Asanteeee kwa story nzuri, naona na wew leo hii utakua #JamalRomeo wa 2021 maana ndo mumeanza kwa Mama la mama 👌😂leo wakwanz nipen like zang me napita tu
Big Up Professor Jamal. Unatupeleka mbio sana professor juzi tumetoka kwenye mambo magumu kuhusiana na Sayansi ya Nyota Jua leo umeturudisha kwenye mahaba ya Romeo na Juliette.
Hadithi hii ya Romeo na Juliet ni kisa cha kweli kabisa na mimi mwaka 1990 nilifanikiwa kuzuru kabuli la Juliet na nyumbani kwa Juliet ambako ipo sanamu ya shaba ya Juliet pale VERONA, Italy.
Kazi njema saana kaka, vyovyote vile hii section ya "THE STORY BOOK" it's more Amazing kaka. Please I wish you all the best and congratulations for the best "STORY NARRATION's"..... 💯💯💯 Hongera saaana 🙏, kwa kutupatia Burudani ya Kisasa...
Wabongo tulikuwa tuna fikiliya tiyari kajala kapata mwengine uku bana Duuh kumbe store books ,wambea tulikuwa tumisha kusanya photo 🤣🤣tujuwane apa ambao walikuwa wamisha kuwa kwenye ayo mawazo 🤣
Nakumbuka hiki kitabu Tulisoma form three na form four katika ENGLISH LITERATURE Nikiwa MALAWI ...daaah Nakipenda sana hiki kitabu na Namkubali MWAMBA mmoja alieitwa TYBALT
I told you hawa wana act sasa roho yangu imetulia nilidhani wamemuiba Romeo wangu lol professor Jamal siku nikikuona ntaomba nipige picha na wewe your my role model very creative something different leo na kajala mnaigiza bigs up bro
Professor wa story za mitandaoni 😄😄😄😄😄😄😄😄, watanzania tuna penda kuelezewa uzushi. Mapenzi ya ukweli ni ya bibi na babu. Kajala ni mkeka wa ote 😀😀😀😀, from Konde Gang to Wasafi 🙉🙉🙉🙉.
Mtiga kumbe alificha sauti Tamu ya Jamal kweli when righttime comes the brightness will shine good job brother Jamal kwakweli wewe ni fundi na taka utuadithie story ya Samiriy Alie pewa uwezo na hakua miongoni mwa mitume pleaseeeee
Naomba 50 like kwaajili ya professor💪
Naomva 50 like kwaajiri ya kajara
huyu jamaa kwa creativity hizi apewe tuzo tu africa like hapa kama unakubaliana na mimi
Wenye wako hapa 2024 tupige like hapa
Me too
Me too
2036🎉😂
Me t
Mm Mbona sipati like au gundu
Kwa Jina la Mwenyenz Mungu nadhan like nitapata km zote ayaa twende Sw wana,
nakupenda
💯
Jamal, Jamal, Jamal. How many times did I called you brother, you're the number one 🙏🙏🙏, 💕💕💕 we all salute you
jamal thi proffessor 🔥.....likes zanguu jmnii🙏
kwahy jamali ww ndio Romeo na kajala julieti jomon ila story tamu PROUD of you JAMALI
🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Asanteeee kwa story nzuri, naona na wew leo hii utakua #JamalRomeo wa 2021 maana ndo mumeanza kwa Mama la mama 👌😂leo wakwanz nipen like zang me napita tu
Big Up Professor Jamal. Unatupeleka mbio sana professor juzi tumetoka kwenye mambo magumu kuhusiana na Sayansi ya Nyota Jua leo umeturudisha kwenye mahaba ya Romeo na Juliette.
