Mwandishi wa makala hii umekosea kidogo kuelezea wasifu wa ndugu yangu Kabudi katika eneo la usomi wake. Mimi mwenyewe nimekuwa naye darasani kidato cha tano pale Milambo mwaka 1975 akitokea Tosamaganga nami nikitokea Kigoma sekondari na kumaliza naye form six 1976.Pale Milambo alikuwa kiranja wa starehe na mimi nikiwa kiranja wa michezo
Kabudi anajua vitu vingi ni msomi sanaaa hatuna shaka na hilo lakn shida ya wasomi wetu wanaharibiwa na wanasiasa yan kwa kifup taalum zao hazilisadii taifa mana wanageuka kuwa chawa wa serekali
Tunapenda kujua faida iliyoletwa katika nchi yetu na wingi wa maprofesa katika vitu vya kuonekana sio vitu vya maelezo au vya kuelezwa. Hatupendi kusikia maelezo tunataka mprofesa wagunduzi na wabunifu sio uandishi au utungaji wa vitabu tu. Kama maprofesa wote wataandika vitabu nani atakuwa mtendaji? Tumechoka simulizi za hadithi hadithi tunataka tuoneshwe hiki kimefanywa na profesa fulani sio stori.
Safi Sana mtu wetu wa nguvu haya ni Mawazo chanya katika kujenga nchi yetu , SASA Tupo tunarekebisha KAZI ZETU ila soon tutaanza kuonesha vitu walivyovifanya maprofesa wetu wa Tanzania Hapo tunaamini utakuwa umepata kile unachokiitaji na watanzania wengine
Kabudi ni mgogo wa Dodoma aliyezaliwa wilaya ya Manyoni Singida kwakuwa baba yake Mchungaji Kabudi alikuwa huko. Kwao ni Mvumi Makulu alikozikwa baba yake mzee Kabudi. Mama yake mwl Kabudi yuko Mvumi hadi leo hii.
Hunisumbui sisi Binadamu baazi Yao akimchukia mtu wa kweli anamgeuza kua wakawaida na kufanfa kibaraka fisadi kua wa samani kwasababu ule ufisadi unawatoeni kimasi maso wengine mlio zoea vya haramu
Professor Kabudi justice minister but has lost no capacity of lion tundundulisu wich even high education in Tanzania they don't reach capacity of tundundulisu if you are educate such level of phd then pasonol like exelence president Samia sluu dimand you to do what dasnt allowed education you have to do so das education you have been value what saprs me in Africa you might find low education standards 7 control professor like Kabudi with phd like where professor Kabudi he is on ccm they are low education into ccm leadership but control professor Kabudi that why tundundulisu is anpridictuble pasonol dasnt feae wether president or odinary pasonol tundundulisu will tell you blank and wait is your choice to asepty or reject but tundundulisu spoken already
Kabudi ni mgogo wa Dodoma aliyezaliwa wilaya ya Manyoni Singida kwakuwa baba yake Mchungaji Kabudi alikuwa huko. Kwao ni Mvumi Makulu alikozikwa baba yake mzee Kabudi. Mama yake mwl Kabudi yuko Mvumi hadi leo hii.
kwao ni Kilimatinde manyoni ila wakahamia mvumi mission na wakaishi huko hadi leo ila baba kazikwa kilimatinde.baba ni mgogo na mama wa gairo kilosa enzi hizo.
Prof .Asad❤
Hujamtaja Prof. Shivuji
Kutokana na urefu wa simulizi yetu ndiomana tumeladhimika kupunguza washirika " ndiomana tumewaachia ninyi Uwanja wa comment kutujuza zaidi😊
Mwandishi wa makala hii umekosea kidogo kuelezea wasifu wa ndugu yangu Kabudi katika eneo la usomi wake. Mimi mwenyewe nimekuwa naye darasani kidato cha tano pale Milambo mwaka 1975 akitokea Tosamaganga nami nikitokea Kigoma sekondari na kumaliza naye form six 1976.Pale Milambo alikuwa kiranja wa starehe na mimi nikiwa kiranja wa michezo
Shukrani sana 🤝
Mimi huwa naelewa kuwa Prof Kabudi ni Mhehe na siyo Mnyaturu mwandishi haya mengine umeyatoa wapi
Kabudi anajua vitu vingi ni msomi sanaaa hatuna shaka na hilo lakn shida ya wasomi wetu wanaharibiwa na wanasiasa yan kwa kifup taalum zao hazilisadii taifa mana wanageuka kuwa chawa wa serekali
😂😂😂😂
Kabudi ni jembe namkubali sana
Uyu jamaa namkubali sanaa
Kabudi anajua vitu vingi sana
Genius 😎
Mtu anayemdhihaki Kabudi nadhani hamfahamu vizuri.
