ความคิดเห็น •

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 18 วันที่ผ่านมา +6

    Sema Mh, Mungu akupe maono zaidi simama Imara baba

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 18 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera sana John Heche japo wapo wenye vichwa ngumu hawakuelewi lakini asiye kuelewa lazima hukumu impate tu

  • @user-ep7gb4xy2e
    @user-ep7gb4xy2e 18 วันที่ผ่านมา +5

    Hii ni elimu tosha Kwa mtu mwenye akili hongera Heche

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 15 วันที่ผ่านมา +1

    Nakukubali sana mwamba bado tunasafali ndefu sana

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 18 วันที่ผ่านมา +2

    MH John heche elimu kubwa unayoitoa, hakika IQ yako IPO juuuu sana ktk maisha ya watanganyika waelewe uozo uliopo ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze Kwa kuwafumbua macho watanganyika wafahamu hiki kinachotokea Leo hiiiiiiii nchi kwetu Tanganyika, spana zinawabana CCM wameziba masikio yao kujifanya hakuna kitu kinachoendelea nchini kwetu Tanganyika, Hakika IQ ya uwalimu uliosomea umeifanyia ❤❤❤❤❤ Haki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto wa gesi,

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 18 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu jamaa very important

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 17 วันที่ผ่านมา

      Gotten you @daudysanga, this man Heche is so materialistic

  • @maendeleoleo2594
    @maendeleoleo2594 19 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu jamaa jembe

  • @user-rc6qv9wg1k
    @user-rc6qv9wg1k 19 วันที่ผ่านมา +5

    Ukweli mtupu piga kazi kamanda ujumbe umefika

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana.

  • @nestor384
    @nestor384 19 วันที่ผ่านมา +5

    Wananchi wanapaswa/tunapaswa kuchukua hatua

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 18 วันที่ผ่านมา +3

    Hiz ndio sera tunataka

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 19 วันที่ผ่านมา +4

    Hakikaa heche ana nondo, Kila mkutano awe anahudhuriaa

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 18 วันที่ผ่านมา +2

    Inasikitisha kwa kweli

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 19 วันที่ผ่านมา +4

    Jembe ninalolikubali

  • @honesthenry901
    @honesthenry901 19 วันที่ผ่านมา +2

    Heche hichi kitu unachokisema ndivyo alivyokuwa akivifanya John magufuli lakn bado mlimpinga. Sasa tuwaeleweje mbn mnakuwa vigeugeu.

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 18 วันที่ผ่านมา +2

    Baba zetu sisi,wote tumefundishwa elimu ya kukarr hilo ndio tatzo

  • @user-bv1jd6qw7z
    @user-bv1jd6qw7z 7 วันที่ผ่านมา

    Inaelekea Unaowaambia Hawaelewi. Mwenye Kuelewa Utawaona

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 19 วันที่ผ่านมา +4

    Eche matiriol into chadema political party has lmotion into chadema political party has capacity explain clear Antilles tanzania people get point from eche

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 19 วันที่ผ่านมา

      Kwamba? Yaani sijakuelewa mwenzio

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 19 วันที่ผ่านมา +2

    Wake up Tanzania kuna siku tutalia kisa CCM. Ni watu wa ajabu

  • @Esteriajoseph-yk8bq
    @Esteriajoseph-yk8bq 15 วันที่ผ่านมา

    Wana chadema tujenge Sana la Heche

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mwambaaaaa

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn 15 วันที่ผ่านมา

    Akili kubwa zaidi ya mwalimu

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 17 วันที่ผ่านมา +1

    Bado kwenye mafuta ya kula, na dizel na petroli kuna shida sana bei kubwa mno jamani

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jembe la chadema lililobaki nalikubal sanaaa usiwe msalit kama msigwa alieunga juhud

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 12 วันที่ผ่านมา

    Hapo kweny wazee sas lazima mshinde wanaume

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 3 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye kutubakizia mabaki ya nguo mkuu

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 14 วันที่ผ่านมา

    Naamini siku moja utakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa baada ya mh Mbowe kutoka madarakani

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 15 วันที่ผ่านมา

    Wanao mbeza .Heche. Atakuwa mchawi au ana masilahi na maovu yanayofanyika. Kupandisha ushuru mpaka mashudu..Yani taka inadaiwa

  • @user-bz5gl7nb4m
    @user-bz5gl7nb4m 19 วันที่ผ่านมา +1

    Wake up Tanganyika

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 18 วันที่ผ่านมา

    Pokea 100%

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k 3 วันที่ผ่านมา

    Heche nakishimba nakabudi wanafaa

  • @TabuMasanja-y5f
    @TabuMasanja-y5f 6 วันที่ผ่านมา

    heche wewe ni onjoni schana na haso skins m
    heche wewe ni njembe siyo huyu msingwamgaga njaa kwanza kanisa lake Lina waumini 20, Sasa piga

  • @TabuMasanja-y5f
    @TabuMasanja-y5f 6 วันที่ผ่านมา

    heche wewe ni onjoni schana na haso skins mdingwa wagaga njaa

  • @maspro6294
    @maspro6294 18 วันที่ผ่านมา

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 18 วันที่ผ่านมา +2

      Nani kibaraka wa mabeberu kati ya Heche na aliyewapa wageni rasilimali za Nchi?
      Pumbavu wewe

    • @gangan4618
      @gangan4618 17 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@sebastianmwantuge5597kwel hilo jamaa @maspro6294 halijitambui kibaraka wa madaraka-CCM.Akili zake matope yanayonuka yamtokayo baada ya kula.

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ww ni kajinga kupita kiasi vibalaka ni ccm waliwapa waraabu bandari,wazungu mkawapa madini, wachina mkwapa gas

  • @BorySaronge
    @BorySaronge 18 วันที่ผ่านมา

    Wewe umeanzisha uwekezaji upi Toka umekuwa mbunge Hadi Leo wewe ni mtu wa ajabu mambo yote unayoyazungumza hakuna hata jambo Moja ambalo unaloliongea linye tija na watu wanaokuzunguka wanasikiliza ujinga na uongo na mifano ambayo wewe ni mmoja wao maana hata wewe ulipo kuwa bungeni hakuna ulichokifanya zaidi ya kelele mlizopiga bungeni endelea kupiga kelele kama chura

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 18 วันที่ผ่านมา +2

      Usiangslie anae sema sikiliza snachokisema ni kweli au la.

    • @user-ep7gb4xy2e
      @user-ep7gb4xy2e 18 วันที่ผ่านมา +1

      Tunahitaji viongozi Kwa ajili ya watanzania sio vongozi maslahi Kwani CDM inahitaji maslahi ya watanzania wote sio kikundi Cha watu wachache

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 17 วันที่ผ่านมา +1

      Ukiwa mbunge unaskliza na ktekeleza sera za chama tawala.......imagine mbunge wako wa Chama kilichoongoza miaka sitin na Zaid ameanzisha mradi gan Zaid ya Ile inayojadiliwa bungen

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 17 วันที่ผ่านมา +1

      Siku chama kingine ikatokea kikashika Dola,watanzania watajiuliza kwann walicheleweshwa na ccm

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 17 วันที่ผ่านมา

      Lakin Kwa uelewa wa mtanganyika itachkua miaka 50 demokrasia kukua na vyama vingine kchkua hatam....