😂😂😂😂
Ni mwendo wa kasi ya 5G🤣🤣🤣🤣bandika bandua
@Greder Operater hatari
Professor Jamal you're the best feel loved from 🇰🇪🇰🇪❤
Leo umetisha 👊 like zangu mazee
Waooooo Mr Jamal
His father of love
Tunaotizama huku tunasoma comment tujuane hapa😂😂😂
😄😄
@@zulfahamissi4725 nishapata mwenzangu apa #zulfa hamissi🥳🥳🥳🤣🤣🙌🙌🙌
Mimi apa
😂😂😂😂🤦♀️
😄😄😄
Nilikua naitafuta kitambo sanaa hii stori ya romi na julie. Shukran Jamaal
Stories yangu bola ya mda wote kaka hongereni wasafi
Naomba like 💯 za jamal
From 🇧🇮🇧🇮 you are the best jamal🌷🇧🇮❤️🤲
Sasa Baba Proffesor leo umeamua kuwa ROMEO wa mama la mama 😍😍😍🤣
👉👉 ASALI ONLINE TV
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uuuuuwi
Yetu macho
😂😂😂😂😂
Jj
Hadithi hii ya Romeo na Juliet ni kisa cha kweli kabisa na mimi mwaka 1990 nilifanikiwa kuzuru kabuli la Juliet na nyumbani kwa Juliet ambako ipo sanamu ya shaba ya Juliet pale VERONA, Italy.
Unahadithia hadithi kwenye hadithi!!! 😆 Tuwache tuckilize hii kwnza.
Vizur mpenz kwakubatika ata kufika uko hongera myawa
Duh 🙄
@@alliymohamedalliy6524😂😂😂😂
Kumbe mapenzii yakwelii yapoo ? ❤ LAKINI KWANINI UMCHUKUE KAJALA😂😂😂
#KING profeee ombi langu ni lile lile tunataka story ya @diamondplatnumz 🖐
🤣🤣🤣lion
Daaah afadhal nljuwa tumehujumuwa professor wetu
Kmbe ilkuwa kwaajl ya Kaz
Kwan like zinafaida gani jmn mbn me mshamba bado😊😊
Unapata hela
Professor jamal King of the story noma sana 🔥🔥🔥
Tunaoishi Verona tunaomba mtupe like zetu.
Kma bado uko mzima 2024 October na washukuru Mola.... piga like ❤
Hata kama nime Chelewa ndo usi like acha kalike basi kwaajili ya muda
😂😂😂kwa hyo jamali alikuwa ana date na kajala
Story imefana mno kwa jinsi intro ilivyoundwa. Salute kwako Professor Jamal #wcb4life
Dah zamani watu walipendana bana hizi nyau za siku hizi ukifa wanapiga simu kwa mchepuko umewaondolea kiwingu😂😂
Awo ndio kinassiapa
Usipende kuongea sana kuhusu kifo
Tunaomba storbook ya hayati Magufuli wcb4life
Na samia
@@ahz6907 ushindwe pepo ya samiaa Yann sisi 😂
😂😂
Neda chato
Bonnie & Clyde wana story Nzuri. 🌹
Majizii
Rayvanny vs Nan vilee 😝😝
Weziii
Majizi hayo😂😂
Majambazi
Kazi njema saana kaka, vyovyote vile hii section ya "THE STORY BOOK" it's more Amazing kaka. Please I wish you all the best and congratulations for the best "STORY NARRATION's"..... 💯💯💯 Hongera saaana 🙏, kwa kutupatia Burudani ya Kisasa...
l like u prophessor Jamaly Be blessed a lot may God protect you to live longer
such a mastermind Professor Jamal🔥 the story is awesome ❤️👽
Tulijuwa muko wapenzi weye na kajala 🤣🤣🤣kumbe ni kazi hongereni Wasafi 🙌🙌
Kama unatamni jamal angekuwa maarufu kama manara afu manara awe kama jamal gonga like twende
😂😂😂😂😂😂
Nawafatilia kutoka from Italy 🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹 mjini:Frosinone Lazio 'kijana jamal hongera sana, unaweza 💪😁@papasimbadecor
2024 naomba like 50 tu
Wabongo tulikuwa tuna fikiliya tiyari kajala kapata mwengine uku bana Duuh kumbe store books ,wambea tulikuwa tumisha kusanya photo 🤣🤣tujuwane apa ambao walikuwa wamisha kuwa kwenye ayo mawazo 🤣
Na iliniuma haaha
👆
Mimi apa 😂😂😂😂
@@zakyahya4645 lakini uyo brother ni mtu ambae ame tuliya sanaa ,ndo kwamana kila mtu aliye ona wavyo kuwa kwenye zile pozi ,sisi mashabiki mapema 🤣
@@chakuboyofficial9720 dah nikome mimi kucoment be4 cjawatch kumbe co mpenzi wake 😂😂😂nimeumbuka mimi
Ubunifu mzuri na kazi nzuri sana kwako
Profesa Jamal,hongera kaka
Bonge la story
Jamal never disappoints 🔥🔥😘 I always learn something here👏🏻👏🏻 Good work @jamal April Mustapha 🥰
Me to napenda history asante saana jamal
Hello
❤❤jamal❤❤
Nakukubali xn jamali ilaaaa mm kila siku nalia na ww kuhusuuu unavoongea taratibuuu Alf mb zetu zinakwisha baana ongezaaa speeeed kidooogooo
😂😂😂😂😂👋
😂😂😂😂
Nangojeaga Friday tu niskilize ihii sauti hujawahi kosea master jamal
Kazi nzuri,Ila sound track Leo umeiongeza sauti Sana!...inaingilia sauti yako,mwishowe simulizi asikiliziki vyema.
