INAUMA: MREMBO ASIMULIA ALIVYOBAKWA AKAPATA VIRUSI VYA UKIMWI "BABA KAFA MAMA AKATOWEKA, NINA MPENZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Hii ni PART ONE ya simulizi ya maisha ya Cherry, usikose kuitazama PART TWO kesho Jumanne November 14,2023 ambapo Cherry ataendelea alipoishia na pia Mpenzi wake aliyedumu nae kwa miaka mitatu atahojiwa pia na watapima kwa pamoja ili kututhibitishia kuwa Cherry ana VVU na Mpenzi wake hajaathirika na virusi hivyo.
Hapa kunachakujifunza wamama kuacha watoto wadogo kwa sababu ya changamoto za family jamani kuwa KARIBU na watoto wetu😭😭😭😭 ila uyu dada nimependa sana kwa kuwa muwazi na kuifundisha jamiii MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
Ni kweli uvumilivu ni muhimu
"Cheating ni Mwanzo mzuri wa mtu kupata maambukizi ya HIV" 📌📌📌
NA UKIISUGUA HASWA KAMA UNATAFUTA GOLI 5 ZA YANGA VS SIMBA
Mume wake achongewe sanamu. 🎉. Ila nimegundua watanzania hatuna elimu nzuri ya HIV/AIDS
Hata kama ila ni wachache weny moyo kama WA huyu dada, walio wengi wanaambukza Kwa makusudi ty
Story nzur na yenye funzo ndani yake .)))Ayo team mnafanya vizur sana story yenu iko well organised hongera mtangazaj bakari jichua
yani bora hata vido vidox, anajua kuuliza maswali na anaongea kwa sauti, sio huyu sijui hata anaitwa nan, 😏😏😏
Cherry wewe ni msichana mdogo na jasiri.Iam proud of you gal.👏👏👏👏
Dada nenda tu kasome masuala ya HIV TEST AND COUNCIL ili uwasaidie wegine uko vizur sana nmekupenda bure
Tayari ni councilor wa hayo mambo
@@snazzytee9178 naomba maelekezo zaidi na Mimi napenda kujifunza ili nielimishe watu
Hao ndo wnaume rijali ambao wanaeza kubeba mapungu ya wenziwao mungu azidi kuwaumba amina
ila mtangazaji alikuwa anaongea kwa maringo, sauti iko chini, maswali hayasikiki. Mtangazaji alizingua sana.
Mpaka nimelia 😢 wewe ni mwanamke wa💪God bless you 💞💞
Rais anatununulia dawa duuuu kwa hyo alianza samia kuhusu hizi dawa? Madam duuuuuu
Mungu akutie nguvu dada angu..Unagusa maisha ya wengi sana❤️
skuiz ukimwi ni km mafua tuu..
hakina tena ngonjwa linalotisha..
kinachotisha ni hali ngumu ya maisha baasi
Ujitambui
huyu mtangazaji hafai anaongea kama hataki. Millard hebu angalia.Anatafuna maneno
Kabisa jamn anakera,Yaan ananong’ona maneno anatafuna Millard atoe huyo
Mungu ata kusahidiya 😢Dada yangu much love from the 🇺🇸 USA we pray for you
Kuishi na virusi usikie tu kwa mwenzio,au story kama hivi,kama hujaambukizwa jitunze,kama umeambukizwa tumia dawa na zingatia lishe🚶
Mungu atusaidie kwakweli na atuepushie balaa hili
Hapa kwenye DINI Tumuachie MUNGU. 🤲
Mmh Ila hii story jaman pole sijui ni ya kwel hii story Ila pole kwa kupata maambukiz aijalish umepataje ila tu pole kwa maambukiz
Serikali tumieni mtu huyu kutoa elimu. Ifike sehemu watu wacheze ngoma wanazozijua. Vyeti vya nini sasa 😀😀😀😀
Kabisa sana huyu ni wakutumiwa sio limtu halijui hata maumiv ya kifua kikuu unamkuta ndo mshaur kwanin wasiwanyanyase
Kweli kabisa
Mgonjwa Wa Ukimwi Hapa South Africa Analipwa Na serikali. Pia Ukimwi Kwa South Africa ni swala la Kawaida.
