Nilichoelewa ni kwamba sio kwamba mtoto hayuko shule, bali yuko shuleni ambayo kwa dakika 2hamuwezi kuwaelewa watumishi wa MUNGU, tafadhari wapeni mda mkuu wa wilaya, wasikilize sana
Watu wamechanganyikiwa na maisha ndio.Wasabato Wana shule nyingi tu na kila cku wanafungua shule na vyuo.Acheni kupotosha maandiko sisi wakristu tumekuwa huru Sana ndio maana tunafanya mambo ya ajabu kila siku.Kwa Waislam hakuna huu ujinga ujinga
Ni kweli Yesu kristo anarudi lakini haijaandikwa tukae bila kufanya kazi tumsubiri Yesu ni upotoshaji wa maandiko. Ndiyo sababu unyakuo utatukuta kwenye majukumu yetu ya kila siku.
Hawa sijui ndo masabato masalia au vipi? Kanisa la Wasabato mbona lina miliki shule za Secondary nk? Miaka ya Nyuma walishawahi kubeba mabegi wakaenda uwanja wa Ndege Dar wakapiga kambi pale wiki mbili eti wanataka kwenda kuhubiri injili Ulaya.Wakateseka kwa njaa mwishowe Kandoro mkuu wa mkoa wa Dar akafika pale kuwapa Elimu ndipo akakuta wameondoka baada ya njaa kuzidi.
Makenzie mwingine huyo, kutoka kule Kenya, anaambia watu wafunge, wakati yeye anakula Tena viziri, Sasa huyu kasoma lkn hataki wengine wasome ili aweze kuwatawala
Tatizo ni mfumo wa elimu hii tulio hachiwa na wapagani sa ulaya inakaa kipaganipagani na kuto mpa Mungu nafasi kwa kweli imetuvuruga wanadamu pakubwa hadi hatu hizingatii nafasi ya mola wetu katika maisha yetu. Mitaala ifanyiwe marekebisho.
Mkuu wawilaya KASEMA nayeye ni MKRISTO anafunga na biblia anasoma lkn hakujua anaongea na msabato SI MKRISTO kama yeye. Lkn biblia hakuizingatia kwa kusema waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie maana ufalme wa Mungu ni wao.SIVYO alivyosema Bwana YESU . YESU KASEMA ......msiwazuie maana WATOTO KAMA HAWA (kama hawa) ufalme wa ............
Yaani sijui watu watajifunza lini? Kibwetere wa Uganda aliwakusanya hivyo hivyo halafu akaishia kuwachoma moto, watu 778, Mackenzie wa Kenya, juzi juzi tu alileta style hii hii ya kuwakusanya na kuwaua watu 439, Marekani pia, Mchungaji James Jones wa Indiana state aliwauwa wafuasi 909 ambao 304 ni watoto, na wengine wengi, WATU WANATAKIWA KUMWABUDU MUNGU NA SIYO WANADAMU!!!!!
Warumi 13:1-2 [1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. [2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
Washenzi kweli nyie.hivi biblia mnasomaje??? Harafu imeandikwa kiswahili kabisa he ingekua ya kingereza ingekuaje????? Watu wangu wanapotea kwakukosa maalifa.kamara wote weka ndani.wasitoke. haondio baadaye wanachoma watu Moto harafu wao wanamkimbia.
Jifunze juu ya Daniel aliekuwa mtu mwenye elimu ya juu, jifunze habari za Paulo Mtumishi wa Mungu aliekuwa msomi pia fuatilia habari za luka Mtumishi wa Mungu
Tangu nikiwa mdogo hawa Wasabato wanatabiri mwisho wa Dunia, tarehe zinafika na kupita. Hata Malaika, na Yesu mwenyewe kasema hajui hio siku, Mt 24:36. Hawa wanasoma Biblia ipi?