Sure 😁
Sema berega na sio barega??
@ndio home na kajomba ketu
Tunapenda kujua faida iliyoletwa katika nchi yetu na wingi wa maprofesa katika vitu vya kuonekana sio vitu vya maelezo au vya kuelezwa. Hatupendi kusikia maelezo tunataka mprofesa wagunduzi na wabunifu sio uandishi au utungaji wa vitabu tu. Kama maprofesa wote wataandika vitabu nani atakuwa mtendaji? Tumechoka simulizi za hadithi hadithi tunataka tuoneshwe hiki kimefanywa na profesa fulani sio stori.
Safi Sana mtu wetu wa nguvu haya ni Mawazo chanya katika kujenga nchi yetu , SASA Tupo tunarekebisha KAZI ZETU ila soon tutaanza kuonesha vitu walivyovifanya maprofesa wetu wa Tanzania Hapo tunaamini utakuwa umepata kile unachokiitaji na watanzania wengine
Kabudi ni mgogo wa Dodoma aliyezaliwa wilaya ya Manyoni Singida kwakuwa baba yake Mchungaji Kabudi alikuwa huko. Kwao ni Mvumi Makulu alikozikwa baba yake mzee Kabudi. Mama yake mwl Kabudi yuko Mvumi hadi leo hii.
Ahsante Sana🤝👊
Maprofessor wanaosaidi Inchi ni wangapi?
Wako wengi Sana mkuu 😢
Ngoma zito
Prof ISSA Shivji ndo gwiji Wala siyo Kabudi, huyo ni Prof. msaka tonge tu.
😢😂
Ni wachache watu wa aina yake.Hajikwezi.
Nikweli😊
Amesaidiwa na kodi za wananchi yeye katusaidia nini kama taifa
Bado huoni mema yake Tu?
Ukiwa mwanachama na chawa wa CCM hata kama ni mhuni wewe ni bora huoni akina ...............?
Jamaa msifie lkn wakawaida tu
😁😂😂
Wa Kawaida???? Kweli ???
Hunisumbui sisi Binadamu baazi Yao akimchukia mtu wa kweli anamgeuza kua wakawaida na kufanfa kibaraka fisadi kua wa samani kwasababu ule ufisadi unawatoeni kimasi maso wengine mlio zoea vya haramu
Ulitaka afagiliwe lisu boya wewe.
Professor Kabudi justice minister but has lost no capacity of lion tundundulisu wich even high education in Tanzania they don't reach capacity of tundundulisu if you are educate such level of phd then pasonol like exelence president Samia sluu dimand you to do what dasnt allowed education you have to do so das education you have been value what saprs me in Africa you might find low education standards 7 control professor like Kabudi with phd like where professor Kabudi he is on ccm they are low education into ccm leadership but control professor Kabudi that why tundundulisu is anpridictuble pasonol dasnt feae wether president or odinary pasonol tundundulisu will tell you blank and wait is your choice to asepty or reject but tundundulisu spoken already
Thanks 🙏
Kabudi ni mgogo wa Dodoma aliyezaliwa wilaya ya Manyoni Singida kwakuwa baba yake Mchungaji Kabudi alikuwa huko. Kwao ni Mvumi Makulu alikozikwa baba yake mzee Kabudi. Mama yake mwl Kabudi yuko Mvumi hadi leo hii.
Ahsante sana
kwao ni Kilimatinde manyoni ila wakahamia mvumi mission na wakaishi huko hadi leo ila baba kazikwa kilimatinde.baba ni mgogo na mama wa gairo kilosa enzi hizo.