Nakupongeza sana kwa kuzidi kutia moyo kwa waliokata tamaa hongera sanakwa elimu unayotoa nimejifunza vitu vingi
Ukijipenda na ukajithamini maisha yatakuwa mazuri sana,it all begins with you,
Dada pole kwa yote yaliyokukuta kwenye maisha yako pia hongera kwa kile unachokifanya kwenye jamanii kutuelemisha juu ya ugonjwa wa HIV Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu🙏
Aaamiin🤲🏿
Pole sana dada angu mungu hawezi kukuacha usikate tamaaa
Hongera Dada mrembo kwa ujasili, ombi langu okoka Kabisa. Mungu anakupenda sana na anakusudi na wewe.
Mungu anakupa jaribu ambalo anajua utaliweza ,cher Mungu wetu ni mwaminifu na anakusudi zuri na wew 😍😍
Naomba hii interview imfikie ummy huyu dada na yule dr wake wanatakiwa support kubwa sana kwenye utoaji wa elimu juu ya HIV ni watu muhimu sana kwa hili taifa , Tafadhali mwandishi uliyemhoji tengeneza hii documentary peleka wizarani
Wasanwanasematumeibiwa theywatputonrecod
Dada nakuakikishia ukimwamini mungu utapona
Nishagundua huu mchezo, lakin fresh
Mungu aendelee kukutunza siku zote dada cherry uko really sana sisi kama waTanzania Tunakupenda🥹🫂❤️
Huyu mbnaa kaa n balozi wakutangaza matumizi mazuri ya ''ARv''.
Sasa unatuadisia wewe mtangazaji bx msingemuita mtuhadisie khe milladi nawe vido vidox umemuweka wap
Mtangazaji kama fala sauti Gani hiyo unaongea kama hujala🚮🚮🚮🚮🚮
Chery Your so Beautiful na Ulivoamua Kusamehe TU Ndo Mungu aliamua Kukubariki
Pisi kali iv ina ukimwi?😢😢😢
Guy Am single -harmonize
Pole kwa changamoto iliyokukuta.Mwenyezi Mungu aendelee kukupa ujasiri.
Nikweli use malo lakini usiwe sikuhizi watu awahamini serekalizetu ndomana wanasemahivyo kama serekali wanatunyima Michele unahotoka ulaya sasa wata kosa je kutafuta watu wakulipwa ndohiloujuwe dada
Cherry wewe ni baraka Sana, miaka mingi kwako, nikumbushe tu kuchit NI mwanzo mzuri wa maambukiz MUNGU atusaidie,
Kabisa maambukiz meng chanzo chake mara nying huanzia kwenhe kuchit😢😢😢😢
Wote wangekuwa kama huyu. VVU angeteketea. Shida ni kwamba watu hawataki kuwa wao tu 😢😢😢😢😢
Shida c kuwa wao bali kunyanyapaliwa ndio kitu kikubwa ambacho wengi wao wanahamua kuwa kimyaa askari vidole
@@shubebunyesi542nikweli kabisa shida nikunyanyapaliw ndomana watu wanaogop a kujiweka Waz
YAAN ILA KINA MWAJUMA NDALA MDEFU HAWATUMII DOZI VIZURI NA WANATOMBESHA NA KUFIRISHA HATARI😢😢😢
Cherry is such a strong woman I ever seen before.Go on Educating our community my Young sister 👏👏
Serikali mnasubiri nini kumtumia huyu binti aokoe mamia ya vijana, mfano halisi huu hapa msiendelee na nadharia hazisaidii sana.
Nalikumbuka lile pori dah
kuna baadhi ya maeneo dada anatupanga
dawa hanunui SAMIA wala sio GOVERMENT ya tanzania
ARVs zinatolewa kwa msaada wa PEPFAR.