Unafikiri mkiwekwa mtu kati na huyo msabato utamshinda kwa hoja? Kishawaji elimu inayoongelewa katika mstali huo wa bible ni ile ya kumjua Mungu ambayo ndiyo hiyo yeye anampatia mtoto wake. Mbona DC kaishiwa pozi mpaka anaanza kukimbililia eti kama hiyo elimu anayoitoa kwa mtoto imesajiliwa au lah. Kwani sheria ipi inatutaka tukiwafundisha watoto wetu kumjua Mungu majumbani kwetu mpaka elimu hiyo isajiliwe? Isajiliwe kwani imekuwa ni taasisi? Hao jamaa wanaelimu ya Dunia na dini hivyo sio wepesi kama mnavyo fikiri. Kapigwa swali eti mbona yeye alisoma kwanza elimu Dunia jibu katoa ni aliposoma hiyo elimu Dunia aligundua kuwa haina msada kumjua Mungu. Huyo hao jamaa wanakwenda kushinda kesi huko mahakamani na huyo dogo kishamezeshwa sumu hatokubali kwenda shule hata baba yake akifungwa. Ushauri isitumike nguvu jamaa aombwe huko walikompeleka kama alegeze misimamo amwache mtoto aende shule. NB Mimi pia siungi mkono misimamo mikali ya dini na sinaga mpango hata na hiyo dini yenyewe lakini napendaga sana debate za hoja kwa hoja bila kujali ni kutoka kwa mwislam, mkristo au mpagani.
Izrael mbakasasa imepiga hamasi kwa makombora nakuvunjavunja majengo lkn bado wanapigwatuu na wapiga bunduki watembea kwamiguu, hii ni isharatosha yesu yupokaribu. Maana hata kwenye biblia imeandikwa
Mmmmmh,dunia simamama Erick ashuke anawazuia watoto kwenda shule,wewe erick hujui maandiko kabisa.Maandiko yanasema mshike sana elimu usimwache aende zake.
Daniel , Musa, paulo pamoja na luka hao niwatumishi wa Mungu waliokuwa na elimu ya juu, sasa wewe unadhani walikosea kusoma elimu hizo? Mithali 3:13 inasema heri mtu yule aonae hekima na mtu yule apatae ufahamu. Sasa mtu atapata wapi ufahamu asipo soma?
Kuna jamaa moja ilikua kila mwalimu akitangaza test jumamosi hafiki akiulizwa anasema iheshimiwe siku ya sabato😂😂😂😂 wasabato wana misimamo buana so mchezoo😅😅
Cheza na watu wote na si wasabato,mmoja tabora alirudisha mpaka pesa za semina alizolipwa kisa mtihani wa mwisho ulipangwa jumamosi,imagine malipo ya siku 28
Serikali iangalie sana tatzo la ajira maana wasomi wanaweuka mapema sana,mfano hao jamaaa Ni maisha tu yanasumbua,Imani waliyonayo hao vijana Ni upagani mtupu Wala hakuna uhusiano wowote wa biblia na wanayosema.
Serikali zetu hazijitambui kila ukicha makanisa ya kitapeli kila mtu anaona njia rahisi kufungua makanisa ya kitapeli hili kujipatia kipato kwa sadaka za Wananchi mtihani utapeli tu dah😭😭
Wewe sio msabato make huna imani....jamaa amesema kabisa elimu iliyoongelewa kwenye biblia sio hiyo wanayotoa wao iliyoongelewq humo ni hii anayompatia mtoto elimu ya kumjua mungu...jamaa kajibu maswali yake safi kabisa ....
Mnazunguka Sana wachane ukwel elimu ni kupoteza pesa na muda😂😂 zamani elimu ni ufunguo lakin now NI kufuri uyo mtoto atamsaidia badae watu Wana ma degree wapo mtaan na washatupa pesa za kutosha na wazaz washazeeka wanasubir malipo na awapat kitu wengi wao wenye elimu ni walevi now sabu hajira mnapeana kindugu niiten Mimi tufanye dbeit😂
Kila kitu kinatakiwa kuendelea Kama ilivyo yaani shughuli zote halali ziendelee na Yesu Kristo anapokuja maana lazima aje atakomesha yote mema na mabaya!
Mkuu wa Wilaya Anabusara Sana....Tembea Uonee.😢😢
Nilichoelewa ni kwamba sio kwamba mtoto hayuko shule, bali yuko shuleni ambayo kwa dakika 2hamuwezi kuwaelewa watumishi wa MUNGU, tafadhari wapeni mda mkuu wa wilaya, wasikilize sana
Serekali mukiwaacha watu kamahao mudasimrefu itakua kamayale ya Kenya .Wadhibitiwe kwaharaka
Kumbuka kila neno na tendo walitendalo wanadamu watalitolea hesabu mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
Watu wamechanganyikiwa na maisha ndio.Wasabato Wana shule nyingi tu na kila cku wanafungua shule na vyuo.Acheni kupotosha maandiko sisi wakristu tumekuwa huru Sana ndio maana tunafanya mambo ya ajabu kila siku.Kwa Waislam hakuna huu ujinga ujinga
Sio kuchanganikiwa
Ila ni nini kama siyo kuchanganyikiwa?@@elizabethlobe4353
Ila ni nini
Watu wamevurugwa sana hakuna Cha uchungaji hapo huyo ni muongozo tu
Ni sahihi Wamechanganyikiwa kabisa.. kristo harudi Karne hii au Karne ijayo....
