢jaman nyie nimelia
Kwanza mama hata hisia za kuhisi mtoto yupo tofauti hata kutembea jamani pia nilicho kigundua mama hana ukaribu na mtoto au watu wa hapo njumbani ndo maana 😢😢wamama tuwe marafiki na watoto uwiiiiii wababa wa skuz hawaeleweki
Huyu Mmbwa huyu anyongwe haiwezekani kumfanyia ndugu yangu unyama huu dah Kaka ufananiii
Wewe Mwanaume Mungu amekuheshimu amekupa utajiri halafu unamkosea kiasi hicho??? Kenge wewe!!
Hili mama zembe mbakaji still you call husband
Kwanza nakemea ubakaji ila nawaza tu, mke anataka kesi iendeshwe haraka mume afungwe haraka, lengo siyo haki ipatikane lengo ni mume afungwe haraka, halafu iweje sasa? Mbona kama anaingilia utendaji wa vyombo vya dola ?
1 Mtangazaji mbona hujamuuliza chanzo cha kuachana na mume wa kwanza?
2. Hujamuuliza mali walizochuma?
3. Hujamuuliza ikiwa alienda polisi kwann polisi wamjumuishe tena kumkamata usiku?
4. Inawezekenaje mama yupo nyumbani et anafua nje, mtoto anabakwa hapohapo na kuna watoto wengine pia, halafu mama anasema hata mlango hawafungi na hajawahi kuwakuta wala kujua lolote.
Umeuliza vizuri
Utakuwa wakili mzuri.
Awa ni wazembe sana kwa kweli dalili zote izo zilikua zina onekana wazi wazi
Huyu mwanamke na yeye nahisi sio mzima kiakili 😮
Yan mm naona kama ni mchongo ujue🙄🙄
Mtoto ameshazoe da! Uwiii mungu simama na nasi
Huyu dada maelezo yake hayako sawa.huyo anataka mali
Kivipi sijaelewa
Swadaktaaaaaa huyo maelezo yake hayaeleweki
Mwanaume Mia hana mke ndio mwenye hela
@@nicechande4687 kwahiyo nyumba ni ya mke??
Maelezo yako Yana yumba ss unashindwa kumchunguza mtt ww mama ww mmh ss mtu yupo nnje na amesha toa hongoo
Jamani haya matendo ya ubakaji kwa watoto wetu yanatuumiza sana sisi wamama,wanaume ni wakatiri sana sana😭😭,inauma sana jamani mimi kama mama nakosa hata neno,naogopa mnooo nawaza watoto wetu,hata sijui tuwafiche wapi 😭😭😭,ila mama uzazi nawe inaonekana kuna vitu unaficha,kweli matukio yote hayo ulindwa kushtuka na kuwa na wasiwasi na binti yako😢😢😢
Pole mama hayo n mapito magumu
Mi nakelek San awoooh wangekuwa wanapigwa sindano za kuwaasiwa ndo ingekuwa azabuyaoh bilaivy matukio ayatoish kasa Napoli's utasikia uchunguzi aujakamilik
Huu uongo umetengenezwa hamna ukweli kbs
Me natetemeka 😢😢😢😢 nyieee Mungu tulindie watoto wetu
Jamani dunia imebadilika mwanawake mkiwa mmeachika msikubali kuolewa 😂
Nimeumia sana mtoto kapitis maumivu sana kwa muda mlefu bila wao kujua na hapa tujifunze jambo tusiwe wakali kwa watoto wataogopa kituambia mambo wanayo fanyiwa
Kesi ya mchongo
mbakaji na wewe
Subir utombewe utaelewa tuu😂
Yaa rabbi😢sie tuliozaa na tunatak kuolew tena itakuaje😢mng wng nilindie wanang n huu mtihan
Mm binafsi siamini sheria kwani tulishapambana na kesi kama hiyo kwa mwaka mazima hukumu ikatoka mtuhumiwa jela miaka 30 lakini😢mwaka moja tu mtuhumiwa kaachiwa bila upanda wa mlalamikaji kupewa taarifa kufuatilia wanasema mtuhumiwa alikata rufaa kesi ikaendeshawa kimyakimya wakasema kuwa mtuhumiwa alikutwa hana hatia bila upande wa mlalamikaji kuambiwa ,wakati kulikuwa na ushahidi wa doctor, askari kuna mtoto mwingine aliye shuhuda na ushahidi wa sehemu ya tukio lakini bado aliachiwa...hapo nimejifunza hakuna kuamini polisi wala mahakama bora nichukue sheria mkononi kama ni mbwayi na iwe mbwayi
Mbona mtangazaji Kama ana mashaka na mama wa mtoto😮
Aibu anajionea kuwa mama mjinga
Sababu ni muongo
Jamani hivi wanaume mna nini jamani kwanini hivi jamani serikali itafute dawa ya hiki kitu jamani tumbonla uzazi linauma jamani mungu hawa watu wananini jamani
Huy bab ni muuaj san
Pore Sana mwanamke mwezangu ila jitaid kujiereza maana kwa maerezo Ayo unaisi utapata Haki kweri jotaidi kutoka maerezo ya kuereweka Ila pore sana
Hivi nyieee siku ya Kwanzaa tuu mmeonq alaf mnaendelea kukaa kimya kweli jaman mnashindwa kuchunguza zaid jaman tuachen uzembee huu inaniuma mnavusimulia kweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yan huyo mma ni mwongo pia maelezo hayajitoshelezi huyo dda waliopo nje amekuja sangap kumpima na amejuaje hilo yan,, hiyo stor niyakutengeneza angalien kwanza na kufanya uchunguz ndipo mposti huo nimchongo tu
Aah Dahh its so sad!WOMEN,WOMEN i call u louder again WOMEN please this is the time to realy be careful with your children . They suffer a lot out there and the rest of the family’s they even solve these matters jst quitly,they dont know how they keep destroying this generation psychologically.MOTHER’S your daughters needs continuesly check up on them down there til their turning 18 yrs old,do not be ashamed for the sake of their safety.May God stand with our familly’s 🙏🙏🙏. #weneedtostandforthesegirls
#Chilrenrightsmustapplyhere #weneedrightsforthislittlegirl.
#actionspeakshere.
Well spoken madam we need God on this.
Ndiyo maana nilikataa mahusiano nikijua hukumu za mwanangu namshukuru Mungu mwanangu amekuwa sasa nipo huru kuolewa mtoto anauma jaman 😢pole sana
Wewe dada simama upande wa mwanao ,mtoto wako ndiyo ndugu yako simama imara paza sauti mpaka haki itendeke
Lakini hawa wanaompa dhamana je angefanyiwa unyama huu mwanae angempa dhamana mtuhumiwa?,
Huyu mama kwanza bado anampenda baba mbakaji pili ni mzembe sana huyu mama loooo😢😢😢😢
Duh!!sijui huyu mshenzi alifikiria nini mpaka kutekeleza kitendo hiko jamani naomba serikali iingilie kati na ikiwezekana huyu baba anyongwe kabisa ajue uchungu wa kumbaka mwanae
Kesi ya mchongo iyo tamaa za mali
Mtangazaji umekosa maswali ya kuuliza mpk uulize DOG STYLE 😢 halafu anacheka 😮
Kwann muchelewe kutoka taarifa na wakati mlishamkuta anamfanya,? Na alikuambia kwann mliendelea kuuchuna? Ninyi ni wazembe
Dah! Dunia hii ipo mwishoni tumrejee Muumba wetu, lakini kunaumhim wa Sheria ya kifo kwa mafilaun kama haya.
Huyo baba afanyiwe ukaguzi wa akili na afungwe.