Pia mtu aliyebakwa hapewi PrEP napewa PEP. point of correction nasio kama napingana na yeye NOTE:
@@irenesangenoi965 ifahamike ivyo
@@irenesangenoi965😂😂😂😂kn watu wana makasiriko
Na Global Fund
@@mwana4599 Goverment ya tanxania inahusika kwa asilimia 3 kam sio 5 Tena kwenye kusambaza na sio ununuzi
Kweli ndugu hata mm nimeona kama hii ni ujanja flani hivi anatumika tu kuwapa moyo wanaotumia dawa pia swala la prep amedanganya after kubakwa anapewa pep baada ya kuwa exposed prep anapewa kabla ya tendo la ndoa
Mungu akupe maisha marefu na pole na yote uliyo pitia,barikiwa sana , unaupendo wa kweli.
Mama pole sana your so beautiful unaongea vizuri sana Mwenyezi Mungu akujalie kila lenye kheri uzidi kuwa mrembo hivi hivi na kutoa Elimu kwenye jamii yetu ❤❤❤❤uko jarisi sana kati ya wanawake majarisi niliowahi kukutana nao nakupa number mbili wewe ni wa thamani sana sending a lot of love ❤❤❤❤❤
Mtangazaji hasikiki anauliza kama anatongoza, anashindwA na huyo dada mike kaweka vizur😡😡
😂 kumbe na ww umeona
MUNGU AKUPONYE DADA UR SO SPECIALLY..TUNAKUPENDA
Kunyapaa kwa kweli bdo ipo kwa sababu muda mwingine mtu anakaa na HIV anakuwa mkali sana pia anataka akuambukize tu kwa lazima .
Mara kafa mara mchungaji me Sijaelewa kwakwel
Wale wanawake na wanaume wanaoamin kwamacho kwamba mwanamke huyu nimzuri nimsafi ametakata mwili mzma jaman jaman jaman ugonjwa huo ni tishio lako katika maisha yako sio ugonjwa wa kuchukulia poa ukiwa nao hutaishi ukiwa freee
Imagen ukutane na huyu dada njian alivo mzur hutaacha kumtogoza jaman
Hongera sana sister!
Umesema huna dini then ukasema unaamini uwepo wa Mungu na kumuomba...!! Bila shaka wewe una dini hata kama sio Uislam au Ukristo, maana dini ni utaratibu/mfumo wa maisha anao utumia mtu kumtambua na kumuabudu Mungu/Muumba wake.
Point ya pili ni Kama unaamini uwepo wa Mungu basi ni muhimu kwako kutafuta na kujua ni utaratibu gani huyo Mungu amekuekea ili uweze kumuabudu kama anavyotaka yeye sio unavyotaka wewe. Kama Mungu ametuumba na kutuleta hapa duniani bila shaka ametuwekekea utaratibu wa kuishi na kumuabudu, japo ametupa free will to do whatever we want to do lakini na mwongozo katupa kwamba this is good and this is bad so choice is yours.
Ushauri ni kwamba tufuate Muongozo alietuwekea Muumba wetu na sio kufuata tutakavyo sisi, na ni jukumu letu kutafuta ni upi mwongozo aliotuwekea Muumba wetu.
JAMAA ANAULIZA MASWALI KAMA TAJIRI SAUTI INATOKA HAISIKIKI VZURI UTAFIKIRI AMELAZIMISHWA.
jamani kwani mukihojiwa hamuwezi kuongea kiswahili mwanzo mwisho mpaka muweke kingreza!