DC ana busara na huruma sana!
Ni kweli Yesu kristo anarudi lakini haijaandikwa tukae bila kufanya kazi tumsubiri Yesu ni upotoshaji wa maandiko. Ndiyo sababu unyakuo utatukuta kwenye majukumu yetu ya kila siku.
Kabisa
Huyukijana, naakamatwe, huyunitawila Mr Makesne hiviwewebaba umelogwana,Makeanse ?Serikali waokoweni , watotohawa jameni.
Hawa sijui ndo masabato masalia au vipi? Kanisa la Wasabato mbona lina miliki shule za Secondary nk? Miaka ya Nyuma walishawahi kubeba mabegi wakaenda uwanja wa Ndege Dar wakapiga kambi pale wiki mbili eti wanataka kwenda kuhubiri injili Ulaya.Wakateseka kwa njaa mwishowe Kandoro mkuu wa mkoa wa Dar akafika pale kuwapa Elimu ndipo akakuta wameondoka baada ya njaa kuzidi.
Huyo kijana wa UDOM ameacha chuo amekwenda kulima kibarua.
wanafundisha upuuzi wala hazina maana za sda
Makenzie mwingine huyo, kutoka kule Kenya, anaambia watu wafunge, wakati yeye anakula Tena viziri, Sasa huyu kasoma lkn hataki wengine wasome ili aweze kuwatawala
Unahekima sana mkuu wa wilaya
Tatizo ni mfumo wa elimu hii tulio hachiwa na wapagani sa ulaya inakaa kipaganipagani na kuto mpa Mungu nafasi kwa kweli imetuvuruga wanadamu pakubwa hadi hatu hizingatii nafasi ya mola wetu katika maisha yetu. Mitaala ifanyiwe marekebisho.
6:17 yanakuja yale ya Kenya..shakahola.. serikali iwe macho, yanaweza kutokea vifo/mauaji kwa hao waumini na watoto wao
Lawama serikali mmewapa watu elimu mwisho wa siku wanadata kwa kukosa ajira 😅😅😅😅😅
Ni YESU huyu huyu tunayemwabudu au tutarajie mwingne⁉️⁉️
Hiyo pia ni injili imewafikia
yupo sawa dini ndio mfumo sahihi wa maisha ya mwanadamu na Mungu ndio anatakiwa kupewa kipaumbele kuliko kitu chochote .
Dini gani sahihi ya maisha ya mwanadamu na ni ayah gani inaeleza hivyo?
Juliusdominic-uk4bu.
Wazungu waliotuletea dini wamesoma pia na Elimu za kidunia
@@ramadhanimtetu3656 Wasipojifunza kusoma hata maandiko wanayowafundisha watayasomaje?Hawa Majamaa ni mitihani kweli kweli.
Nyie hii nchi ina vijana wa ovyo sanaa,
Maisha yamewavuruga kweli kweli na ahojiwe vya na ikiwezekana wapimwe akili maana wanaweza kuleta mambo ya kina mackenzie hao kwa akili zao
Mkuu wawilaya KASEMA nayeye ni MKRISTO anafunga na biblia anasoma lkn hakujua anaongea na msabato SI MKRISTO kama yeye. Lkn biblia hakuizingatia kwa kusema waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie maana ufalme wa Mungu ni wao.SIVYO alivyosema Bwana YESU . YESU KASEMA ......msiwazuie maana WATOTO KAMA HAWA (kama hawa) ufalme wa ............
Mkuu wa wilaya ni mpole hatari yaan huyu jamaa nataman angekutana na mwamba magu angeenyoosha maelezo vzr
Umaskini Unavuruga watu vichwa hadi watu wanavurugwa
Yaani sijui watu watajifunza lini? Kibwetere wa Uganda aliwakusanya hivyo hivyo halafu akaishia kuwachoma moto, watu 778, Mackenzie wa Kenya, juzi juzi tu alileta style hii hii ya kuwakusanya na kuwaua watu 439, Marekani pia, Mchungaji James Jones wa Indiana state aliwauwa wafuasi 909 ambao 304 ni watoto, na wengine wengi, WATU WANATAKIWA KUMWABUDU MUNGU NA SIYO WANADAMU!!!!!
