Si mpemba ila nimeipenda pemba kuanzia leo ntaiita (green island)tafadhalini ndugu zangu wapemba msiharibu mazingira kijani kinapendeza sana maendeleo yatakuja kidogo kidogo inshaallah
Ikiwezekana siku andaa tamasha la michezo litaloshirikisha michezo tofauti kama football ,riadha ,kuvuta kamba, nk ikiwezekana riadha washiriki na wanawake lkn wavae nguo nzuri za kujistiri ili tulinde maadili yetu na katikati ya michezo ingiza matangazo andaa timu tofauti kutoka mitaa tofauti rika tofauti kazi nzuri hongera sana bro
Hongera sana bro kipindi kizuri sana jitahidi kufanya matayarisho ya mapema kuwapata wenyeji wa mtaa wanaojua asili ya mtaa wanajamii na maendeleo ya kijiji husika. Mbali ya yote hayo hongera sana
Vizur sana nimeipenda sana video hii coz kuna shule ambay nimeiona na inanivutia sana nilitaman sana kusoma fidel castro ila haikuwezekana mungu akanipangia kiuyu michewen
Nakumbuka enzi zangu wakati nipo hapo kwenye mchipuo wa kilimo nikitokea skuli ya jang'ombe unguja. Simsahau mkuu wa chuo maalim Juma Hamad Omar"kijuma"ambae sasa ni mbunge wa jimbo la wawi.
Mitondooni hapo nishabwaga mabungosanaaaa nakufuwa nyuki za mzee mkombozi 😂😂😂😂😂 dah nakusalimiya Rashida bin Kahtan na mwenzako Omar Abdallah Ally nimekumisinii watuwangu nakumbuka siku tulopanda mbungo wakati hatukujuwa kama ulikuwa nanyuki dah maana kilichofata nikikumbuka 😂😂😂😂😂😂😂 maana yakale ni dhabu huu nimwaka 10 hatujaonana mungu akuwekeni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
POA BAB KUBWA UMEENIKUMBUSHA MBALI KWAKELI NIMESOMA HAPO 1987 FIDEL CASTRO KWAWALE WATAKAO NIKUMBUKA WA FORMFOUR C. MY NAME MOHAMED HAMZA USSI KUTOKEA SKULI YA UWELENI MKOANI ASANTENI SANA PAMOJA 2
Mtangazaji usiwaite wafate wao kisha kama utapata muda kaengeze course ya utangazaji utafika mbali nawapenda sana wapemba ni wataftaji na ni watu wa kujaribu
Hahahahah kaka umenifurahisha "samahanini kwa kuwaingilia" "kushanifahamu" "waweza kuja" lahaja za nyumbani nazipenda xana na najivunia kuwa mpemba, allah akufanyie wepesi
Babkubwa mzee kondo ebwana mwanangu plz tunaomba , uweke documentary kuhusu wachezaji wa basketball ball ya chake/tennis/, wete na mkowani yaaani itakuwa babkubwa. Huna mbaya ni mimi mzeee West dah
nimerud Tena Kwa ajili ya kuwakumbusha kitu kimoja tu nibora muandae kipind maalum maana munapoenda kuwahoji watu mitaani maana Sis wapemba tupo nyuma Sana kimaendeleo Kama hayo ya TV.
Si mpemba ila nimeipenda pemba kuanzia leo ntaiita (green island)tafadhalini ndugu zangu wapemba msiharibu mazingira kijani kinapendeza sana maendeleo yatakuja kidogo kidogo inshaallah
nipo dubai naipenda shule yangu big up
Ikiwezekana siku andaa tamasha la michezo litaloshirikisha michezo tofauti kama football ,riadha ,kuvuta kamba, nk ikiwezekana riadha washiriki na wanawake lkn wavae nguo nzuri za kujistiri ili tulinde maadili yetu na katikati ya michezo ingiza matangazo andaa timu tofauti kutoka mitaa tofauti rika tofauti kazi nzuri hongera sana bro
Très joli,l'île de Pemba,je souhaite y visiter inch'Allah.Malheusement sina rafiki huko....
Habari kaka mm shidayagu unioneshe kichugwani pemb plz
Mashallah umenikumbusha mbaaali nilisoma shule hio nilipac michepuo 1999 na nikamaliza f4 2003 nikapelekwa CCK Pemba kuendelea f5. hongera kwa kutukumbusha, enzi hizo tulikuwa mh Salim Kitwana Sururu
Pamoja sana mjomba ,waambiyee hapo ulikuwepo uwanja wa ndege wa jeshi zamani sana,
Mbona mwankosha mie. Nekuwapo mie hapo 2000/2002. Mwankumbusha mbali mie yakhee. Allah awabariki
Shukraan Pemba Tv kwa kweli inatuliwaza hasa kwa sisi tuliombali na kwetu..