Iko vizuri hatariiii
@@adijaniyonkuru9731 xanaaa🔥🔥🔥
Tv yako itakuwa mbovu tu 😂
@@hamzamoshi8275 🤣🤣🤣
Sure
like zangu namm leo wa 4 tujuane kupitia the story books
❤🇰🇼
😅😅😅 jamal don't try to divert us the story book is for Sunday 😅😅😍there's nothing wrong she deserves a gentleman like you not a chucks
I she dates jamaal for real, she is going to explode! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Truth
😂😂🤣🤣
@@masalugusessa3702 lies 🙄
Umetumia ubunifu mzuri Sana ❤️❤️keep going men 👍👍
waoooo that's the meaning of creativity
EMBU TUACHANE NA MAMBO YAKINA ROMEO
Mzee saivi unakula mnofu huo ama ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂nilitaka kuuliza na mimi hujue
😂😂😂😂
😀😀😀
Hahahahaha
😂😂😂
Naomba like yako kama unaamini kijana anaweza
Ok
Ambao tunapata madini ya Jamal April tukiwa nchini omani 🇴🇲 tujuane hapa😍
Uko seem gani Omani??
My role model @jamal April❤️
Watching from Doha qatar 🇶🇦
Together let's watch from Doha too
Watching from quarantine Mukaynis Doha
Hey I want to come to Doha
@@staydubai1915 wat about dubai
Sjawah kukukubal bro lakn leo kwa hii stor nmeanza kukubali bro big up sana mungu akuongoze ufike mbali❤❤🙏🙏🙏🙏✌
Hizi story ungeweka kwenye podcast pia. (Audiomack & boomplay) Kuna wabongo wengi tu watafatilia
Sure ma men
Am jast passing nitarudi badae acha nibaki kuwa mpezi mtazamaji tu mdomo koma 🤣🤣🤣🙊🙊🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Panya buku ya Leo sio pouw 🙌🙌
Nakumbuka hiki kitabu Tulisoma form three na form four katika ENGLISH LITERATURE Nikiwa MALAWI ...daaah Nakipenda sana hiki kitabu na Namkubali MWAMBA mmoja alieitwa TYBALT
Unaweza kunitumia WhatsApp kwa mfumo wa PDF nijee niisome polepole
baba ako na mama ako mzazi wako kwenye ndoa miaka 40 alafu mtu akikuliza yapi mahusiano bora duniani unasikika unasema beyonce and jz 😅
😂😂😂😂😂
THIS IS SO SUPER.TODAY YOU KILL IT MY BUDDY...CREATIVIN YA FIREEEEEEEEEE
Fr Congo Brazzaville watching now
I told you hawa wana act sasa roho yangu imetulia nilidhani wamemuiba Romeo wangu lol professor Jamal siku nikikuona ntaomba nipige picha na wewe your my role model very creative something different leo na kajala mnaigiza bigs up bro
Maskini harmonize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwenzio Ana mpenz huku Romeo jamali
Nice one bro
Usiingie kwenye mahusiano na kajala plzzzzzz, wew ni smart kwa brain haendan na Huyo jingaaa
Ss unampangia acha wivu
From Kenya,but Best channel in Tanzania
Mama mkwe.