Warumi 13:1-2
[1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
[2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
Hapo shida ni afya ya akili.
Kazi ipo watu washaanza kuchanganyikiwa.Mungu tusaidie
Afrika tume pigwa sana na aya majina ya Yesu na uyu jamaa yake Muamadi, akuna chochote katika aya majina ujinga mtupu
Watu wangu waliokosa maarifa wanahangamia. Mfano tusifanye kazi mungu atatusaidia 😅😅😅😅😊😊
Haya majamaa ni ma PANGA'NGAA ,sweka hizo PUNDA ndani wanapotosha Raia itakujatokea na ya SHAKAHOLA kenya
Mh.DC ni bonge la pisi❤❤❤❤
Sasa Watoto watosomaje vitabu Vya dini bila kwenda kujifunza kusoma shule?
Hizo namba ni za Fillmason ..hizo anaxotajahuyo.jamaahapo. wanatumia masweitwani. Rusfa
Hajakutana na YESU,amekutana na Shetani
Washenzi kweli nyie.hivi biblia mnasomaje??? Harafu imeandikwa kiswahili kabisa he ingekua ya kingereza ingekuaje????? Watu wangu wanapotea kwakukosa maalifa.kamara wote weka ndani.wasitoke. haondio baadaye wanachoma watu Moto harafu wao wanamkimbia.
Nyie wachungaji w kizazi hiki mnamtumikia Mingu wa kweli,😢😢😢 kweli??
Maskini huyo kijana amevurugwa na maisha.mungu awaguse waweze kubadirika.
Kweli watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Jifunze juu ya Daniel aliekuwa mtu mwenye elimu ya juu, jifunze habari za Paulo Mtumishi wa Mungu aliekuwa msomi pia fuatilia habari za luka Mtumishi wa Mungu
Waadventista wako busy wanafungua mashule kila siku hebu kasomeni manyanya na wenzako acha kupotosha umma ....
Mnaleta masihara nyie msinge soma shule haya maandiko mgeyasomaje somaje.
Jitafakarini kwanza kabla hamjazua vituko.
Hii dunia inaendaje jamani yeye mwenyewe babamtoto kasoma adi sekondari ndo mana anauwezo ata wakujieleza yote hayo peleka mtoto shule
Tangu nikiwa mdogo hawa Wasabato wanatabiri mwisho wa Dunia, tarehe zinafika na kupita.
Hata Malaika, na Yesu mwenyewe kasema hajui hio siku, Mt 24:36. Hawa wanasoma Biblia ipi?
Wapumbavu kabisa hao.huyo yesu aliwataarifu siku yakurudi?
kunawatu wanaimani jamani duh wasameheni tu nawatoto waende shule
Piga bakora hao wajinga
Achen kuichafua iman hakuna andiko linasema hivo, imeandikwa atakapo kuja atakuta watu wakiendelee na shuguli zao
Kanisa la waadventist wasabato wajibu hili, laki kwa huyu Bwana hakuna ukweli. Biblia imesema mshike sana elimu usiache aende zake
Unafikiri mkiwekwa mtu kati na huyo msabato utamshinda kwa hoja?
Kishawaji elimu inayoongelewa katika mstali huo wa bible ni ile ya kumjua Mungu ambayo ndiyo hiyo yeye anampatia mtoto wake.
Mbona DC kaishiwa pozi mpaka anaanza kukimbililia eti kama hiyo elimu anayoitoa kwa mtoto imesajiliwa au lah.
Kwani sheria ipi inatutaka tukiwafundisha watoto wetu kumjua Mungu majumbani kwetu mpaka elimu hiyo isajiliwe? Isajiliwe kwani imekuwa ni taasisi?
Hao jamaa wanaelimu ya Dunia na dini hivyo sio wepesi kama mnavyo fikiri.
Kapigwa swali eti mbona yeye alisoma kwanza elimu Dunia jibu katoa ni aliposoma hiyo elimu Dunia aligundua kuwa haina msada kumjua Mungu.