Asante sana Pemba tv mm nimezaliwa huko lakini umri wangu fidel castro siijui wala sijaiona unanifurahisha sana endelea kutuonesha vijiji vyetu
Hongera sana bro kipindi kizuri sana jitahidi kufanya matayarisho ya mapema kuwapata wenyeji wa mtaa wanaojua asili ya mtaa wanajamii na maendeleo ya kijiji husika. Mbali ya yote hayo hongera sana
Hongera
lumumba for unguja and fidel castro for pemba are best schools in zanzibar
I love Pemba
Umenikumbusha Mbali Sana hio sehemu
Love u moi pemba mis a lot ❤️
pemba yetu nzur Allah aibariki
MASHA ALLAH
Asante sana pemba TV
Pemba mumejaribu mashaallah big up
Good broudher
Homevswert home naiyona mitaa yanguu zamani sana niliicha imebadilka sana
Kwakweli unaitangaza Pemba yetu vizur sana
Mzee baba fika na Mkamandume, Historia yake inapotea
love pemba
Pemba Nkwe2
In shaa Allah... Allah atakujalia Mahmudh kila la kheir... Amin
Upo vizuri sana
Othman,kwa kweli unajitahidi kuitangaza Pemba.Pia ingefaa kutuonesha
Baadhi ya ngoma za asili
Vizur sana nimeipenda sana video hii coz kuna shule ambay nimeiona na inanivutia sana nilitaman sana kusoma fidel castro ila haikuwezekana mungu akanipangia kiuyu michewen
Hongera sana kak dont give up one day
Nenden kengeja jaman nimekutaman kwetu kama mutaweza na akul pia tuchukulien school yetu ya kengeja pls
dah!! nimepapenda na Mimi nawakalibisha kwetu tz bars,mkoa wa Mara wilay ya butiama
daaaa! from way back nawakmbk san mateacher wang wote jamaan eenhee nsalmieni BURMAS nimemiss zile harakat zake
I love Fidel Castro sasa ni mwaka wa tatu tokea niondoke hapo lkn naipenda sana Castro ya boss K
Mm nmesoma asaa fidel castro naipnd coz imeniptia cheti kizr cha form 4
Naipenda pemba
jaman pemba naipenda
Mimi naipenda sana hii TiVo bigap sana
Shukran kwa Pemba TV kufika katika moja ya skuli kongwe nchini mwetu.Big up Fidel Catro,tulikuwa hapo 1977 na maisha tulikuwa poa.
hapo upo nyumbani na hicho nikisiwa cha aman huwezi kupsta kikwazo tunaipenda sana nyumbani mzarau kwao huyo nimtumwaa
Mtangazaji hendsome nimekupenda
Ok
Jamani na kiuyu minungwini tuonyesheni
Wafate unaotaka kuwahoji usiwaite kisha mtangazaji tieni na matangazo ya biashara tangazeni japo kwa bei nafuu wafanya biashara wataleta matangazo
Mashaallah asanta sana kwa ushauri karibu pemba
Bass haya
Nakumbuka enzi zangu wakati nipo hapo kwenye mchipuo wa kilimo nikitokea skuli ya jang'ombe unguja. Simsahau mkuu wa chuo maalim Juma Hamad Omar"kijuma"ambae sasa ni mbunge wa jimbo la wawi.
Mzee baba aongeza confidence kidogo mambo yatakaa sawa zaidi
Hivi wanaume tu ndio wanakunywa kahawa wanawake hawanywi?.Shukran sana Pemba Tv endeleeni kutufahamisha mambo mbali mbali kuhusu Pemba yetu.
Raysal almandhary wanakunywa wanawake kahawa sana ss hapo ni sehemu ya wanaume vp watakaa na wanawake wanywe kahawa 😀
Pole sana Mr .Othman kwa changa moto zinazokupata hhhhh
Hapo kumbe mbarambara imemaliza
Mitondooni hapo nishabwaga mabungosanaaaa nakufuwa nyuki za mzee mkombozi 😂😂😂😂😂 dah nakusalimiya Rashida bin Kahtan na mwenzako Omar Abdallah Ally nimekumisinii watuwangu nakumbuka siku tulopanda mbungo wakati hatukujuwa kama ulikuwa nanyuki dah maana kilichofata nikikumbuka 😂😂😂😂😂😂😂 maana yakale ni dhabu huu nimwaka 10 hatujaonana mungu akuwekeni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mko vzry
ww gshd umestarabika sio pumbaav ikiwa hauna cha kuchangia bass plz kaa kmy . Pemba nikwetu Na tuko vzr2 Alhamdulillah.
