MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Anashawishi baba hyu 👌 na anafurahisha
Anafaa pia kuwa mwandishi wa habari 🎉🎉
Waallah nimechekaa Hadi machoziii
Safi sana, anajua biashara
Yaani huyu mzee namuungishaga kwasababu ya ucheshi wake 😂😂😂😂
Mashaallah upo vizuri unaongea vizuri sana
@@fatmaally7252 Lazima aongee vizuri Mchina wa Unguja huyo 😂😂😂
Huwa anafurahisha Sana tuuu..... Kwa matangazo yake kwenye boti aiseee yupo vzur mnooooooo tumia boti ya azam zanzibar to Dar utamkutaaa
Safi sana jet lee
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂👍👍👍👍
Mtanzania halisi huyu inawezekana Baba yake mchina, ila ni Mtanzania huyu halisi na mjuwa saana toka miaka hiyo
Huyu mwenzetu bwana 🇹🇿
Ndio wazee wake wachina lkn kasoma zenji kakulia zenji ..kaowa zenji kazaa pia.
😂😂😂😂😂😂😂 namkubali sana huyu mwamba❤
Kweli kabisa ni msheshi mno mashalllhh
Baba wa hovyo uyu nimecheka sana kweli tunakupenda
Uyu mzanzibar halisiiiii check anavyofanya mikono
Yes Malindi Zanzibar
@@AbeleBausingi hahaha 🤣🤣 kalegea mtu mzima mikono anavo ifanya kama mauzinde hatari Sana
Mchina hujajuwa kujieleza vizuri ungesema asili yako wapi umetoka.
👍
Mdogo wa bolo young huyu kwe van dame 🤣🤣🤣
Mzee konki huyu alishawai kunisaidia....🙏
Huyu jamaa me namjua vzr snaaa nimekaa nae anaitwa baba aishaaa,mama ake huyu ni mzabzibar,mama ake huyu alizaa na mchina yye kwao ndo wa kwanzaaa,wamexaliwa tisaaa kwaoo hao wengne wote nane baba yao mwingne huyu mzee alikaaa kinondoni shamba kwa mdogo wake anaitwa muradi wote wa pemba haoooo
Kwahy
😂😂😂huyu babu Njoo Mozambique
tumefurahi
Ungemuuliza kabila lake na mzailiwa wa mji gani na jina lake nani?
Kabila ni mshirazi,mzaliwa wa unguja mjini,kikwajuni..
Makabila ya nini tena alishakwambia yeye ni mbongo hiyo tosha @@salimmzee1164
Kuna mtu kaelezea hapo juu anasema mama yake ni mzanzbar
Jina lake Hussein china. Ni mzaliwa wa unguja , amesoma na kukulia visiwani zanzibar. Namjua very well
@@salimmzee1164kila mtu Zanzibar ni mshirazi, mshirazi maana yake nn? Nakunafichwa nini hapo?
Upended au
huyu jamaa namjua tangu niko mdogo 1999 kkoo alikua akiimba kwenye nyumba za waarabu na guitar lake ni wazamani alafu ni famous kkoo mpaka leo
Mtanga uyo
Was korosho oyeeeee necessary
😂😂😂😊
Huyu alikuwa anaishi dar, na alikuwa anaimba taraab, tulikuwa wote kwenye kikundi, znz amekwenda baada ya kupata kazi kwenye maboti ya bakharesa ni mtu wa dar.
Mbona mabega na mikono na vidole hivyo
Ila amamake alidanga na mchina
Huyu jamaa aaah safar Inakuwa fupi
Au mfilipino
😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Mchina yukopoa
Halafu kunamtoto wa kiume tena kijana na nguvu zake yupo nyumbani kwao anasubiria chai na ugali wa mama yake aliyedamka asubuhi saa 12 kuunza mboga za majani apate hela ya unga. dah tutafute hela wanangu
Kazaliwa zanzibar au tanganyika
Znz
Ukijua alipozaliwa itakusaidia nini?
Kazaliwa zanzibar namjua vizur xana
Yan anavyoongea tu haihitaji kuuliza alipozaliwa😂
Yan anavyoongea tu haihitaji kuuliza alipozaliwa😂
😂😂😂
😂😂😂,
Tupo wengi sana duniani me kama huyu ni mjerumani kabisa......
😂😂😂😂😂
Dume Jike
Kampe ilo tundu ndio utajua kua dume jike
Huyu so mchina huyu Ni muarabu au muhindi lambda mama ndio TZ
Huyu ni Mchina kweli wa Zanzibar (Unguja) amekuja Dar es Salam kwa kutafuta maisha. Hana cha Uhindi 😂😂😂
@@awatifalghanim1106 kumbe mchina lakin kachanga labda baba mchina mama TZ ah sote ndugu Allah ampe umri tawil
Huyo ni mchina tena ni mpemba.
😂😂😂😂