Huyo hao jamaa wanakwenda kushinda kesi huko mahakamani na huyo dogo kishamezeshwa sumu hatokubali kwenda shule hata baba yake akifungwa.
Ushauri isitumike nguvu jamaa aombwe huko walikompeleka kama alegeze misimamo amwache mtoto aende shule.
NB Mimi pia siungi mkono misimamo mikali ya dini na sinaga mpango hata na hiyo dini yenyewe lakini napendaga sana debate za hoja kwa hoja bila kujali ni kutoka kwa mwislam, mkristo au mpagani.
Nikupongeze Dc unahekima sana naumeenda kwaakili yakuupima uelewa wahao ndugu
Yesu atarudi kesho kutwa... Vijana wa Afrika Amkeni Amkeni...
Umesoma wapi kwenye biblia Yesu kurudi karbun
Izrael mbakasasa imepiga hamasi kwa makombora nakuvunjavunja majengo lkn bado wanapigwatuu na wapiga bunduki watembea kwamiguu, hii ni isharatosha yesu yupokaribu. Maana hata kwenye biblia imeandikwa
Upotoshaji huo dio ukristo ni ujinga ukristo hauko hivyo wakristo ni wasomi wa elimu zote
Mmmmmh,dunia simamama Erick ashuke anawazuia watoto kwenda shule,wewe erick hujui maandiko kabisa.Maandiko yanasema mshike sana elimu usimwache aende zake.
Tukiwaendekeza hawa wajinga tutaangamia😢😢Upuuzi sana huu wa kuharibu watoto
Sasa Hawa Jamaa wanahubiri neno la Mungu Ujinga Wao uko Wapi? Mbona waisramu wanawambia watoto wao wasome Elimu ya Dini?
@@eliaskahory7116waisiramu na wao watakua hawana akili timam, ila kwa dini safi na salama ya kiislam haina ujinga huo,
We ndo mpumbavu dini gani inasema mtu asisome bwana we na huyo mchungaji nyote ni manjunja
@@salmabinyaga2357kwani kusoma dini sio kusoma?
@@eliaskahory7116Na elimu dunia pia,acha kipotosha
Hongera sana mh kwa busara na hekima ulizonazo maana wengine hapo tusingejibiwa hivyo makofi yangekuwa yameshatembea chapchap
Kichaa tu
Huo ni ugonjwa wa akili
Lenyewe linajua kusoma halafu linataka watoto wasijue kusoma pumbapfuuuuuuuuu
Analudi kweli akikuta hujamalizia digli itakuaje yuko sawa mtumishi
Wapunguze kufuta bangi vijana sio kila anaesoma anaulewa wengine wanapata mihemko
Hao sio waadventista.ni mapandikizi tu.isaya 8:20
Uledi njoo uone ndugu zako ni wasabato huku😂😂😂
Uliujuaje huo msitari km usingepelekwa shule
Afya ya apo juu sio nzuri
Kofia kama kenop ya durisha😂😂😂😂
Jamani mkuu usipoteze muda huyo maisha yamempiga kwanza
Huyu Alidisco
Vipi unampata.
Ugumu wa maisha umewapa tatizo la afya ya akili mpelekeni Mirembe akatibiwe
Hiyo ni iman ya hali ya juu sana wala hapa mtu asiye na Roho wa Mungu hawezi kuelewa kitu hapa zaid ya kumbeza huyo jamaa!
dini hizi shida sana maisha yamemvuruga huyo ndo mchunga kondoo huyo daaaaaa
Niiombe serikali ifwatilie kwa kina juu ya hawa wachungaji wanaoibuka na kurubuni watu kwa kwenda kinyume na maandiko ya biblia .
Asaidiwe arudi chuo hayuko vizuri
Daniel , Musa, paulo pamoja na luka hao niwatumishi wa Mungu waliokuwa na elimu ya juu, sasa wewe unadhani walikosea kusoma elimu hizo? Mithali 3:13 inasema heri mtu yule aonae hekima na mtu yule apatae ufahamu. Sasa mtu atapata wapi ufahamu asipo soma?