Acha wivu mm naongea kiswahili lkn nikiongea lazima niingize na kiarabu yaani kimeshani sana kwa hiyo acha makasiriko 😏😏
Ndo ujue kingereza Tanzania kinazidi kukua! Acha wivu
@@Fatima1234-wl1nu تمام شكرا
Jifunze😂😂😂😂
Nimekubali sana sister she is real ❤
Mwanadada mwelewa kabisa na ameelimika katika swala hili. Hongera sana. Tatizo jamani sis watanzania kila kitu tunapenda kukiwekea dosari eti analipwa kupigia debe watu wanywe dawa!! Wanasayansi wanakesha kutafuta mbinu mpya zakutatua magonjwa wengine wanakuwa wakaidi. Waombaji walokole na waganga wakiwaambia mfanye vitu fulani fulani mnawaani...sayansi hapana.🎉
Njoo nikupe dawa upon kabisa
Asante kwa msaada wako, unatusaidia sana sisi watoa huduma ya afya kuelimisha jamii yetu
Nakupenda cherry mpaka natamani ningekujua muda mrefu nadhan dada yangu angeiona hii interview angeishi maisha marefuu but no way out alikata tamaa Wala hakutaka kutumia dawa 😢😢😢😢
Kwa kweli anaushawishi ni vyema achukue huo ushauri kuhusu kufungua ngos kwa ajili ya wanaoishi na hizo hali
Pole na hongera kwa ujasiri ambao mungu amekupatia.Nakupenda kipenzi
Hii ndio tafsiri halisi ya Wakati mwingine Matatzo yako yanaweza kuheuka kua fulsa nakuona ulifanikiwa zaidi kwakupitia ujasiri huu ulio nao naona Wizara ya afya Iki kupa kazi ya ushauri Kwa Watu wanao ugua VVU
Pole sana madame
mi nawaambia ila ukubaliane na kuachwa ila nasema sitaki dhambi kumbe ndio maana siolewi nimejifunza kukaa kimya leo
Hongera cherry kwa ushuja wako. Ukipata mda piga boss wako wa zamani dodoma
Nimekupenda sanaaa cherry mungu wa mbinguni akushindie uendelee kutufunza zaidi
NASHINDWA KUMALIZIA STORY HII KWASABABU YA MWANDISHI ANAULIZA MASWALI KWA SAUTI YA CHINI HIVYO INAONDOA MVUTO WA STORY HII.
Anaaibu
Pole sana mwanangu mungu yupamoja nawe
Mungu akujalie dada akpatie maixha marefu uendelee kuelimixha jamii kwan unafaa
Mungu muhimu.
Mirad kk huku kwetu kunashida tuna omba uje gongoramboto
Jamaniiii ukimwi unatisha uwezi kujuwa Kwa kuangalia sura au umbo Mwenyezi Mungu atuepushie jamanii
Kuna magonjwa mabaya na hatari zaidi ya ukimwi Mungu atuepushie
Nini kimekutisha Africa mnaishi kwa hofu sana ila kihalisia hutakiwi kuogopa ama kupanick
Pole dadangu mkenya hapa 🇰🇪 sema tuu bwana mungu wa israel dhambi ambayo hukusudia - Pia utubu kwa kuchukua boyfriend ukijua wewe mgonjwa na kumzingizia tubu hiyo dhambi...omba tuu utapona kwa jina la yesu. Just say to the God of Israel that you want healing and that sin you never purposed. God will heal you
Unajua kumbukumbu mbaya zinadumu Sana yani,,,Sasa dada kama haupo tayar kuhojiwa kwanin ulikubali kufanya interview??
Mungu akubariki sana dada akupe mahitaji yako ❤❤❤
Nenda Kaponda kwa tr msigwa dada
Sio kwel dar ukimwita hata mtu mwiz wanamuuwa,Kama ulidangany mtu anakufa,so dar ni among ya sehem ambayo ukipiga kelele watu wanajaa
Mic 🎤 za bakari chijumba inatakiwa zifanyiwe marejekebisho au bakari mwenyew haongei akamaliza maneno mbona cherry tunamsikia vizur jitahid rekebishen hayo nampenda sana cherry so beautiful, confidence,
Huyu hakubakwa cheki masikio katoboa skia kaaa dada poa iv
Nimejifunza mengi. Bless you sis❤
Wow
Nampenda sana
Naupenda ujasiri wake na upole wake Mungu ampe maisha marefu ♥️
Yani mi nawashangaa watu wanamshangaa mtu kujitangaza kuwa ana maambukizi ya virusi vya ukimwi wakati wanasex na watu wasowajua bira condoms na wanamaambukizi ya virusi vya ukimwi😅😅😅
Dada umeiva Sana juu ya elimu ya HIV Mungu akibariki unawasaidia wengi wasio na elimu hii. Nimekupenda ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mabaharia tuache kupimia kwa macho
Nakuona ndugu mtangazaji unavyojifikilia umekutana na wangapi mtaani😂😂
😀😀😀😀😀ata mm nimemuona anavyomuangalia huyo dada like ooh my God
Dada wewe malikia wa nguvu aise unafaa Sana kwenye nnji yetu 🙏
Dada mungu akusaidie sana umetoa alimu nzur sana dada 🙏🙏🙏
Yesu Kristo ni wa rehema mno,anaponya na kubeba mizigo iliyokulemea watu
Cherry Mungu azidi kukutia nguvu,pole kwa yaliyokukuta ila endelea kusonga mbele
Martha, I am so proud of you my love Keep inspiring good people you are very special
kutokuwa na dini ni mtihani,cherry tafuta dini itakufaa sana pale utakapo maliza maisha yakohapa duniani.
