MAMA ALIFARIKI /NINA VVU / NILIKUWA NA MAHUSIANO NA WENGI / HATUKUDUMU - DOREEN ODEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Daaaah,Mungu akutie nguvu Dada angu na uishi miaka mingi zaidi na uwe mwenye furaha
Pole xna binti Doreen jamn 🙏 🙏 ww n binti mzuri
Yani mie nampenda huyu dada muda wote anatabasamu MashaAllah mzuri mwenyewe mungu azidi kukupa afya kwani kuwa na ukimwi sio mwisho wa maisha
Mungu akutie nguvu na unaweza kupona kwa sababu tafiti zinaendelea
She's so beautiful
Ugonjwa wa KANSA ndio tishio kubwa sana Duniani bila kujali nchi masikini na tajiri. Kuwa na VVU unaweza kuishi navyo hata miaka 50 to 60,mradi utumie dawa. Kansa hata utumie dawa maisha yake mafupi sana, kutegemea ni stage ya ngapi.Ishi kwa imani yako na Mungu wako na usisikiluze ya watu wanasemaje au wanakuonaje.
Pole sana binti M/Mungu aendelee kukupa faraja na ujasiri mkubwa wa kuendelea kuistamili hiyo hali!
Amina Sana Mungu asimtupe
Allah tunaomba Rehma zako!! yasafishe majanga haya mazito!!
Hongera Sana Doreen kujiamini ni Jambo la kheri
Vijana tunakufa kizembee sanaa!!🤔 Hembu tazama pisi kali kama huyu wapo wangpi kitaani. Baharia ukipewa namba unaomba game unatumia mkongo ukifikir unasthili kusifiwa na baby wako kumbe ooh. Dah. but Mungu akupe maisha mareefu sna we dada. upo Really
I really Love you dear, stay blessed ❤️❤️.
Pole sana Mungu aktetee uckte tamaa mungu atakpigania kwanza ww nimzr sana
HIV is not a big deal these days....na hao virus wa HIV wanaenda ku disappear baada ya miaka 30-40 ijayo.. that's why wameleta the new virus (corona) which is very very stubborn.....wanajua HIV inaelekea mwisho so lazima waendelee kufanya biashara zao that's NWO.. that's world
Pole sana ila haina mmoja my d hii mitihan n ya kila mtu inamkuta
Pole ndugu, Mungu azidi kukutia nguvu.
MUNGU BABA akupe afya njema dear
Nakupenda Doreen
We nijasiri na usikate tamaa big up
WANAUMEEEEEEEEE!!!! HANGEEEEEEE HATARI HIYOOOOOOOOO INAKUJAAAAAAAA, KAENI MKAO WA KUSUBIRI PILAU MAANA MHHHHHH!!
Huna ubinadamu wewe
Pumbu kweli wewe
Mdomo wako hauna breki hyu hajapenda kuwa hivyo alizaliwa na maambukz badaya ya kumuombea wewe wa mtenga au din yako yakufundisha ivyo
Kaka tena mate chini hujafa hujaumbika hakuomba huyu ila mungu alikuwa kashamuandikia na kuwa na HIV sio mwisho wa maisha wanakufa wazima huumwi popote kwani tujuwe kufa ni lazima muda wowote si lazima uwe na ukimwi hatakiwa tuwatenge walakuwanyanyapa kesho yetu kaka hatuijui tuwe na busara na kauli zetu
@@patrickpeter1800 ww dini yetu haifndshi hvy usihusishe dini hpo ni ujinga wke kaongea dini hpo haihusiki
❤❤
Umenenepa sana
Dawa hizo mama
Uko mkweli
Polesana ndugu mungu yu pamkja na wewe
Pole san dada
Pole sana doreen
Polee
Asante kwa kutusemea mumy itz very painfull lakin tunatakiwa tuish ili tupambane Mungu tutie nguvu
Na ww unayo
Na wewe pia
Wallah
So sorry Dear
mashallah dada dorini amezidi kunenepa sn Allah atakupa kizazi vhema lnshallah
Ukimw ni kawaida kuliko Corona sahv watu wanaishi miaka mingi kuliko wazima
Namjuwa huyu dada ni anajisikia hatari.. tumeaoma wote
Hatakiwi kuwa mnyonge wandug
Ndivyo wanavyo kuwaga watu aina hii sio kujisikia yaani ni wakuwavumilia.
Sio kujiskiani hal yakuhofia watu
Msamehe bure tu sio yeye ndio kama anavyokueleza matatizo aliyonayo
Kujisikia ni kawaida ulitaka asijisikie kwan yeye n mait si mzima huyo nyooo
Can I get her contact?
Huyu si tulishamuonaga kwenye chanel nyingi tu akisimulia kuhusu afya yake ameibuka tena
Naomb namb yake dor
Pole san Dda yngu ata mim girlfriend alkua n virus kw upendo akanielezea kusikitisha alibakwa na bbke wa kambo
Ikawaje baada ya apo najua ulmuacha,je muna urafki
@@chichimloli5926 aliponishow ada dawa zake still tulkua twa meet mwnywe akaamua tuwe marafiki hkutka tena niwe mpenzi wke nilimsii haja geto mara kw mara nadhni mwisho akaamua kubdlisha line coz yey akua hjua ameathriki n twa meet ady alipofika 4m akaelezwa ukwel ckufichi ady sai ntfuta namba yke kw best zke coz nilisafar warabuni iwpo ingekua anipendi angeniachia n bdo ningekua Kenya cjui uko wapi coz ata marafiki
@@rajah9328 yuwaitwa nani cz de sm story like my fruend
@@zuenaaliy1925 sas iwpo alinipenda haknitel afya yake den ni mtaje jina lake uoni apo usaliti nani pia ni makosa makubwa ata daktari mwnywe awezi sema mtu flani ameathriki
@@rajah9328 sawa mzee baba ww ukirudi 001 mtafte hata kma sio kimahusioni bt umuone tu
❤❤