Huu Mtumishi wampime akili kwanza
Mkuu wa wilaya yuko vizuri
Kuna jamaa moja ilikua kila mwalimu akitangaza test jumamosi hafiki akiulizwa anasema iheshimiwe siku ya sabato😂😂😂😂 wasabato wana misimamo buana so mchezoo😅😅
Cheza na watu wote na si wasabato,mmoja tabora alirudisha mpaka pesa za semina alizolipwa kisa mtihani wa mwisho ulipangwa jumamosi,imagine malipo ya siku 28
Serikali iangalie sana tatzo la ajira maana wasomi wanaweuka mapema sana,mfano hao jamaaa Ni maisha tu yanasumbua,Imani waliyonayo hao vijana Ni upagani mtupu Wala hakuna uhusiano wowote wa biblia na wanayosema.
Mtt asiposoma hiyo biblia ataisomaje na biblia inasema shika sana elimu usiache iende zake
Serikali zetu hazijitambui kila ukicha makanisa ya kitapeli kila mtu anaona njia rahisi kufungua makanisa ya kitapeli hili kujipatia kipato kwa sadaka za Wananchi mtihani utapeli tu dah😭😭
Sasa hao waumini wake watasomaje Bible kama ni illiterate?
Hawa wagaratia wengine wanamambo mengine inamaana yesu yupo kariiibu mtoto asiende shule wasabato wenyewe wanasoma shule na wanamaisha swafi
Mh .DC uko sahihi sana kwanza umempa nafasi yakujieleza mungu amuongoze rais ateue viongoz kama huyu
Kuna elimu gani bongo wao wako ulaya ndo mana elimu ya bongo michosho
Je kama huyo mchungaji amesoma biblia na hao watoto wataisomaje kama hawajua kusoma
Huyo kapagawa anatatizo achapwe na polisi
Hawa jamaa.wamechanganyikiwa kabisa
Ameona elimu ya chuo kikuu Haina msaada wowote
MKUU WA MKOA ANA HURUMA ALITAKIWA YULE ASKARI AMCHAPE VIBOKO YAANI NINGEKUWA MIMI WANGEONA CHA MOTO ALLA HIYO BIBILIA ATASOMAJE
Aisee jamaa mwenyewe gala tu etiwatu wanamuelewa na kufata anacho waeleza wajinga ndowaliwao
Kwenye imani kunaujinga mkubws sn
Huwenda Jamaa akawa anatatizo la afya ya akili ni vzr angechunguzwa afya yke kwnza.
Mkuu waweke ndani hata magereza ikibidi hatutaki mambo ya shakahola kenya hapa ni tz hawa ndio kina kibwetere
Wako sahihi....kama ushoga unaenda kufundishwa mashuleni unategemea tufanyeje....ni lazima tufanye hv
tunatakiwa tujifunze Elimu zote hyo ya maisha yajayo ni muhimu na yamaisha ya sasa ni muhipi pia kwasbb tunaishi sasa
Hakuna shida yoyote hata kama Yesu akija leo pelekeni watoto shule
Dada unauliza maswali vizuri sna hauna papala kabisa, unafaa kutangaza TBC
Kaka usituharibie dini tafadhali Sana wasabato hatuna huu upuuzi kampimeni akili
Wewe sio msabato make huna imani....jamaa amesema kabisa elimu iliyoongelewa kwenye biblia sio hiyo wanayotoa wao iliyoongelewq humo ni hii anayompatia mtoto elimu ya kumjua mungu...jamaa kajibu maswali yake safi kabisa ....
@@Chume_tzkweli,!!!🔥🔥🔥🔥
Kama Tanzania haitawachukulia hatua stahiki kwa hawa wajinga mbele ni majanga.
NI WASABATO WA MATENGENE HATA VIKINDU WAPO
Hatari sana tusikubaliane nayo kabisa
😂😂😂😂kesho atawachinja wakakutane na yesu
Haswaas
😂
Mnazunguka Sana wachane ukwel elimu ni kupoteza pesa na muda😂😂 zamani elimu ni ufunguo lakin now NI kufuri uyo mtoto atamsaidia badae watu Wana ma degree wapo mtaan na washatupa pesa za kutosha na wazaz washazeeka wanasubir malipo na awapat kitu wengi wao wenye elimu ni walevi now sabu hajira mnapeana kindugu niiten Mimi tufanye dbeit😂
Kila kitu kinatakiwa kuendelea Kama ilivyo yaani shughuli zote halali ziendelee na Yesu Kristo anapokuja maana lazima aje atakomesha yote mema na mabaya!
kwa hali ya ajira ilivyokua ngumu kusoma sas iwe ni hiari sio lazima 🤣🤣🤣
Chuo kikuu hakuna ajira emedata 😂😂😂