Dini haikupeleki popote kakwambia anamwamini mungu nayupo kwanguvu za mungu cyo dini
Brava dada uko vizuri kwa mafunzo mbona mtangazaji kigugumizi 😅
❤❤Pole sana dada angu na pia tunashukuru sana kwa SoMo zuri umetufumbua akili daaah.... mungu aendelee kukueka hapa duniani ili uendelee kutoa elimu❤❤
Pole dada angu mungu we2 nimuanifu
Amini kuwa kwa Nguvu za Mwenyezi Mungu Unaweza Kupona Kabisaaaa....Amini tu🙏
❤ Unaelimu nzuri na kueleweka kuhusu huu ugonjwa, keep it up dada mungu akupe uwezo uwafikie watu zaidi na zaidi, GOD bless you madam and Elton
Hongera cherry kwa kujikubali nakuonyesha ukomavu wa Hali ya juu napia wewe ni smart ila nataka nikusahihishe kitu Rais hanunui dawa za ARV hizo dawa nchi inapewa Bure na Marekani kupitia shirika lao la misaada USAID hatuna uwezo wa Kununua gharama zake kwa mwezi si chini ya billion 400 sisi tusingeweza kwahiyo Marekani apewe sifa zake sio Rais wetu.
Hatamimi leo umenielimisha
She speaks very lovingly,i just love her she's real and beautiful ❤
Very inspiring
Wallah,and she's very confidence i really love her an proud of her🎉
Mbn ha2jaona vipimo sasa
au mambo yamegeuka ndvyo sivyo?
Huyo mpenzi wako nmemvulia kofia 🙌
Hongera upon shujaa sana nimefurahi Mungu alidumishe pendi lako na akijaalie umri.mrefu mulee watoto wenu vizuri , God bless you all
Jamaniii
I love u cherry wangu 🥰🥰🥰🥰
Pole sana mpendwa kwa jaribu ulilonalo lakini nakuomba hii confidency uliyonayo igeuze uiweke kwa Yesu japo umesema huamini ktk dini naamini utapona.Zaburi 103:3 inasema( akusamehe dhambi zako zote akuponya magonjwa yako yote)pia hakuna lisilowezekana kwa Mungu( luka 1:27).Mimi ninachoamini ukiamini ukakubali kuombewa utapona.
Chery God lives.in your heart Mungu akutunze
Cherle huwezi kumuona mungu bira kuokoka na kumwamini yesu na yesu kiristo
Yesu pia kaokolewa na MUNGU sijuw kwann unamfanya awe MUNGU wako. Ukwel Ni kwamba Yesu hawez kumuokoa mtu Wala kumponya mtu anaeokoa na kuponya Ni mmoja t ambaye Ni MWENYEZI MUNGU MTUKUFU (ALLAH(SW))
@@YUSUPHHUGUGU-vh9rx kwani kulikuwa na ulazima wa kukashifu dini yetu?? Si ungemshawishi kumwamini Alah wako kwa maandiko yako. Mapepo tu yanakusumbua.
@@edwinalexander1170😂😂😂mbona mapepo 🙌