pemba tv hii imeshtua kidogo maana huwa skip baadhi ya video ila kwa moja moja nimeamua kuingalia MUMETISHA
Duh!! Kumɓ home kuzur eti
POA BAB KUBWA UMEENIKUMBUSHA MBALI KWAKELI NIMESOMA HAPO 1987 FIDEL CASTRO
KWAWALE WATAKAO NIKUMBUKA WA FORMFOUR C. MY NAME MOHAMED HAMZA USSI KUTOKEA SKULI YA UWELENI MKOANI ASANTENI SANA PAMOJA 2
Mimi nimesoma hapa miaka 66 mpaka 69
kwanza pole kwa changa moto jikaze usikate tamaa utafika tuu
Allah atukuze
Geneva bweni langu daah
Mtangazaji usiwaite wafate wao kisha kama utapata muda kaengeze course ya utangazaji utafika mbali nawapenda sana wapemba ni wataftaji na ni watu wa kujaribu
Ok ntakutafuta inshaallah niko bize sana ila ntajitahidi mi napenda watu wanojitahidi ktk kutafuta maendeleo
nice
Jengine nimsaidie mtangazaji unapofanyia watu interview na has a vijijini unawatayarisha kwanza kwani NI waoga na Camera.
mupo vizur xn ila bado kidogo mitambo yenu haijakaaga vizur
Good 👍 bro uko poa sana
Da muda umeenda nilisoma hapo Fideli miaka 4, Form I-IV (1981-84).
Pamoja sana
Safi sanaa
ILIKE IT
Pemba tv muko vizuri sana pamoja sana
Mashallah nzr sn pemba Nzr
kwa heshima na tadhima naomba urekebishe kauli ni VTA vocational training authrority na sio VETA. Tuko pamoja broo.
ndio Veta na cyo Vta
Ghaytha Masoud vocational education and training authority Veta
Hahahahah kaka umenifurahisha "samahanini kwa kuwaingilia" "kushanifahamu" "waweza kuja" lahaja za nyumbani nazipenda xana na najivunia kuwa mpemba, allah akufanyie wepesi
ipo vizuri
nlisoma hpo
namshukuru allah alinijaalia kujiptia elimu yangu hapo
hongereni wana castro
Love u
Ufike mfikiwa kwa mkamandume
Babkubwa mzee kondo ebwana mwanangu plz tunaomba , uweke documentary kuhusu wachezaji wa basketball ball ya chake/tennis/, wete na mkowani yaaani itakuwa babkubwa. Huna mbaya ni mimi mzeee West dah
Ila tukihitaji japo namba yako
Unaposema smz inajitahidi kwenye upande Wa elimu mm sikuelewi
Shukuran kwa jitihada yako
Kuna skuli ya msingi na primary zinapatikana zote 😁😁😁😁 muuzaji kahawa hapo umechemsha.
Brother Kassim 😂😂😂😂😂😂
Asma Nassor Umeona eee
tunaomba ole pia muendee
Ndio kwenu nini Yussra Khalfani
nimerud Tena Kwa ajili ya kuwakumbusha kitu kimoja tu nibora muandae kipind maalum maana munapoenda kuwahoji watu mitaani maana Sis wapemba tupo nyuma Sana kimaendeleo Kama hayo ya TV.
Vitongoji
tumepita hapo
Ss barabara zinapokutana nne kwa pmja nilazima pawepo round about ss hapo hawakuweka wanataka kuuwa watu kusudi
Pameshauwa hapo nduguyangu
Hello broo 0773736261 nitafute
Du! Ajabu Na aibu watu graduate wanaogopa kuongea inaonesha wazi kuna tatzo la kujieleza na ndio shule kubwa.
nmkumc nymbn jmn no mbl
Wapemba bado washamba hakiyamungu hawajastarabika walwahi
Gshd Hshhshs hem elezea kidogo hawajastaarabika kivip?
Bora ushamba unaomridhisha Allah kuliko ustaarabu unaomkasirisha Allah.
Km huna la kusema kaa kimya
acha umelaya ww fala
Gshd Hshhshs njoo u2staarabish 2we wtt wa mjn pmbvu zk ww km hn l kuongea fumba kapu lko ilo nyambafyuu
Vitongoji