🔥🔥🔥🔥🔥
Mzee wa kulialia🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😭Bora tuachane .....huwez haya Mambo...
Tulia
nilivyowaona mwanzo nikajua kweli umeshachukuliwa jamani mimi ninavyokupenda we kaka usiwe hivyo bwana😔😔😔
Una sh ngap nikuunge nae?
Elfu tatu @@ahz6907
The man is creativity ✊🏽
Leo hiyi kali mno story profes ume uwa sana ni mependa
Naona umebakiza kufungua wcb yako tu maana umeanza kula vyombo vya boss
😅😅😅
😂😂😂😂
nmejikuta uchozi umenitoka kwa hii hadithi nzuri na yakusikitisha ya mapenz ya kweli......romeo wangu uko wapi jamani😊😊
Niko hapa
😂😂
@@diodoruskyomya9328 😍
@@bkilango4265 😅
@@saadaperec2706 💗
Hey guys am Sameer from Kenya natafuta marafiki wapiya❤
Mimi
Asa ntakupata wapi angalo tujuliane hali
My favorite story
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sema mkojani unazingua hatuoni kazi skuhizi
Huyo siyo mkojani
Fomo vichi famonga 😅😅😅
Ingia kuna tamthilia mpya boss..gusa link....
th-cam.com/video/oCEkcQEISEE/w-d-xo.html
Unagika mbinguni humuoni julieti😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake sio watu wa kuwaamini kabisa
Amazing story keep going jamal
Jamaaaniiii, ubunifu 💯
@Harmonize bado najifunza, ila Mambo yatakaa fresh na kwangu mtaona
All the way from South Africa 🇿🇦 #cape town
Professor wa story za mitandaoni 😄😄😄😄😄😄😄😄, watanzania tuna penda kuelezewa uzushi. Mapenzi ya ukweli ni ya bibi na babu. Kajala ni mkeka wa ote 😀😀😀😀, from Konde Gang to Wasafi 🙉🙉🙉🙉.
Mmmmh atar sana Malaya ndani ya story ww watu wataasha kutazama story zako uyu kajara VP makubwa
Very creative storytelling. You are outstanding brother
Nakupata kaka, miss this chann fonlong🇰🇪🇶🇦
Dahhh nice story king narrater professor
kama upo unaangalia meaka huu nie like zangu
Stor book imekua na ka kiki😄😄
Sana
Kivpi
@@swaggagamingtv6841 creativity hio sio kiki
Kudadadekiiii julieth& rumeus hiyo tayar nami nimemuona julieth wangu kule ndani ya wasafi 😂
Imeniuma sanaa Wallah ! Aiseeeee
Mimi niko na mapezi ime pita hiyo ya Juliet nivenye sinjapata Romio nikipata history wont be enought kuadika😏😏
Can I help you to find your Romeo?
@@lavieestbelle3263 yes do help me 😊😊
Romeo nipo hapa usijari ni vile sijampata Juliet tu
Hata mimi jamani
@@evemurugi3399 well, prepare your self dear....he is on the way.
Umenifanya nisogeze kiti na kuchomeka chaja kwenye simu yanguu
Professor si utupe Titanic full story
Daah Ila huyu jamaaa anajua Sana mambo
Mnoo na ili uweze lazima usome so jamaa ana kichwa kizima sana
Sanaa
Blessed, utaenda bali
True love never die
Jamal the best story teller ....you got me worried about this love story ...🇰🇪2022
Jamal the real professor
Sanaa
Story ambayo nlikua nkiisbl xan bro, chukua like yang 👍
Ivi we kaka huwa kabila gani? Unajuaga kunifurahisha wewe kwa story zako, mmmh!
You good brother
Professor Jamal & Kajala❤❤❤💑💑💑
Mtiga kumbe alificha sauti Tamu ya Jamal kweli when righttime comes the brightness will shine good job brother Jamal kwakweli wewe ni fundi na taka utuadithie story ya Samiriy Alie pewa uwezo na hakua miongoni mwa mitume pleaseeeee
Kazi nzuri 👏👏👏
impressive 'nd romantic creativty , na just romantic but romantic